MUME AMUUA MKEWE KWA RISASI, NDOA YAO YADUMU KWA MIEZI MITANO, MAMA WA MAREHEMU AONGEA KWA UCHUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 тра 2022

КОМЕНТАРІ • 2,4 тис.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +51

    Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Pole sana mama

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 2 роки тому +2

      Sasa hapo kwenye raha tumwachie mwenye raha yake yeey ndyo anajua kwamba anafaa kupata raha au hafai, swala ni sisi je? Tumejifunza kipi kuhusu hili tukioo? Ndy kitu cha kuangalia wewe mambo ya raha achana nayoooo

    • @hkk2450
      @hkk2450 2 роки тому +1

      Sema Inna lilah waina ilahi rajioon muislam uyo

    • @rithakuyala9951
      @rithakuyala9951 2 роки тому +3

      Acheni kushoboka shoboka ovyo kila mtu anaandika anavyojiskia acheni kunipangia chefuuuu 😏😏😏

    • @ammydaniel8947
      @ammydaniel8947 2 роки тому

      Raha tena ?? Na apumzike kwa amani?

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 2 роки тому +47

    Pole saana mwanamke mwenzangu! Poleeh Dada! Sina zaidi ya hilo Mungu akupe Subra, mmmmmmh😭😭

  • @rasheedmbaraka7556
    @rasheedmbaraka7556 2 роки тому +37

    mama you're very strong mama..Allah akupe nguvu..ila hapo ndoa ilikuwa na changamoto nyingi..kuchukua roho ya mtu sio sawa ila hapa palikuwa na tatizo kubwa lilipaswa kutatuliwa mapema

  • @asiacruiz5165
    @asiacruiz5165 2 роки тому +56

    Poleni Sana Wana familia yote ya Bi tiba Mohammed,kwa msiba huu mzito, ALLAH awape subra kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wenu😭😭😭😭

  • @beatriceben8611
    @beatriceben8611 6 місяців тому +5

    Came here again after listening to Rapcha's 40 missed calls 😭😭😭 may their souls rest in peace🙏

  • @fravoredstunner5
    @fravoredstunner5 2 роки тому +77

    Jamaa kakimbilia kuoa kabla ya kuovercome his insecurities. Sad. RIP 🙏🏽.

    • @vicentmayanda3935
      @vicentmayanda3935 2 роки тому +6

      Umeongea point sanaa yan ameoa bila kuakikisha security ya mapenz yake

    • @monamackey569
      @monamackey569 2 роки тому +6

      Very correct yani alikuwa very insecure na iyo ni mbaya sana

    • @colletampechi9030
      @colletampechi9030 2 роки тому +3

      Exactly

    • @mathewdyzymaleyafrica9128
      @mathewdyzymaleyafrica9128 2 роки тому

      @@vicentmayanda3935 hahaha babu kasome kamusi

    • @vicentmayanda3935
      @vicentmayanda3935 2 роки тому +2

      @@mathewdyzymaleyafrica9128 kwann mzee hana security hamwamini hata anayempenda maana ndoa changa mzee

  • @binti_jannet
    @binti_jannet 2 роки тому +78

    If you feel someone's son/daughter isn't giving you peace, just release them in peace and NOT in pieces. May she rest in peace 💔

  • @heriethkusigwa3996
    @heriethkusigwa3996 2 роки тому +18

    Huyu Mama anaujasiri sana...Mungu ni Mkuu sana .hakuna kitu kinauma kama Mzazi kumzika mtoto wake😥😥😭😭😭😭😭Nyie INAUMA Sana...Mola Akufute mchanga wa Usoni Mpenz..Ulale salama🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @kebibasherry3117
    @kebibasherry3117 2 роки тому +10

    Pole Sana mamangu ❤️ mungu akufanyie wepesi kwa mdada wako mpaka apumzike salama àmiin yaraab 🙏

  • @marrymaige2481
    @marrymaige2481 2 роки тому +30

    Huyu nature ya kazi yake asingeolewa kwanza,wanaume waelewa ni kama hawapo tena duniani..RIP.
    Kuolewa sio lazima jamani, your happiness comes first.

    • @blackcolour8183
      @blackcolour8183 2 роки тому +3

      Wanaume waelewa wapo ila tu huyo kaka hakutaka kumuelewa mwenzake ila hatuwezi jua huenda kunalingine zaidi ya hili tunalioambiwa

    • @jumannerajabu1356
      @jumannerajabu1356 2 роки тому

      kwani wivu mpaka uoe ata bira kuoa Kama nakupenda arafu unareta mambo ya mazanga razim nikutangurize2 japokua njia moja hakuna mwanaume anaependa kuzarauliwa

    • @Qaswararafashion5041
      @Qaswararafashion5041 2 роки тому +1

      Wapo kibao tu wew ndo hujawaona wengi tu

    • @sulekun7245
      @sulekun7245 2 роки тому

      Hajakosea kukubali kuolewa, Kama mume ameona kazi yake ni kikwazo kwake c angemzuia tu abaki nyumbani. Au laa Angemrejesha kwao

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s 2 роки тому +3

      Tupo Marry maisha ni kutafuta yaani mke anatafuta amechoka anauliwa kisa kula wakati wadogo wapo wa kufika ukatili

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 2 роки тому +78

    Ukimwambia mtu acha hasira, basi yafaa uache kwanza mambo yanayomsababishia hasira! Ndoa zimekuwa changamoto hasa pale wanandoa wenyewe wanapoingia kwenye ndoa kabla hawajaumaliza ujana, mke mheshimu mumeo, mume mpende mkeo, kuwe na hofu ya Mungu kwa wanandoa, kama mmeshindwana basi gawaneni ustaarabu kila mtu ashike njia yake, japo Ni ngumu maana shetani kapiga kambi na anachochea vita, Mungu ampokee dada wa watu.

    • @juniorsamuelsamuel1224
      @juniorsamuelsamuel1224 2 роки тому +3

      Umeandika vizuri sana Mr James,dada hakuwa na heshima kwa mumewe hata kidogo, huwezi kumwambia mumeo eti acha nilale weweeeee lazima mfike pabaya,lkn mwanaume mwenzetu amefanya kitu kibaya sana,hakufakari kuhusu watakao hangaika kwa kukosa wazazi duniani.S

    • @goodmorning9142
      @goodmorning9142 2 роки тому +2

      @@juniorsamuelsamuel1224 ndo amuue eishhh

    • @reganshao
      @reganshao 2 роки тому +2

      Barikiwa sana ndugu yangu nimefurah kwa ulichoandika ..

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 2 роки тому +2

      Mama hakuwa a namshauri binti yake nini maana ya mume.

