WAREMBO HAWA MAPACHA UTAWAPENDA/WANAVYOWACHANGANYA WANAUME/NILIMKATAA PACHA WANGU ALINIACHIA MSALA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Carrymastory tumepata nafasi ya kupiga story na Mapacha wanne wakike na wakiume.

КОМЕНТАРІ • 331

  • @rosenalucas1906
    @rosenalucas1906 3 роки тому +24

    mama yangu ana bahati sana katuzaa pacha mara mbili wa kwanza kapiga wa kiume wawili mara ya pili akaleta mapacha wa kike tena mimi na mwenzangu namuombea mama yangu maisha marefu sana kwa kutulea wote tukakuwa na maadili mema

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 3 роки тому +9

    Mashaa Allah napenda mapacha mm mapacha love you so much popote mlipo 😘

  • @pendomayunga602
    @pendomayunga602 3 роки тому +11

    Mungu anijalie nami nipate mapacha nitajivunia sana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 роки тому +26

    Napenda sana Mapacha, Allah nijaalie nipate Mapacha, nimewapenda sana.

  • @nassorsada213
    @nassorsada213 4 роки тому +25

    Mungu nijalie mapacha 🙏🙏🙏

  • @sandekingwande7271
    @sandekingwande7271 2 роки тому +3

    Mungu nakuomba uniletee mapacha 🤲🤲🤲🤲

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 4 роки тому +26

    Mashaallah napenda sn mapacha
    Jirani anamapacha wamiaka 5 wakike
    Nawakiume mapacha wamiaka 5
    Nasasahivi mjamzito ameambiwa anamapacha

    • @bettyanthoney3988
      @bettyanthoney3988 3 роки тому

      AMEN God will bless you too my dear.

    • @omanhuawei2428
      @omanhuawei2428 3 роки тому

      Mashaallah Allah akujaalie na wewe

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 3 роки тому +1

      Duuh! Wa kiume na wa kike wote wana miaka 5 je alizaa 4 Kwa mpigo?

  • @mariajili6319
    @mariajili6319 3 роки тому +2

    Wasibishe mapacha wana power fulani hivi ya kuzaliwa nayo, wanavyo sema mimi na kubali kbs ❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 3 роки тому +24

    ALLAH nijalie mmoja wa kike na wakiume inshaallah

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 4 роки тому +52

    Naomba dua Kila nikiswali Allah anijaalie nipate pacha hata mara 3 walah napenda mno

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 4 роки тому +2

      Inasemekana kama uko wenu kama kuna pacha au ww mwenyewe kama pacha

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому +2

      @@dotosalim5090 mm si pacha sema wadog zng Kuna ally na Aluwy pacha na Yusuf na Yunnus ndio pacha mm sina pacha ndg yng

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 4 роки тому

      @@munaahmed8499 kila kitu kinawakat

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому

      @@dotosalim5090 insha Allah momy sijui momy sijui kaka maan jin ya Doto yatumika kote kote

    • @maryammohammed7472
      @maryammohammed7472 4 роки тому

      Inshaallah mungu atakupa

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 4 роки тому +7

    Wao nimewapenda mlivo mwaaaaaa

  • @mucomwizaruqaiyah4064
    @mucomwizaruqaiyah4064 4 роки тому +63

    Yaa Rabii na me naomba unipe iyi zawadi

    • @mwanauluhassn658
      @mwanauluhassn658 4 роки тому +2

      Amiin mm pia namiss sana😍😍😍

    • @salmangassu1011
      @salmangassu1011 3 роки тому +1

      We kama mie ndoto zangu nikuwapata hawa viumbe

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 3 роки тому +1

      Amiin mung atujaalie 🤲👏🙏

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 3 роки тому

      Wanasaut km idris jmn hawa vijana. Au naskia mim tu. Ila nice 👌❤

    • @alidau2193
      @alidau2193 2 роки тому

      Atakusema mmoja aweza sana

  • @janedeo874
    @janedeo874 3 роки тому +10

    Daah sharifa na safia st.Mary's twins umenikumbusha shule sharifa unaongea kama kawaida yako maneno 100

