Mungu abariki mtumishi 😭😭😭😭na malaika wake wakuongoze hii clip imenigusa ndani ya nafsi yangu nikiwa muislam nikama unaona ninayopitia kwa usingizi na cjajijua shukran sana umenipa muongozo
Bwana yesu asifiwe nimeota rafiki angu wa zaman sana anapaa mbinguni anaongea na mungu na akirudi ukijarbu kumuulza mungu kakuambia nini hasemi anakua bubu anakua anakuangalia t, alienda mara nyingi lakini hatua ya mwisho mungu alileta mnyama akammeza nkabaki mimi nini maana yake🙏
Amen. Mtumishi wa Mungu. sikuwa ninajua kwamba mimi ni Nabii. kwa Ndoto hizi, zinanihusu. Nimeamua kusimama na kutumuka katika nafasi yangu ya Unabii. Ninaomba Mungu anisaidie. Amen
Asante mtumishi kwa mafunzo haya kwakwel,ila ninajambo moja nisaidie ukiota unakusamayai mengi,au unalima shamba upande mmoja limezaaa n mwingine haujazaa mazao nni maana yake.
Duh niliota watu wengi wamekufa Arusha kwenye mkutano wa mwamposa na ikatokea niliota wanawake wawili wakifunga ndoa baharini ndiyo roho za ushoga zikaanza kutangazwa hadi ya vimbunga niliota ikaja kutokea
Bwana Yesu asifiwe.niliota nikiwa naogelea baharini na former president uhuru kenyatta na nikaota nikivunja madhabao nyumbani kwa njia ya maombi alafu tena nikaota nikitoa maembe kwa mwembe ulikuwa umezaa sana
Woii mitishamba huwa naoneshwa afu narudi kuzisahau,😢ata nimewai oteshwa wimbo kuamka nikausahau adi leo😢afu ndoto zenye mi hukumbuka tu niza maafaa tu sijui saitan ananiwinda saana jamani Mungu anisaidie 🤲🤲🤲
Mimi niliota tunaombewa wengi lkn venye uyo mama alifika kwangu akuomba alinikumbatia na kusema nimemupea yenye iko ndani yangu na akiendelea kuomba akaenda
Niliota maghufuli rais kabla hajafa ananibariki kwa kunipa sh 100watu wakawa wananishangaa kwelikweli akaniambia hiyo sh 100 nitalisha yatima nitasaidia wasiojiweza nitkula mpaka kizazi cha nne nitajenga makanisa nitalisha watumishi wake yaani mtume nmekuwa navita saana baada ya ndoto hii
Mchungaji habar mm naota Niko na wenzangu tukiimba sana nyimbo za injiri na zingine nazijua na zingine sizijui ila naota naimba tena sauti nzuri mnoo na nyimbo nisizozijua hua naamka adi najitahidi kuimba nikiwa najalibu kuzikumbuka
Niliota Kuna mama amekuja kwangu anamapito mazito anataka nimuombee nikamwambia mwamini tu Mungu atakutoa ktk matatizo hayo wakati nazidi kumtia moyo Mungu anaweza kukuokoa nikaoma maandishi ktk ukuta kibao kimeandikwa matayo 7:7 nikawa namwambia unaona Neno la Mungu ingawa nilikua sijui limeandikwa Nini nilipo amka ndio nikasomà Biblia KUJUA kile kimeandikwa
Amen and amen Mungu akubariki sana kwamafundisho mtumishi wa Mungu
Mungu abariki mtumishi 😭😭😭😭na malaika wake wakuongoze hii clip imenigusa ndani ya nafsi yangu nikiwa muislam nikama unaona ninayopitia kwa usingizi na cjajijua shukran sana umenipa muongozo
Amina. Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU.
Amen Amen Amen barikiwa
Bwana yesu asifiwe nimeota rafiki angu wa zaman sana anapaa mbinguni anaongea na mungu na akirudi ukijarbu kumuulza mungu kakuambia nini hasemi anakua bubu anakua anakuangalia t, alienda mara nyingi lakini hatua ya mwisho mungu alileta mnyama akammeza nkabaki mimi nini maana yake🙏
Amen Amen
Amen.
Mtumishi wa Mungu. sikuwa ninajua kwamba mimi ni Nabii.
kwa Ndoto hizi, zinanihusu.
