RC Makonda: Mtendaji Umesomea Nini? Nakupandisha Cheo Utakuwa Msaidizi Wangu Kuanzia Leo Nj..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 тра 2024
  • RC Makonda: Mtendaji Umesomea Nini? Nakupandisha Cheo Utakuwa Msaidizi Wangu Kuanzia Leo Nj..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #rcmakondaarumeru
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 889

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 29 днів тому +161

    Ni Nani kama Makonda? Haki mbele ya haki Mungu akulinde Makonda wetu kwa kusaidia voiceless people.

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 29 днів тому +313

    Hata kama watu wote watasema Makonda anafanya vibaya bado mimi nitaendelea kumpongeza

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 29 днів тому +150

    Mtenda haki hulipwa kwa haki kweli mtendaji ni mchapa kazi hongera sana RC kwa mpandisha cheo mtendaji anafiti apo ulipomuweka.

  • @mustaphakambangwa1407
    @mustaphakambangwa1407 29 днів тому +50

    Safi sana mtu mzuri niyule aliefanya makosa jana Leo akagundua kosa Lake na akawa bora zaidi yajana

  • @justice607
    @justice607 29 днів тому +182

    John Nkini classmate wangu, hongera sana kwa kupandishwa cheo

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 29 днів тому

      Huyu kaka kaniliza.kama unaona bendera hapo nipp canada kwa. Hali kama ya huyo kaka.walikuja watu kazini kwangu kutoka marekani wakitaka majibunya miradi ya usaid yaani matron wa hospitali anababaika.mkurugenzi anababaika wakasema nani anaweza tuelezea walau kidogo ndipo nilivyosukumizwa mimi tena ni wa hovyo kabisa nurse wa kawaida nilivyosimama kiujasiri lila swali wananiuliza najibu waliniuliza elimu nikawajibu wako tunaomba jina lake na kila kitu huyu anahitaji kusoma zaidi ni hazina mliyonayo hamuuijui. Ndipo nikachukuliwa kuja canada masomoni nyumbani kwetu ni wa hovyo yaani tukibahatika wali ni christmas tena boxing day.

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 29 днів тому +14

      Inaonekana alikuwa intelligent and humble person

    • @kizittohescary1213
      @kizittohescary1213 28 днів тому +8

      Dah kweli fanya kazi kwa uaminifu tu Siku Yako ikifika Mungu anakuinua kama huyu mtendaji

    • @alfredfande
      @alfredfande 28 днів тому +4

      Classmate kaonekana

    • @deograciakashaigili5973
      @deograciakashaigili5973 28 днів тому +5

      Yaani nimeipenda hii

  • @user-ds2qj3oi7k
    @user-ds2qj3oi7k 29 днів тому +56

    100% . Makonda huyo Mtu anafaa kuwa msaidizi ofisini kwako big up

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 29 днів тому +88

    Nimefurahia sana kazi nzuri ya mtendaji na alistahili kupandishwa yuko smart sana. Big up Paul Makonda Mungu yupo na wewe daima na sisi hatutachoka kuwaombea hongera sana pia Mtendaji.

    • @user-kq6op8ll3p
      @user-kq6op8ll3p 28 днів тому

      Yupo smart sanaa, amejielezea vizuri aise

    • @johnsonpaul2883
      @johnsonpaul2883 28 днів тому +2

      Na ana memory ya kutoshaaa YAANI kanifurahisha vibaya MNO huyo mtendaji na hata ningekuwa Mimi nisingemuacha hivi HIVI ❤ he deserve more than that

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 29 днів тому +85

    Baraka za wazazi pengine ni Dua za wazazi tuwafanyieni wazazi mazuri

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema2123 29 днів тому +45

    Hata wakupinge vipi lkn wewe ni chaguo la wananchi Makonda makonda Mungu Akulindeeeeeeee

  • @ProsperJustine-nr6id
    @ProsperJustine-nr6id 29 днів тому +21

    Nimefurahi sana.. kwa namna Mtendaji alivyonyoosha Maelezo vizuri,huyo ni kiongozi Bora sana na Hongera Mh.Makonda kwa kumpandisha cheo hakika anastahili ....Namuona mbali zaidi na Mungu awabariki muendelee kusimamia haki za wananchi.

