MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI, Mkurugenzi wa shule ndg Msuya! Kwa kumlea, kumtunza, kumsomesha! Hakika umeonyesha upendo wa YESU aliotuagiza ( Pendaneni km mimi nilivowapenda ninyi!) MUNGU AKUPE maisha marefu, Mtangazaji na Ayo tv, mtoto mwenyewe nyote kwa pamoja mbarikiwe! Amina.
@@hamisiharuna3099 ndiyo na Mungu anamtendea kweli kweli, umesikia anasema alikuwa kwenye majengo ya kujipanga na sasa yupo kwenye majengo yake binafsi.
Mr Msuya, Mungu akubariki sana kwa kumsaidia mtoto huyu.Mungu aukumbuke uzao wako na asikosekane wakukusaidia wakati wa uhitaji wako wewe pamoja na uzao wako.
Huyu mtoto yuko vizuri sana. Yuko mature sana.Hongera sana ndugu Msuya kwa moyo wako wa huruma. Yaani bila wewe tungempoteza huyu mtoto. Ni potential. Mungu akubariki sana. Tungepara watu kama wewe pengine watoto wengi wasingepotea.Mungu aendelee kukutunza.
Hiii ndo shulee yakupeleka watoto aseee Yani Antony wakusahau Hadi kiswahili Yani unamuona maneno mengine anashindwa kuyafafanua kwa kiswahili mpk atumie kingereza hiii ni Big up Sanaa alafu shule ipo kwenye wilaya yanguu daaah
Yaaani naiona roho ya uongozi ndani na huyu mtoto. Naiona roho ya utumishi. I see the bright future ya kijana huyu. Mungu amshike mkono azidi kupenya zaid na zaid.
Mr. Msuya ana moyo mkuu sana sana, yaani Aendelee na moyo wa kusaidia jamani, yani anamhudumia kama mwanae wa kumzaa, God bless you in all things you touch Mr Msuya
Daaaah.... Yani mtoto hajui kiswahili Safi sana. Anajitahudi kuongea kiswahili lakin automatically Kati kati ya mazungumzo anajikuta anagonga yai... Kazi nzur sana. God bless a boy with his sponsor
Mr Msuya MUNGU akubariki sana, upendo ulionao ni upendo wa agape. MUNGU atakulipa usipo zimia moyo. Hakika wewe ni mwema sana , umemuinua masikini kutoka chini na umempeleka kwenye mwanga. Ni wachache sana, wenye moyo kama wako. Ubarikiwe sana kiroho na kimwili, MUNGU ailinde familia yako, akufanye kichwa, usiwe mkia. Baraka za YESU ziwe ndani yako. Amen
Jaman Jaman huyu mtoto wow! Mwenyezi Mungu amtimizie ndoto zake Inshallah! Tunaomba Millard atoe mchango wake kwenye Maisha ya huyu mtoto jaman soo clever❤
Baba Isaac Msua , Mungu wa Mbinguni akupatiye maisha marefu ya heri , baraka tele kwako , na Huu kijana Anthony kwa kweli huu ni mtuu mkubwa , kiongozi kwa siku zijazo.
Mungu atakulipa wewe baba na waliyo mrusha Antony kwani walikuwa na nia ya kumsaidia mungu nae akaitika kika penye njia Pana njia "hii shule inaonyesha Iko vizuri sana Kwa tulivyo muona Antony na Sasa hivi tofauti kabisa kiakili na maadili pia Asante baba Kwa msaada wako
I have known him since he virally trended at that time.Its amazing, he got a lot of changes so far and the most beautiful part, he can speak good english as well.May God use him accordingly!
