Ukitazama mamake pia umri umetangulia hawezi kumuhudumia kwa hiyo kiusawa mumpeleke hosp, akapate matibabu kwa "Full check-up" kwa uwezo wa mungu atapowa. Halafu ki-mental anawakumbuka watoto wake pia inamuuma km mzazi, yote hayo yanachangia.
Raman Ni muislam ilikuwa anasomewa akasema haon mafanikiyao sasa kwaza mumeelewe imani yk iko wap unajuwa Iman ndio kila kitu yy Iman yake alisema apelekwe kanisan Ila naona ilikuwa Ni nguo Kwan Hao kina fabi Ni waisilam Allah ndie anayejua magum ya Rama naamin iko sku atapoa Ila atoe kitu ndaniya moyo wake bado anakitu husema alishasamehe Ila mmh
Allah atakuafu baba angu watoto hata uruma jmn mzazi ni mzazi hata awe na kasoro mara elfu rkn hatabaki kuwa mzazi wengine tunatamani hata tungekuwa nao hila wametangulia mbele ya haki
Kweli bora apelekwa hospital. Watoto wake ndugu zetu kutokwa na Imani kiasi hiki. Pengine na mawazo ya unyonge. Bibi mgonjwa pia. Mlango wa pepo uwazi bado juu ya mzee wenu. Msidharau
Fabi bro rama anatakiwa afanyiwe operation ya mguu hiyo ni cartilage imeisha ktk mifupa ya goti inabidi operation apate kutembea na pia apate glucosamine
Magotini ute ukimaliza ndio magoti yanauma kabla ya uparation kuna dawa za vitamin D pia mtu hupewa mimi nipo nje ya nchi nilipewa hivo kutokana na kukosa jua na ka Rama hatoki nje kupata jua angekuwa ana mtu kila asubuhi amtoe aote jua kisha dawa nyengine aroweke bamia 24hrs kisha anywe ile supu yake ya rojo la lenda la bamia lakini inataka moyo kunywa bamia isiyopikwa
Hiyo si kazi yako fab ni kazi ya selikalii kuwa angalia raia wasio na uwezo kama Rama, ambao wako wengi, lakini viongozi wetu wanaishi maisha ya milionea, amkeni wabongo kwenye usingizi mliolala
Sqsa wqmuache asisaidiwe. Selikali ni watu na kilamtu nakabuli lake naaazabu zake wao watajua wenyewe kwani hawataishi milele wataonana na Muumba watajibu wanayoyafanya
Hiyo miguu anatakiwa kula vitamin D bamia la kuroweka unakunywa na supu za miguu kama ya ng'ombe,mbuzi au kondoo ni supu ya miguu si ya nyama mungu ataleta wepesi na kuota jua la Asubuhi ni muhimu
Yaa Allah tunakuomba wewe kwa uwezo wako umponye baba yeyu Ramadan awe sawa ameen inshaallah 😢😢😢
Mmh pole baba kweli sahiz anaumwa mola amfanyie wepes apoe inshallah
Pole sana brother mwambieni ajitahidi kunywa maji
ALLAH atakusaidia inshallah 🤲 kheriiii utapon baba anguu
Ya! ALLAH msaidie mja wako huyu MZEE RAMADHAN. Anapitia magumu sana ila hakuna wa kumuondolea ila ni wewe pekee ALLAH.
Allahumma amiiiyn
Daaah polee sana kaka uyu ilibidi asisubili mbaka mwezi wakumi ilibidi aludishwe akafanyiwe tena vipimo
Mungu akufanyie wepesi Bwana Rama
Asalam alaikum warahamatullahi wabarakatuh Alhamdulillahi alakulihali in sha Allah pesa ikipatikana akafanyiwe MRI
Mwenyezi mungu akupe nguvu
Allah kadeer kwa kila mja wake 🤲
Ukitazama mamake pia umri umetangulia hawezi kumuhudumia kwa hiyo kiusawa mumpeleke hosp, akapate matibabu kwa "Full check-up" kwa uwezo wa mungu atapowa. Halafu ki-mental anawakumbuka watoto wake pia inamuuma km mzazi, yote hayo yanachangia.
Mupeleni kwabule jamani aende kwakiboko au kwa R mwasha from Capetown
Mwenyezi mungu akuafu baba
Pole Sana na mtihan
InshaAllah 😭😭😭😭
Pole babangu ila ningependa kukushauri upitie pia Kwa maombi kama spital haukuonekana ugonjwa Mungu akufanyie wepesi babaa
Raman Ni muislam ilikuwa anasomewa akasema haon mafanikiyao sasa kwaza mumeelewe imani yk iko wap unajuwa Iman ndio kila kitu yy Iman yake alisema apelekwe kanisan Ila naona ilikuwa Ni nguo Kwan Hao kina fabi Ni waisilam Allah ndie anayejua magum ya Rama naamin iko sku atapoa Ila atoe kitu ndaniya moyo wake bado anakitu husema alishasamehe Ila mmh
Allah atakuafu baba angu watoto hata uruma jmn mzazi ni mzazi hata awe na kasoro mara elfu rkn hatabaki kuwa mzazi wengine tunatamani hata tungekuwa nao hila wametangulia mbele ya haki
Sasa hiyo gesi kama mikono inakakamaa itakuwaje jaman
Kweli bora apelekwa hospital. Watoto wake ndugu zetu kutokwa na Imani kiasi hiki. Pengine na mawazo ya unyonge. Bibi mgonjwa pia. Mlango wa pepo uwazi bado juu ya mzee wenu. Msidharau
Apelekwe hospital ya mloganzila wako vizur sana mungu atamsidia
Kk Rama maji ndio shida dawa anakula zina itaji maji kwa wingi apelekwe osptali atawekewa drip ya kumwongezea nguvu ni drip atapata nguvu
Fab mpeleke kwanye maombi kwa kiboko wa wachawi uwezi kiss.
Jua atapona
Ila watoto wake 😢 jamani hawana huruma kweli apana samehe ili tusamehewa
Fabi bro rama anatakiwa afanyiwe operation ya mguu hiyo ni cartilage imeisha ktk mifupa ya goti inabidi operation apate kutembea na pia apate glucosamine
Magotini ute ukimaliza ndio magoti yanauma kabla ya uparation kuna dawa za vitamin D pia mtu hupewa mimi nipo nje ya nchi nilipewa hivo kutokana na kukosa jua na ka Rama hatoki nje kupata jua angekuwa ana mtu kila asubuhi amtoe aote jua kisha dawa nyengine aroweke bamia 24hrs kisha anywe ile supu yake ya rojo la lenda la bamia lakini inataka moyo kunywa bamia isiyopikwa
Fabi mshauri anye maji mengi maana maji yakipungua husababisha mwili huchoka
Wa kwanza
Inabid akafanyiwe vipimo vikubwa kabisa
Hakuna sauti
Ipo simu yako mbovu
Sauti haiko
Ipo simu yako mbovu sana😅
@@aishaarusha894
😂😂😂Una hatari
Ni malaria hio ametafunwa na mbu sana
Hiyo si kazi yako fab ni kazi ya selikalii kuwa angalia raia wasio na uwezo kama Rama, ambao wako wengi, lakini viongozi wetu wanaishi maisha ya milionea, amkeni wabongo kwenye usingizi mliolala
Sqsa wqmuache asisaidiwe. Selikali ni watu na kilamtu nakabuli lake naaazabu zake wao watajua wenyewe kwani hawataishi milele wataonana na Muumba watajibu wanayoyafanya
Hakuna ajuae kesho yake ww ukisubiri selekali, yakikukuta ww watu wakikwambia iyambie selekali usilalamike ,din zote Zina tufundisha tuhurumiane tusaidiane ,fikiri kabda ya kusema
Huyu mzee anatakiwa anywe maji mengi angalau lita mbili kwa siku, mwili wake hauna maji mimi pia nilisumbuliwa na kuumwa na mwili na sana miguu
Hiyo miguu anatakiwa kula vitamin D bamia la kuroweka unakunywa na supu za miguu kama ya ng'ombe,mbuzi au kondoo ni supu ya miguu si ya nyama mungu ataleta wepesi na kuota jua la Asubuhi ni muhimu
Mungu wa mbinguni nakuomba umkumbuke mwanao Rama mpe afya mwondolee maumivu umpe furaha.
Jamani tumchangie kaka Rama akapate matibabu.
Fab mpeleke nabii kiboko wachawi
Atumie dawa za wamerekani foreva
Zipi
Wapi zinapqtikana. Huwanasikie wapo mwenge sijuihisehem gani mm nataka niende huko nikaonane nao ninaumwa
Itakuw lbda umefanyiw mambo mengine yale yakoshirikina lbda
Apelekwe kwa nabii kiboko wachawa yupo buza kwa lulenge
Kwanini ajaenda kwakiboko ya wachawi mungu nimoja tu mpelekeni atatembeya tuu