  • @mwassajoseph8675
    @mwassajoseph8675 29 днів тому +28

    Kama wote wanamkubali makonda mimi ni nani nisimpendekeze achukue form !! Mungu tulindie makonda wetu

    • @fedrickdenis4137
      @fedrickdenis4137 25 днів тому

      Amen mungu mlinde sana makonda wanyonge wananyanyasika sana

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 29 днів тому +36

    Wow MAKONDA MAKONDA MAKONDA HALLELUJAH MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI WEWE UNALINDWA NA BWANA WA MAJESHI ....

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 28 днів тому +11

    njia za Mungu ni nyingi sana na hazichunguziki, pengine mtendaji alienda na hofu lakini Bwana akamfanyia kicheko, Bwana akamwambia kwani ungetenda vyema usinge barikiwa.?, tuendelee kujituma na kuwa waaminifu Mungu atatupandisha kwa wakati wake.

  • @chemstry409
    @chemstry409 29 днів тому +67

    PIGA KAZI MAKONDA WE SUPPORT YOU 100%.....

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 28 днів тому +3

      Makonda ni nani Mtu uyu mbona Kila sehemu ana fit niwashauli wote wenye chuki na Mtu uyu acha neni nae amta muweza sehemu aliopo ni wito wa Mungu pia ni kipenzi Cha watu mfano mm nipo Dar Ila namfuatilia sana

  • @benjaminf361
    @benjaminf361 29 днів тому +17

    Yaan, Mheshimiwa Makonda kila nikikusikiliza na kuona vitu unavyofanya sikosi kutoa machozi nikimshukuru Mungu kwa ajili yako. Mungu akulinde na kuzidi kukutumia kuleta faraja na tumaini jipya kwa Watanzania walio wengi.

  • @suzan4200
    @suzan4200 29 днів тому +11

    Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa bahat lakin kuna kitu kikubwa zaidi kinaitwa KIBALI, achana na mambo ya bahati coz unaweza kuwa na bahat usiwe na kibali ila kibali kinabeba Bahati....hongera Mh hongera kaka uliyepandishwa cheo Mungu Anawakat wake tupige makofi kwa wengine tukiamin na sisi saa yetu yaja❤

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 29 днів тому +84

    Mama mwangalie makonda atakusaidia sana kwenye selikali yako wengine wababaishaji tu ndiyo hao hawamtaki

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 29 днів тому +2

      Selikali ni nini?

    • @Hasnspop
      @Hasnspop 29 днів тому +9

      ​@@Ndu-wa.uroony2hata wewe unaweza kutuambia serikari ni nini😂😂😂 mpaka unatunga mtihani wa swali maana yake jibu unalo mwenyewe kwan wewe unajuaje😂😂😂😂😂

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 29 днів тому +1

      Kweliiii🎉🎉🎉

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 28 днів тому +7

      Yani mimi atakae msema makonda vibaya na anguka nae walahi

    • @Nim68182
      @Nim68182 28 днів тому

      ​@@judithkatabaro3294😂😂😂😂😂 kubabaabaaake😂

  • @DM_15
    @DM_15 29 днів тому +24

    Afisa mtendaji ubarikiwe ur a good leader

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 29 днів тому +30

    Eti mtendaji wa kata
    Halafu elimu kamshinda mkuu wa wilaya makonda hongera sana

  • @georgekipunga1174
    @georgekipunga1174 29 днів тому +11

    I still don’t understand why most people hate Makonda it doesn’t make no sense to me.. at all

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 29 днів тому +33

    😂😂raha ya kuwa mkweli.wote kama ni wakweli katika maisha yenu piga like hapa😂😂

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 29 днів тому +37

    Bado kidogo Makonda ataachiwa Nchi..Japo watu wanasem kaul zake sio nzur, Namkubali Sana Makonda...

