КОМЕНТАРІ •

  • @maarifa_home_electronics
    @maarifa_home_electronics 5 місяців тому +23

    Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 5 місяців тому +9

    Mimi nimeitizama 2024 mwezi 2 tarehe 13 lala salama lowassa

  • @yasimally9513
    @yasimally9513 3 роки тому +10

    Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 роки тому +23

    Nani amepita hapa 2021

  • @user-iu7dy1mb2i
    @user-iu7dy1mb2i 5 місяців тому +3

    Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 Рік тому +2

    twende ,2022-2023
    waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania

  • @millenniumtot4565
    @millenniumtot4565 5 місяців тому +3

    95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye

  • @georgembwana8354
    @georgembwana8354 9 років тому +10

    Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 5 місяців тому +3

    Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 10 місяців тому +2

    Tanzania yetu imeandika big history

  • @johnmude1084
    @johnmude1084 3 роки тому +4

    Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 5 місяців тому

      Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 роки тому +14

    2020 leo tunajikumbusha

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 6 років тому +9

    Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!

  • @makorievans2814
    @makorievans2814 9 років тому +8

    Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 років тому +7

    KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA.
    MAISHA YA SIASA SI HASA.

  • @jumamnyambwa7993
    @jumamnyambwa7993 4 роки тому +8

    Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi

  • @tondisangasanga9825
    @tondisangasanga9825 8 років тому +3

    hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi

  • @njikuhr1875
    @njikuhr1875 3 роки тому +2

    Mzee noma

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 24 дні тому

    Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote

  • @user-ox1ce7iu8i
    @user-ox1ce7iu8i 6 місяців тому +2

    It's 2024 TODAY

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 років тому +3

    Anaye jua ni mungu

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 роки тому +3

    Spika bora kuwahi kutokea.

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 5 місяців тому +2

    Rip mzee lowassa

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 років тому +11

    Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo

  • @goodluckphilliponguyai3390
    @goodluckphilliponguyai3390 9 років тому +7

    For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 років тому +1

      Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u

    • @Waberoya
      @Waberoya 5 років тому

      kweli

    • @prof.abusakelsaleh3524
      @prof.abusakelsaleh3524 Рік тому

      Uoooongo uoongooo bhana🤣🤣🤣🤣2022

    • @HipHop_2024
      @HipHop_2024 5 місяців тому +1

      Sa hayupo tena😢

    • @marystelaswai5174
      @marystelaswai5174 5 місяців тому

      Yaaan hayupo Tena jaman

  • @saiddimwe9508
    @saiddimwe9508 5 років тому +3

    Daaagh?! In kwere sana

  • @bakarhossen4545
    @bakarhossen4545 6 років тому +2

    Mpaka namuonea huruma

  • @FaustineCasmir-iu3ur
    @FaustineCasmir-iu3ur 5 місяців тому

    Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie

  • @naimannan5554
    @naimannan5554 10 років тому +6

    MIMI NASEMA KWA UA
    MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII

  • @rmysportstv2734
    @rmysportstv2734 5 місяців тому +1

    Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢

  • @prosperulungi2998
    @prosperulungi2998 Рік тому

    Nana anaipitia hii. 2022

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Рік тому

    One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah

  • @mosesgideon6694
    @mosesgideon6694 9 років тому +2

    Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.

  • @enockwinfred7645
    @enockwinfred7645 8 років тому +2

    marafiki

  • @alvangidion9366
    @alvangidion9366 5 років тому +11

    Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'

  • @mcsabufa2716
    @mcsabufa2716 4 роки тому +2

    Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨

  • @kakazkanda
    @kakazkanda 5 місяців тому +1

    👁️👁️

  • @glodykobelo9317
    @glodykobelo9317 5 років тому +2

    Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?

