MashaAllah Taba'araka Allah...shukran kaka Kwa ufafanuzi huu ....Allah akuafikie kheri...nlikuwa nafuatilia Sana hii show ....shukran naitwa Abdallah kutoka Kenya
Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.
Lakini bado wewe mwenyewe ukiambiwa uchague kwenda kuishi Iran au Marekeni bado utachagua kwenda kuishi Marekani. Kwanini ni kwasababu Marekani unajua kumeendelea na kuna uhuru wa watu kutoa maoni yao kuliko hao unaowatetea. Sasa sijui unafiki huu wa kuichukia Marekani tutauacha lini.
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
Kwenye Sayansi huwezi kuibua kitu chako bila kuwa na reference na watu waliokutangulia. Hata hao IRAN unaowasema wao wanachofanya ni kutumia teknolojia tu ambazo hao Marekani, Nchi za Magharibi na Israel wameshafanya siku nyingi. Rejea kulipuka kwa zile Device za Pager ambazo Iran walizinunua kutoka Korea Kusini na kuzipeleka Hezbollah bila kujua kuwa Israel tayari wanazijua siku nyingi. Halafu kitu kingine ni kwamba ukija kwenye uvumbuzi Teknolojia ya Kisasa huwezi kumtoa Myahudi ndani. Na hapo ndipo shida ilipo. Unapozungumzia hiyo Urusi ambayo ndio inayompa Irani Teknolojia bado wengi wa Wanasayansi wao ni Wayahudi. Hivyo kuongea ni rahisi lakini huwezi kuwatoa Marekani na Waisrael kwenye teknolojia yako wewe unayotegemea kuianzisha.
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
Mpaka sasa mbona Israel tayari ni Mabwana wa Mashariki ya Kati. Kwanza unafahamu kwamba asilimia kubwa ya Wairani wenyewe hawakubaliani na utawala dhalimu uliopo?
Shukran sana kwa ushauri wako juu ya serikali yetu kuitaka iendane na halii halisi ya dunia katika kukuza teknoloji ya kileo katika uimara wa taifa kama ambavyo mataifa makubwa yalivyo fanya haswa Iran na China na Korea ya kusini na Urusi
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
Sahihi Kabisa Ili Liko Wazi . Marekani Anajificha Kwenye Kivuli Cha Uyahudi. Ila Kiundani Kulikua Na Siri Kubwa Sana Kuanzisha Taifa Juu Ya Taifa Jengine. Na Imeanzishwa Kwa Maslahi Ya Kiuchumi na Ndomana Wanawekeza Pesa Nyingi Sana Na Silaha Pale Yote Kwa Yote Wanataka Kui Control Middle East
Uko sahihi. Mwalimu. Hongera Sana. Serikali na vijana wapate Mia ko Hugo wa kuingia kwenye eliminated Za ufundi zaidi. Kumiko Kusaka. PHD Za vyuo Na Kumekawa vyeti nyumbani tu. Tukiwekeza Tutankhamen Na sis I ni jamboree la Kumekawa malengo. Mazda ya Miaka michache. Tutafika watu Sana staajabu. Tumewezaje.
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Unahisi kwanini Israel iliuvamia ubalozi wa IRAN? Ni kwamba kuna uovu waliuona mapema unakuja na huwa silaha yao kubwa ya kujilinda ya ISRAEL ni uwezo wao wa kujua wabaya wao mapema kabla hawajaleta madhara. Hiyo kazi inafanya na Shirika lao la Ujasusi matata sana lijulikanalo kama MOSAD.
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
Hahahahahhahahahhahahhahahahh hivi wewe unamsikiliza huyo jamaa. Anaiweka Hezbollah kweli kama mtetezi wa IRAN ilhali Hezbollah yenyewe ni kikundi tu? Huyo jamaa anaongea kwa minajili ya Siasa za Kiislamu tu hana jipya. IRAN ambayo inashindwa kumlinda hta kiongozi wa HAMAS anauawa ndani ya Nchi yake ndio itaiweza ISRAEL.
Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman
Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia WAKILI MSOMI 😂
Sasa kama wakibwabwaja ndio wanaonekana ndio wana akili unategemea nini? Nchi zetu hizi mtu unapoongea sana hata kama hakuna chochote unachofanya unaonekana ndio unajua.
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢
@@jaffarichimbuvu9409 unachanganya mambo Iran ni nchi ya Kiislamu ndio lakini sio Waarabu bali ni Waajemi. Kuhusu Makanisa ndani ya Iran yapo na kuna Wakristo (wengi wakiwa ni Waarmenia) pia pamoja na kwamba ni nchi ya Kiislamu. Hata hivyo kama Waislamu walivyo na tabia ya kunyanyasa dini nyingine wanapokuwa wengi mahali kwa IRAN ni hivyo hivyo Wakristo wananyanyaswa sana na ukionekana na Biblia hadharani unauawa au kufungwa maisha. Duniani nchi ambazo hazina Makanisa ni mbili tu ambazo ni Saudi Arabia na Somalia.
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
Wewe ni mchambuzi mzuri sana! Ni kwamba Iran tayari wameshatengeneza mabomu ya nyukilia. Wana vichwa vichache kama 20 au 30 hivi. Na ndio maana wanajiamini sana!
iran kafanikisha kwenye shambulio kwa asilimia 100 Sababu zake kwanza kajua silaha gani za kuzuia makombora zilizotumika pale israil pia hawakutumia silaha zao zile za siri wametumia silaha ambazo zinajulikana lakini israil walizuia mashambulizi kwa kutumia kila walichonacho
Inaonekana kumbe uko ndani ya Jeshi la Israel. Yaani unajua kila silaha waliyonayo jeshi la Israel 🤣🤣🤣. Ama kweli kila mtu anaweza kuandika tu anachofikiri kichwani.
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
MashaAllah Taba'araka Allah...shukran kaka Kwa ufafanuzi huu ....Allah akuafikie kheri...nlikuwa nafuatilia Sana hii show ....shukran naitwa Abdallah kutoka Kenya
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
Iran sio waarabu
@@YehudabanYerushailēm Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao.
Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@@NathanielNathan-m4oiweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
Kabisa
A isa
Lakini bado wewe mwenyewe ukiambiwa uchague kwenda kuishi Iran au Marekeni bado utachagua kwenda kuishi Marekani. Kwanini ni kwasababu Marekani unajua kumeendelea na kuna uhuru wa watu kutoa maoni yao kuliko hao unaowatetea. Sasa sijui unafiki huu wa kuichukia Marekani tutauacha lini.
Nice finalization,Good message to Gov't .
May Allah bless you
Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@StellaKaluwa😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂
@@StellaKaluwakwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,
Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia
@@0diraWilson Huna Unachojua Subiri Mume Uolewe Ufirwe Kama Papa Alivyowaambia Muoane Subiri Mume Uolewe Ufirwe
Hicho kiingereza chako nakushauri tumia kiswahili tu lugha yetu mama.
@@sultanbakary4292 hata wewe mwenyewe hapa unamuabudu Marekani bila kujua. Unadhani hii UA-cam amegundua huyo bwana wako IRAN?
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
Asante sana kaka ❤❤
Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
Asante
😅
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
Hongera san nmejifunza sana niliyokuwa siyajui
Tunawapata sana ndugu zetu kwa kutupasha habari za ulimwenguni kwa ujumla mungu awabariki wote
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
Huo uwezo wa kufikiri haya mawazo yako wengi hawana walishazama kwenye utumwa wa kifikra
Kwenye Sayansi huwezi kuibua kitu chako bila kuwa na reference na watu waliokutangulia. Hata hao IRAN unaowasema wao wanachofanya ni kutumia teknolojia tu ambazo hao Marekani, Nchi za Magharibi na Israel wameshafanya siku nyingi. Rejea kulipuka kwa zile Device za Pager ambazo Iran walizinunua kutoka Korea Kusini na kuzipeleka Hezbollah bila kujua kuwa Israel tayari wanazijua siku nyingi.