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 28 днів тому +2

      Hiii TZ inahitaji mtu kama Makonda
      Maana nchi imejaa mitapeli.

    • @japhetlinus3891
      @japhetlinus3891 28 днів тому

      @@gracemwakibolwa7910 ,.bila shaka mkuu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 29 днів тому +6

    Huyo mtendaji amekaa smart kuanzia mavazi,kujieleza hadi kujiamini🎉🎉

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 29 днів тому +7

    Mheshimiwa MAKONDA ni miongoni mwa wakuu wa mikoa bora kabisa,hawa vijana ndo tunaowataka💪💪💪#CCM chama changu

  • @user-wu7vz8ot5i
    @user-wu7vz8ot5i 29 днів тому +14

    Mh makonda ucku na mchana tunakuombea dua kwa Allah akulinde na husda za watu wabaya ili uzidi kuwatendea watanzania mema na haki zao amiin

    • @justussebastian4779
      @justussebastian4779 29 днів тому +2

      Mtaje kwenye maombi kwelikweli

    • @user-wu7vz8ot5i
      @user-wu7vz8ot5i 29 днів тому +1

      @@justussebastian4779 Lazima tumuombee kiongozi kama huyu kwa sababu anafanya mambo manzuri ya kumpendeza mwenyezi mungu

    • @godfreysudi7264
      @godfreysudi7264 27 днів тому

      Mungu asikie duwa yako njema watu wanonewa haki zao Kwa kweli awana msahada

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa24 29 днів тому +28

    Cheo kizidi kupanda kakangu, hongera sana Mtumishi nawatakia mafanikio zaidi

  • @JafariKila-ih7kv
    @JafariKila-ih7kv 29 днів тому +33

    Mh Paul Makonda nakukubali kwa kazi unayoifanya unastaili pongezi unanikumbusha mbali saana na utafika mbali kwa uwezo wa mwenyezimungu ishallah

  • @ramadhanborudiba6267
    @ramadhanborudiba6267 29 днів тому +14

    Leader always aleader mungu akubariki sna makonda

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 29 днів тому +47

    Haya jamani wengine wanatumbuliwa na wengine wanapandishwa vyeo hapohapo

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 29 днів тому +58

    Hili dude linatakiwa liwe lirahis la nchi. Kwanza Bado umri mdogo na,Lina nguvu.yaan naanza kulifananisha na captain Traole.Mungu amlinde aseee

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 29 днів тому +11

    Allah amlinde na amuongoze katika haki makonda

  • @user-tk2hd2eh1q
    @user-tk2hd2eh1q 28 днів тому +7

    Madonna wewe ndio yule Mungu aliempenda zaidi akaamua kumpumzisha.chapa kazi umerithi kipaji chema.

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 29 днів тому +11

    Kweli kwa ufanisi wake wa KAZI anastahili hiyo nafsi bravo👏

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo6641 29 днів тому +8

    Mtendaji amenyooka. Hongera makonda kwa maamuzi uliyofanya . Anaonekana atakusaidia sn kwenye kitengo ulichompa

  • @kinyongamediatz
    @kinyongamediatz 29 днів тому +6

    Kama wateule wote wanaomwakilisha Rais wangeiga mfano huu wa utendaji wa kazi wa Mh.Makonda Tanzania kungekuwa na kero chache kwa Wananchi.Hongera sana Mhe.Makonda Mungu azidi kukulinda

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 29 днів тому +53

    Mr makonda naikubali sana kazi yako,, chapa kazi

  • @geey7893
    @geey7893 29 днів тому +8

    Katika mikutano ya RC Makonda leo nmemsikiliza mtu smart na mwenye Brain. Afu ni mtu wa chini sana. Goood Mtendaji. Sio ile mianamke inapataje sijui izo nafasi?