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu atazidi kumfungulia Antony Insha'allah awe na ufaham mara dufu, na mfadhili wake Mwenyeez Mungu amzidishie aweze kufadhili watoto kama hawa na mungu amfungulie kila la kheri insha'allah
Second version Magufulii in the near future, we pray for you my little brother, keep it up kaka mdgo u will make it zimekudizii level ila ana confidence kuliko mim🤔🤔🤔🤔
Mwl msuya Mungu wa Mbinguni akubariki sana maana mtoto huyo nilimfatilia sana wakati anarumbana sana na baba yake kwamba asiuze shamba alivyokuwa anafanana, kweli Mungu akitaka kukuinua anakutoa mbali. Anthony atafika mbali sana kielimu Mungu azidi kutembea naye.
may God bless you Anthony your story is so touching and it inspires those who may pass through same situation you passed through. God grant you more wisdom
Mtangazaji pia unaupendo Sana, Unajitaidi kumfatilia Mungu akubariki Sana, Pia Anaye msomesha Mungu amzidi shie kipato🙏.
Shukrani sana
@@godfreymillardayoripota3002 hakika kaka mkubwa pia upo vzr
@@amour5535 Nashukuru sana ndugu yangu 💪
Biashara hiyo hujui km inatangazwa shule hapo
Nimependa habari zako broo huziachi hewani unafatilia mwanzo mwisho
Kwa kila dua mwenyezi mungu akutangulie Mr Antony pia amtangulie na amzidishie zaid mfadhili wako.
Hongera sana Antony, Mwenyezi Mungu aendelee kukuneemesha, Ee Mungu Endelea kumbariki Huyu mfadhili uliyemuinulia Antony katika maisha yake.
Aminaarabililala amina.
Hongera sana musuya
MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI, Mkurugenzi wa shule ndg Msuya! Kwa kumlea, kumtunza, kumsomesha! Hakika umeonyesha upendo wa YESU aliotuagiza ( Pendaneni km mimi nilivowapenda ninyi!)
MUNGU AKUPE maisha marefu, Mtangazaji na Ayo tv, mtoto mwenyewe nyote kwa pamoja mbarikiwe!
Amina.
🙏🙏🙏🙏tunamuona magufuli wa miaka ijayo mungu azidi kumpa nguvu na maisha marefu Ameen ❤️❤️❤️❤️❤️
Nilikuwa naisubiri hii interview, Hongera na ubarikiwe sana uliyejitolea kumsomesha huyo mtoto🙏
Mwe Anthony amekua wanaogusa maisha yake mungu awabariki
Hongera Sana mfadhiri wake lkn pia hongera zake kwa sababu anskutia moyo
Hongera sana kwa kumsaidia kijana mungu atakulipa umemfanya kijana abadilike
Daah, aisee,! Hii nzuri sana. Hongera kijana Mungu akujalie, na huyu mfadhili Mungu atakulipa wema wako
Baba unayemfadhili MUNGU wa Bwana wetu YESU KRISTO wa NAZARETI akuinue Sana sana
Ameen
Ameen
Ndiye mmiliki wa shule anayosoma
Ameen
@@hamisiharuna3099 ndiyo na Mungu anamtendea kweli kweli, umesikia anasema alikuwa kwenye majengo ya kujipanga na sasa yupo kwenye majengo yake binafsi.
Mr Msuya, Mungu akubariki sana kwa kumsaidia mtoto huyu.Mungu aukumbuke uzao wako na asikosekane wakukusaidia wakati wa uhitaji wako wewe pamoja na uzao wako.
AMEN. ASANTE NIMEPOKEA
Amiiina 🤲
ANTONY is growing, he's intelligent he will save the society big up Musuya
Exactly
Msuya is something ealse
Huyu mtoto yuko vizuri sana. Yuko mature sana.Hongera sana ndugu Msuya kwa moyo wako wa huruma. Yaani bila wewe tungempoteza huyu mtoto. Ni potential. Mungu akubariki sana. Tungepara watu kama wewe pengine watoto wengi wasingepotea.Mungu aendelee kukutunza.
Highly appreciated to MR MSUYA and very big up to Anthony may God fulfill your dreams young man..
