Mashaallah naipongeza D Tv kwakuwajibika na wanyonge.Allah awajaalie jannatu firdausi na wote wenye wanyoosha mkono nahata wale ambao hawajatoa lkni wanawaombea watu hawa.Fab Allah akufungulie milango yakheri na akupe uwezo inshaallah.
Alhamdullah mwenyezi mungu awajalie Fab na kwa wote mlio shikisha kipindi hichi kwa kazi kubwa mnayo ifanya allah atawalipa kwa kila mnachokitoa kwa hali na mali yaraab
Fabian nakupenda kwa ajili ya Allah napenda unavowakumbusha watu kuswali Allah atakupa kila la kheir inshallah
Kabisa swallah ndio kila kitu kabisa mashallah 😘 unawaongoza vizuri kweli
Mashaallah naipongeza D Tv kwakuwajibika na wanyonge.Allah awajaalie jannatu firdausi na wote wenye wanyoosha mkono nahata wale ambao hawajatoa lkni wanawaombea watu hawa.Fab Allah akufungulie milango yakheri na akupe uwezo inshaallah.
Kweli kabisa ibada niyamhimu
Fabi huyo OMAR ni wakuvaa Miwani ya kuonea mbali itamsaidia sana kwa hiyo mpeleke hospital
Niko apo bibi harusi ❤
Kk fabiii omary nae apatiwe godor na kitanda inshallah kherii
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awalipe wote walio jitolea inshallaah na fabie na adamu mungu awatie nguvu
Nmependa sana kaka ulivyo zungumzia swala 🥰 Allah akufungulie na akupe kila la kheri
Fabi mpeleke Omar hospital ya macho akapate miwani ya macho itamsaidia kuona mbali na jua, mbarikiwe sana.
Alhamdullah mwenyezi mungu awajalie Fab na kwa wote mlio shikisha kipindi hichi kwa kazi kubwa mnayo ifanya allah atawalipa kwa kila mnachokitoa kwa hali na mali yaraab
ManshaAllah Fabi jaman anawakumbusha kusali Allah akubarik
Fab mungu atawabariki sana❤❤❤
Swala ndio kila kutu muombe mungu akusimamie kila kitu
Ubarikiwe Sana Fabian na team yako Adam Mungu awabariki sana. Mungu ambariki aliyetoa
Maa shaa Allah
Bora kaongea ukweli
Mungu Akupe mke mwema Fabi haya Fanya Fanya uowe
MashaAllah Gani Allah akupe KILA la kheri InshaAllah
Kk fabi wewe owa tu tuandae sale😂😂