Kama siasa ndo hii acha tufanye biashara huko kuna maisha sana
Hongera sana
Usidanganywe na wanasiasa kua maisha ni magumu. Pambana kivyako. Ukiambiwa kua kuna ugumu wa maisha ujue wamebanwa na mfumo sio kwamba Wana maisha kama yako
Mbowe kweli ananjaa
Ukiwa mwanasiasa Tanzania Jua wewe utakuwa tajili mkubwa sana
Oky kumbe mnasema tuchangie chama nyinyi mnaumuwa mijengo na kupga picha pamoja bila hata wogo mnaita na waandishi wa habari kuonyesha ruzuku zinavyo tumika
😂😂😂Bro hao wenzio wamezaliwa kwenye pesa ..wewe endelea kupiga mayowe mtandaoni...unadhani hiyo ni ruzuku...mawazo ya kimaskini sana asee
😂😂😂😂 mtakufa masikini na kujiunga na vyama chama pekee ni kumcha mungu basi vingine kausha damu
Mbowe hajatengeneza hela kupitia Siasa lazima tujifunze kusema kweli,amezaliwa amezikuta pesa kwenye familia...japo si msapoti freeman mbowe kisiasa ila panapo ukweli hebu tujitahidi kuusema kuliko kuwapakaza watu matope
@@ndukulusudikucho_ .umeaminishwa auditing ndio inazuia wizi? Hivi ulishawahi walau kuuza duka ndio ujue auditing kuwa ni usanii tu wa kuhalalisha wizi,auditing ni usanii tu .Kuna taasisi nyingi zinafanyiwa auditing na Bado watu wanapiga humu humo kwenye jumlisha
Endelea kuandamana wenzio wanalala kwenye kasiri sisi km ndege.
Hii nchi kila mtu apambane na maisha yake Ila sio kupotezeana mda.