Hiii ndo shulee yakupeleka watoto aseee Yani Antony wakusahau Hadi kiswahili Yani unamuona maneno mengine anashindwa kuyafafanua kwa kiswahili mpk atumie kingereza hiii ni Big up Sanaa alafu shule ipo kwenye wilaya yanguu daaah
❤❤❤❤❤❤❤ nmefurahi sanaaa mungu akulinde usome kwa bidii sanaa
Yaaani naiona roho ya uongozi ndani na huyu mtoto. Naiona roho ya utumishi. I see the bright future ya kijana huyu. Mungu amshike mkono azidi kupenya zaid na zaid.
He will be a great man
@@priscillahmbugua3520 yeah actually yes.
Waalimu wa huyu mtoto wanajitahid sana. This school is doing a great job
Hakika
Balikiwa sana mtoa sapoti kwa Antony
Wow..I follow this story from the beginning..im really proud of him.. bravo AYO
Nimefurahi Sana kuona mtoto huyu alisaidiwa na anaendelea vizuri! Blessings Kwa wale wote waliohusika afike hapa wakiwapi team ya Millard Ayo🎉
Mr. Msuya ana moyo mkuu sana sana, yaani Aendelee na moyo wa kusaidia jamani, yani anamhudumia kama mwanae wa kumzaa, God bless you in all things you touch Mr Msuya
Asante my dear
Naomba like za Mtumishi wa Mungu Msuya
Daaaah.... Yani mtoto hajui kiswahili Safi sana.
Anajitahudi kuongea kiswahili lakin automatically Kati kati ya mazungumzo anajikuta anagonga yai... Kazi nzur sana. God bless a boy with his sponsor
Mwenyezi Mungu ambariki sana Mr. Msuya kwa kujitoa kwake kwa Mtoto Anthony.
Watangazaji Millard ayo wako vizuri wakihoji wametulia wako makini sana bigup 👍 sana nawapenda sana
Huyu jamaa wa shule mungu akubariki sana sana 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Congratulations boy,and you Mr Msuya be blessed 🙌 🙏
Mr Msuya MUNGU akubariki sana, upendo ulionao ni upendo wa agape. MUNGU atakulipa usipo zimia moyo. Hakika wewe ni mwema sana , umemuinua masikini kutoka chini na umempeleka kwenye mwanga. Ni wachache sana, wenye moyo kama wako. Ubarikiwe sana kiroho na kimwili, MUNGU ailinde familia yako, akufanye kichwa, usiwe mkia. Baraka za YESU ziwe ndani yako. Amen
Glory Sungura....asante nimepokea.
Mungu akubaliki sana msuya mungu akupe liziki usiku na mchana. Msuya unaroho nzuri sana .
hongela sanaaaa Antony jishilikilie ulipo shikwa ng'ang'ania
Jaman Jaman huyu mtoto wow! Mwenyezi Mungu amtimizie ndoto zake Inshallah! Tunaomba Millard atoe mchango wake kwenye Maisha ya huyu mtoto jaman soo clever❤
Kwenye kila maneno 10, dogo anamtaja Mungu hakika anampenda na kumwamini Mungu mbarikiwe sana ayotv
Uyu baba mungu ampe ktu kikubwa sana chenye baraka
dah safi sana Mungu akubariki mmiliki wa shule
MashaAllah mtoto amekuwa mfadhili mungu akubariki baba
Mungu ambriki huyu mzamini na ampamnanie huyu mtoto ana uwezo mkubwa sana🥰
Baba Isaac Msua , Mungu wa Mbinguni akupatiye maisha marefu ya heri , baraka tele kwako , na Huu kijana Anthony kwa kweli huu ni mtuu mkubwa , kiongozi kwa siku zijazo.