    • @samxx411
      @samxx411 2 роки тому +8

      Ata Dada awe na tabia mbaya huwezi muua si uachane nae basi, sasa ataoa wangapi mana aso hili ana lile, mwanamme uwe mstahamilivu kama huwezi bora usioe ndo mnaua hivyo

  • @jennyjayne5745
    @jennyjayne5745 2 роки тому +26

    Pole sana mama,ndio maana mimi husema if marriage doesn’t work quit.long distance needs trust iko na challenges mingi sana maana huyu amekufa juu ya insecurities issues.ooh God

    • @MALENGWE
      @MALENGWE 2 роки тому +2

      Uyu mama nae inaweza akawa sababu ya yote ndio maana ukienda kuoa mahali chunguza mama mkwe kwanza yukoje

  • @OpportunityTvchambuaonline
    @OpportunityTvchambuaonline 2 роки тому +140

    Sijafurahia alichokifanya huyu jamaa ila sasa ndoa nyingi zina changamoto, Wanawake kwa wanaume wana take their marriage for granted, pia maisha yamekosa uhalisia, wanawake walio kwenye ndoa wanajirahisisha wanapenda ulaini na miserereko wanaume pia wanapenda kila mrembo anayepita mbele na kuona huo ni umwamba ...ndoa zimekuwa one sided sana kuna anayeumia siku zote. Wanawake mlioolewa jitulizeni maana hali sio nzuri na inauma sana unapojua kuna mtu anakumegea kisela. Pia mwanamke kama hakuna sababu ya msingi kaa nyumbani. Ila kikubwa kwenye ndoa ni uaminifu tu.

    • @sashahauke2032
      @sashahauke2032 2 роки тому +7

      Ungeongea 👍kabisa mambo ni mengi sana na watu wanaigiza sana hakuna ualisia kabisa na wadada tuna mambo mengi sana san

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому +4

      @@sashahauke2032 kwa hiyo wanawake ndio wenye makosa etiiii

    • @vicentvenent447
      @vicentvenent447 2 роки тому +4

      Shikamoo bro...umenena nilioyameza

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 роки тому +3

      @@sashahauke2032 wanaume ndio wana mambo mengi,,fungua macho ww au utaonewa kila siku

    • @antonipius1365
      @antonipius1365 2 роки тому +3

      kazi + ndoa + changamoto za maisha

  • @elizabethpeter8456
    @elizabethpeter8456 2 роки тому +54

    Siku yako ikifika hauna ujanja tumuombe mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 🙏 wadada turidhike na kina bakari kichwa wetu🥴 matajiri siku zote maamuzi magumu kwao kitu Cha kawaida Sana. Riziki za kulazimisha matokeo yake ni mabaya.

    • @harrisonzoza6709
      @harrisonzoza6709 2 роки тому

      Ushasema kweli

    • @stellamsangi4281
      @stellamsangi4281 2 роки тому +3

      Roho mbaya haina tajiri wala maskini wanaokatwa mikono huko vijijini waume zao nao ni matajiri? Tena maskini ndio wana hasira nyingi za umaskini stress zimewajaa sana. Hawa walikuwa na matatizo mengi ambayo hakuna anaweza kuyajua.

    • @elizabethpeter8456
      @elizabethpeter8456 2 роки тому

      @@stellamsangi4281 🤗🤗 nafikiri utakuwa ujanielewa nilicho maanisha hapo haijasemwa roho mbaya Ila ni ujasiri. Sasa kwenye ujasiri na roho mbaya ni Mambo mawili tofauti!! Kama ujawahi kupitia changamoto za hao wanao itwa matajiri. Nilicho kiandika uwezi kukielewa. kabisaaa

    • @stellamsangi4281
      @stellamsangi4281 2 роки тому +1

      @@elizabethpeter8456 nazijua zote za matajiri na maskini pia. Hiki kitu ni kipana sana its about been poor or rich dear hapo ndipo tunapokosea na hii inasababisha shida kutoisha. Haya ni makuzi, depression, anger management, watu wanatembea lakini wana misongo ya mawazo ya kila aina na hawajui nani wakuongea nae so wanapoguswa kidogo tu hasira inapanda mpaka kupita kiwango. Kwa kitaalam huyo mwanaume tunamuweka kwenye kundi la watu waliokuwa na msongo mwitu na hawakupata tiba kwa wakati sahihi na huenda ni sababu hata yeye hakuwa anajijua kuwa ni mgonjwa. Hiki kitu ni kipana sana na chanzo huanzia toka utotoni ndio maana tunashauri wazazi kuwa makini sana na jinsi wanavyowalea watoto wao pia kuwa na muda wa kuongea na watoto kujua changamoto wanazopitia mashuleni, kwa marafiki zao na mengineyo. Hicho alichoganya huyo kaka ni matokeo ya vitu vingi vilivyokuwa vimejaa ndani yake. Tatizo ni kwamba watu wanaangalia tatizo ki wepesi sana kuliko lilivyo.

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 2 роки тому +16

    Inna lillahi wainna ilaihim raajiun,mama jasiri sana,Allah akupe subra hivyohivyo mamaangu,mm japo mwanaume lkn nna roho ndogo,siwezi kuvumilia kwakweli.

  • @abelsabibi8836
    @abelsabibi8836 2 роки тому +7

    Sababu za ovyo ovyo tu,tatizo hatupendi Mungu asimamie mambo yetu duniani hata haya ya ndoa.Hakuna legitimacy ya kumuua binadam mwenzako kwa sbb yoyote.

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 роки тому +63

    Kutokujiamini ndio sababu watoto wetu wa kiume na baadhi ya watoto wetu wakike wanaua wenza wao, hakuna kingine huyu kaka atakuwa alikuwa anagubu sasa kumuua ndio suluhu.

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 роки тому +4

      Kbsaa wanaume n vishoiya Sana .jmn Kwan kuua mtu 🤔 ndo suluhu ya tatzoo.? Mkichomwa Moto 🔥 mnasem wanawake wanaroho mbya

    • @erickmichaelmugele2107
      @erickmichaelmugele2107 2 роки тому +2

      Mnasahau mna majibu ya hovyo...?
      Na mkiwa wazuri ndo kujiona na kunyoosha mdomo kunazidi......

    • @sulekun7245
      @sulekun7245 2 роки тому +1

      Ww ulimuona kachepuka au unakurupuka tu!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому +2

      @@sulekun7245 ANGEKUWA DADAKE ASINGESEMA HIVYO.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      @@erickmichaelmugele2107 KWA HIYO UNAONA SAWA KUULIWA???

  • @skyneNews
    @skyneNews 2 роки тому +28

    Mwisho Kabisa Kila Nafsi Itaonja Mauti Na Kifo Hakikosi Sababu . Tujiandae Tulio Baki, R.I.P swalha

  • @HASSANNGITU
    @HASSANNGITU Місяць тому +2

    Daa poleni sana family yote Mungu awatie nguvu amen.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 2 роки тому +14

    Inna Lilah Wainnailah Rajuun Mungu akampe kauli thabit na akamsamehe makosa yake. Amina

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 роки тому +38

    Ndoa za siku hizi jamani miezi mitano tu mume keshauwa mke wake Mungu atusaidie

    • @limitoboe
      @limitoboe 2 роки тому +1

      ua-cam.com/video/N80zk6dLF0s/v-deo.html

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому +4

      Shetani yuko Kazini

    • @user-cm8yz3sb6t
      @user-cm8yz3sb6t 2 роки тому +3

      Mtu anawekeza kwako anatumia resources kibao. Afu unamletea mauza uza lazima mfike huko tuu

    • @ladyt1471
      @ladyt1471 2 роки тому

      Kweli kabisa shetani yuko kazini nachoona tu kama ikishindikana nafuu kuachana kuliko kuuwa

    • @leahmawazo4586
      @leahmawazo4586 2 роки тому

      Analaanat uyo kaka duu

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 2 роки тому +27

    Allah tunamuomva Allah ampokee dada yetu. Amsamehe. A'miin.

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 2 роки тому +12

    Pole sana mama wa marehemu, nafikiri kuna shida katika jamii
    zetu na malezi kwa ujumla. Mabinti wanatak financial freedom, vijana wanataka wake wenye kujitambua. Poleni sana

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 2 роки тому +1

      Wewe mama ise umesema kitu kikubwa sanaaaa 🤝🤝🤝🤝

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 роки тому

      @@jay-nyeye1900 ndio huyu mama ana akili sanaa nampenda japo simjui

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 роки тому

      mama umeongea kitu kizurii nakupenda sanaa mungu akulinde

  • @binhussain3445
    @binhussain3445 2 роки тому +6

    Mtume Muhammadصلله عليه وسلم Amewahusia sana wazazi wa watoto wa kike kwamba.`` Wakiridhishwa na Tabia na Dini ya mwanaume basi wamuozeshe'' Sasa wazazi wetu leo wanatizama sana wanaume wenye pesa na hili ni tatizo kubwa sanaa

    • @mwagotimwanamvua5883
      @mwagotimwanamvua5883 2 роки тому

      Kweli kabsa

    • @gerrymroki509
      @gerrymroki509 2 роки тому

      Sasa maalim point yako ni ipi hapa.?

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 роки тому

      @@gerrymroki509 Point yangu ni kwamba Wazazi wa Mwanamke hawakutizama kigezo cha dini,, Laiti wangetizama kigezo cha Dini ungesikia Swalher kapewa Talaka moja au 3... YAANI Namaanisha nwanaume mwenye Dini aisngempiga risasi bali angemwacha kwa wema kama wameshindwana

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 2 роки тому +30

    Sikuiz hakuna ndoa kuna maonyesho ya mavazi na show yanayosimamiwa na kina mcgara b kubwa

  • @princessmoses4081
    @princessmoses4081 2 роки тому +19

    Ule msemo wa haki sawa kwa wote madhala yake ndo haya wanawake wengine wanatumia vibaya ndoa ina miaka mitano kaa nyumban tulia kwa mumeo uone changamoto za ndoa ziko vipi na kama una kazi fanya ila kuwa na heshima kwa mumeo kuna wakati tunaweza laumu wanaume ila ukweli wanawake wengine huwa wanataka kuwa wababe kwa waumezao sio vizuri polen sana wanafamily wote

    • @divine6145
      @divine6145 2 роки тому +1

      Ndo maamuzi ya kuua yatumike... Wenyewe wakizingua wanauwawa ?

    • @ariphkimani3790
      @ariphkimani3790 2 роки тому

      Miezi

    • @princessmoses4081
      @princessmoses4081 2 роки тому +1

      @@divine6145 hasira sidhani kama mume alizamilia kama ukiyasikiliza mahojiano ya mama na hatuwezi jua walipishana nini huko ndani

    • @princessmoses4081
      @princessmoses4081 2 роки тому

      @@ariphkimani3790 miezi mi5

    • @jumannerajabu1356
      @jumannerajabu1356 2 роки тому

      watu wanaongea2 rakini ki2 ambayo hukijui usiseme sana mana wanawake nao wasiku is niwashenzi sana hasa kwenye mahusiano mtu anakusalit arafu ww unajua kabx kwamba hili jambo lipo kweri unamuuriza mtu anakujibu kunya hata mm sitaweza Moyo uwo sina mm

  • @alphaxhosa8248
    @alphaxhosa8248 2 роки тому +2

    Warangi Watu wa Imani sana just imagine Mama Mzazi anaweza kuhadithia tukio zima Namna hio

  • @faylequlatein
    @faylequlatein 2 роки тому +1

    subhanallah! inasikitisha kuona habari kama hii…mungu aiongoze umma yetu na awape waliomo kwenye ndoa subira na maelewano

  • @magerebudodi8471
    @magerebudodi8471 2 роки тому +93

    Mwanamke akimueshimu mme, mme automatically atampenda. Wanawake wa siku hizi wanakosa heshima umetoka kazini kwako umefikia kwenu na unajua umeolewa kwanini usienda kwako. Nabado mwanaume anakupigia sim hupokei unamtia hasira mtu. Lakini sisi wanaume nao tuwe na huruma hata kama mwenzako kakuuzi mkanye kwa hekima akili na kwa upole jitahidi kumjua mwenzako ni wa aina gani. Tuishi na wake zetu kwa akili ....

    • @TheBestPhone7918
      @TheBestPhone7918 2 роки тому +4

      Umeongea Vyema Mkuu ila Hapo kiukweli mdada amejisababishia Kwa kumtia Hasira Jamaa ww huwez toka Kwenye mishe zako ukafikia Kwenu wakat umeolewa halaf mbaya zaidi hupokei sm unadhid kumuudhi tu, na kwa uzuri huo akajua kabisa Huko uliko kuwa umetoka Kumegwa upo hoi na bado unaendelea Kumegwa

    • @fatmatwalib8179
      @fatmatwalib8179 2 роки тому +30

      Nyie wawili akili zenu ni sawa na uyo jamaa the fact is wanaume muache unyanyasaji hamtuoi ili tuwe watumwa kwenu kwaiyo mtu huna haki ya kuwasalimia wazee wako

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 2 роки тому +3

      Unyama sana 🔥🔥

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 2 роки тому +1

      @@fatmatwalib8179 Kusalmia haukatazwi lakini iwe kiutaritibu sio kwa unavyojisikia weewe kumbuka umeolewa ili ukamtumikie mmeo na ukiolewa wewe hauna amri tena juu ya mwili wako yaan mwanaum ndiyo anakua mmliki wa mwili wako uelewe hilo au haujui maana ya Mwili mmoja??

