Brother sky chukua hi sns NI kisima cha maarifa hyuu Jamaa mpe kipindi awe anaelezea mambo ya masatelite na Habar za mambo ya Angani Huko kwa lugha yetu ya Kiswahili itakuwa nzuri Sana
Naiomba Serikali ya Tanzania mumuangalie huyu Kijana Leonard Shayo kwa jicho la pekee kwa kumsupport kufikia malengo yake kwa Taifa. Mama Samia nakuomba umuite na kuongea nae yale anayohitaji ili kufikisha malengo yake kwa Taifa.
Marekani kwenye space hana mpinzani. 1. Project Mercury. 2. Project Gemini. 3. Apollo program. 4. International space station. 5. Space shuttle program. Manuva yote ya orbital mechanics aligundua mmarekani kupitia hizo program. They learned how to live , eat , fly and longer stays in space . Dangerous mission zote za space kafanya mmarekani ( Apollo 13 nk ) HAKUNA NCHI IMEFANYA MANNED MISSION TO THE MOON ZAIDI YA MAREKANI . Na sasa wako na ARTEMIS PROGRAM with ARTEMIS II incoming.
Nchi za ujamaa hazina tabia ya kufanya matangazo mengi nakijisifia sana kuwa wao ndio wanaweza,tumeshuhudia sana mengi waliyokuwa wakijitapa kuwa wako juu kumbe Russia anawapita kitambo
Kilicho nifurahisha zaidi kwa ndugu yetu kuto kutumia so!so!na viingereza vingi vingi ktk maelezo yake tunamuomba atueleze kidogo kuhusu hao viumbe wenye vichwa na miili ya ajabu eti (alliens)wapo kweli na km wapo wapo wapi?nk
Nilimsikia Benjamin Netanyahu,Warusi wako vizuri na mbali zaidi anga za juu kuliko wamarekani. Kuna wkt wamarekani walishawahi kufake wamefika mwezini kumbe sio.warusi na wachina wasiri sana wamarekani wawazi zaidi na hawachi kujisifu kuliko warusi na wachina zaidi
Simuamini anavyosema kuwa wamarekani wapo mbali sana lakini hana facts, vita pale Ukrein imetawaliwa na tech za anga lakini U.S anakubali kushindwa how comes anasema U.S IPO juu?
Kama waafrika tumeanza kufikiria ant gravity technologies tunapoelekea ni pazuri sana ila kijana angalia hiyo technologies imepeleka watu pabaya maana unazuia ugali wa watu
Akipata nafasi ya kwenda mambele bora asaini mkataba na NASA au kitivo chochote Sayansi nchi yeyote ile bongo watamchukulia poa tu na kumpa masifa ya uongo au hata kumuondoa kwenye sayari ya dunia kisa tu anakipaji.
Ni kweli kwenye teknolojia ya anga Sasahivi anayeongoza ni marekani. Urusi kwa Sasa kawekeza zaidi kwenye silaha, mambo ya anga aliachana nayo kwasababu aliona hayana umuhimu nayo kwasababu alishawekeza hapo mwanzo.
Yaani nyie bhana 😂😂😂 lakini tunajuwa mnavyosema hivyo mnamaana Gani kulingana na majina yenu pia mnacho takiwa kujuwa hata hizo Silaa za kivita zinategemea teknorojia ya anga na Marekani ndiyo anamiliki hiyo anga Kwa kuwa na teknorojia ya hali ya juu hivyo hata kwenye mambo ya utengenezaji wa vifaa vya kivita Bado Marekani Yuko juu na huwezi kumfananisha na huyo mrusi.
Kiufupi kaka sky sayansi yote ipo kwenye Quran..ukisoma kitabu Cha Quran inakwambia Kila kitu...na mwanasayansi wakwanza dunian na wamwisho ni mtume wetu Muhammad s.w..ukisoma kitabu Cha mungu Quran ndo itakwambia Kila kitu
@@DodomaTanzania-r5z hata mfuasi wake ajawai gundua kitu..wafuasi wake ndo watu wakwanza kugundua Biriani..izo bla blaah za kuran mbona hawajawai kugundua hata kufuli
Mwambie huyo jamaha vitu vyote vyaku peleka vyombo vyote ewani vinatoka urusi huyo asome vizuri mwenyewe Elon aja fanakiwa pamoja na kampuni yake kupeleka chombo angani nipo marekani mimi sihitaji kudanganywa na mtu kuwadanganya wengine!
Tata,nipo tarime,tata soma bibilia ivi Mungu ni muongo,hakuna mtu anaeweza kutoka inche ya dunia,ukiitaji nikupe vifungu vya bibilia,wanasayasi ni waongo,kama wanasema mtu alitokana na nyani,je?hilo nalo unalikubali,nakwambia ikijikita kwenye bibilia utaelewa,ila kwenye sayasi utajidangana,na kudanganya,shetan ni muongo na ataendela kundanganya,
Katika uislam imeelezwa Kwa kina hiyo habar kuwa chuma kilishushwa kutoka juu hakikuumbwa pamoja na ardhi Kwa hiyo Hilo ni jambo limeshazungumzwa na uislam
Sisi tukisomesha wanafunzi nje wakirudi wanakuja kutuchapa kuingia mikataba mibovu ya matumbo yao kuongeza kodi kwa masikini na matajiri kusamehewa kodi
Kweli kabisa wachina wamesambaa kote wapo kama siafu Sisi waafrica wavivu Sanaa kufikili na kujaribu.sisi tunakimbia pesa Tu hii ndio akili yetu watu wenye kufikili hawasaidiwi na jamii wala serikali wanaangalia tu serikali inaangalia udalali kuuza Mali za nchi mikataba mwisho baadae hao wanakuja kudai mabilioni wananchi tupo tunaangalia akili za kinyama
Science haijaanzia Misri. Science imeanza na viumbe Wa Kwanza kuumbwa. Mbingu ni viumbe, sayari ni viumbe, watu ni viumbe. Kwahio ndani mwetu ndo kuna science.
Kwa tecnolojia ya anga na kijeshi Russia yuko mbele milele daima. Bado hamjasema meusi amewekeza angani katika engle muhimu tu hivyo mrusi anaweza kulitawala anga tofauti na marekani soon mtajuwa Putin aliposema anaweza kushusha fatalities za marekani zote alikuwa anamaanisha nini. Russia Ndio dola kubwa zaidi kuwahi kutokea dunia. Bado hamjasema vizuli
Safi sana
Kumbe tunao akina Musk wa Tanzania
Big up kwake
Uyu jama iko vizuri anaeleweka na anaonekana ana madini 🎉 big up
Napenda sana mambo ya anga.. natamani umkalishe huyu mwamba pamoja na masubi wajadili kwa upana hii kitu kaka sky.. story iko interesting aisee!! 🫡
Ukishindwa kurusha satellite kuwa mchawi uruke we mwenyewe utafaidi zaidi
@@alzawahirabdallah2299Dah aisee akili zako unazijua mwenyewe😂😂
Aaiiiseee very impressive
Jamaa analijua anga kisawasawa 👍👍
yaan huyu jamaa ni another level big love from🇰🇪🇰🇪
Kijana wa Physics, well done 👍
SNS mpo juu sana
Mungu. Akulinde. Kea. Juhudi
Jamaa anajua sana,,inabid awe anaudhuria ofisini kwe2 #SNS kuja ku sign
Brother Sky nina ombi anda interview ya huyu jamaa pamoja na Benjami mzee wa "NALA" TAFADHALI ANDAA HYO INTERVIEW
Siti ya mbele kabsa Leo na Mimi nipeni like
Huyu jamaa yuko poa sana nchi yetu itoe sapoti basi
Wako busy na mambo chaguzi! Hawana muda!!
Wa kwanza kuangalia like
Brother sky chukua hi sns NI kisima cha maarifa hyuu Jamaa mpe kipindi awe anaelezea mambo ya masatelite na Habar za mambo ya Angani Huko kwa lugha yetu ya Kiswahili itakuwa nzuri Sana
Hakika inaburudisha.
Na anajua huyu jamaa isee
Anamambo mengi sana ya kufanya
umeongea kit mze
Kweli kabisa Africa ipo ktk ya sayari ukiwa juu unaona Africa vizuri tofauti ya nchi zingine hazionekani
Bro sky huyo bro anatufaa sana kwenye kuelezea mambo ya kisayanisi. Hata za kivita tulete mezani
Good Idea Bro, Nakuombea Sana Iwe Ivyo
Daah aisee nmefrah sana
Mwamba yupo vizuri sana🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯
Revolution
marekani Baba wa TECNOLOGY
Safi sana Ndugu yetu, pambana ndoto yako itimie.
Kaka mimi niko Namibia 🇳🇦 karibu saana nitakua mwenyeji wako
Mama Samia chukua huyu mtu....turushe satellite yetu
Uyo jamaa aalikwe sana ALLAH azidi kumfulia iyo elimu
Je Rocket, inawezaje kukaa juu mda mrefu? Namaanisha inachajiwa au?
Mwana Anga mzuri sana kutoka Tanzania
Na pia ni mwalimu mzuri sana
Dah!uyu mwamba yupo vzr namfatiliaga sana.
Kweli kaka ilo jiwe (KIMONDO) liko mkoa wa SONGWE , wilaya ya MBOZI , Kijiji Cha NDOLEZI
M/Mungu atupe wepesi nimependa kiswahili kwenda sayasi nimependa Alaahu akbar
Urusi kinachomuangusha ni uchumi
Kama unataka kukataaa vile
Naiomba Serikali ya Tanzania mumuangalie huyu Kijana Leonard Shayo kwa jicho la pekee kwa kumsupport kufikia malengo yake kwa Taifa. Mama Samia nakuomba umuite na kuongea nae yale anayohitaji ili kufikisha malengo yake kwa Taifa.
Umeongea vizur sana ila serikali yetu Bado upo nyuma kusuport wazawa
#Chief_Godlove
Mwezeshe Huyu Jamaa
Aikombowe Africa kupitia
#Tanzania🇹🇿
😅😅😅
Huyo jamaaa. Yupo chini ya azam . Na ndio fundi mkuu mitambo ya azam media . So hayupo kinyonge hata robo . Nenda azam utamuona .
Dah story ua huyu mwamba ni nzuri yaani haichoshi inazid kukolea
Sasa hapa unamwambia nani mpuuzi wew😅😅😅
Mzuri ni mk3
Wako
Nasema huyu jamaaa ndio mkombozi wetu
Majamaa kama haya ndo usalama wa taifa wanatakiwa wawatafute na kuwapeleka mbele huko wakaibe tech
Huyu mangi ana uthubutu sanaa... inabid mawazo yake yafanyiwe kazi Ata kwa faida ya kizqzi kijacho
Sasa kwani wew utakuwepo? 😊😊😊
Marekani kwenye space hana mpinzani.
1. Project Mercury.
2. Project Gemini.
3. Apollo program.
4. International space station.
5. Space shuttle program.
Manuva yote ya orbital mechanics aligundua mmarekani kupitia hizo program.
They learned how to live , eat , fly and longer stays in space .
Dangerous mission zote za space kafanya mmarekani ( Apollo 13 nk )
HAKUNA NCHI IMEFANYA MANNED MISSION TO THE MOON ZAIDI YA MAREKANI .
Na sasa wako na ARTEMIS PROGRAM with ARTEMIS II incoming.
Jaribu kufanya utafit kwanza kabla hujataja majina hebu nenda google tuone nchi ya kwanza kurusha chombo cha mawasiliano angani ni ipi
Nchi za ujamaa hazina tabia ya kufanya matangazo mengi nakijisifia sana kuwa wao ndio wanaweza,tumeshuhudia sana mengi waliyokuwa wakijitapa kuwa wako juu kumbe Russia anawapita kitambo
@@magorymara5515 hujaelewa swali nenda kajielimishe kwanza bwana mdogo.
Hiyo telescope inaitwa james web telescope
Tanzania 🇹🇿 inawatu muhim sana, serikali iwalinde kwa gharama yeyote ile
Haiwezi
Kilicho nifurahisha zaidi kwa ndugu yetu kuto kutumia so!so!na viingereza vingi vingi ktk maelezo yake tunamuomba atueleze kidogo kuhusu hao viumbe wenye vichwa na miili ya ajabu eti (alliens)wapo kweli na km wapo wapo wapi?nk
Sky bn acha uwongo hujawai skia kimondo mbeya 😊
Marekan ajawai peleka mtu mwezin. But mambo ya anga mrusi alkuaga hatua mbele kwa marekan alkuaga mbali sema mpasuko tu
Uyu jamaa awe gps tuh yuko vizur kk
Serikali ya Tanzania huyu Leonard Shayo ni Mzalendo wa kweli ninawaomba apewe support yoyote anayohitaji ili kufikia malengo yake kwa Taifa.
Utashangaa huyu jamaa hataitwa hata itv😢
Alieanza kaanza tu
Waislam wamekwazika kusikia Marekani ni balaa kwa anga ila ukweli utabaki kuwa huo na Mungu awajalie wasitoke hapo
Ukija kuelewa kuusu ao wamarekani bc utaacha kuwashadadia
huo uchambuzi mnaanza saa ngapi tafadhali naomba kujua
Nilimsikia Benjamin Netanyahu,Warusi wako vizuri na mbali zaidi anga za juu kuliko wamarekani.
Kuna wkt wamarekani walishawahi kufake wamefika mwezini kumbe sio.warusi na wachina wasiri sana wamarekani wawazi zaidi na hawachi kujisifu kuliko warusi na wachina zaidi
Simuamini anavyosema kuwa wamarekani wapo mbali sana lakini hana facts, vita pale Ukrein imetawaliwa na tech za anga lakini U.S anakubali kushindwa how comes anasema U.S IPO juu?
Next time aje pia atoe mawazo yake kuhusu uwepo wa aliens
Kama universe Ina expand kwanini Dunia isemekane inajaa.
Gps mnaweza kumuongeza jama apo
sky unawatoa wapi hawa watalaamu 🎉🎉🎉
Sacred Geometry.
US,get high tech Israel and Russia then China. So that Israel continues to lead in technology.
Bundara kwenye mahojiano wewe ni level nyingine kabisa🎉🎉🎉
Kama waafrika tumeanza kufikiria ant gravity technologies tunapoelekea ni pazuri sana ila kijana angalia hiyo technologies imepeleka watu pabaya maana unazuia ugali wa watu
America wakipata mtu Kama huyu ni dili..
Wachina wanacopy balaa shida yao ni ranks za quality za bidhaa zao tu.
Yusuph from dodoma
Jamaa hachoshi kumskiliza ...arudi tena
Akipata nafasi ya kwenda mambele bora asaini mkataba na NASA au kitivo chochote Sayansi nchi yeyote ile bongo watamchukulia poa tu na kumpa masifa ya uongo au hata kumuondoa kwenye sayari ya dunia kisa tu anakipaji.
unafaida kubwa kwangu na kwa familia yangu tutainuka kwa faida zaidi
Yes
Ni kweli kwenye teknolojia ya anga Sasahivi anayeongoza ni marekani. Urusi kwa Sasa kawekeza zaidi kwenye silaha, mambo ya anga aliachana nayo kwasababu aliona hayana umuhimu nayo kwasababu alishawekeza hapo mwanzo.
Kabisa. Waende warudi Urusi mbele ya Muda kitambo
Yaani nyie bhana 😂😂😂 lakini tunajuwa mnavyosema hivyo mnamaana Gani kulingana na majina yenu pia mnacho takiwa kujuwa hata hizo Silaa za kivita zinategemea teknorojia ya anga na Marekani ndiyo anamiliki hiyo anga Kwa kuwa na teknorojia ya hali ya juu hivyo hata kwenye mambo ya utengenezaji wa vifaa vya kivita Bado Marekani Yuko juu na huwezi kumfananisha na huyo mrusi.
Anga ndo kila kitu Urusi hawezi achana na mpango Huo.
Mi ni urusi bana
Sky kaka Wewe unajuwa
Kiufupi kaka sky sayansi yote ipo kwenye Quran..ukisoma kitabu Cha Quran inakwambia Kila kitu...na mwanasayansi wakwanza dunian na wamwisho ni mtume wetu Muhammad s.w..ukisoma kitabu Cha mungu Quran ndo itakwambia Kila kitu
Muhammad aligundua nini mzee😂😂
Uongo tuu
😂😂😂😂😂😂 Mohammad alifanya nini katika sayansi?
@@DodomaTanzania-r5z hata mfuasi wake ajawai gundua kitu..wafuasi wake ndo watu wakwanza kugundua Biriani..izo bla blaah za kuran mbona hawajawai kugundua hata kufuli
😂😂😂😂eti wafuasi wake waligundua bilian duuu@@FreeGod368
Mwambie huyo jamaha vitu vyote vyaku peleka vyombo vyote ewani vinatoka urusi huyo asome vizuri mwenyewe Elon aja fanakiwa pamoja na kampuni yake kupeleka chombo angani nipo marekani mimi sihitaji kudanganywa na mtu kuwadanganya wengine!