Mungu akubariki mnooo mpaka ushangae mlezi wa huyu mtoto. Natamani mwanangu aje kusomanm hapo
Mr. Isaac Msuya, Mungu akutunze sana wewe na wa nyumbani kwako. Asikupungukie kabisa😢
Hongera sana kaka izacki msuya aka bey🎉🎉🎉
This interview has made me cry , Rare to watch something and be touched like this , May the hand of god bless you in each and every of your needs
God
Mungu akubariki Sana uliejitoa na kumfadhili huyu mtoto anton
Hongera sana bwana Msuya kwa kujitolea kusaidia Antony. Mungu wa mbinguni akuinue zaidi
Mr God Ayo tv 📺 mungu akulinde sana mwamba.
Mungu atakulipa wewe baba na waliyo mrusha Antony kwani walikuwa na nia ya kumsaidia mungu nae akaitika kika penye njia Pana njia "hii shule inaonyesha Iko vizuri sana Kwa tulivyo muona Antony na Sasa hivi tofauti kabisa kiakili na maadili pia Asante baba Kwa msaada wako
hongera sana mr msuya hapo ulipoongea kuhusu kuingiza somo la kichina umeona mbali
Mungu katenda makuu mno mno,Mungu akutunze Antony,na Msuya Mungu akutunze kila iitwapo leo
Asante MUNGU,asante mfadhiri,asante hayo tv na asante mtoto Antony kwa kuwapa kipaumbele viongozi wako mbarikiwe sana Mwenyezi MUNGU awatunze daima.
❤❤what a lovely boy, stay blessed msuya
Mr,msuya Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwa sadaka ya huyo mtoto Yesu akukumbuke wewe na uzao wako Barikiwa saaaana
Mfadhili
Mungu akubariki
Aisee mungu akuongezee msuya
Mungu akujaalie sana unayemsomeshà huyo kijana mungu atàkulipa wewe na kizazi chako. Maana huo ndiyo ubinadamu na uzalendo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe unayemsomesha huyo mtoto
Hongera Kwa kumuombea mema na wewe Mungu Akubariki Sanaa
@@faza4023 Amen
Amina
Mr Msuya una kiti chako kwenye ufalme wa Mungu, uinuliwe zaidi. Antony keep it high son😊
Mungu akiamua kukupaa hatua za haraka hakuna mwanadamu wa kuzuia.
Mungu akubariki sana mzee msuya.
Hongera Sana mtoto Antony kwa bidii
Am from Kenya and God add you more years msuya
I have known him since he virally trended at that time.Its amazing, he got a lot of changes so far and the most beautiful part, he can speak good english as well.May God use him accordingly!
Msuya mungu akubariki mpare wa kwanza akizaidia
Ooooooh 😭😭😭😭😭😭😭SO AMAZING GOD IS ALIVE
Wow amekuwa jamani wewe baba mungu akubariki naakuzidishie Baraka tele🙏🏽
Hakika Mungu ni Mwema Mungu azidi kuwabariki nyote mlio mfadhili mtoto Antony ❤
Mashaallah allah akubariki kipaji kizidi baba unae msomesha allah akuzidishie
MR AIZACK MSUYA utalipwa na MUNGU hiyo ndo sadaka ya kweli au matendo ya huruma imenitoa machozi big up.ayo tv hizi ndo habari tunazotaka kuzisikia.
Congratulations Mr Isaac for supporting this young boy. You are blessed please keep up the great work
Msuya MUNGU Akubariki Sana na wote wanaonyesha Nia njema
Mungu aendelee kumtia nguvu mtoto Antoni na pia Mungu aendelee kumtia nguvu mfadhili
Wow that's awesome ❤❤❤ Antony Mungu aendelee kukubariki
Hio Amani Hills hata mimi nikiwa na mtoto nitatamani asome hapo. Mwenye shule ni mlezi mzuri saaana. God bless.
Karibu sana Doroth.