    • @jasminshemsanga8727
      @jasminshemsanga8727 2 роки тому

      Fact

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 роки тому +22

    Ndoa ni nzur mnapokua ukumbin na mnapokua katka maandalz ya ndoa! Ila mkishaingia ndani ya nyumba ndo mtajuamjui 😢😢😢😢

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 роки тому +1

    Poleni sana wafiwa kwakuondokewa na mpendwa wetu ALLAH amuhifadhi ampe qauli thabiti .

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 2 роки тому +2

    Mama Mungu akutie nguvu.Hilo tu ndo naweza kusema kwa sasa.
    Pole sana.

  • @jeanmusamba8906
    @jeanmusamba8906 2 роки тому +14

    tatizo kubwa wa tz wengi sana tuna maisha ya kuigiza,wengi wapo kwenye ndoa huku wana tamaa ya kuwa na wapenzi wengine,unaweza kuta dada mzuri kweli kaolewa ila hawezi acha wapenzi wengine,na hata kumjibu mumewe vibaya akiomuona hana thamani maana anajua pa kwenda ukimuacha.Na wanaume michepuko kibao,na ku over love,mtu mmoja amewahi sema ndoa ni a couple of best forgivers.watu hawawezi samehe na kuachilia,maisha ya duniani sio matamu kama wengi tunavyojidanganya.

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 2 роки тому +3

      Awww ndoa zina sili nyingi mno usijaji watu mpak huwe uko mwanamke ambaye anampenda Mume wke atakama anakitu atavumilia ukimwona anatoka ujue kuna tatizo kubwa arafu atujui ukweli wapo wanaume wanawivu kam ugonjwa atakama unamtu wamezaliwa ivyo yan mwanaume anayepiga mkimbie siku ni kifo

    • @jeanmusamba8906
      @jeanmusamba8906 2 роки тому

      @@allthingdranabeauty noo! let us be practical tusiiishi kwa kufuata hisia na mihemko,wote walikuwa na makosa,hao nimeisoma na kufuatilia kwa karibu,me taaluma yangu ni ya kumsoma binadamu,movie zinawadanganya sana,mnadhani maisha ya ndoa ni that too superficial?why ur husband calls you hupokei?mara 35?why should you shoot ur wife?mbona hukufanya hivyo last year unafanya leo?THINK AND NOT SINK

    • @trumptz6821
      @trumptz6821 2 роки тому

      Fact sana kaka

    • @aishaathuman3592
      @aishaathuman3592 2 роки тому

      @@jeanmusamba8906 ww acha uongo

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 роки тому +20

    Kwa maelezo ya mama tunapata fundisho kuwa wivu Ni sumu inayoweza kukumaliza wewe mwenyewe! Lakini pia tunapata fundisho kuwa mapenzi Ni kuaminiana, kusikilizana, kuoneana huruma na kujaliana! Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi Amina!

    • @mathiaslyamunda2526
      @mathiaslyamunda2526 2 роки тому +1

      Sahihi kabisa Wivu ni sumu ya kukumaliza mwenyewe pia.

    • @swabrinnahally8747
      @swabrinnahally8747 2 роки тому +1

      Wengine sisi tutaogopa ndoa...Allah amlaze pema peponi inshaAllah🤲🏻🤲🏻🤲🏻

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 2 роки тому +1

      @@swabrinnahally8747 hapana usiogope kwa maana kila mtu Ana riziki yake!

  • @mudynkofia4063
    @mudynkofia4063 2 роки тому +1

    Ukishajua una Moyo mdogo usimruhusu mkeo afanye kazi mfanye tu awe mama wa nyumbani

  • @niubilityibrose4776
    @niubilityibrose4776 2 роки тому

    Pole Kwa wafiwa.
    Hata mke akukosee vipi kuua hapana, tutafute njia salama kusuluhisha migogoro yetu.
    Mwisho, tuweni waaminifu kwenye ndoa, upendo utawale na kuheshimiana, pia kujaliana, tamaa za dunia tuziepuka ili tusije ingia kwenye matatizo.

  • @abdulmubason7542
    @abdulmubason7542 2 роки тому +26

    Huenda kweli mke alikuwa na jeuri ,na mume anaonekana mwenye hasira na wivu mkali mno ,lakini kutoa roho ya mtu sio sawa ,huwezi kumuua mkeo kwa wivu ,kama imethibit umechoka kuvumilia ni bora umpe talaka inatosha

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 2 роки тому +21

    Unaua halafu unaishi kama digidigi si ujinga huo! Kabla hujaua ulikuwa unaishi kwa wasiwasi wa wivu, sasa umeua unaishi kwa wasiwasi wa kwenda kunyongwa, sasa umetatua nini?

    • @johnswai9986
      @johnswai9986 2 роки тому

      🤣🤣🤣

    • @mathewdeus9978
      @mathewdeus9978 2 роки тому

      Wewe bado mtoto omba YASIKUKUTE

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 2 роки тому

      @@mathewdeus9978 huyo mwanaume alikua chiziii kabisaaa kichwani kwake hakuko sawa kabisaaa ni kichaaa

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 роки тому

      Hahahahaha

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ 2 роки тому

      @@mathewdeus9978 mbona unaongea kama vile simu ulininunulia wewe? Nina miaka 50, mke na watoto, hiyo ndo unaita bado ni mtoto? Jifunze kumheshimu mwenzako hata kama wazo lake hukubaliani nalo.

  • @jacobolucas5935
    @jacobolucas5935 2 роки тому +2

    Wanawake wanatia hasira mm nilikuwa na mtu tuliahidiana kuoana na ilikuwa ukimaliza 4m 6 tuoane kamaliza na kunichenjia nakuhudumia kote mbaya zaidi mm nikimpigia sm anasema Yuko busy kumbe ako na mtu kwingine sema tu Sina bastola

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 роки тому +10

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah awape Subra Wafiwa

  • @patrickkatanawachengo4317
    @patrickkatanawachengo4317 2 роки тому +23

    Mungu ailaze roho yake pema peponi but wivu ndio umemfanya jamaa akaua😭😭😭

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 роки тому

      Kabisaaa

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 2 роки тому

      si wivu nikiburi cha wanawake

    • @irenewilbard9746
      @irenewilbard9746 2 роки тому +2

      Mwanaume mkorofi tuu uyo, alitaka muuwa mwanzoni. Anavuta bangi mkrofi na mbaba tuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      @@georgeigogo9259 ANGEULIWA DADAKO UNGESEMA HIVYO????

