Bunge LINALAANIWA MNAOGOPA Nini - Mbowe
Вставка
- Опубліковано 11 кві 2019
- Bunge LINALAANIWA MNAOGOPA Nini - Mbowe
Kutoka bungeni jijini Dodoma baada ya kipindi cha maswali na majibu kjuisha wWabunge wameendelea kuchangia hotuba mbili za Wizara ya Ofisi ya Rais Tamisemi Pamoja Wizara Ya Utumishi Na Utawara Bora.
#MBOWE
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Mbowe kiongozi makini sana, sema sasa serekali imeweka pamba masikioni
Magufuli hauwezi kufanya kazi anazofanya Mbowe. Magufuli anayo jazba lakini Mbowe ni mtulivu. Kesi za Magufuli zimefikia 60 na zote za mauaji.
Asante mbowe kwa kuwapa elimu
Pamoja muheshimiwa mbowe
Mwenyekiti mbowe nakukubali mno
Safiiii
Asante kamanda wa anga
Haya bro Mbowe
Dk chache saana mnapewa
Wenye akili tunakuelewa
Nakuunga mkono Mheshimiwa Mbowe.
Umesema la maana hapo Bungeni leo😀
mchaga wewe
mbowe huwa nakuelewaga
Wabunge wa ccm wanadhani Amani ikitoweka hapa nchini wao watakua salama
mbowe makin san
Je bunge limebinafsishwa? au ni mtazamo wangu tu?
mbowe ukumbuke sheria za nchi moja haziwezi lingana hata siku moja mirungi na bange hata robo msokoto sheria ifuatwe 30yrs
????????????!!!!!!
Mtaongea xana hongera xana jpm hapa kazi tu
Umechoka Unatetea Mafisadi.
Mirungi km halal kenya sio Tanzania mirungi haram mtu hakitumia kazi yake kulala tu ulaya mirungi hawataki ht kuusikia ss wewe mbowe acha bangi zk
Ww kama umeolewa tandika kitanda utumikie ndoa kama hauja olewa katafute bwana
Laana unaijua kweli.. laana ya kwako
Laana zenu nyie za kuungana na mabepali wa ulaya nakuuwa wtz wa kibty wazalendo wasio na hatiya umeificha nahutoisema
Na ww kama unajua ilo si ungepeleka kesi km unajiamini
Magu amewaweza mlijilimbikiza mali wachaga mlifikiri watanzania wote wajinga leo unaongelea hk haki gani ulimilikijengo ht kodi ulikuwz ulipi kiongozi mzima shame on you hahaha leo povu sbb umekaka jela utudanganyi
Anaejilimbikizia Mali saivi we huwezi kumuona kwa leo, subiri mda utafika ndo mtaelewa
Wambie wanna Mambo ya ajabu tena mabaya Sana kupita
Mbowe wewe unaliita bunge kuwa LINALAANIWA!!
Unajua maana ya laana au unasema tu???
Uzuri unaongea hata makosa yao.