    • @doiabel3793
      @doiabel3793 28 днів тому

      Hata mimi sielewi wale wamama walizipataje zile nafasi kujibu hawajui kila kitu niwabishi

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 29 днів тому +14

    Aisee huyu mtendaji anastahili sana kiukweli. Kijana safi

  • @TunuAdam-gc9rc
    @TunuAdam-gc9rc 29 днів тому +54

    Kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 29 днів тому +21

    Halafu anatokea mtu leo,anamrushia mawe Makonda, kama Mungu aishivyo, hayo mawe yatawarudia wenyewe ktk jina la Yesu....
    Hebu tukiona watu wanasimama ktk zamu zao kwa uaminifu na ujasiri, tuwapo geze, na tumrudishie Mungu Sifa Heshima Shukrani na Utukufu.

  • @PeterStevennewsong
    @PeterStevennewsong 29 днів тому +26

    Makonda ubarikiwe sanaaaa mamayetu tuletee makonda mbeya

    • @DSFAMILYGRAPHIC
      @DSFAMILYGRAPHIC 29 днів тому +2

      Hapana hatutaki huyu haondoki, nitafunga nakuomba a baki arusha

    • @lightmashauri1725
      @lightmashauri1725 27 днів тому

      Weee mtuache na makonda wetu hata mwezi haijaisha 😂

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 28 днів тому +7

    Ila mtendaji nae ni kichwa du! Anakumbukumbu sana Yan Hadi nimelia jmn😭hongera kaka Kwa kazi nzuri mfanyie huyo mzee kazi yake

  • @victoriaandrew1300
    @victoriaandrew1300 28 днів тому +4

    Msaidizi wa mkuu wa mkoa wa Arusha mtarajiwa anajua kuongea kitu kilichonyooka bila mapindopindo utafkiri anasoma mahali, anastahili hongera sana na Mungu awalinde sambaba na mpendwa wetu Paul Makonda

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 29 днів тому +9

    Huyu Mhe alivyokuwa benchi baadhi yetu tulikuwa na huzuni kubwa na kubaki kumuombea tu Mungu, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mbarik SSH

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 28 днів тому +1

      Kwa kweli anastahili pongezi Mungu aendelee kumbariki na kumlinda na watu wote wenye roho za chuki na husda dhifi yake

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 28 днів тому +4

    I love this man , na huyo jamaa ambaye ni afisa mtendaji ana vi element kama RC Makonda kushughulikia Critical issues ! Big up mtumishi wa umma

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 29 днів тому +5

    Dah Yani huyu mtendaji kanipa fundisho ewe mungu mpe wepesi kwenye kazi yake mpya

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 29 днів тому +9

    Ongera xna mtendaji upo vizuli unajua kujieleza unafanya kazi ya wananchi vizuli, kila la kheri kwako.

  • @emanuelkija7522
    @emanuelkija7522 28 днів тому +5

    Makonda ni Kiongozi aliyesukwa vzr sana mzee Magufuli, Big up sana kiongozi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 29 днів тому +6

    Tenda WEMA ipo siku ambayo huijui Mungu anawatumia watu dhaifu kuinua watu...hivyo Roho MBAYA HUTUFANYA KUKOSA maendeleo

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 29 днів тому +6

    Daah aisee
    Mwenyez Mungu amjaalie Makonda maisha mareefu yenye afya njema inshallah.

  • @ANETHKANSHWI-op8ow
    @ANETHKANSHWI-op8ow 29 днів тому +29

    Mungu akubariki makonda kumpandisha cheo ikawe heri

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 29 днів тому +12

    Kwakweli toka nimefatilia mikutano ya Makonda huyu mtendaji ametoa majibu ambayo hata sisi tusiojua huo mgogoro unaona kuna juhudi za kiongozi zimefanyika. Kuna wakurugenzi jana walichokuwa wanajibu wanakijua wao

    • @geey7893
      @geey7893 29 днів тому

      Umeonaa kakaee?? Yani Leo Kwa mara ya kwanza Nimemsikiliza mtu smart afu ni mtu wa chini kabisa. Afu Kuna mtu anakula Mshahara Milion 5 huko juu akiongea Utasema anaharisha. Arusha Haina watumishi naona wengi ni wanawake wa kuweka wekwa tu na wakubwa

    • @user-kq6op8ll3p
      @user-kq6op8ll3p 28 днів тому

      Wanapachikwa tuu, hawana kitu kichwani kabisa

    • @ayoubmkapa8906
      @ayoubmkapa8906 14 днів тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 29 днів тому +12

    Mama samiha suluhu mpe cheo Mtendaji ni mchapa kazi balaa ebu mpatie hata ukuu wa wilaya hakika hutojutia

  • @allysunday8614
    @allysunday8614 29 днів тому +9

    Kwa hapo big up....kwa maamuzi..ya kumpandisha cheo mtendaji...

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 29 днів тому +5

    Pongezi kwake Ndg. John Nkini hakika ni mtu mwema sanaaaa.
    Mungu amtangulie

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 29 днів тому +17

    Haya wale wapumbuvu wanaosema makonda anazalilisha watumishi umeona uwadilifu anaofanya kwa watumishi wanaojitambua

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 24 дні тому +1

    Hongera kijana kwa kupanda cheo. Mungu akufanyie wepesi katika utekelezaji wa majukumu yako mapya ya kumsaidia Mkuu wa Mkoa.

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 27 днів тому +2

    Makonda ni makonda aisee huyu broo mungu ampe umri mrefu sanaaaaaa❤❤❤

  • @owinomakochieng828
    @owinomakochieng828 28 днів тому +2

    Makonda anaielewa kazi yake na anaifanya ipasavyo. Naomba Mungu akulinde na akupe neema ya kukamilisha kazi aliyoiweka mikononi mwako. Nahisi kuwa viongozi wa Kenya wana take notes.

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 24 дні тому +1

    Daa hadi machozi yamenitoka,Makonda Mungu atakulipa kwa kazi nzuri na utendaji wako wa haki, asante sana mkuu

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 29 днів тому +6

    This is how God promotes people❤

  • @user-eu8ur4kt4v
    @user-eu8ur4kt4v 29 днів тому +5

    🔥🔥🔥🔥✅✅✅makonda hakika utakuwa mtu mkubwa sana zaid ya hapo na mungu atazidi kukulinda baba

  • @emmanuelmgwasi2296
    @emmanuelmgwasi2296 29 днів тому +6

    Uncle makonda mungu azidi kukupa nguvu na uzidi kuwatumikia wananchi

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 28 днів тому +2

    Simtofautishi Makonda na Captain wa Bukinafaso! Big up kijana!

  • @polloz77
    @polloz77 29 днів тому +5

    Big up Makonda -USA
    Chapa kazi msadiye Mama yetu Samia Suluhu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 29 днів тому +8

    Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri. Mafisadi mnaotuma watu kuwalipa milioni 6 iliwamuue Mh Makonda tuna mashaka hata kifo cha hayati Magufuli

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 28 днів тому +1

      Kumbe ww unajua mpaka bei wanayilipwa tutanza na ww kwenye hili.

    • @JasminMneney
      @JasminMneney 28 днів тому

      ​@@romanilyimokwani wee hujaona wametumwa watu 8 malipo milion 6

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl 29 днів тому +12

    Dah! Wakati wa mungu ni sahihi

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 29 днів тому +4

    Makonda. Oyeeeeeeee mung akulinde na mabaya na akujalie mema na afya njema daima inshaalah ❤️❤️❤️

  • @manuchochannel5538
    @manuchochannel5538 29 днів тому +3

    Mwenyezi Mungu akihitaji kukupa hakuandikii barua..hongera sana Mtendaji kata

  • @user-qe8km6sj3c
    @user-qe8km6sj3c 29 днів тому +4

    Ubarikiwe sanaà kwa kazi nzuri unayoifanya .ubarikiwe sanaaa

  • @godfreyelibarikilaizer6178
    @godfreyelibarikilaizer6178 29 днів тому +2

    Makonda wewe ni kiongozi wa mfano na wa kuingwa haupo kisiasa upo kiutu zaidi raia tungepata viongizi kumi kama wewe nchi yetu tungeishi katika haki na usawa Mungu akutunze mkuu wangu baba yangu jasiri

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 28 днів тому +1

    Kijana wetu Makonda. Endelea kuchapa kazi. Kaa kwa kutulia. Nakuona ukifika mbali sana katika uongozi. Wananchi wanahitaji msaada kama unaoutoa.Barikiwa sana uwe na maisha marefu. Asante Mama Kutupa huyu kijana.