    • @suziedaffa3500
      @suziedaffa3500 2 роки тому

      @@georgeigogo9259 ulikuwepo kwenye ugomvi

  • @mariamsaid7076
    @mariamsaid7076 2 роки тому +3

    pole sana mama mtoto anauma vibaya yaani nimejikuta nalia tuuuuu nikiwaza,mungu akupe nguvu yarab😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alibalushi4691
    @alibalushi4691 2 роки тому

    Rambirambi ziwafikie wafiwa mungu amlaze mahali pema marehemu Salha.asanteni milliard ayo tv.kwa umahiri kwa kutuletea habari za kijamii.

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 2 роки тому +1

    Daaah !Mungu azid kumpa hekima Mume wangu ht mm pia atupe mioyo ya kumuofia yeye. Polen kwa familia daah Dunia hii inaelekea ukingon kwakwel

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 роки тому +26

    Usikivu,Heshima,Kuiga,Magroup,Umaarufu kunawafelisha sana wanawake.....
    Nature yetu wanaume mwanamke wewe ni uwe msikivu.

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 2 роки тому +14

      Acha kukariri maisha, kwa hiyo watu wasifanye kazi? Mnaweza kutoa mahitaji ya wake zenu? Huyo Mwanaume hajiamini, ana gubu

    • @yasnaghump5763
      @yasnaghump5763 2 роки тому +4

      tatzo unaweza kuwa msikivu sehem ambyo haikunufahishi kwa maish ya baadae kwasabab unanilish isiwe sababu ya kuninyima uhuru wangu

    • @kingmtetezi6670
      @kingmtetezi6670 2 роки тому +1

      @@yasnaghump5763 ukiisi hujawa tayali kuolewa ishi maisha yako pekeako maana si lazima kuolewa

    • @angelmushi8044
      @angelmushi8044 2 роки тому +2

      @@kingmtetezi6670 kuolewa si utumwa acheni kukariri maisha yamebadilika

    • @jessykadaraja2691
      @jessykadaraja2691 2 роки тому +1

      @@yasnaghump5763 omba talaka ukafanye Mambo yako..mbona simple.

  • @netlity5532
    @netlity5532 2 роки тому +7

    Hapa nachokiona ni dharau au kutokujali maswala mazima ya ndoa. Au yawezekana kauli zilizotumika kwenye majibizano ni kali. R.I.P
    Lakini huyu mama mtu nae hata chozi hamna ... Mkavu kama marehem sio mwanae duh 😱

    • @zoey2635
      @zoey2635 2 роки тому +1

      Don't judge Kesha Lia sanaaaa

    • @mankarichard5851
      @mankarichard5851 2 роки тому

      Kuna mtu atoi chozi anaumia ndan na aneza lia kwa sauti tu uwez amin uwaga wanaumia sanaah kuzid watu wanaolia machozi yakatoka.

    • @jenniphergiovane2688
      @jenniphergiovane2688 2 роки тому

      Yaan hata hizo nguvu za kujieleza kaitoa wp

    • @smarttv3272
      @smarttv3272 2 роки тому

      @@jenniphergiovane2688 c anajua mwanae labda alikuwa anamakosa

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe6106 2 роки тому +4

    Nd mana nawakubali sn wa Afghanistan kwakuwazuwia wanawake kufanya kz nje na kwake !!!!wanawake wameumbwa km ubavu! Wamepinda pinda!! Mda mwingi wanawake wanatakiwa kuusiwa mema!! Mwanaume lzm uwe na wivu kwa mkeo tena sn ! Ni wivu ni sunna na hatoingia peponi mwanaume ambae hana wivu! Nd mana mtume muhammad s a w amesema tuoe wanawake wenye dini! Kwasababu ukiwa na wivu alf ukamuoa mwanamke hana dini bs tambueni kuna hatari kubwa itakuja kutokezea !!

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 2 роки тому +8

    Pole Sana Mama , mungu Ampumzishe Roho yake kwa Amani Amina

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 2 роки тому +183

    Kwa namna alivyosema bi mkubwa inaonesha kwamba mwanaume alikua na wivu mkali sana kwa mkewe, na mkewe alikua bado hajawa tayari kwa ndoa. Inaonekana wazi hakua mkweli hata kwa mama yake. Pia hata kama alikua hajachepuka upo nje ya nyumba kwa nini unapigiwa na mumeo simu hupokei? Unamjaza maswali mengi na hisia mbaya kichwani, hilo linatemgeneza hasira mwanaume. Kingine huenda majibu hayakua mazuri waliokutana face to face, ila maamuzi ya mwanaume ni wazi kwa sasa anayajutia sana. Wanawake wana changamoto sana, ila huona wapo sahihi. Mungu atujalie akili kuishi na wanawake hasa wale wasiokua tayari kuolewa wakaolewa

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 2 роки тому +1

      Ndugu hata siku moja usitetee ukatili kwa kuuwekea sababu eti kwa nini hakupokea simu, acha kabisa kuweka sababu, huyu Mwanaume ni katili na mnyanyasaji na ni mgonjwa wa akili

    • @nouratykatimba1357
      @nouratykatimba1357 2 роки тому +7

      ameen inshallah natamani nipate mume mem na mwenye mapenzi

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 2 роки тому +15

      Point mabint wengi hawaheshimu ndoa

    • @digonzakeimbe8435
      @digonzakeimbe8435 2 роки тому +2

      Kweli kbs..

    • @mtotowayesu2733
      @mtotowayesu2733 2 роки тому +11

      Alikuwa malaya huyu mwanamke

  • @johnmkama5063
    @johnmkama5063 2 роки тому +11

    Pole Sana Mama kwa kuondokewa na mwanao

    • @michaelnjobo9242
      @michaelnjobo9242 Рік тому

      Pole sana mama tumwombee alale salama mwanao ya Dunia ndo yalivyo to

  • @mwanakomboernest5941
    @mwanakomboernest5941 2 роки тому +1

    Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali panapo sitahiki Amina

  • @pus.4506
    @pus.4506 2 роки тому +1

    Jamani tujitahidi kuomba ushauri pale tunapo pata ugumu wowote kwenye maisha ..aice inauma sana broo umekosea .......hasira mbaya sanaaaaa .
    Pumzika kwa amani dada angu

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed4002 2 роки тому +6

    ndoa zasaiv mtihan sanaaa,ni kuomba mungu sanaa awasimamie na ndoa ukiona imedumu ujue mmoja alijifanya mjinga
    polen wafiwa

    • @salimtsuma3391
      @salimtsuma3391 2 роки тому

      ua-cam.com/video/HisVj5RQuTQ/v-deo.html #zuhurashaaban #kimasomaso👌

  • @konderaelias7325
    @konderaelias7325 2 роки тому +9

    Jaman polen sana ndugu wa marehem mungu ailaze loho yake mahali pema pepon

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 2 роки тому +1

    Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu ampe kauli thabiti yarabiy polen sana Allah awape subra njemaa familia kwa ujmla

  • @kuryaboytv3426
    @kuryaboytv3426 2 роки тому +2

    Mwanamke akiwa anatafta ndoa huwa anakuwa mpole mno na hapo ndo wanaume wengi huwa tunaingia kingi.

