Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali. Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu. Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.
NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI
90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu
Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.
Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm
Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.
Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂
Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah! Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi Aende akapike mama ntilie maaokoni
Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.
Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana
Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣
Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!
Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje. Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa
Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan
Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali.
Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu.
Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.
Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa
NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI
UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.
Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi
Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.
Very unprofessional
Very sad for this country
90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu
Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.
sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.
Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.
Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️
Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.
Acha tu
Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie
Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa
halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana
Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu
Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu
Aissee nimeshangaa sanaa
Na ni Lugha ya kiswahili
Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz
Kweli Kabisa 😂😂😂😂
Ukatae,,,ukubali---tuacheni wivu,,,WA kijinga. Hakika Makonda ni kiongozi WA kuigwa ktk TZ hiii. Tusiangalie chama jamani,,,tuangalie MTU,,,anafanya nn!?anatenda nn!?.Wtz jaman,,pptee-MAKONDA atakapo kuwepo tumpeni kura zoooteee.
Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa
😅
makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani
Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake
Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada
Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki
Hakuna kitu hapo 😂😂😂
❤❤❤❤ kaka yangu makonda mm ninakelo moja tunaomba salam umfikishie mm samia nwambia tunaomba rami mpwampwa mbunge yuko lakini hatekelezi tumechoka sana❤❤❤❤❤
Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa
Hapana anaogopa
Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm
Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe
Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au
Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana
Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂
Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe
Mhh hizi ajira za kujuana 🤣
Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo
Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez
Kazi za kupeana ndo madhara haya
Ngono ni nyingi kak
Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴
Huyu ndo makonda bna safi kabisa
Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.
Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka
Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah!
Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi
Aende akapike mama ntilie maaokoni
Kuma
Ahahahahaha😂 hao ndio wasomi bhana wenye nafasi zao Tanzania 😅😅😅
Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu
Asee umenichekeshaaa Sana😂😂😂
Uyu dada ni kiburi tu.Hajui anachokifanya .
Ondoa huyo Sasa hivi
huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo
Mheshimiwa mkoa 😀
Unaweza ukajichanganya ukasema mheshimiwa Mungu.....😂😂
Wefala kwer ivi umefikiliya nini 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kwan uongoo kapagawa
😂😂😂😂mamaeee
FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI
Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh
Kwa nini makonda asiwe rais . Waziri mkuu au makamu wa rais
Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂
Si ujifanye umezimia yaishetuu
Wanapena nafasi,hawana sifa
Wenye sifa wanaachwa
Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa
Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂
Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?
Huyu ndo makonda bna safi kabisa
Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi
Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana
Makonda unaweza sana
alafu ukimkuta ofcn sasa
Mkuu cheki kanavorembuwa mbere yako na wakati urishasema kuwa una muke mzuri 🤣🤣🤣🤣🤣
Haahhahaa
😂😂😂😂
😂😂
Lakin muzuri bwn
😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto
Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo
Uyu demu mbona kama mlevi
Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.
Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣
Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!
Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana
Ebu muwe mnaangalia na watu wa kuwapa kazi,,watu wengi wapo kwenye nafasi ambazo hawakustaili kabisa,,wengi wanapewa kazi kijanjajanja tuu.
Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣
Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!
Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??
Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?
Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!
Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu
Jamani Aibu naiona mimi. Hivi huyu anafaa kweli kwenye nafasi hii. ? Mbona hanauelewa kabisa na hiyo kazi?
Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu
Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake
Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa
Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi
Mh Makonda naomba mm unipe KAZI nifanye KAZI na wewe mm naona watu wanachezea KAZI ....
Anaonekana anadharau sana huyu dada
Hapana
Muwoga tu 😂😂😂😂
Hawa ni wale wa vikaratasi " nenda karioti uanze kazi"
😂😂😂😂😂
@@deogratiusyudatadei5658kweli ni muoga
Hao ndo wanawafukuza wananchi hao pindi wameenda ofsn kwao😢
Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada
Badae taasisi
Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin
😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤
Dada ni kurembua tuu hamna anachojibu cha maana sijui hata kazi kapataje huyu khaaaa
Huyu dada kanikeraaaaaa ovyooo poda yote imesambaa kama chizi vile
Tanzania ya 50 kwa 50
Eti mtumishi wa serekali, yaani Tanzania ina mambo
Kaazii ipo kazini
Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba
Sio muhasibu ni Mhasibu
Hizi kazi za kupeana matatizo yake ndio haya MTU hata kujieleza hawezi
Ni aibu sana
Nikweli hapoo hamnaa kituu kabisaaaa😮😮😮😮😮
Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje.
Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa
Huyu nae ni kiongozi wa halmashauri 😂😂😂😂😂
😂😂😂
Makonda akiwatimua mbaona hafai😮
Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan
serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile
Hana uwezo hao ni watoto wa mabosi
Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??
tatizo la kupeana kazi kwa connections
Pamoja na wewe hauna uaminifu
kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao
Million mbili,na Million mia8😀😀😀
Mkuu wa idara huyu amepataje walah
Tanzania hii😂
Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor
Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa