Subra subra 1985, mpaka 2019, Tanzania tuna moyoo! na siyo jiwe kwa kweli!
Mhhh viongoz waongo wa serikali wing waongo
Hapa kazi IPO mbowe swali zuli sana
daaaa pressure kaka p jey aka jey arosto ndiyo mzeee
MI naona huyu waziri wa ulinzi anahekima anajua kujibu masuali vizuri huyu kenge lugola wanini mpeni wizira huyu anafaa
😬😬😬 mna bahati, mngekuwa karibu ningewatafuna.
Jaman mbona hoyoo yakawaida tu achen kuzusha mambo sasa jaman hebu angalieni hicho kipande cha video halafu linganisha kichwa cha habar achen hizo
Tunaopita gonga like twende sawa
mtoa Post pumbav wala si subscribe
hapa ndipo naona bado tupo zama za ubepali na ubeberu kosa la CAG nilipi kusema ukwel!
Tafadhali hakikisha tittle ya page ni ya ukweli siyo unatufanya watoto. ..
Ukiendelea hivi tuna unsubscribe tuu i think umetuelewa ...
Point j haule
Global tv mmeanza kujifunza uongo
Hawa jama bipumbavu sana mnatudanganya nin sas mb zetu buree zinaeda mbona bungen pako poa
Jumbe the great
Mjada uwe mwema kwa masrah ya watanzania
ndo napita xaxa khaa!!
Mi naona hizi channel zingine bora zifungiwe tu mana hawajui wanacho kiandika, kinacho ongelewa ndani na kilicho andikwa njee hata haviendani au ndo kibaya chajitembeza......
oya umetuambia kitu gan na hapo tunaona nini au shida yako upate views nyingi?
Mm tena natoka
Wanasiasa n watu atar sana
bungeni kuzuri sana
acha ujinga sijaelewa kabisa
Hakuna cha ajabu kilichotokea 😡
Andika kichwa cha habari kinacholingana na mada inayozumgumziwa sio kuandika ili mradi yuu upate viwes tuta unsubscribe
Kkkt ushirika
CAG KARIBU UPINZANI TUFANYE KAZI CCM WANAPENDA WATU WAONGO ILIKUWADANGANYA WATANZANIA
Acha story za ajabu uongo unaousemea upo wap! Wakati kula kitu kipo open
Mbowe
kulikoni
xxx
Hii chaneli kumbe ya kijinga namna hii
petro dunia hujaturia kabisa kichwa chahabar kingine harafu tunaona kingine sifungui tena chaner yako taper mkubwa
petro dunia wewe hio sio uriotoakwenye kichwa cha habar weww nimuingo mbin bungen pako vuzur
Mtoa post mwandishi wewe ebu acha upumbavu ..Wewe ni mchochezi unatakiwa kudhtakiwa hupensi amani
.
Mungu wetu was baraka azidi kulibariki taifa letu,umoja wetu ili amani na upendo vitawale mioyoni mwa viongozi wetu na kwetu wananchi kwa ujumla,ee baba yetu na muumbaji was vyote,tunakuomba