  • @gracemrema9815
    @gracemrema9815 2 роки тому +98

    Jmn msiwe wepesi wa kununua au kumiliki silaha za moto. Iwe kwa namna yoyote ile, nikimaanisha nia nzuri au mbaya kwa sababu ukishakua na silaha shetani (roho ya mauaji) haitaacha kukuandama akili ya kuua itakua inakuandama kila siku japo unaweza usielewe lkn ndivyo inavyokua. Wanaomiliki wanaweza kunielewa kwa urahisi, hata paka unaemfuga mwenyewe siku akidokoa samaki akili inayokuja fasta ni hivi huyu paka hajui naweza mshoot moja tu chali, like jokes lakin ndicho kinachokua kwenye akil zao

    • @jumannerajabu1356
      @jumannerajabu1356 2 роки тому +6

      mbona wengne wanachomana visu marungu nahata bira siraha unaweza kupigwa2 mpaka ukafa kikubwa nikueshimiana2 kira mtu kwenye nafasi yake

    • @nelsonjonathan5296
      @nelsonjonathan5296 2 роки тому +1

      𝙉𝙤𝙩 𝙩𝙧𝙪𝙚

    • @marechojohn4289
      @marechojohn4289 2 роки тому

      sio kweli

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 2 роки тому

      Unaponunua silaha ya moto ujue umenunua na roho ya kuua, na uchizi wa akili nao lazima, huyo mshenzi anyongwe Hadi kufa

    • @gracemrema9815
      @gracemrema9815 2 роки тому +7

      Kikubwa kumshika sana Mungu usibishe maroho yapoo

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 2 роки тому +35

    Huu ni ugonjwa akili. Kama mtu humpendi, unamuoa wa nini? Na kama mna migogoro, kwanini umuue mwenzio? Huu ni upuuzi

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 2 роки тому +3

      Yani ingekua anae uwa nayeye anauliwa hii tabia ingekoma

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому +2

      @@mamananga2849 KWELI KABISA

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 роки тому +6

      Huyu alikua ana mpenda mkewe ila mwanamke alikua hampend. Mwanaume alipenda pesa tu

    • @bahatinassor9980
      @bahatinassor9980 2 роки тому +1

      Tena upuuzi uliopitiza

    • @Munyama675
      @Munyama675 2 роки тому

      Tatizo ni huyo mwanamke

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 2 роки тому +2

    Mimi situmi lawama kwa jama Mimi nililipa mali yote zikiwa zimebaki Siku 114 kufunga ndoa mwanamke akatoa mimba akisingizia wazazi wake kwamba wamemwambia atoe nilipo funga ndoa ndani ya Siku 30 niligundua anawanaume 6 ndani yake yupo Ndugu yangu sasa ukiwa na roho ya kipepo unatwanga lisasi 7000

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 2 роки тому

    Pole mama yangu pole sana,pole na Baba kwa kupoteza kipnz chako,Mungu wa Mbinguni Awape Subra tu

  • @sheillalukuba4526
    @sheillalukuba4526 2 роки тому +5

    Huyu mwanaume alitoa mahari shilling ngapi mpaka kauwa binti wa watu. Ukimshindwa mrudishe kwao. Huyu baba ni wivu

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 2 роки тому +19

    Dah! Inasikitisha kwa kweli,mume katili na sijui kama sio jambazi...anamiliki mpaka bastola! Ila Marehemu alikuwa Mzuri Masikini!😥😭kajaliwa na shepu na sura Mungu Amrehemu!🤲🏻

    • @josephmoses2469
      @josephmoses2469 2 роки тому +2

      Juwa chanzo acha kutia huluma ww mwanamke danga acha afe

    • @adamyasin4089
      @adamyasin4089 2 роки тому +2

      Kweli wewe mjinga umeona shepu tu huna akili

    • @casmiraugust6853
      @casmiraugust6853 2 роки тому +3

      shepu bila akili

    • @adamfundikira742
      @adamfundikira742 2 роки тому +2

      @@casmiraugust6853 ni kweli Shep bila akili ni ujinga kingine wanaume tujifunze tunapokuwa na uwezo kifedha tusiwaruhusu wake zetu kufanya kazi binafsi ni heri tuwafungulie miduka au akae tuu

    • @adamphinias2457
      @adamphinias2457 2 роки тому +1

      umeona shape tu au sio,,, hcho ndo kilimpa kibur mwenzio mpk leo hayupo tena,,,,, vtulizeni hvyo vishape vyenu kama bado hujamaliza kudanga usiolewe!!!

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +1

    Mwenyezimungu awasamehe wote marhemu na sisi pia atupe mwisho mwema. AMIIIN

  • @wenceslausmpanduji134
    @wenceslausmpanduji134 2 роки тому +1

    Mwanamke Mzuri wa kiislam Kama Avai zile Baibui kujistili na Umemruhusu ww kama mwanaume kujiachia hivo Ndgu yangu kama una wivu utauwa au utajiuwa tu

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 2 роки тому +165

    Hakuna sababu yeyote ile inayo halalisha mauaji let alone hizo petty reasons.
    Mtu aende kwenye show ndo sababu ya kumuua au kisa hakusikilizi ndo umuue?
    Mke sio mtumwa wako akose uhuru wake na kuacha Kila kitu anachopenda na kufanya unayotaka wewe tu sio kifungo hicho.
    Hii victim blaming inabidi iishe na watu wajue ndoa sio utumwa. Mkishindwana mnaachana it's that simple sio kutoa uhai wa mtu. Imagine dada au Binti yako anauwawa kwa hivi visababu uchwara. Hakuna sababu yeyote ile inayo guarantee kutoa uhai wa mtu.

    • @nth3512
      @nth3512 2 роки тому +17

      Wewe ni mwanaume au mwanamke? Km we ni mwanamke basi faham mke kutoka nyumban bila taarifa ni jambo linalopelekea makubwa, hata km alienda kwenye mpira alipashwa ampe taarifa mumewe, mume itakua kawaza vingine, na huenda sjo mara ya kwanza. Jitahidi kuwatii waume zenu

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 2 роки тому +54

      @@nth3512 Mimi ni mwanaume. Hata mke wangu akienda kulala huko huko mwaka mzima hapo tunaachana tu siwezi kuua mtu au kutetea mauaji kwa sababu yeyote ile. Ukiua unapata faida gani?
      Ukaidi sio uhalali wa kufanya mauaji. It's that simple.

