Asante Mungu. Wiki hii nimeota najisaidia haja kubwa niliogopa na kujisikia vibaya nikajua ndoto ya kuhaibika sababu nilipokuwa najisaidia kuna watu wawili wananiangalia nikaona ndoto ya fedhea.
Mimi nimeota nimejisaidia katikati ya watu walikuwa na sherehe mara pale pale nikawanaulizia samaki walikuwa wanauzwa nikawa nachagua mara wakafungua shampen nikapewa nikawa nakunywa
Ndoto ingine:tuliachana 2yrs ago, nimeona tumetoka kwa mamake kuelekea mahali tulikuwa tumejenga na bwanangu.Alikuwa nyumba yangu akiwa uchi wa mnyama na Mimi mbele na watoto wetu wawili, Kufika karibu nikaona kichaka kimeanguka kwa njia hakuna pakupitia.mda si mda ,akaja akapita akiwa uchi akaniambia,nifuate tupitie apa.Akainama chini ya icho kichaka pia Mimi na watoto ndoto ikaisha
mtumishi mi nimeota najisaidia chooni kinyesi muda mrefuu alafu nilipomaliza nikamwaga maji choon choo kikajaa kinyesi kikaanza kupita adi kweye shimo la choo
@@RachelMisango-b5u kuna eneo ulipokuwa unafanikiwa au kusaidika hapo unajulishwa muda wa kuendelea kusaidika hapo umeisha tunza ulichopata kitakusaidia mbele bali usilazimishe kuendelea kujaribu uendelee na hapo hapata kusaidia
Hawezi fanikiwa, kuvaa kiatu nilichovaa kwa jina la YESU,kuchukua kazi yako kwani kwani Hiyo kazi MUNGU Anatoa kila mtu na namba yake akijaribu itakuwa ni aibu kiatu ya kuazima hiyo kiatu ya kuazima na watu watamcheka hivyo sana.
Mtoto ni huduma, na kazi yako unayofanya, viatu vipya ni utayari mpya wa hiyo kazi,viatu vipy unabadilishiwa, viatu kwa kazi (mtoto)ingine, tena na 👜 ni hiyo kazi za mikono yako.
Poti la mtoto ni mafanikio yanahusu kazi kipato au ni huduma yako, kuna mafanikio ulitakiwa uyapate katikati ya watu, kwa sababu yakuwaonea aibu watu, na ukiwaonea aibu watu hutajisaidia utashindwa kufanikiwa
Kujisaidia umesimama kupata msaada kimafanikio huku ikiwa imara isioyumbishwa hali unasimamia imani yako na unachoamini, kusafishwa kuondolewa makosa au hatia au usijichafue wakati unafanikiwa kwa hicho utakachosaidi usibakie na makosa au lawama, hatia
Kujisaidia, ni kufanikiwa kazini au kazi ni nguo,kufanikiwa kunakotokana na kazi safisha pia ni vizuri baada ya kuwekewa zuio kwa mda sasa unafanikiwa vizuri,ndio kuoga.
Jinalangu julia samuel niko moçambiq.Mim nimeota naoga cumbani badae nikajisaidi ukouko aja kubwa badae nikaenda choni nikajisaidia tena,nikarudi tena chumani nikakuta kinanuka sana nikachukua naendakukitupa nika stuka. na iko kinhs kilichnganika na yale maji nlioyaoga. Manaek nin? Nielewe vizuri kwasababu sijui kuandika kishuail.
Kuoga ni utakaso kusafishwa 🌟 KIMAFANIKIO, kinyesi ni kufanikiwa kutoka hapo, 🏠 nyumbani lakini na chooni kazini kwako utafanikiwa,sasa kwa nini? Kinanuka uwe makini utasaidika hapo nyumbani lakini ukatupa kuwekeza kwa biashara ikapotelea huko, au ukamkopesha WATU wengine, Usiitupe HAJA yako ni HITAJI lako ( haja hitaji). Omba Rehema toba adui asipate kutumia mikopo yako kupoteza haja au hitaji lako.
Pia uwe makini wakati unaenda kufanikiwa(kusaidika au kujisaidia haja yako(, ni HITAJI lako) Epuka kuwa mgomvi wala maneno maneno yataweza kusababisha hiyo haja yako ukaitupa (kunuka ni kukuchafua kiugomvi. utakaopelekea ukaitupe na kupoteza HITAJI lako au haja yako kwa maneno maneno yako(mikono yako).
