WASAFI PRESENTER SEARCH2023 YAMOTO BABALEVO ANAWAONDOA WASIOKUWA NA VIPAJI KIROHO MBAYA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 76

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Рік тому +20

    Dada wa taarifa ya Habari ni anajua kuliko hata hawa majaji

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Рік тому +15

    Haya maisha acha tu! Husimdharau mtu,,,leo Baba levo ni jaji wa kuwatafuta watangazaji. Amini husiamini haya maisha ni kupambana

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Рік тому +4

    Dada wa taarifa ya habari yupo vizuri

  • @barakareonand6620
    @barakareonand6620 Рік тому +2

    Baraka bless kigoma moja iyo

  • @skola3217
    @skola3217 Рік тому +8

    Unajua nn aisee...watu wengi mnadout vitu tusivyokuwa na ujuzi wetu Ila dada anajua sababu tone yake ipo fresh Ila anawasi wasi kidogo Ila akipatiwa nafasi na akizoea mic atakuwa mmoja wa mapresenter wazuri ..by mogwa

  • @ludovickanael3426
    @ludovickanael3426 Рік тому

    Nyie waamuzi hamna tofauti na ngedere,na hao watahiniwa ni mahindi mabichi shambani,mnatamani sana kazi zenu,na hao mnaowatahini ni kama MAADUI zenu, sijui kama hii iko sawa, hii program ni ujinga mtupu, majaji wanatakiwa wawe watangazaji nguli,wapo wazee wetu wa heshima,kina Charles Hillary, na wenzao,tutavuna vipaji vingi sana vikubwa, hii program ni ya kihuni,!!!

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 Рік тому +1

    Uyo mzee wa Baisker kiboko

  • @stevenkomba5692
    @stevenkomba5692 Рік тому +12

    Mh raisi Samia KUPITIA Broo Bashe nawomben sana Sana mchakato wa Kila kijana kupewa ekar 10 pamoja namtaji Ili kujikwamua KUPITIA kilimo ufanyike kwakasi maana haya yanayoendelea nikukatishana tamaa ktk maisha tu.

  • @DanielDePeterson
    @DanielDePeterson Рік тому +3

    Jamani sawa babalevo anajua nini kweli

  • @nicki1885
    @nicki1885 Рік тому +4

    Baraka 🙌🏾🙌🏾

  • @sakinamohamedy4646
    @sakinamohamedy4646 Рік тому

    Namwanza mjee jmn tunavipaji vingi vya uprisenter nikiwa mmoja wapo

  • @iddymuya206
    @iddymuya206 Рік тому +2

    Baba levo ana kiherehere sana

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Рік тому +1

    Kila kitu mnakataa kuma njegere kabs machaliii wqnajitahid mazingua

  • @hawakibambe8678
    @hawakibambe8678 Рік тому

    Wanasema bora kuthubutu lkn aahhaha huku kujajiwa kisenge namna hii hapana

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Рік тому +2

    🤣 🤣 Nikose vyote lakini sio bado😆😆😆

  • @msakamaboga5712
    @msakamaboga5712 Рік тому +4

    😄😄😄😄😂😂😂 Kuna wa Taarifa ya habari 😂

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Рік тому +17

    Dada aliyetangaza taarifa ya habari anajua

  • @kingomediatv
    @kingomediatv Рік тому +1

    Kwani Wabongo kiswahili Tumeshindwa kabisa

  • @keyla3641
    @keyla3641 Рік тому

    Jamani waongo wengine wako vizuri

  • @erickmukamba310
    @erickmukamba310 Рік тому +1

    Vraiment Tanzania kuko ba chaumière sana

  • @nurumwenkale3387
    @nurumwenkale3387 Рік тому +2

    Hawafai wote kua majaji

  • @harunahamza8547
    @harunahamza8547 Рік тому

    Very good

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Рік тому +1

    Ety, mtu anashout,. Wanakatisha tamaa sana

    • @mwana4599
      @mwana4599 Рік тому

      Wengine hawajukubaliana nae. Safi.

  • @gmavoice1893
    @gmavoice1893 Рік тому +1

    mna jaji lakini kiukweli kuweni na uangalizi kwa washiriki Cz kuna kitu apa sijakielewa mna wakosea washirikii..