    • @aggreyenock1221
      @aggreyenock1221 2 роки тому +9

      @@nth3512 bado haihalalishi kuua

    • @yasnaghump5763
      @yasnaghump5763 2 роки тому +15

      yaan nashukur wew uliocomment hata mm nipo kwenye ndoa ambyo ni Kama vile mtumwa au mfungwa wallah nataman nifanye kaz lkn amefungua kaduka nje ambcho ameweka mm niwe nauza hzo pesa tunatumia ndan lkn nataman nifanye kaz zangu niwe na pesa zangu anakataa ukizingatia alinioa nikiwa na mtot naumia Sana sielewi nifanye nn

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 роки тому

      Hakika

  • @ummymuya.2060
    @ummymuya.2060 2 роки тому +14

    Poleni sana wafiwa, Allah awajaalie Subra. Nae ampokee kwa wema In Shaa Allah. Ameen.
    Kwa maelezo ya huyu mama, mume anaonekana kuwa na wivu kupitiliza, ana gubu pia... huyo dada anaonekana sio mtu wa kudanga, ni mtu wa kujituma. Siku zote mume anatakiwa awe mlezi kwa mwenziwe. Miezi 5 ni michache sana kushindwa kumchukulia mwenzio. Tukisema hayuko serious na ndoa tunakosea, maturity ni suala la msingi ktk ndoa. Dada anaounekana bado ana utoto fulani, alipaswa amvumilie... kuna vitu vidogo vidogo angeweza kumanage yy km yy (mume). Wapo watu wanachukua miaka kupata quality ya mke wanaemtaka, wanasubiri ikibidi wanajitoa kwa ajili ya wake zao. Subra ni changamoto kwa huyu mume. All in all, hakupaswa kuua. Amekosea!

    • @emmanuelmashallo9739
      @emmanuelmashallo9739 2 роки тому

      we umeonaje? mambo ya gubu yanakuhusu nn we tulia bhana HUJUI KITU

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 2 роки тому +2

      @@emmanuelmashallo9739 Uko sahihi, mjuzi ni mmoja tu... Allah pekee! Ila ametuqadiria viumbe vyake kw kiasi alichopenda. Huo ni mtazamo wangu. Kukukumbusha ni kuwa comments haziko turned off, instead of criticizing what I said, uko huru kuandika uonavyo wewe. Hatuko kwenye mabishano hapa as if tunatarajia mmoja amshinde mwengine... Sio kila wakati tuoneshe tuko wajinga kiasi gani!

    • @salomemakore4809
      @salomemakore4809 2 роки тому

      Wivu uliopitiliza kabisa na ujinga pia .....huyo mwanaume hakuwa na hekima,unapigaje sm 42 missed call serious??.
      Mungu amrehemu dada yetu

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 2 роки тому

      @@salomemakore4809 Mmmh, kuna mjinga mmoja eti amejibu sijui kitu nitulie... Hivi utapigaje call zote hizo km wewe si mtu wa bugdha? Kwnn asifikirie kuwa labda mkewe amepumzika? Negative thoughts muda wote... hakuwa akimuamini wala kujiamini yy mwenyewe!

    • @MALENGWE
      @MALENGWE 2 роки тому

      Mwanamke sio mdogo ni ndoa yake yapili kwaiyo uyu mwanamke ni malaya kwasababu hata kampani zake wote malaya so uyu mwanaume yuko sawa kumpiga lisasi dawa ya msaliti nikifo

  • @salimmariga149
    @salimmariga149 2 роки тому +2

    Innalillahi wainnaillayhi rajioun...Allah amrehemu....wivu ukizd na kukosa uaminifu Kwa mwenza wako ni hatar sana

  • @ney4121
    @ney4121 2 роки тому +7

    Kila mtu ana tabia zake acheni kusema warangi nyie wenyewe ni wachafu haswa wa tabia

    • @williambayo1481
      @williambayo1481 2 роки тому +1

      Waja wanakera kila tabia mbovu wanatupià lawama warang na wambulu wakat saiv kila kabila n malaya tu

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 2 роки тому +6

    Wadada wamekapu wanaume Kama hamuezi Bora mtulie 2 kwasabubu Kaz zao muwe wavumilivu

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 2 роки тому +2

    Pole sana mama Allah akupe subir kwa wakat huumgum😭😭🤝🤝

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 роки тому +2

    Hii inaonyesha Hawa wanandoa walikuwa na mzozano wa mda lkn pia mume alikuwa na wivu na hakumuamin mkewe.hii ni tatizo kubwa jaman polen wafiwa Mungu awape faraja

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 2 роки тому +5

    Sasa kuuwa ndo solution ?? Wote hawakuwa naibada ya Mungu,Mitihani mtupu yaraby

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 роки тому +6

    hv kweli mkeo wako wa ndoa unamuua unakatisha maisha yke hv hv kwa kosa huna uhakika nalo kuhis hv unajua uchungu wa mke na wakwe zako wengine tunalilia tunanyenyekea kwa mola wetu atupe wake tutakao ishi nao kwa wema hatujabahatika hv unajua thaman ya mwanamke maishan umesahau mema yke utu wake nguvu zake huruma yke mangap anakufanyia kwa siku tunaenda wap hata uuze dunia na vilivyomo huwezi nunua utu wa mwanamke maishan 😢😢😢

  • @severinmillingasp2145
    @severinmillingasp2145 2 роки тому

    Duuuh! Inaumiza sana pole sana mama kwa kuondolewa uhai, binadamu wenzangu ususani wanaume au wanawake tumuogope mungu jamani tuwe na hali ya imani ya kiroho ktk kujali uhai wa kila kiumbe, tusihukumu tusija tukahukumiwa maana siku zaja

  • @zahrathomary1805
    @zahrathomary1805 2 роки тому +1

    Pole sana kwa familiaa, ila mm ningeomba tu vyombo vaa dola, laia jaman wasipewee vyombo vya moto jaman, hizi kesi zimekuwa nyingi jaman, dah poleni sana familia

  • @chikuomary7207
    @chikuomary7207 2 роки тому +8

    Acheni kuoa wanawake warembo by pastor mgogo mana wivu sio mzur

  • @thomthegotti
    @thomthegotti 2 роки тому +15

    Genuine love is not about holding very tight but letting things to flow and nourishing.

