TZ tunakoelekeaa Kuna leta tamaa tukipata w2 km Hawa kidgo wanatupa tma km mzalendo wa TZ gonga like
safi msukuma.....lazima tuwabane wazungu fasta
cha msingi Tanzania mungu atajalie tufikie malengo yetu kama nchi
msukuma naamin kaz unayoifanyA naikubal hao walishakula pesa za wazungu
Nikweli kabisa hawana nia yakweli
Ndio kamanda wangu twende mbona watatuheleawa t2
Anakipaji sana Msukuma namkubali sana wale vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri zao!
Pamoja sana msukuma
Msukuam vzr sana
😂😂😂msukuma noma
Msukuma utawamisi hao wapinzani walikuwa wanakukeraaaaaa
nakukubari myaka 10000000000000000000000
Mungu aibaliki katiba
msukuma yupo poa sana
Msukuma pamoja Sana Kaka wabie
Asante msukuma
Kati ya vitu ambavyo havinibariki ni hiyo ya utaratibu utaratibu ni kumtoa mtu kwenye reli tu!!
Msukuma ajengewee sanamu
Waheshimiwa.wabunge.lioneni.hili.mbumge.mkumbushe mheshiwa.wazri.wa.kilo.alituahidi.atatuchia.bwawa nzega.budushi..budusji.mbuga.kubwa.yapunga.siyo.heka.mamia.ni.maerufu mtakuwa.mmetufukuzi.njaa.na.kukosa.pesa.tunaomba.sana.msituone.kama.wemda.wszomu.kwamba.mnaongelea.kitu.kingine.sisi.tunaigiza.kitu.kingine.tumeamua.kufikisha.ujumbe.kwa.njia.hii.tunaomba.huruma.yenu.waheshiwa.sikilizeni.hoja.yetu zitaungana na.kufanyanya.vikundi.wakina.mama.na.kuletamaendeleo tutasomesha.watoto..kusudi.ni.kujikomboa.na.janga.la.ufukara.kwa.sababu.ardhi..tunayo muheshiwa.waziri.wa.kilimo.hata.mama.yetu.tunakuomba maana.ujumbe.huu.kwa neema.ya.mungu.nina.imani.utakufikia.tuaomba.serikali yako.tukufu ituanglie.wakina mama.wa.budushi.nzega.mbuga ipo nzuri.mpunga.hata.mje.muione.changmoto.mji.mkituchimbi.bwawa.mtaona juhudi.zetu
big up sana musukuma
Musukuma unaweza maana hata vyeti walivyonavyo baadhi syo sawa na uwelewa wao
msukumaaaa nouma
namuelewa sana huyu Joseph Msukuma
kwel MSIGWA unatoa macho yaan we kipind cha kikwete ulisema ni raisi weak VP Leo tena ni weak?
Katika watu wajinga ni huyu Msukuma. Anataka kulinganisha akili yake na Dr Asad. Mimi nashauru Watanzania tuweke sheria wasomi peke yake ndio waingie bungeni tupate michango ya kisasa kama wenzetu Wakenya. Tunataka wabunge walio na mawazo ya kisasa sio mipasho. Watu wote wanaogombea ubunge wawe na elimu certificate na Diploma. Ziwekwe sheria kabisa kama huna vyeti usigombee ubunge. Wasomi wanapofanya kazi wanabezwa na watu kama Msukuma. Huyu mbunge amekuwa mtu wa mipasho tu.
...ninachofahamu elimu is nothing,cha msingi ni utaifa kwanza,wangapi wamegraduate then they are nothing in the society???
Hahahahahahahaha muheshimiwa msukumaa
ata kama umeishia LA saba uko vizur msukuma..nakukubali
Msukuma anajenga hoja kuliko hats wasomi yeye anafahamu tuchohitaji basi na ndiyo uongozi unaweza ukawa msomi lakini hujui kuongoza au kujenga hoja
Safi sana msukuma
ukweli unauma na kama there is anything behind let us make it openly maana ata maandiko yanasema " kuweni wakweli nao huo ukweli utawaweka huru"
Safiiii dar es salaam na dhahabu wapi na wapi wambieeeee
Wabunge. Tumewatuma. Mtusaidie. Watanzania lakini wingi wao hawatimizi malengo.
Hatari
huyu mbunge balaaa lakin acheni aseme ukweli kuhusu Tanzania ye2
Noma sana
msukuma yupo sawa vyeti sio ishu hata wehu wanavyeti pia.
Maprofesa kibao wamesaini mikataba ya kijinga Msukuma huko vizuri sana na mzalendo na ana confidence!
Msukuma atabaki kuwajuuu juuuuuiikileleni
Wambie ukweli
Adui namba moja ni CCM kutuwekea wabunge vilaza hivi....
Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo
Funguka akili, wew,,huna akili kmm wabunge wako. na chadema yako ovyoooo
manish kule kwetu moshi huwa tunawapigia kura lkn Geita wanawaweka tu hawawapigii kura.
Kazana msukuma wataelewa tyu
tulichagua kwer Fanya kazi msukuma
Huyu mbeng namkubali San kutetea wananchi
msukuma huko vzr
Huyu jamaa hanywi bangi uyuu??
naliomba bunge tukufu lijadili masoko ya mazao waulima twaumia na kipato ni duni
Hahaha Hahaha Tumechoka
Kutoa macho kulia amekosea nini
msukuma PGA kazi so wengne hamnagavktu
Issa
Huyu mbunge wa geita ana shida
Ila huyu Mbunge jamani duu
saaana msukuma
Uyuuuu jamaa ni noum
Aliingia kwenye 18 ya msukuma
huyo jamaa kasoma hadi darasa la ngapi
🙏🙏🙏
i guess Im asking randomly but does someone know a tool to log back into an Instagram account??
I was dumb forgot my login password. I love any help you can give me
Mnazingua 2
beli nas
Hyo jamaa n kiaz kwel
Huyoo ngombe ya kisukuma anaongea utumbo ganii
Ingiza taratibu shemeji
Msukuma kwel la saba weee
Kilazakilaza tuuu
Msukuma hana adabu
xhafi
Pumba tu
Nikwel
bashe
la nne
were Tu na mtu mwenye PhD
mbunge bashe
gozbertgaudenc
msukuma vp ww huna lolote
Binafsi Msukuma namkubari sana yaani zaidi ya sana
huyo mbunge mbona huwa simuelewi
Chazy Juma msikilize vzi utamwelewa tu. Hata mm kilaza namwelewa
Kasheku saluti, unanipasuaga mbavu maana huwa hutafuti maneno hahaaaa
Yani ukiisikiliza clip hii kwa mtu mwenye akili timamu utakaa na uwachukie viongozi wa chadema milele. Na kama bado upo chadema ukiwa na akili unaona mbali nakutaka chama hiki basi wewe jiwe . Hebu hapa tutumie akili anayotumia kuku tu wa kienyeji kijijini kwetu kuvuka barabara na kutokugongwa na na basi la ngorika nani hapo ameongea maneno ambayo leo tunaona matokeo yake kama sio Mh Msukuma? Uongozi ni maono Uchaguzi ujao niwambie chadema kwa sababu naona viongozi wenu hawaoni mbele samahani kwa hili kweli mtakuwa na wakati mgumu sana sijui mfanyeje zaidi ya kuombea hili janga labda liwatendee miujiza fulani ambayo haipo. Mfano nimemsikia Mh anatabiri eti watanzania kufa maelfu kama nzige na corona siku zijazo asee sasa unafanya kazi ya shetani. Mzee kaa kimya muda mwingine ndio hekima kwa kiongozi .Kwenye kampeni mtakaangwa na mafuta yenu wenyewe kutoka viongozi wenu waandamiza waliotoka mliokuwa mnawatukana kwa ufala wenu bila kujuwa usemi usemao usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Nionavyo mimi Ccm kampeni zijazo hawana kazi ya kufanya Nccr Mageuzi ndio watakuwa mwiba na wabaya kwa chadema "keep my word" .
angelikua ni upinzani angelikua ametolewa nje
Msukuma kunasaa anakua vzur kunasaa anaongea pumba hiyo kwa wazungu utasikia mane no tu mmwelipwa hakunaga kitu kama hicho bana
We we pumba tu
Lissu, mnyika, lema, mdee, bulaya, Ester Matiko, heche, msigwa nawakubali
big up sana musukuma
yan kweli uyu darasa la 7 kweli anataka kujadili miswaada mitatu kwa siku moja kilaza msukuma
Uko vzr sana mh msukuma nina uwakika utoishia ubunge tu utafika mungu alipokupangia dalili za mvua ni mawingu