Sky tunaomba muengeze huyu jamaa akipata mda kwenye GPS tafadhali tunajua Yuko busy but akipata mda
Nimewahi mapema kaka Sky tupe elimu hii inatusaidia kujua dunia na wenzetu walioendelea
Mwite huyu na benjamin wa nala
HILO JIWE LA MBEYA SIUTARI MZURI KWETU TANZANIA NDUGU YANGU???? AWATAKUJA KULICHUKUA WAZUNGU HILO JIWE ????
Amerca mjanja wengine watakuja
Hio rocket ya Tanzania mbona sjawahi iona
Tata,nipo tarime,tata soma bibilia ivi Mungu ni muongo,hakuna mtu anaeweza kutoka inche ya dunia,ukiitaji nikupe vifungu vya bibilia,wanasayasi ni waongo,kama wanasema mtu alitokana na nyani,je?hilo nalo unalikubali,nakwambia ikijikita kwenye bibilia utaelewa,ila kwenye sayasi utajidangana,na kudanganya,shetan ni muongo na ataendela kundanganya,
Katika uislam imeelezwa Kwa kina hiyo habar kuwa chuma kilishushwa kutoka juu hakikuumbwa pamoja na ardhi Kwa hiyo Hilo ni jambo limeshazungumzwa na uislam
Hakka hizo galaxy na vitu vyote hivyo vishatajwa ktk Quraan
Binaadam wa mwanzo ni nabii Adam, vitabu vyote Quraan na Taurat na vitabu vingine vinakubali hivyo
Hajui chochote huyo mpumbafu!
Jiwe la chuma? Kwa hiyo kule Mars kila kitu ni chuma? Mimi sielewi?
❤
Sasa hao roboti wa marekani wanafanya kazi kwenye sayari ya mars usiku na mchana wanafanya kazi gani huko??
Swali zuri sana hili? ...
Au wanalima?😂😂
@@Olaiserriomunyak1059 ilibidi mtangazaji aelezeee hicho kipengele wanafaje huko
Mangi mangi
Kipo mpaka leo
Sisi tukisomesha wanafunzi nje wakirudi wanakuja kutuchapa kuingia mikataba mibovu ya matumbo yao kuongeza kodi kwa masikini na matajiri kusamehewa kodi
Kweli kabisa wachina wamesambaa kote wapo kama siafu Sisi waafrica wavivu Sanaa kufikili na kujaribu.sisi tunakimbia pesa Tu hii ndio akili yetu watu wenye kufikili hawasaidiwi na jamii wala serikali wanaangalia tu serikali inaangalia udalali kuuza Mali za nchi mikataba mwisho baadae hao wanakuja kudai mabilioni wananchi tupo tunaangalia akili za kinyama
Kama wameanza ku mong'onyoa hiomiamba huko angani tumekwisha kunasiku tutashuhudia juatuu usiku na mchana haitakuwepo tutachomwatuuu na jua
Ila Russia iko juu sana, usije ukajaribu kumpuuza huyu jamaa. Yuko mbaliii sana!!
Science haijaanzia Misri. Science imeanza na viumbe Wa Kwanza kuumbwa. Mbingu ni viumbe, sayari ni viumbe, watu ni viumbe. Kwahio ndani mwetu ndo kuna science.
Hilo nalikubali, viumbe wa mwanzo jamii, BIN, MIN, NA MAJINI walkuwa na sayansi ya hali ya juu kanisa
Ilo swali kamuulize Dj pia tuone naye atajibu nn
Kichwa sana uyu jamaa
Kweli quran ipo sahihi kabisa
Wakwanza leo
Ungesema ni south Africa kwa sababu uraia wa Elon musk ni wa nchi mbili. South Africa and USA
hiyo nyimbo hapo mwishoni inaitwaje, hiyo outro sound track
Kwa tecnolojia ya anga na kijeshi Russia yuko mbele milele daima. Bado hamjasema meusi amewekeza angani katika engle muhimu tu hivyo mrusi anaweza kulitawala anga tofauti na marekani soon mtajuwa Putin aliposema anaweza kushusha fatalities za marekani zote alikuwa anamaanisha nini. Russia Ndio dola kubwa zaidi kuwahi kutokea dunia. Bado hamjasema vizuli
Juzi kati walilalamika sana Mrusi ana nuclear weapons kwenye anga za juu
Angani hawatumii kilometa wanatumia light-year
🇷🇺
Kama jiwe aliligundua mwanakijiji kwa mgunduzi awekwe mzungu …???
Wapi jamaa zangu Facebook group ya ulimwengu wa sayansi, huyu atatufaa sana