Nimeamua kusimama na kutumuka katika nafasi yangu ya Unabii.
Ninaomba Mungu anisaidie.
Amen
MUNGU AKUSAIDIE Sana 🙏🙏🙏 na kujitoa NGUVU KUBWA KUPITIA ROHO MTAKATIFU
Mtumishi nakushikuru sana kwasaada huu barikiwa mwana wa Mungu
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Asante mtumishi wa mungu kwa hakika umenielimisha barikiwa na mungu
Asante kwa kunifunua macho ya rohoni
Asante mtumishi kwa mafunzo haya kwakwel,ila ninajambo moja nisaidie ukiota unakusamayai mengi,au unalima shamba upande mmoja limezaaa n mwingine haujazaa mazao nni maana yake.
Thank you so much man of God
Duh niliota watu wengi wamekufa Arusha kwenye mkutano wa mwamposa na ikatokea niliota wanawake wawili wakifunga ndoa baharini ndiyo roho za ushoga zikaanza kutangazwa hadi ya vimbunga niliota ikaja kutokea
Umenisaidia sana amen
Aleluyaaaaaaaaaaaaa 🧎🏾♀️🧎🏾♀️🙏🏿🙏🏿
Amen be blessed
Bwana Yesu asifiwe.niliota nikiwa naogelea baharini na former president uhuru kenyatta na nikaota nikivunja madhabao nyumbani kwa njia ya maombi alafu tena nikaota nikitoa maembe kwa mwembe ulikuwa umezaa sana
Balikiwa sana mtumisi wa mungu
Amen
Amen apostle
asante mtumishi
Niliwahi kuona angani maneno yameandikwa YESU NI YOTE, YOTE KATIKA YOTE
Shalom mm huota nanena
Mimi na penda Ota niko na ubiriya
Woii mitishamba huwa naoneshwa afu narudi kuzisahau,😢ata nimewai oteshwa wimbo kuamka nikausahau adi leo😢afu ndoto zenye mi hukumbuka tu niza maafaa tu sijui saitan ananiwinda saana jamani Mungu anisaidie 🤲🤲🤲
USIOGOPE WEWE AMINI TU
@@shiningstarheavenlyembassy Amina nashukuru sana
Mchungaji nikumbuke kwa maombi natamani kumtumikia Mungu
Mimi niliota tunaombewa wengi lkn venye uyo mama alifika kwangu akuomba alinikumbatia na kusema nimemupea yenye iko ndani yangu na akiendelea kuomba akaenda
Mimi liandikiwa herufi pqh na zingine hapo niwaabia wenye tulikua na wao watazame hawakuona kitu lakin mimi nilikuwa na yaona tu
Niliota maghufuli rais kabla hajafa ananibariki kwa kunipa sh 100watu wakawa wananishangaa kwelikweli akaniambia hiyo sh 100 nitalisha yatima nitasaidia wasiojiweza nitkula mpaka kizazi cha nne nitajenga makanisa nitalisha watumishi wake yaani mtume nmekuwa navita saana baada ya ndoto hii
WEWE Kwa sasa UNAFANYA nini?
Mimi niliwahi kuoneshwa mti flani wa uponyaji
Na ROHO MTAKATIFU?
Apost hizi ndoto zote ni mesha ziota Ila kwa kuanzoya n'a omba uni sahidiye
Mchungaji habar mm naota Niko na wenzangu tukiimba sana nyimbo za injiri na zingine nazijua na zingine sizijui ila naota naimba tena sauti nzuri mnoo na nyimbo nisizozijua hua naamka adi najitahidi kuimba nikiwa najalibu kuzikumbuka
Wewe ni muimbajii karama Yakoo
Niliota Kuna mama amekuja kwangu anamapito mazito anataka nimuombee nikamwambia mwamini tu Mungu atakutoa ktk matatizo hayo wakati nazidi kumtia moyo Mungu anaweza kukuokoa nikaoma maandishi ktk ukuta kibao kimeandikwa matayo 7:7 nikawa namwambia unaona Neno la Mungu ingawa nilikua sijui limeandikwa Nini nilipo amka ndio nikasomà Biblia KUJUA kile kimeandikwa
Amen 🙏🙏🙏
Ukiota mwenye alikua anakupea unabii ni yule mme ambaye muliachana inamanisha nini
Amen