  • @nelsonemmanuel2259
    @nelsonemmanuel2259 9 років тому

    Lowasa 2015 nchi yake

  • @josephkessy5486
    @josephkessy5486 9 років тому +5

    TIME IS A GOOD TEACHER

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 5 років тому +8

    najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana

  • @jacoboleparingo5204
    @jacoboleparingo5204 5 років тому +3

    Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani?
    Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda.
    Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba8236 5 років тому +3

    Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie

  • @bakarhossen4545
    @bakarhossen4545 6 років тому +3

    huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa

  • @allysinkallah1639
    @allysinkallah1639 5 років тому +1

    Ndio maana umekufa

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.

  • @daudilengai7402
    @daudilengai7402 9 років тому

    Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae

  • @raphaelbossruvakubusa3031
    @raphaelbossruvakubusa3031 8 років тому

    this do change

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 4 роки тому

    Kajiuzulu

  • @documentariestvshow
    @documentariestvshow 4 роки тому

    Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..

  • @ramadhanluhweja1860
    @ramadhanluhweja1860 5 років тому +2

    Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn

  • @pasianichuwa951
    @pasianichuwa951 8 років тому +2

    huyu ndie kiongozi wa kwel

  • @samwelmashauri9414
    @samwelmashauri9414 5 років тому +6

    Huyu mzee wa ITV

  • @lewisshemboko2106
    @lewisshemboko2106 5 років тому +1

    sita marehemu
    bendera marehemu duuh

  • @charlesmwandenuka7986
    @charlesmwandenuka7986 5 років тому

    Sawa

  • @christohperwilson4714
    @christohperwilson4714 4 роки тому

    Christopher Wilson selle

  • @victorjoel3177
    @victorjoel3177 5 років тому

    Wamejipanga kafara haukusika

  • @petrokihundwa601
    @petrokihundwa601 8 років тому +1

    nomaa jamaa

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 3 роки тому

    Duu..Enzi hizo

  • @edgapaull5335
    @edgapaull5335 День тому

    L

  • @user-uv9ps3ow4s
    @user-uv9ps3ow4s 5 місяців тому

    R.i.p lowassa

  • @abdallamaso3848
    @abdallamaso3848 5 років тому +2

    Lowasa fiiiiii sd

  • @yohanasemsaka1420
    @yohanasemsaka1420 9 років тому

    JOSE WAU KWELI

  • @mudysquare6524
    @mudysquare6524 9 років тому

    President lowassa

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 років тому +1

      Sorry we dont elect thieves and fired ministers to be president

  • @omaryswalehe2863
    @omaryswalehe2863 3 роки тому

    Kipindi hicho cha siasa mchwara

  • @mtunesalumu8359
    @mtunesalumu8359 4 роки тому

    wewe ni mwizi tu

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 4 роки тому

    Duuuh

  • @saidlambertmatwi525
    @saidlambertmatwi525 2 роки тому

    Mmm

  • @yakitanipesha2021
    @yakitanipesha2021 7 років тому +4

    ulipo
    tupo
    lowasa

  • @davidmwaipopo9512
    @davidmwaipopo9512 Рік тому

    r.i.p

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 років тому +8

    Lowasa alionewa

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 9 років тому +1

    fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu7434 5 років тому +2

    Full of Nonsense

  • @ahmedn.kashaga4443
    @ahmedn.kashaga4443 10 років тому +1

    MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 років тому

      Chaguo la mafisadi

    • @ahmedn.kashaga4443
      @ahmedn.kashaga4443 9 років тому +1

      Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?

    • @nwntz
      @nwntz 9 років тому

      Boniphace Kashaga
      tu pamoja

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 років тому

      Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi

    • @nwntz
      @nwntz 9 років тому

      WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??

  • @jumachilamba847
    @jumachilamba847 9 років тому

    Mwinzi 2 huyo

  • @geofreyandrew1063
    @geofreyandrew1063 8 років тому

    kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali

  • @mamahustru
    @mamahustru 5 років тому +2

    Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.

  • @Mbonica1
    @Mbonica1 10 років тому +2

    Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House

  • @shommyjunior6607
    @shommyjunior6607 8 років тому +2

    huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 років тому +5

    Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo

  • @petrokihundwa601
    @petrokihundwa601 8 років тому +1

    nomaa jamaa