MUHASIBU ashikwa NA KIGUGUMIZI AKIJIBU MASWALI YA MAKONDA, AOMBA DAKIKA 10 ZA KUJIFIKIRIA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 185

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 4 місяці тому +2

    Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali.
    Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu.
    Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 4 місяці тому +1

    Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 4 місяці тому +1

      NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 місяці тому

    UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.

  • @Thekidsknowledger
    @Thekidsknowledger 4 місяці тому +14

    Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 4 місяці тому +19

    Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.

    • @YusufSasamalo-uz4ii
      @YusufSasamalo-uz4ii 4 місяці тому +2

      Very unprofessional

    • @cornelkapinga8926
      @cornelkapinga8926 4 місяці тому +1

      Very sad for this country

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 4 місяці тому +2

      90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 4 місяці тому +1

      Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.

    • @IgnasKiyanga
      @IgnasKiyanga 4 місяці тому +1

      sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 4 місяці тому +7

    Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 4 місяці тому +5

    Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 4 місяці тому +9

    Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 місяці тому +10

    Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 4 місяці тому +1

      Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 4 місяці тому

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- 4 місяці тому

      Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa

  • @jamalomaryhuyushekhhakunak9020
    @jamalomaryhuyushekhhakunak9020 4 місяці тому +6

    halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 4 місяці тому +6

    Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka 4 місяці тому +7

    Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks 4 місяці тому +7

    Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz

    • @mwakimedia291
      @mwakimedia291 4 місяці тому +1

      Kweli Kabisa 😂😂😂😂

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 4 місяці тому

    Ukatae,,,ukubali---tuacheni wivu,,,WA kijinga. Hakika Makonda ni kiongozi WA kuigwa ktk TZ hiii. Tusiangalie chama jamani,,,tuangalie MTU,,,anafanya nn!?anatenda nn!?.Wtz jaman,,pptee-MAKONDA atakapo kuwepo tumpeni kura zoooteee.

  • @dawhacker2216
    @dawhacker2216 4 місяці тому +3

    Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 4 місяці тому +8

    makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 4 місяці тому

      Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 4 місяці тому +12

    Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 4 місяці тому +2

    Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 4 місяці тому +8

    Hakuna kitu hapo 😂😂😂

  • @msalice4451
    @msalice4451 8 днів тому

    ❤❤❤❤ kaka yangu makonda mm ninakelo moja tunaomba salam umfikishie mm samia nwambia tunaomba rami mpwampwa mbunge yuko lakini hatekelezi tumechoka sana❤❤❤❤❤

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz 4 місяці тому +3

    Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa

  • @SaidAbdalla-u5f
    @SaidAbdalla-u5f 4 місяці тому +3

    Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm

  • @JohnKilagini
    @JohnKilagini 4 місяці тому +1

    Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe

  • @mwasunga
    @mwasunga 4 місяці тому +3

    Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 4 місяці тому +3

    Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.

    • @elizabethmiho9574
      @elizabethmiho9574 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 4 місяці тому +2

    Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 4 місяці тому +2

    Mhh hizi ajira za kujuana 🤣

  • @kasimnamesou4226
    @kasimnamesou4226 4 місяці тому +5

    Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 4 місяці тому +5

    Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 4 місяці тому

      Kazi za kupeana ndo madhara haya

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 4 місяці тому

      Ngono ni nyingi kak

    • @justice607
      @justice607 4 місяці тому

      Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴

  • @Petronkambi
    @Petronkambi 4 місяці тому +2

    Huyu ndo makonda bna safi kabisa

  • @Mc_Costa
    @Mc_Costa 4 місяці тому +7

    Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 4 місяці тому +2

      Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka

    • @MohamediHussein-o9b
      @MohamediHussein-o9b 4 місяці тому +2

      Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah!
      Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi
      Aende akapike mama ntilie maaokoni

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 4 місяці тому

      Kuma

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 3 місяці тому

    Ahahahahaha😂 hao ndio wasomi bhana wenye nafasi zao Tanzania 😅😅😅

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 4 місяці тому +5

    Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 3 місяці тому

    Uyu dada ni kiburi tu.Hajui anachokifanya .

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 4 місяці тому +4

    Ondoa huyo Sasa hivi

  • @mazikungusa
    @mazikungusa 4 місяці тому

    huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 4 місяці тому +3

    Mheshimiwa mkoa 😀

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 4 місяці тому +6

    Unaweza ukajichanganya ukasema mheshimiwa Mungu.....😂😂

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 4 місяці тому +1

    FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI

  • @KelvinMgunga
    @KelvinMgunga 3 місяці тому

    Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh

  • @HumphreykirutuKirutu
    @HumphreykirutuKirutu 4 місяці тому

    Kwa nini makonda asiwe rais . Waziri mkuu au makamu wa rais

  • @stn4873
    @stn4873 4 місяці тому +2

    Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂

  • @chebadanford9837
    @chebadanford9837 3 місяці тому

    Si ujifanye umezimia yaishetuu

  • @lilianHigilo
    @lilianHigilo 4 місяці тому +1

    Wanapena nafasi,hawana sifa
    Wenye sifa wanaachwa

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 4 місяці тому

    Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa

  • @JacksonNissa
    @JacksonNissa 3 місяці тому

    Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?

  • @Petronkambi
    @Petronkambi 4 місяці тому

    Huyu ndo makonda bna safi kabisa

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 4 місяці тому +1

    Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi

  • @ManaMediaKE
    @ManaMediaKE 3 місяці тому

    Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 4 місяці тому +5

    Makonda unaweza sana

  • @imanijuma1804
    @imanijuma1804 3 місяці тому

    alafu ukimkuta ofcn sasa

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 4 місяці тому +3

    Mkuu cheki kanavorembuwa mbere yako na wakati urishasema kuwa una muke mzuri 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @FranciscoAmos-cx2zh
    @FranciscoAmos-cx2zh 4 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto

  • @mwajabukapemba5458
    @mwajabukapemba5458 4 місяці тому +1

    Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo

  • @MagidaFafa
    @MagidaFafa 4 місяці тому +1

    Uyu demu mbona kama mlevi

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 4 місяці тому

    Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 4 місяці тому +2

    Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 4 місяці тому

    Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 4 місяці тому

    Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 4 місяці тому

    Ebu muwe mnaangalia na watu wa kuwapa kazi,,watu wengi wapo kwenye nafasi ambazo hawakustaili kabisa,,wengi wanapewa kazi kijanjajanja tuu.

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 4 місяці тому

    Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣

  • @kenedymwilikwa5408
    @kenedymwilikwa5408 4 місяці тому

    Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga 4 місяці тому

    Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 4 місяці тому

    Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 4 місяці тому

    Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 4 місяці тому

    Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 4 місяці тому

    Jamani Aibu naiona mimi. Hivi huyu anafaa kweli kwenye nafasi hii. ? Mbona hanauelewa kabisa na hiyo kazi?

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 4 місяці тому

    Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 місяці тому

    Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 4 місяці тому +1

    Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 4 місяці тому

      Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi

  • @DelvinJohn
    @DelvinJohn 4 місяці тому

    Mh Makonda naomba mm unipe KAZI nifanye KAZI na wewe mm naona watu wanachezea KAZI ....

  • @johbernard3628
    @johbernard3628 4 місяці тому +4

    Anaonekana anadharau sana huyu dada

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 4 місяці тому

    Hao ndo wanawafukuza wananchi hao pindi wameenda ofsn kwao😢

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 місяці тому

    Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 місяці тому +3

    Badae taasisi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 4 місяці тому

    Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 4 місяці тому

    😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤

  • @raymondlyamuya6900
    @raymondlyamuya6900 4 місяці тому

    Dada ni kurembua tuu hamna anachojibu cha maana sijui hata kazi kapataje huyu khaaaa

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo 4 місяці тому

    Huyu dada kanikeraaaaaa ovyooo poda yote imesambaa kama chizi vile

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 4 місяці тому +1

    Tanzania ya 50 kwa 50

  • @LevisMk
    @LevisMk 4 місяці тому

    Eti mtumishi wa serekali, yaani Tanzania ina mambo

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 4 місяці тому +1

    Kaazii ipo kazini

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 місяці тому

    Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba

  • @luganosimon7471
    @luganosimon7471 4 місяці тому +1

    Sio muhasibu ni Mhasibu

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 4 місяці тому +2

    Hizi kazi za kupeana matatizo yake ndio haya MTU hata kujieleza hawezi

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 4 місяці тому

    Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje.
    Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 4 місяці тому +1

    Huyu nae ni kiongozi wa halmashauri 😂😂😂😂😂

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 4 місяці тому

    Makonda akiwatimua mbaona hafai😮

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 4 місяці тому

    Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan

    • @juliethkitali597
      @juliethkitali597 3 місяці тому

      serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Hana uwezo hao ni watoto wa mabosi

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 4 місяці тому

    Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??

  • @JafariHussein-vb6pd
    @JafariHussein-vb6pd 4 місяці тому

    tatizo la kupeana kazi kwa connections

  • @agapemwita8679
    @agapemwita8679 4 місяці тому

    Pamoja na wewe hauna uaminifu

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 4 місяці тому

    kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao

  • @SaidiMwinshehe
    @SaidiMwinshehe 4 місяці тому

    Million mbili,na Million mia8😀😀😀

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 4 місяці тому +4

    Mkuu wa idara huyu amepataje walah

    • @SAMPonda
      @SAMPonda 4 місяці тому

      Tanzania hii😂

  • @JustineZepha
    @JustineZepha 4 місяці тому

    Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 4 місяці тому

    Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa