Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe
Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu
twende ,2022-2023
waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania
95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye
Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka
Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.
Tanzania yetu imeandika big history
Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka
Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida
2020 leo tunajikumbusha
Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!
Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...
KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA.
MAISHA YA SIASA SI HASA.
Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi
hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi
Mzee noma
Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote
It's 2024 TODAY
Anaye jua ni mungu
Spika bora kuwahi kutokea.
Rip mzee lowassa
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells
Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u
Daaagh?! In kwere sana
Mpaka namuonea huruma
Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie
MIMI NASEMA KWA UA
MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII
Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢
Nana anaipitia hii. 2022
One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah
Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.
marafiki
Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'
Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨
👁️👁️
Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?
Lowasa 2015 nchi yake
TIME IS A GOOD TEACHER
najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana
Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani?
Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda.
Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.
Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie
huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa
Ndio maana umekufa
CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.
Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae
this do change
Kajiuzulu
Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..
Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn
huyu ndie kiongozi wa kwel
Huyu mzee wa ITV
Sawa
Christopher Wilson selle
Wamejipanga kafara haukusika
nomaa jamaa
Duu..Enzi hizo
L
R.i.p lowassa
Lowasa fiiiiii sd
JOSE WAU KWELI
Kipindi hicho cha siasa mchwara
wewe ni mwizi tu
Duuuh
Mmm
r.i.p
fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Full of Nonsense
MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015
Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?
Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi
WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??
Mwinzi 2 huyo
kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali
Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.
Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House
huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,
nomaa jamaa
Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!
😭😭😭 Jasiri ameamguka
Tumo