Kuandamwa na roho ya kuzuia usifanikiwe, na kucheleweshwa, kusubirishwa, omba toba kwa MUNGU kama kuna maneno yatalitamkwa popote maishani ili usifanikiwe, yavunjwe hayo kwa Damu ya YESU.
Mimi nimeota nimejisaidia kwenye nguo za mume wangu nikafutia kwenye koti lake nikaweka kwenye ndoo naenda kusafisha nikaweka pemben sijui inamaana gani
Asante Mungu. Wiki hii nimeota najisaidia haja kubwa niliogopa na kujisikia vibaya nikajua ndoto ya kuhaibika sababu nilipokuwa najisaidia kuna watu wawili wananiangalia nikaona ndoto ya fedhea.
Emeen asante Yesu kwamaana umenifungua nasasa ni huru🙏🏾🙏🏾
Very powerful and inspiring be blessed abundantly
Amina.
Ubalkiwe sana mtumishi
Ahsante sana mtumishi wa Mingu
Mimi nimeota nimejisaidia katikati ya watu walikuwa na sherehe mara pale pale nikawanaulizia samaki walikuwa wanauzwa nikawa nachagua mara wakafungua shampen nikapewa nikawa nakunywa
Amen
Powerful, God bless you
Amina God bless you all
HALELUYAAAA!!! MUNGU!! UTABAKI KUWA MUNGU❤
Thank you God bless mtu wa mungu na akuongezee
Amina, God bless you
Ndoto ingine:tuliachana 2yrs ago, nimeona tumetoka kwa mamake kuelekea mahali tulikuwa tumejenga na bwanangu.Alikuwa nyumba yangu akiwa uchi wa mnyama na Mimi mbele na watoto wetu wawili, Kufika karibu nikaona kichaka kimeanguka kwa njia hakuna pakupitia.mda si mda ,akaja akapita akiwa uchi akaniambia,nifuate tupitie apa.Akainama chini ya icho kichaka pia Mimi na watoto ndoto ikaisha
Amen nimeshinda jina la bwana lipewe sifa
Amen barikiwa.
Jamani mi nimeota natema kinyesi kupitia mdomoni@@GodfreyMwalongo-yg7tq
mtumishi mi nimeota najisaidia chooni kinyesi muda mrefuu alafu nilipomaliza nikamwaga maji choon choo kikajaa kinyesi kikaanza kupita adi kweye shimo la choo
@@RachelMisango-b5u kuna eneo ulipokuwa unafanikiwa au kusaidika hapo unajulishwa muda wa kuendelea kusaidika hapo umeisha tunza ulichopata kitakusaidia mbele bali usilazimishe kuendelea kujaribu uendelee na hapo hapata kusaidia
Ahsanteee mungu
Amina
Thank you, God bless you.ndoto ingine..kutoka adui wako anavaa kiatu ulichokivaa wewe nini maana yake
Hawezi fanikiwa, kuvaa kiatu nilichovaa kwa jina la YESU,kuchukua kazi yako kwani kwani Hiyo kazi MUNGU Anatoa kila mtu na namba yake akijaribu itakuwa ni aibu kiatu ya kuazima hiyo kiatu ya kuazima na watu watamcheka hivyo sana.
@@GodfreyMwalongo-yg7tq kuota mtoto wako amepewa viatu mpya na vimepigwa rangi na wewe umepewa mfuko au handbag
Mtoto ni huduma, na kazi yako unayofanya, viatu vipya ni utayari mpya wa hiyo kazi,viatu vipy unabadilishiwa, viatu kwa kazi (mtoto)ingine, tena na 👜 ni hiyo kazi za mikono yako.
@@GodfreyMwalongo-yg7tqk
Ubalikiwe mwana wamungu nimeelewa
Ukiota umejisaidia haja kubwa mbele za watu kwenye sherehe tena kwenye kiti inamaagani kisha mamaangu akafuta
Amiin amiin amiin
Kiukweli nimeotaa saana hii ndoto imenitesa Mika kalibia 11 nimetafutamaanaa saivi ndio nimeelewa ni mala ya pili now
Bwana Yesu asifiwe mtumishi mimi nimeota najisaidia kwenye nguo hii ina maana gani??
Usiogope 👗 nguo ni kubadilishiwa kazi na kusaidika au kufanikiwa kwenye kazi mpya au huduma au unachokifanya kwa watu.