Halafu kitu kingine ni kwamba ukija kwenye uvumbuzi Teknolojia ya Kisasa huwezi kumtoa Myahudi ndani. Na hapo ndipo shida ilipo. Unapozungumzia hiyo Urusi ambayo ndio inayompa Irani Teknolojia bado wengi wa Wanasayansi wao ni Wayahudi.
Hivyo kuongea ni rahisi lakini huwezi kuwatoa Marekani na Waisrael kwenye teknolojia yako wewe unayotegemea kuianzisha.
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna@@osmaniidrisa6290
@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
Great analysis, asante
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
@@JoalAlma-ci1hiHakuna la kuchekesha hapo😮
@@JoalAlma-ci1hi Yaani Marekani amuogope Iran ikiwa Israel tu amtoa jasho hahahahahhahahahhah
Nakushukuru sana bro nimekupata vyema
Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
🎉🎉excellent
Uchambuzi mzuri sana
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
@simulizi na sauti
Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
Mpaka sasa mbona Israel tayari ni Mabwana wa Mashariki ya Kati. Kwanza unafahamu kwamba asilimia kubwa ya Wairani wenyewe hawakubaliani na utawala dhalimu uliopo?
Duh kumbe Iran mbabe
Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
Shukran sana kwa ushauri wako juu ya serikali yetu kuitaka iendane na halii halisi ya dunia katika kukuza teknoloji ya kileo katika uimara wa taifa kama ambavyo mataifa makubwa yalivyo fanya haswa Iran na China na Korea ya kusini na Urusi
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
Sahihi Kabisa Ili Liko Wazi . Marekani Anajificha Kwenye Kivuli Cha Uyahudi. Ila Kiundani Kulikua Na Siri Kubwa Sana Kuanzisha Taifa Juu Ya Taifa Jengine. Na Imeanzishwa Kwa Maslahi Ya Kiuchumi na Ndomana Wanawekeza Pesa Nyingi Sana Na Silaha Pale Yote Kwa Yote Wanataka Kui Control Middle East
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
Uko sahihi. Mwalimu. Hongera Sana. Serikali na vijana wapate Mia ko Hugo wa kuingia kwenye eliminated Za ufundi zaidi. Kumiko Kusaka. PHD Za vyuo Na Kumekawa vyeti nyumbani tu. Tukiwekeza Tutankhamen Na sis I ni jamboree la Kumekawa malengo. Mazda ya Miaka michache. Tutafika watu Sana staajabu. Tumewezaje.
Mchambuzi uko vizuri sana
Hongera ndugu
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu.
Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
Unahisi kwanini Israel iliuvamia ubalozi wa IRAN? Ni kwamba kuna uovu waliuona mapema unakuja na huwa silaha yao kubwa ya kujilinda ya ISRAEL ni uwezo wao wa kujua wabaya wao mapema kabla hawajaleta madhara. Hiyo kazi inafanya na Shirika lao la Ujasusi matata sana lijulikanalo kama MOSAD.
Duu safiii broooo
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
What is your name brother?
Fadhili Mtani
Mungu aijalie ilani izidi kuwa tetea mashaliki yakati
Hongera broo
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
اللهم صل على محمد وال محمد
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
Hahahahahhahahahhahahhahahahh hivi wewe unamsikiliza huyo jamaa. Anaiweka Hezbollah kweli kama mtetezi wa IRAN ilhali Hezbollah yenyewe ni kikundi tu?
Huyo jamaa anaongea kwa minajili ya Siasa za Kiislamu tu hana jipya. IRAN ambayo inashindwa kumlinda hta kiongozi wa HAMAS anauawa ndani ya Nchi yake ndio itaiweza ISRAEL.
Nice work broo..nakusoma mjomba
Good Presentation
Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel
Huyu jamaa ni mwongo sana. IRAN inategemea teknolojia hasa kutoka URUSI na uwezo wa kutengeneza silaha kali wenyewe bado sana. Labda assembling tu.