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 роки тому

    Nam nipo pacha...walioko pacha kuja mnipe like zangu jaman.🧑‍🤝‍🧑

  • @zuhurarajabu3790
    @zuhurarajabu3790 3 роки тому +2

    Mashalah Na mi ninamapacha wakike Na wakiume

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline8485 3 роки тому +54

    WALIOGUNDUA JAMAA WANA SOUND KAMA IDRISS SULTAN.. LIKE ZETU NI APA

  • @babasandra638
    @babasandra638 4 роки тому +24

    Warembo kama wawakubli gonga like

  • @ashasaidi1599
    @ashasaidi1599 9 місяців тому

    Sauti kabisa zina tofauti

  • @aishamnamba1064
    @aishamnamba1064 4 роки тому +15

    Hawo mapacha wa kiume wanapenda Sana

  • @jescarmassu3940
    @jescarmassu3940 3 роки тому +2

    Wazur kwakwel nawapenda matwi ns nataman mungu anipe namm

  • @lengejohn8083
    @lengejohn8083 3 роки тому +1

    Wow i love them all guys and girls there so pretty 100 %

  • @niyomwungerethephanie9563
    @niyomwungerethephanie9563 3 роки тому +3

    Zawadi nzuli kutoka kwamungu😋😋😘😘

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 4 роки тому +6

    Hao wazazi waliojaliwa mapacha wa kufanana wanabahati kubwa Sana yani inapendeza

    • @pendolazaro4686
      @pendolazaro4686 3 роки тому

      Aisee acha tu nawapenda mm mwenyew wadogo zangu ni pacha na dada yangu anapacha

  • @nonikarani9067
    @nonikarani9067 4 роки тому +4

    Duh hadi rahaaa🙌🙌

  • @janethrobert1521
    @janethrobert1521 2 роки тому

    Mwenyezi Mungu nami siku moja nijalie mapacha 🙏🙏

  • @fadhirahussein2830
    @fadhirahussein2830 3 роки тому +14

    Yarabbi nijalie na Mimi mapacha inshallah 🙏

  • @happinessteven2401
    @happinessteven2401 2 роки тому

    😂hao wakiume sasa walivyo nogewa na story zao😅love you guys

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 роки тому +60

    Allah anijaalie mapacha🙏

  • @mrguzo5962
    @mrguzo5962 3 роки тому +9

    Watoto wangu ni mapacha mimi baba yao nashindwa kuwatofautisha akikosea mmoja nachapa wote. Nikitaka kuwatuma naita tuu atakae jilengesha ndo anatumwa

  • @zukramnango8191
    @zukramnango8191 3 роки тому

    Mashallah nikitu napenda sana katika maisha yangu namuomba MOLA anijaalie mzao wangu wa pili nizawadike zawadii hii Inshallah

  • @hadijamwanana2471
    @hadijamwanana2471 3 роки тому +7

    Dah nimewapenda wote wakike na wakiume

  • @tinamuta8019
    @tinamuta8019 3 роки тому

    Hongereni sana adi raha

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 3 роки тому +4

    Nmependa hii

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 2 роки тому +1

    😅😅hawa madogo wanazingua sana. Wanapendeza sana wadogo zetu

  • @farajavictar9004
    @farajavictar9004 2 роки тому +2

    Yan Hawa wanaoongea sana ni akinadoto😂

  • @iddykaluta1906
    @iddykaluta1906 2 роки тому +1

    Awa mapacha wa kiume wana fanana na Idriss Sultan...au wadogo zake!!!

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 роки тому +1

    Mungu anijalie na mm km mama Yang

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 3 роки тому +4

    Twin boys wako powa 😄😄, nawapenda sana twins 😘😘

  • @doreenkarimi8006
    @doreenkarimi8006 3 роки тому +6

    Kama umeona hawa mmoja ni mrefu konga like ukanyange makubwa makubwa👌

  • @affaanothmaan6287
    @affaanothmaan6287 3 роки тому +7

    Kweli ni "Otomatiko" Sio "Oromarikal"👍😂

  • @patrickpeter3343
    @patrickpeter3343 2 роки тому

    Ukiwa na mapacha wanao fanana raha sana unalipia ada mmoja wanasoma wote.

  • @user-ok9oq3rg5m
    @user-ok9oq3rg5m 2 місяці тому

    Hawa hunawez kutofautisha man meengin nimwembamba san moja ana kamwil kidogo

  • @latifaseif6384
    @latifaseif6384 3 роки тому +2

    Inapendez sna kuzaa pachaa jmn natmn

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 роки тому +3

    Mmoja sura ya Idriss

  • @clarapilly8373
    @clarapilly8373 4 роки тому +13

    Dear God bless me with twins 😭😭🙏🙏🙏

  • @ashankusa1514
    @ashankusa1514 3 роки тому +4

    Ee mungu unikumbuke na mm

  • @jruby4598
    @jruby4598 2 роки тому +2

    So cutes❤️❤️❤️❤️

  • @nadhifahassan2466
    @nadhifahassan2466 3 роки тому +1

    Nimewapenda sana

  • @jafariramadhani3264
    @jafariramadhani3264 4 роки тому +4

    Hao wa kiume ndio nomaa

  • @tausiomary7109
    @tausiomary7109 2 роки тому

    Dah ila ni wazur htr🥰🥰🥰🥰🥰

  • @stellaathanas398
    @stellaathanas398 3 роки тому +4

    Nami naamni mungu atanipatia mapacha🙏🙏🙏

  • @lovenessrobert9815
    @lovenessrobert9815 3 роки тому +1

    Hawa wakike hawafanani sana unaeza sema mtu na dadaake tu huyo red ni tofauti kabisa

  • @elizabetheliza8362
    @elizabetheliza8362 2 роки тому

    Mungu naomba unisaidie nipate watoto mapacha wa kike na wa kium wakue wakubw kama hawa

  • @aminajafari9070
    @aminajafari9070 2 роки тому

    Nawapenda mapacha niao pia

  • @chrispineotieno2379
    @chrispineotieno2379 Рік тому

    So lovely I love the boy where can I found them

  • @user-sw6iw5rt1b
    @user-sw6iw5rt1b 3 роки тому +1

    Napenda jamani Mungu skia kilio changu

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 роки тому +9

    Yaani mimi ndio sisemi

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 роки тому

    Daaaa jamani napenda sana mapacha yaani hawa wamefanana sana wote.

  • @neemawilliam8076
    @neemawilliam8076 2 роки тому

    Muna fanana noma Ila mwenye guo nyekundu nmulefu kidogo mwenye sauti kubwa

  • @jematzjematz4144
    @jematzjematz4144 3 роки тому +2

    Ni kweli kabsa

  • @dottoedward8254
    @dottoedward8254 3 роки тому

    Ata mm ninapacha tumefanana Sana tunapitia changamoto nyingi za kufananishwa

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 роки тому +8

    Awa wanaume wanafanana sana yani uwezi kuwa juwa

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 3 роки тому +7

    Kama unataman kupata mapacha nione

  • @tinawanandi2446
    @tinawanandi2446 3 роки тому +1

    Duuuh adilaaa

  • @pendothomas7700
    @pendothomas7700 4 роки тому +9

    Natamani mapacha❤

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 3 роки тому +1

    Mimi kuna wadongo zangu mapacha mpaka mama Yao anawachanganyaga majina kwajinsi walivo fanana

  • @beatricemagesa3777
    @beatricemagesa3777 3 роки тому +1

    Waooo, Mungu awajalie amani na upendo.

