NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Mrisho Mpoto 'Mjomba' alipofunguka 'ya kutosha' kuhusu sanaa na soka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Ni msanii mahiri wa mashairi na nguli mwenye staili ya kipekee ya kughani, Mrisho Mpoto almaarufu 'Mjomba' ndio mgeni kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza.
    Unajua kuwa Mpoto ni shabiki wa Simba SC 'kindakindaki'?Unajua kuwa licha ya kufeli darasa la saba lakini usanii umempeleka kusoma kwenye vyuo vikuu vingi duniani?
    Unamjua 'Mjomba? aliyekusudiwa kwenye nyimbo yake ya 'Salamu'?
    Gwiji huyu amefunguka yote hayo kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza na ameendea mbali zaidi kwa kuweka ahadi dhidi ya Yanga SC.
    Tazama mahojiano haya mazito.
    Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku, Azam Sports 2.

КОМЕНТАРІ • 51

  • @husseinzaidi6059
    @husseinzaidi6059 6 років тому +8

    Safi sana Mrisho mpoto, wewe ni dira kwa vijana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 роки тому +4

    Elimu ni muhimu lakini sio kila kitu ndani ya maisha. Commitments and determination is the real life goal.

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 5 років тому +6

    Katika Nyundo zote,hii ni superior, hakika

  • @mwenemaseko4921
    @mwenemaseko4921 6 років тому +14

    barwan is one of the best,maswali mazuri sana watangazaji wengi vijana you need to learn from him.

  • @yassinudd4422
    @yassinudd4422 5 років тому +5

    baruani, show moja nzuri sana.

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 5 років тому +4

    Muhuza Leo umekutwàaaaaa,raha sana hii nyundo

  • @jamesadrian4557
    @jamesadrian4557 5 років тому +5

    Baruan upo vzr sana...bonge la kipindi nakipenda sana

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 6 років тому +20

    Wanaokubali kuwa hii ndo nyundo bora kabsa gonga like za kutosha hapa

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 6 років тому +10

    Kwangu mimi, mpoto ni mtu muhimu sana ktk nchi yetu, pia jamii inawahitaji wakinampoto. Kiswahili ni lugha yetu lkn tumeshindwa kukiishi lkn mpoto anaishi uhalisia wa kitanzania na uafrica pia.mpoto ajue kwamba tupo tunaemfuatilia na anatuelimisha sana sana na pia mpoto ni mzalendo wa kweli....Mjomba tupo pamoja mi nakuelewa sana.

  • @mikenjeru9699
    @mikenjeru9699 4 роки тому +1

    mrisho mpoto motooooo fani sugu hapa Kenya

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 6 років тому +11

    Leo walikutana manguli na magwiji kweli kweli.Kwangu mimi ngoma drooo wote.Majadiliano bora kabsa wala hutamani yaishe ila mpoto kichwa sn japo hajasoma elimu rasmi

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 5 років тому +6

    Jamani, Mrisho ana jajiriba na weledi mwingi katika ushairi.

  • @paulineochami578
    @paulineochami578 3 роки тому

    From kenya namuenzi sana Mrisho mpoto

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 роки тому +1

    best of Burhani...great interview

  • @masoudmasasi1801
    @masoudmasasi1801 6 років тому +3

    safi sana azam tv tunapata burudani kupitia youtube ila muwe mnaweka pia za racing shows maana miezi miwili sasa hamjaweka youtube

  • @mrishomzelela4627
    @mrishomzelela4627 6 років тому +4

    nice program

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 роки тому +1

    bright guy ....Mpoto

  • @punchmalcom106
    @punchmalcom106 5 років тому +5

    Baruan kweli Leo umekutana na kichwa , katika vipindi vyako vyote ninavyokufatilia hapa leo nimefurah sana

  • @amananassor524
    @amananassor524 5 років тому +5

    nipo jeddah saudi arabia upo pamoja

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 5 років тому +6

    😂😂😂😂😂😂 Mpoto ni mtata saaaana,Hataki habari za bangi

  • @joachimlema3299
    @joachimlema3299 5 років тому +3

    Kweli hii ni nyundo

  • @hamisimashaka4899
    @hamisimashaka4899 5 місяців тому

    MJOMBA ni kiongozi yoyote yule anaepewa Majukumu ya Kuwatetea wananchi wake

  • @ylosvijevana6815
    @ylosvijevana6815 4 роки тому +1

    Mpoto ana Hasira

  • @paulomrisho19
    @paulomrisho19 3 роки тому

    Mrisho mpoto 💥💥💥💥

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 5 років тому +4

    Jambo la uongo likirudiwa saaana litaaminika na kuwa kweli mstar huu nimeukubali

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 роки тому +2

    Ukiwa unajua kusoma na kuandika, umepata mafanikio na unaendelea kupanua mafanikio yako kifedha, kiroho na huna matatizo yoyote kimaisha, kwanini unataka kurudi tena skuli? Just focus on your music business going back to school now, it is not too late but it will set you back somehow.

  • @eliapendakileo4787
    @eliapendakileo4787 5 років тому +2

    Dah baruan we nimkali dah hyu jamaa alikuja arusha alitujibu kiutata balaa ila leo kajibu yote ila kwakinyumenyume

  • @mussalila4547
    @mussalila4547 6 років тому +5

    Mamae jamaa anamaswali magum mpaka MTU unataman kuomba poo

  • @tchinhonacir9222
    @tchinhonacir9222 3 роки тому +1

    Jamani naomba jibu kwanini mrisho Havai viatu?

  • @alexfrance5486
    @alexfrance5486 5 років тому +5

    Kutembea peku ni dawa kitaalamu inaitwa foot massage( Reflexology)

  • @jryoungsolderp4397
    @jryoungsolderp4397 4 роки тому +1

    Ok

  • @enjoychristopher3863
    @enjoychristopher3863 6 років тому +4

    tunakukubali mjombaa pongez kwako

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 5 років тому +4

    Kupitia hii interview leo ndio nimejua harusi ya mpoto keki ilikua boga na madafu 😂😂😂wallah nimecheka eti kisamvi namihogo😂😂

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 5 років тому +3

    Nimekupata mjomba, unaweza kutukumbusha mwalimu aliyekwambia wewe ni hamna kitu tuondolee maladhi? Na kama bado yupo je? yeye ni nani kwa sasa? Kwamaana ya kwamba anafanya kazi gani? "KUFELI KWA MASOMO SIYO KUFELI MAISHA "

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 років тому +4

    baruani wewe hunamfano kabisa kaka

  • @nurudinmwakisale1509
    @nurudinmwakisale1509 Рік тому

    Pesa ndgu zangu

  • @ramsonilkamafa3162
    @ramsonilkamafa3162 4 роки тому

    anae jua anajua tu.

  • @ramsonilkamafa3162
    @ramsonilkamafa3162 4 роки тому

    hivi Baruan Muuza umewahi kutana na mahojiano ya namna hii( magumu,utata,hasira,swali kua jibu la swali lako?)

  • @team_JosKenya
    @team_JosKenya 3 роки тому

    Busara tupu kutoka kwake mrisho mpoto..

  • @mbojehamis4933
    @mbojehamis4933 6 років тому +2

    Duuh... Mjomba uko vzur... ila miguu imekomaa kha..

  • @malikihemfaume3906
    @malikihemfaume3906 5 років тому +1

    Mjomba usiwasahau wazaz ambao ni bibi na babu ( )

  • @rashidimasoud558
    @rashidimasoud558 4 роки тому

    😂😂😂😂😂😁😁😁😁

  • @jonahbosita8792
    @jonahbosita8792 2 роки тому

    baruan napenda jinsi unafanya mahojiano yako,una busara isitoshe napenda kazi ya mrisho mpoto.

  • @johnceamos7504
    @johnceamos7504 5 років тому +2

    Mpoto kama hana nyusi vile

    • @andersonchibule4761
      @andersonchibule4761 5 років тому +1

      Heheheeee. Peku nayo

    • @mbwanahassan3371
      @mbwanahassan3371 5 років тому +1

      mrisho mpoto mambo anayoyafanya ni kweli ndivyo alivyo nimeishi nae alikuwa rafiki yangu wa karibu toka anatoa shairi lae titi la mama ni tamu pale mabibo namkubali sana

  • @wisehood0417
    @wisehood0417 3 роки тому

    Sir we need hormonize on your table