Mwenyezi mungu ibaliki iran
Naomba sana mungu vita ivi visifike Africa
My love teacher % fact
Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman
Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi
Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia
WAKILI MSOMI 😂
Sasa kama wakibwabwaja ndio wanaonekana ndio wana akili unategemea nini? Nchi zetu hizi mtu unapoongea sana hata kama hakuna chochote unachofanya unaonekana ndio unajua.
Hats off brother
Bro you can't say I will not give you bread time you know I can make myself Iran is power full country 😊
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka
Aisee nimekuelewa sana mkuu naomba uishauri serikali
Maashaallah umetufunza
Saf san brother Mtani
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.
Sadakta maneno yako👍🏻
Labbayka Yaa Imam
Taqiya 😢😢
Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢
@@abdilahmohamed6679 kweli ni movie ya KIHINDI
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
Anaejua anajua tu
Hongera umetufumbua macho
Umetisha
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua
Kaka Allah akubarik
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
Nakubali sana nakupata nikiwa Moro town hapa
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
Anaongea vitu gani vya maana zaidi ya Udini tu kumjaaa sana. Toka lini Uislamu ukaendana na teknolojia. Ulisikia wapi?
SIO NCHI ZA KIISLAM , NI NCHI ZA KIARABU, HAKUNA NCHI YA KIISLAM
irani sio warabu
Kama akuna nnchi ya kihislamu irani ina itwaje makanisa yenywe amna ujui kitu
@@jaffarichimbuvu9409 unachanganya mambo Iran ni nchi ya Kiislamu ndio lakini sio Waarabu bali ni Waajemi. Kuhusu Makanisa ndani ya Iran yapo na kuna Wakristo (wengi wakiwa ni Waarmenia) pia pamoja na kwamba ni nchi ya Kiislamu. Hata hivyo kama Waislamu walivyo na tabia ya kunyanyasa dini nyingine wanapokuwa wengi mahali kwa IRAN ni hivyo hivyo Wakristo wananyanyaswa sana na ukionekana na Biblia hadharani unauawa au kufungwa maisha.
Duniani nchi ambazo hazina Makanisa ni mbili tu ambazo ni Saudi Arabia na Somalia.
Mashallah
Lets wait
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
Wacha uongo wako wewe. IRAN mwenyewe ana njaa ndio aikopeshe Tanzania. Achana na akili za mitaaani. IRAN ni nchi masikini sana bado.
Umeelezea kwa uzuri zaidi 👏
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
Mmmhhhh pole bhana
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
Kabisa
big up
Hapa mshenzi ni mmarekani
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
MIMI NASAPORT IRAN 🇮🇷. KWASABABU ISRAELI...WANAUWA SANA WATU...😢
mashallah akhy umetuelewesha vzr sana, hao ndio wairan hao ndio mashia tunaowasema vibaya misikitini
Kaka nimejifunza Asante
Waafrika tumepigwa cheni Mobile 📲 chain..Siku tukijitambua Kama Iran hakutakuwa na Umasikini
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
Wewe ni mchambuzi mzuri sana! Ni kwamba Iran tayari wameshatengeneza mabomu ya nyukilia. Wana vichwa vichache kama 20 au 30 hivi. Na ndio maana wanajiamini sana!
Umesikia wapi hiyo wewe acha uongo
iran kafanikisha kwenye shambulio kwa asilimia 100
Sababu zake kwanza kajua silaha gani za kuzuia makombora zilizotumika pale israil pia hawakutumia silaha zao zile za siri wametumia silaha ambazo zinajulikana lakini israil walizuia mashambulizi kwa kutumia kila walichonacho
Inaonekana kumbe uko ndani ya Jeshi la Israel. Yaani unajua kila silaha waliyonayo jeshi la Israel 🤣🤣🤣.
Ama kweli kila mtu anaweza kuandika tu anachofikiri kichwani.