Wapo vzri lol hutokaa ujute kumpeleka mwanao
Wow hongera sn mtt mzuri … Wasimamizi wake wamusihi sana Asimuache Mungu
Kweli pesa za huyo baba kumsomesha dogo hazipotea mtoto ana kichwa Sana Mungu akubariki baba etu kujitolea
Ndo ujue umaskini unaua Ndoto na vipaji vya watoto wengi sana
Am from kenya ,,, Huyu kijana ana akili nyingi sana big up ! ,,,,,,Baba isaac mungu akuzidishie
Shukrani sana kaka moyo huo (msuya)
Keep it up mr MSUYA MUNGU akubariki zaidi mshike sana huyo kijana wako
Maashallah maashallah amekuwa mwenyezi mungu amjalie kila lakheli yaarabi ameen
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu atazidi kumfungulia Antony Insha'allah awe na ufaham mara dufu, na mfadhili wake Mwenyeez Mungu amzidishie aweze kufadhili watoto kama hawa na mungu amfungulie kila la kheri insha'allah
Wow wow Amen Amen mungu ni mwema ninapo ona huyu kijana amekuwa kijana wakati ule alikuwa mfogo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mlezi usichoke Mungu atakubari
Hongera sana baba Msuya,hakika ada yako inaenda vizuri,Mungu akubariki sana baba Msuya
How lovely Hongera sana unaemsaidia Mungu asikupungukie ,
Second version Magufulii in the near future, we pray for you my little brother, keep it up kaka mdgo u will make it
zimekudizii level ila ana confidence kuliko mim🤔🤔🤔🤔
Amina
Mungu akusaidie mdgo wangu ufike mbali zad nazaid inshaallah
Katoboa uyu dogo mungu azidishe baraka kwa Mr msuya❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️nimeipenda iyo lugha ya watu
May the almighty God bless you sir for sending him to school, Tanzania will celebrate this boy 🎉🎉🎉❤
Be blessed Mr Msuya
Mungu akubariki Mr. Msuya,akuongezee pale ulipotoa
Mtumishi Isack ubarikiwe sana. Mungu ainue taasisi yako na kukufanikisha zaidi kupitia sadaka yako hii
Aminaa....asante Man of God. Nimepokea dua yako kwa unyenyekevu
Mfazili MUNGU akupe maisha malefu afya nauzima vikatawale kwako MUNGU afungue balaka kwenye familia yako 🙏
Incredible! ,excess love from mr Isac,be blessed father
Woooooooow im so proud of this young Man.
Ppp
Mungu amzidishie kipaji zaidi yaapo
With this content I keep on holding a view tha Ayo Tv remains to be the best of all UA-cam channels.
Keep going Millard Ayo!!
Wow! I remember about the kid. This so interesting!
Mfadhili Mungu akusimamie sana na kukubariki
Asante mungu nimeona ukuu wako kwa huyu mtoto
Ukweli hata Mimi Nina shuhudu kuona vile Antony anaendelea
Mungu akuzidishie Mr Msuya kwa Moyo ulouonesha,
Mwl msuya Mungu wa Mbinguni akubariki sana maana mtoto huyo nilimfatilia sana wakati anarumbana sana na baba yake kwamba asiuze shamba alivyokuwa anafanana, kweli Mungu akitaka kukuinua anakutoa mbali. Anthony atafika mbali sana kielimu Mungu azidi kutembea naye.
may God bless you Anthony your story is so touching and it inspires those who may pass through same situation you passed through. God grant you more wisdom
You are blessed Mr.Msuya!
Safi ameongeza maarifa, pongez kwa walimu na mfadhili mnafanya kazi ya mitume,God bless you
So touching. The sponsor, God be with you.
Thanks so much ,, please this year
Be blessed mr Msuya.
Ahsanteni ,mtangazaji pamoja na baba msuya Mungu awabariki mno🙏🙏🙏🙏🙏
Such a kind man of God, Mr Msuya, for bringing up and educating Antony. May God bless you abundantly. Amen.
Wa Tanzania mna myoyo mzuri ya kusaidiana,mungu awabaliki,❤❤❤❤❤
Great!My Antony
I love you. As well his assistance.
God bless you all.