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 2 роки тому

    Kwanza mmoja mweupe hawa wakike

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 3 роки тому +2

    Watoto wa kiume nawafaham jamna Wana heshim Sana halafu wapole

    • @annastaziavenance1735
      @annastaziavenance1735 3 роки тому

      Wee huon hata walivocmama kiheshimaa???mpk mikono wameikunja kiheshima

    • @annastaziavenance1735
      @annastaziavenance1735 3 роки тому

      Wee huon hata walivocmama kiheshimaa???mpk mikono wameikunja kiheshima

  • @sesliasimon7929
    @sesliasimon7929 2 роки тому

    Duh awo mapacha wakiume noumaaa aisee

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 3 роки тому +1

    warembo hand laah

  • @sekelamwangosi3289
    @sekelamwangosi3289 3 роки тому +2

    Wanatofautika tu mngine ana kisura cha kitoto

  • @careenpaul2328
    @careenpaul2328 4 роки тому +4

    Nawapenda wote

  • @saadeabass8005
    @saadeabass8005 3 роки тому +1

    Hao wavulana wana the same voice vbaya

  • @swagger7053
    @swagger7053 3 роки тому +7

    Jmn nmewapnda bure mpk rahaa

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 4 роки тому +3

    Adii rahaaa jmn uuuuwwwwwi

  • @violethkwilasa6654
    @violethkwilasa6654 2 роки тому

    Hao jamaa wanafanana na Idriss Sultan

  • @kimmenelus7835
    @kimmenelus7835 3 роки тому

    Mandoa TUUU HAPO
    JIONGEZENI TWINs

  • @Imani-mq6dt
    @Imani-mq6dt Рік тому

    Wqnaongea tofauti

  • @ancostnpa3187
    @ancostnpa3187 2 роки тому

    Bonitos e Bonitas

  • @aggreyandrew546
    @aggreyandrew546 4 роки тому +6

    Hawa ni mapacha Ila ukiwaangalia vizuri wanatofautiana Mimi nimeshaona Tena kwa haraka Sana tofauti yao angalia vizuri sura zao moja ni ana sura ya duara mmoja ana sura ya urefu kidogo

    • @witnessjosephmtanke4757
      @witnessjosephmtanke4757 4 роки тому +4

      Mi nimewatofaut mmoja mrefu mwingne mfup pande zote wadada pia hvy hvy alf hao warefuu wanaongea sn pande zote

    • @MaaneML
      @MaaneML 4 роки тому

      Mimi nina pacha wa kike wote. Kwa uzoefu wangu hawa hawafanani sana. Mmoja mrefu na lighter kuliko mwingine ni mfupi kidogo na bit darker. Hivyo kwangu wanatofautiana mpaka sauti.

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 4 роки тому

      kweli nguo ya blue sura mduara nguo nyekundu, sura ndefu.

    • @wardaheluwa734
      @wardaheluwa734 4 роки тому

      Wamefana ulowatambua wewe ni mtaalam

    • @gloryshimi9644
      @gloryshimi9644 4 роки тому

      Mikbla yakufungua niliona

  • @khadijakhamisi3450
    @khadijakhamisi3450 2 роки тому

    Mimi pacha mwenzangu kasha tangulia mbele yahaki sema yeye alikua wakiume mim wakike Yani navo ona iviii naumia sem mipango yamungu Haina makosa 💔💔💔😭😭😭😭

  • @joycesengo3976
    @joycesengo3976 3 роки тому +1

    Nataman na pacha wangu wakue hv nikiwaona mungu tulinde

  • @edinaisaya6229
    @edinaisaya6229 4 роки тому +1

    Wakiume wamefanana zaidi

  • @afdheeremedia796
    @afdheeremedia796 2 роки тому

    Adiraha yani

  • @ismailhusein6526
    @ismailhusein6526 3 роки тому

    EE MWENYEZI MUNGU NAOMBA NIJALIE NA MIMI ISMAILI NIWEZE KUPATA MAPACHA EE MWENYEZI MUNGU NASHUKURU SANAA ASANTEE

  • @mariamutubemusciraveutubem3136
    @mariamutubemusciraveutubem3136 4 роки тому +4

    May Allah bless mi with twins yarabi

  • @shuubenpeter4769
    @shuubenpeter4769 3 роки тому +2

    Mmja anaongea SANA hiyo ndo tofauti Yao🙈

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 3 роки тому +3

    Nikweli_kabisa_hata_mimi_na_pacha_wangu_ilikuwa_hivyo_naelewa_kabisa_Alipo_

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому +1

    Wazur😁

  • @miemary3772
    @miemary3772 3 роки тому

    Nawapenda Sana wapo wengine wanacheza mpira

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 2 роки тому

    The power of DNA.

  • @DeussiboyzDeussi
    @DeussiboyzDeussi Місяць тому

    ❤❤❤❤❤

  • @mundhirredox5146
    @mundhirredox5146 4 роки тому +4

    Nawapndag hawaaa

  • @happinessteven2401
    @happinessteven2401 2 роки тому

    mtangazaji venye anasumbuka na mike😅

  • @nusrashaban6946
    @nusrashaban6946 3 роки тому

    Nice

  • @miriammimi7092
    @miriammimi7092 3 роки тому +7

    They are so cute ❤️

  • @zakayojohn2683
    @zakayojohn2683 3 роки тому +9

    Twins nati0n 1 twin nati0n 2 Ee MUNGU na me na0mba mapacha jaman daaah

  • @aamyaamy8504
    @aamyaamy8504 3 роки тому +5

    Watu n wawili wawili lkn hawa n watatu hawa broh n wawili then plus idriss....itabidi nitawaongezea wawe 4😁😁ili wawe sawa 2,,,2😂😂😂🙈

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 роки тому +8

    Doto kwa kuongeza utamjuwa bila kuuliza😂😂😂😂