NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Usiyoyajua kuhusu Bongo Zozo, asema yeye ni Mtanzania, apanga kwenda Hijja
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Ni kipindi cha tarehe 21/11/2019 tukiwa na shabiki mashuhuri wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) maarufu kwa jina la Bongo Zozo. Amefunguka mengi ikiwemo historia yake ya maisha pamoja na uhusiano wake na Tanzania licha ya kuwa yeye ni raia wa Uingereza.
Ametaja maana na asili ya jina lake, huku akisisitiza kuwa yeye ni Mtanzania kwa kutaja sababu kadhaa. Amezungumzia uraia wake na wa watoto wake, ametaja jina lake la ukweli, ameeleza kuhusu taaluma yake na kazi anayofanya "Mimi ni mtaalamu wa fedha za zamani ".
Kasema ukweli wazungu tunaamini ni wabaguzi na km alivyosema watunyanyasa sana. Tumesha wasamehe wote 👐👐 Mungu ibariki Tanzania
Hawasameheki kwasababu hataki kubadilika. Damu yao imejaa hatred.
Tutakupa uraia uko vizuri Sana bongo zozo uko tofauti Sana wazungu wengine
kama umesikia wazungu wa uingereza wanavyotamka bongozooo gonga like😅😅😅😅
Ooooo
Masha Allah..mcheshi sana
Nmekuelewa vzur sana BONGO ZOZO!,kuna kitu kikubwa sana kwenye maneno yako
Nakupenda jamani mungu akulinde. Akupe maisha malefu
Watu km hawa wanaishi maisha marefu ni full shangwe! Yuko so positive! Hakuna chuki.
I guess im randomly asking but does anybody know of a method to get back into an instagram account?
I somehow lost the password. I appreciate any help you can give me
ukimkuta Diva wa clouds anajifanya kiswahili hajui😄😄😄
Hongera Mtanzania wa hiari.
Bongozozo.
Aisee bongo zozo upo vizuri sana.mungu akubariki sana
Libiya waliingiziwa vibaraka hivo hivo sasa huyu bwana tumwanglie vzuri
Issa Ahmady;ila na huko ulaya wapo wabongo wamepata uraia sasa na wao wachungunzwe ama vp??!!.
Acha kuwaza Kama mtoto.
@@jumamakaja8802 ha ha ha--------
Umeona kiswahili kilivyo na nguvu sio
Baruhani muhuza ufanye mpango umuite tenaaa aje kwenye kipindi
Watanzania tunakimbikia ulaya na kuongea kingereza ila wazungu wanapenda afrika na kiswahili
shemejiiiii ni 👌👌👌
Ni makala nzuri.
Hyu bongo comedy sanaa daah
Safi sana
Safi Sana hongera
Huyu kakuria kilipo jaa English lkn kaamua kuongea kiswahili bila kuchanganya English lkn cc wa kibongo mara
You know you know it's like 😂😂😂😂😂
Wajiona ni wazungu
Utaskia "am, so , actually, ha ha haa wabongo bhanaaa in shiddah!
Ruga ngeni ni Tam mdomoni na ndio maana kila mwenye nayo mdomoni mwake anajisikia Raha kuiongea kwaiyo kawaida tu
Genius Bongo zozoo👏👏👏
Kwel bab wawe makini
Saafi sana bongo zozo mzee wa fujo isio umizaa
Bongo zozo namkubali sanaaaaaaaa
hongera sana bongo zozo wewe ni shemeji yetu
Watoto wako ni watoto wangu,na watoto wangu ni watoto wako.
Fanya hivyo uingereza watakuitia polisi.Dah!,Bongo Zozoooooo
Mahojiano bomba sana
Bongo zozo safi sana
Bongo zozo ni 🔥🔥🔥🔥
Shemeji wa Taifa....
😆
Wengine hawa wanakuwaga wapelelezi
Hizo tuhuma zako zinakuwa hazina msingi, na mawazo yako ni kama ya wale wanaodai urai pacha watu watakuwa wasaliti. Mbona Zitto na Tundu Lissu ni wasaliti lakini husemi lolote ama kwa kuwa rangi yake nyeupe?
Kila mtu ana mawazo yake na mtazamo wake, maana hapa hayupo Lissu wala Zitto
Iiii iseee noma xna tuwe makin watz this secrety plan details agent.
haha nashukuru sana bongo zozoz kwamba umejua kuwa wazungu wameiharibu na kuiuwa sana wakanyang''anya vitu sana Afrika kwaiyo narudia tena kama nilivyosema hapo wali kuwa wazungu hawawapendi watu wa afrika daima wala tusijidanganye kwa hilo hata umuone mwema vipi ila moyoni atabakia kuwa na roho ya kizungu milele habari ndi hiyo na ukimuona mzungu kapenda nchi ya afrika ana sababu zake za msingi ila sio mapenzi kutoka moyoni Ahsante sana
Kumbe wahehe wanahasira ndo mana mm nimerisi🤔🤔
Bongo zozo noma sana heshima kwako
Huyu jamaa ana mambo mengi na anaongea mambo mazuli tuna mpenda sana
Safi bongo zozo
bongozozo unajifanya una wivu na mwanao sio ?