  • @JumaRashidi-qu6nv
    @JumaRashidi-qu6nv 2 роки тому +2

    Poleni Sana Sana inalilah wainailahragiun 😭😭😭,Ila kwanamna alivyosema mama was marehemu inaonekana hawo hawakua na amani ya mahusiano,ni Bora inapofikia hapo watu waachane tuuuuu

  • @mwamvitajeki9212
    @mwamvitajeki9212 2 роки тому +1

    Allah akupe kaul thabeet Swalha,aameen.. Dah! Inauma sana wallah! Mwenyew unahangaika kujitafutia rizki,halafu mtu anakukatisha maisha hivi hivi yani. 😭

  • @nth3512
    @nth3512 2 роки тому +8

    Kuna haja ya serikali kuweka mafunzo ya ndoa kwa kila channel ya TV kwa lazima japo siku moja kwa wiki. Sio mnaweka kampeni za choo kizuri mnasahau jambo hili. Vianamke vya siku hizi hasa vinavyotumia mitandao sana havina adabu kabisa, vinawaza kudanga ndo alternative. Alafu kuna nyimbo nazo zizuiliwe hasa singeli sababu zinapotosha jamii. Mfano nyimbo kuachana shilingi ngapi. Yani shetwan ametulia plan kona mbalimbali

  • @miriamcheya3136
    @miriamcheya3136 2 роки тому +27

    Mwanamke ni mzuri sana kama wanaume hawawezi kuvumilia mapungufu ya wanawake wazuri oeni wa kawaida muishi mpk kofi

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 роки тому

      👍💯

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 роки тому

      Exactly

    • @Tee-King
      @Tee-King 2 роки тому

      Na kama uwez kutulia usiolewe kwa nn ukubar kuolewa nan mwenye kosa sasa apo muolewaj au muoaji.

    • @kelvinaudax8287
      @kelvinaudax8287 2 роки тому

      So kwa sababu mzuri ndio usitulie??

    • @haniikim4876
      @haniikim4876 2 роки тому

      @@kelvinaudax8287 comment ya kijinga hii kuna wanawake wazur huyo mbaya na wanatulia kwenye ndoa zao.

  • @winfridagama5832
    @winfridagama5832 2 роки тому +1

    Pole mama unajikaza Sana,kwakweli inauma unazaa kwa uchungu mtu anaua Kama kuku

  • @ynawtyynot1261
    @ynawtyynot1261 2 роки тому +1

    Hapo hapakuwa na mapenzi Wala heshima haikuwepo kabisa, mwanamke hakuwa na mapenz ya kweli kwa mwanaume wake, na In aonekana wanaume wengi tu walikuwa wanamtaka daah binti hiki kiburi siyo Cha kawaida, missed call 40, unamtambia nimechoka, hapakuwa na upendo kabisaaa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 роки тому +5

    M/mungu ilaze rohoyamarehem mahali pema peponi..poleni sana familia

  • @whitestartz5024
    @whitestartz5024 2 роки тому +2

    Polen sana ndugu jamaa na marafiki,,shida ni kwamba wanaume wengi wanashindwa kutambuah kuwa kumfuatilia sana mwanamke ni kuanza kujenga chuki,,,muamin mpende akikosea muelekeze sio kujichukulia maamuzi mkononi

  • @ashrafhashimu7261
    @ashrafhashimu7261 2 роки тому +1

    Innalillah wainnaailayh raajiuun , Poleni sana
    Siku yake ilikua imefika, hakuna ambae angeweza kuzuia 🙏

  • @gabrielnyangasi240
    @gabrielnyangasi240 2 роки тому +7

    Kitu kingine nilicho jifunza ktk tukio hili ni kuepuka kuishi na mwanamke jilani na mazingira ya kwao.ukichunguza kwa makini utagundua huyu dada alikua akai au kushinda nyumbani kwake muda mwingi .

    • @smarttv3272
      @smarttv3272 2 роки тому

      Kbsa yaan mzururaji acha amekiona alichokuwa anakitafuta

    • @comulusnimbuss931
      @comulusnimbuss931 2 роки тому +1

      Angelimuacha tu..katika sababu zote ,a kumuua mwenzio ni hio..wanawake wapo tele...hakuna cha kumruhusu unyama kama huo..

    • @musason1680
      @musason1680 2 роки тому

      Juzi mama alienda kwao Leo baba kawaida watoto hawa ndo wanawaharbia watoto ndoa zao

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 2 роки тому +3

    Apumzike kwa amani! Ila kuwa na silaha ndani ya nyumba ni shida! Huyo mwanaume anaroho mbaya humuwezi mkeo muache!

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 2 роки тому +1

    Allah awape subra wafiwa na kauli thabiti kwa marehemu na mwisho mwema kwetu

  • @charzykiyabo3263
    @charzykiyabo3263 2 роки тому +1

    Kuoa mwana mke mzr ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule.
    Matokeo yake ndo hayo

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 2 роки тому +5

    Innalilah Wainna lilah rajioun poleni sana familya 😭😭

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 2 роки тому +3

    If there is no LOVE There is no peace at all never force love you you will face negative impact of force love

  • @zahrathomary1805
    @zahrathomary1805 2 роки тому +1

    And regardless the situation or the cases , unapata wapi ujasiri wakuaa jaman, hiyo ni roho ya kishetan, tuomben sana mungu hizi roho za hasira mbay zitutokee In sha Allah. Ina lilahi waina illahi rajuun,

  • @athumanially906
    @athumanially906 2 роки тому +1

    Kama ningekua hakimu na nikapata nafasi ya kusimamia kesi hii,basi ningeitumia nafac hiyo adimu kumwachia huru mtuhumiwa mwanaume huyuu,na hii family imlipe fidia, na sioi kamweee

  • @Stunners4Life
    @Stunners4Life 2 роки тому +4

    Mapenzi ya siku hizi siyo Kama ya zamani. Siku hikuhizi mahusiano yamebadilika sana digital inaharibu vijana na mahusiano ya watu wengi unadhani Kama siyo mitandao sangapi angepigwa risasi hizo

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 роки тому +22

    Mungu wangu pole Mama 😭😭😭😭

    • @salimtsuma3391
      @salimtsuma3391 2 роки тому

      ua-cam.com/video/HisVj5RQuTQ/v-deo.html #zuhurashaaban #kimasomaso👌

  • @grassryobaryoba3381
    @grassryobaryoba3381 2 роки тому

    Inatisha sana wanawake tuwaogope wanume MUNGU Amlaze mahalo pema peponi AMEN

  • @asmaboko8945
    @asmaboko8945 2 роки тому +4

    mwanamke ana nyodo inaonekana ana majibu ya hovyo na anachepuka. All in all alichofanya mume ni unyama. RIP dada

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 роки тому +21

    😭😭😭rest in peace wivu mbaya sana asante mungu nilinusurika

  • @grassryobaryoba3381
    @grassryobaryoba3381 2 роки тому

    Inatisha sana wanawake tuwaogope wanume MUNGU Amlaze mahali pema peponi AMEN