@@GodfreyMwalongo-yg7tqbwana Yesu asafiwe mtumishi mi nimeota nimetema kinyesi kupitia mdomoni nini mana yake🙏
Ni utakaso unatoa uchafu😅
ameen
Nisaidie nimeota najisaidia kwa mstuni hapo kulikuwa na mti wa mapera mbichi na zingine zimeiva
Mapera ni harufu nzuri ya kufanikiwa katikati ya watu (msitu)walo kusonga ili usifanikiwe
❤❤❤❤
Nimeota najisaidia kwenye poti lamtoto la bluu mbele zawatu lakin haja kubwa haikutoka nikaacha hapa nyumban kwangu kibalazan maana yake nin
Poti la mtoto ni mafanikio yanahusu kazi kipato au ni huduma yako, kuna mafanikio ulitakiwa uyapate katikati ya watu, kwa sababu yakuwaonea aibu watu, na ukiwaonea aibu watu hutajisaidia utashindwa kufanikiwa
Kuota unajisaidia huku umesimma
Alafu mtu anakuja kukuchukua anakupeleka sehemu ukaoge ujisafishe
Kujisaidia umesimama kupata msaada kimafanikio huku ikiwa imara isioyumbishwa hali unasimamia imani yako na unachoamini, kusafishwa kuondolewa makosa au hatia au usijichafue wakati unafanikiwa kwa hicho utakachosaidi usibakie na makosa au lawama, hatia
Mm niliota nimejiharishia kwenye nguo nikiwa nimelala nilivyo amka nikaenda kuoga
Kujisaidia, ni kufanikiwa kazini au kazi ni nguo,kufanikiwa kunakotokana na kazi safisha pia ni vizuri baada ya kuwekewa zuio kwa mda sasa unafanikiwa vizuri,ndio kuoga.
Amina zaidi nilivyooga nikavaa nguo nyeupe nilivyo amka nilikuwa nafuraha sana
Sio Shauri! Ni Sauli
Jina lake halisi ni Shauli
Jinalangu julia samuel niko moçambiq.Mim nimeota naoga cumbani badae nikajisaidi ukouko aja kubwa badae nikaenda choni nikajisaidia tena,nikarudi tena chumani nikakuta kinanuka sana nikachukua naendakukitupa nika stuka. na iko kinhs kilichnganika na yale maji nlioyaoga.
Manaek nin? Nielewe vizuri kwasababu sijui kuandika kishuail.
Kuoga ni utakaso kusafishwa 🌟 KIMAFANIKIO, kinyesi ni kufanikiwa kutoka hapo, 🏠 nyumbani lakini na chooni kazini kwako utafanikiwa,sasa kwa nini? Kinanuka uwe makini utasaidika hapo nyumbani lakini ukatupa kuwekeza kwa biashara ikapotelea huko, au ukamkopesha WATU wengine, Usiitupe HAJA yako ni HITAJI lako ( haja hitaji). Omba Rehema toba adui asipate kutumia mikopo yako kupoteza haja au hitaji lako.
Pia uwe makini wakati unaenda kufanikiwa(kusaidika au kujisaidia haja yako(, ni HITAJI lako) Epuka kuwa mgomvi wala maneno maneno yataweza kusababisha hiyo haja yako ukaitupa (kunuka ni kukuchafua kiugomvi. utakaopelekea ukaitupe na kupoteza HITAJI lako au haja yako kwa maneno maneno yako(mikono yako).
Mm nimeot najisaidia choon kabisa
UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA Chooni ni hivyo hivyo unaenda kufanikiwa kuanzia hapo ulipoota mpaka kwenye kazi yangu.
Mimi nliota natafuta pa kujisaidia kila ninapotaka kujisaidi watu wanatokea naacha
Kuandamwa na roho ya kuzuia usifanikiwe, na kucheleweshwa, kusubirishwa, omba toba kwa MUNGU kama kuna maneno yatalitamkwa popote maishani ili usifanikiwe, yavunjwe hayo kwa Damu ya YESU.
Ukiota kaka ako anajisaidia haja KUBWA na kisha ukamsafisha kwenye MTO mkubwa ambao yale maji yanaenda hii ina mana gani
NAOMBA unitoe tafsiri
Kufuatilia mafundisho ya kiroho(maji) yanayoenda kwa watu katika maneno utakayotamka hakika mafundisho haya ya kiroho ni safi ni sawa.
Mtumishi nipe tafsiri tafadhali, nimeota mtu ananiambiya niweke cheti changu chashule vizuri kisichafuke japo nimeacha shule kitambo nasija maliza shule
Mimi nimeota nimejisaidia kwenye nguo za mume wangu nikafutia kwenye koti lake nikaweka kwenye ndoo naenda kusafisha nikaweka pemben sijui inamaana gani