Katika MTU natamani tumvute wcb ni muhuza fundi huyu
Shabiki kindakindaki
Hili jamaa asa lina akili hatar
Hyu bongo zozo leo ndo nmemuelewa vzr san ni mjanja sanaaa anaakili nyingi san sio mtu wamchezo mchezo km tunavyo muona na ucheshi wake na vituko vyake kuna kitu kikubwa san anakihitaji hapo tz na atakipata kwa bahati nzuri amezaa na mtanzania basi kesha fanikiwa malengo yake
Watanzania wenzetu hawalioni lengo lake... wao kama kawaida wanashangilia tu.
Mzungu atapiga hela apote wasimsikie tena.
Pongez sana bongo zozooooo
Mtazamo wako. Hiyo ndo asili yetu
Kihamba cha asili bongozozo Tanzania ni nyumbani.
Peter Katete @ tuwasiliane Tafadhali
😁😂😂😂😂😂😂
Hahahaaa aisee jamaa huyu ni mtoa buludan saana yuko vizur koz anachangamsha akili za watanzani
Bongozozo uko vizuri kwani unasema kweli. Naomba namba yako ya simu. Tuwasiline kwa namba hii 0784795190.
jamani hichi kipindi marudio yake lini?
Nitumie namba yako bongo zozo
Wacha kujipendekeza Aron.
Walah nimetokwa na machozi niliko vizee tunavilea sisi manyani mtoto anakuja mama kashaondoka duniani anabaki kuliza masuali
Walah usingizi sina wee zozo mama yuko wapi na baba n ndugu zako wako hivi mbavu zangu 😂😂😂
Huyu jamaa ana akili sana....ukiachana na ucheshi wake
Ana akili sana kwasababu kagundua Watanzania hatuna akili kwahiyo ana mipango yake atapiga pesa kirahisi.
Sio akili ni ujanja. Lazima uwe mjanja utaitwa SMART 😂😂😂
bongo zozo,,iringa sehemu gani ulipokuwa? Kibwa,kihesa,ipogolo,mtwivila,kitwilu,,
Huyu ni Moja ya masonic mchezesha kamali na upatu bahati na sibu
Badilisha viatu Bongo
Mhehe kuliko mchaga hahahaa
Uki waumiza zaidi, watakuwa wajinga zaidi.
Mwambie ninayo ile yenye tobo aje tuongee biashara chap
Bongo zozo me nina izo ela 2fanye biashara kwa mawasiliani zaidi 0767503668
Acha tamaa
@@danifordndoza6545 sio tamaa izo ela zipo na ninazo bola ungesema soko amna ningekuelewa
Nichek Kama inawezekana tufanye biashara 0789140464
😎
Ninaomba bongo zozo anitafute nipo na pesa nyingi za zamani anitafute kwa namba hii 0777432072
0789140464 nichek tafadhali
Baruani, wewe ukipewa passport ya Tz na ya British utachagua ipi?
Majibu ya wengi wa Watanzania tunayajua
Sijui kwanini umuulize mtu suali kama hili la passport ?
Suali hili hili la passport niliona kaulizwa Salim kikeke kuhusu mwanawe ambae kazaa na mkewe ambae ni kutoka Welsh. Nashukuru Salim alikua mkweli moja kwa moja akasema atabakia na passport yake ya British .
Kweli ni muingereza na lugha yake ya asili ni english . Ila hapa kaongea kiswahili kwa asilimia 99% . Ajabu kwa mswahili aliye fikia kidato cha 4. Embu tuthamini lugha yetu ndio utambulisho wetu.
Ruga ngeni tamu mdomoni nandio maana Ata yeye anajisikia raha kuongea
Raha kamwe haisikiki ila sauti na ngurumo husikika. Raha ni hisia zenye mzizimo kwenye moyo wa mwana dam. Mswahili na lugha yake ni kitu cha kujifagharisha . Sio kuongea huku ukichanganya maneno ya lugha zingine ikiwa hadi sasa walio soma hio lugha na kuielewa asilimia 45 hawafiki.
bongo zozo,,iringa sehemu gani ulipokuwa? Kibwa,kihesa,ipogolo,mtwivila,kitwilu,,
Huyu jamaa ana akili sana....ukiachana na ucheshi wake
Oketch OketchGud
Kwa kawaida huyu jamaa utamchukulia kawaida lkn kwa macho ya mbali huyu bwana mimi ninawasiwasi naye
Unaweza kuta anatega mabomu sisi hatujui
Uhakik na tuwe makin jaman hbu waulizen walibiya hhhhhhhhhhh noma xna
myaka 23 tz kazi collector???
Izo ela zipo soko ndo halieleweki .
Nipe no yako bongo zozo
Safi sana
Daaah umelonga
Huyu jamaa kafata pesa za zamani zilizopo mbeya kule na sehemu mbalimbali wakuangaliwa hapa tz
Nimecheka sana
Bigup bongo zozo wewe ni Mtz
Huyu jamaa namkubari sana
Zozo uraisi usikupite 2020 Pls mbona raha jiunge chadema