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 Рік тому +2

    Safi Sana Ana weza Sana uyu dada

  • @samwelgodwinofficial
    @samwelgodwinofficial Рік тому +1

    Mwamba wa Whizzieh updates unajua🙌

  • @nasibusilumbu7215
    @nasibusilumbu7215 Рік тому +1

    0215 anajua si mwingine Baraka

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Рік тому

    Tutaftie the story book mwingne jamari Hana kipaji Cha the story book kwanza ana saut ndogo haivutii kusikiliza!! Mwambie ajifunze kwa mtangazaji aliepita! Wa the story book alikuwa mlameshiba saut na ilikuwa inavutia !! Ko jamari ataftiwe kipind kingne!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Рік тому +4

    Yani utashangaa hawa kina baba levo waliobahatika shavu kwa ushkaji na kupendwa tu na daimond wanajiona wamefika ngoja tuone

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Рік тому +2

    Number 6

  • @abubakarmaulidi9745
    @abubakarmaulidi9745 Рік тому +1

    Mbona kama majaji wenyewe awajui chochote kuhusu utangazaji

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Рік тому

    Uko bien

  • @mwakiretililian3530
    @mwakiretililian3530 Рік тому +1

    Jamani Tanzania achaneni na kizungu...😂😂😂 kiswahili chawapendeza

  • @baemajesta2805
    @baemajesta2805 Рік тому

    Huyo kaka aliyevaa miwaniii jmn😂😂😂

  • @independent9079
    @independent9079 Рік тому

    Mi hata sishangai ndio ajira zetu za bongo ajira zinatangazwa zina watu tayari sasa utatoboa kweli

  • @ashirafukitololi540
    @ashirafukitololi540 Рік тому +1

    Hamjui kitu

  • @deviselisaria5488
    @deviselisaria5488 Рік тому +2

    Hawa majaji wa kiumue hawa hamna kitu

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 Рік тому

    Huyu dada wa taarifa habar yupo var sana

  • @eminix2132
    @eminix2132 Рік тому

    Baba Levo anafukuza kwelikweli

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 Рік тому

    Mwanza lini jaman

  • @renzel306
    @renzel306 Рік тому +3

    Mnaweza kumuonda baba levo?

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Рік тому

    Majaji kiukweli naona hawana na hawajui kutizama vipaji

  • @eddieblaq5650
    @eddieblaq5650 Рік тому +1

    Quality ndogo why

  • @fedrickaloyce9660
    @fedrickaloyce9660 Рік тому

    Kwa huyo jamaa wa mwisho liliomy kamuhofia

  • @abubakarmaulidi9745
    @abubakarmaulidi9745 Рік тому +2

    Katika hao majaji akuna ata mmoja anayeweza kutangaza ni ujanja ujanza tustuke watanzania

  • @Jenny-qu2od
    @Jenny-qu2od Рік тому

    Baba levo unambuli ww lione uko

  • @franklindiehnjavike1525
    @franklindiehnjavike1525 Рік тому +1

    Baba Levo mtu konki

  • @baracksylivester5599
    @baracksylivester5599 Рік тому +1

    Brother #jamalApril umetutenga na #thestorybook kumbe umebunda huku😔😔😔😔

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Рік тому

    Hiniishara yakuonyesha kua hajira hakuna

  • @daynahringo3389
    @daynahringo3389 Рік тому

    Majaji wenyewe hewa hata kuongea hawajui atleast baba level yupo vizuri

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Рік тому

    Dada wamabutu niliona km ameweza kwa upande wng Ila alichojibiwa Sasa 😓 wakati wa Mungu ndio wakati sahihi

  • @magrethyasso9834
    @magrethyasso9834 Рік тому

    Ayse huyu dada wa taarifa ya habari anajua mpaka anajua tena kuliko nyie madogi mnao jaji nyambafu 😡😡😡, sio bure harmonize alivyofanikiwa aliwasuta yale jibwa kama nyie kazi kuuwa vipaji wa watu😏😏😏

  • @dasadremandad9208
    @dasadremandad9208 Рік тому

    A minha pergunta é,esses candidatos são formados?

  • @gmavoice1893
    @gmavoice1893 Рік тому +1

    kiukweli apa hakuna kitu..

  • @habibahabiba7128
    @habibahabiba7128 Рік тому

    😂😂😂

  • @skola3217
    @skola3217 Рік тому +1

    Unajua nn aisee...watu wengi mnadout vitu tusivyokuwa na ujuzi wetu Ila dada anajua sababu tone yake ipo fresh Ila anawasi wasi kidogo Ila akipatiwa nafasi na akizoea mic atakuwa mmoja wa mapresenter wazuri ..by mogwa

  • @edwinmandela5658
    @edwinmandela5658 Рік тому +2

    majaji wenyewe wa mchongo hata wao wanatakiwa wajajiwe