  • @DianaTesha-iz4pb
    @DianaTesha-iz4pb 21 день тому +1

    Yaan mpk nimetoka choz kwa Furaha hakika Mungu akutunze mh Makonda

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 29 днів тому +3

    Nimefarijika sana big up president wa Arusha

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 29 днів тому +5

    Nakuwa na wakati mgumu jinsi ya kumuombea kwa mungu ulinzi wa mungu mwenyewe sijui niombeje lkn hofu yangu haya maombi yanamfikia mungu? Au tutaumizwa kama tulivoumia kwa aliekuwa rais wetu mpendwa burudoza joni ee mwenyezi mungu nakuomba umlinde kijana huyu amen

    • @giztony2009
      @giztony2009 28 днів тому

      Muovu haombewi maana amemwaga Damu za watu wengi watu kama ninyi ndo mtatumika kama kuni kumchoma moto mharifu huyu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 29 днів тому +2

    hongera sana kupanda cheo afisa mtendaji. Mama Samia twaomba mrudishe Sabaya Ole kazini ni mchapa kazi mahiri mnoo kiongozi safi

  • @fatumamilimo7336
    @fatumamilimo7336 29 днів тому +4

    jamani kuna mtendaji yupo kimamba kilosa jamani anafanya kazi vizuri na kwa waledi yaani i wish siku apandishwe cheo inshallah🤲🤲🤲

  • @respiciusndyanabo366
    @respiciusndyanabo366 29 днів тому +7

    Hongera sana naipenda sana kazi unayoifanya ubarikiwe

  • @AmiriMtawatawa-oh6xj
    @AmiriMtawatawa-oh6xj 28 днів тому +1

    Makonda safi unafaa kuwa mkombozi wa wanyonge .jitahidi kutenda haki mungu atakufikisha mbai .good job

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 29 днів тому +2

    maashaallah wakati wa mola ni wakati sahihi wallah.
    mungu akubariki kwa uadilifu wako bwana mtendaji. kweli umenyooka.
    hongera pia kaka makonda
    salut savaaa

  • @lucknessgerana3031
    @lucknessgerana3031 29 днів тому +16

    Mungu Tunakuomba umlinde huyu baba
    8:41

  • @g.gwemela5159
    @g.gwemela5159 29 днів тому +4

    Kiongozi, Mungu atakulinda katika kazi yako. Usichoke

  • @mgosimkome9242
    @mgosimkome9242 29 днів тому +3

    Safi Sana mtendaji yaani kuna baadhi ya watumishi wako vizuri, mtumishi anaulizwa kitu hajui hata anaongea nn

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 29 днів тому +1

    Mungu ni Mungu tu. Hongera sana mtumishi wa umma Mungu akuinue zaidi.
    Makonda wewe❤

  • @apolinamushi23
    @apolinamushi23 29 днів тому +3

    Hongera sana mkuu wa mkoa na mtendaji ❤❤❤

  • @patriciovicente2891
    @patriciovicente2891 28 днів тому +2

    Muito emocionante, isso é que é ser líder. Parabéns Makonda👌

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 29 днів тому +3

    Safi sana makonda uko vizuri sana Mungu awe nawe milele amiin

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 29 днів тому +8

    Jamaa anastahili sana, mfuatiliaji haswa

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 29 днів тому +4

    Kazi hadi usiku Big up saana makonda

  • @mujukishe8823
    @mujukishe8823 27 днів тому

    Mungu zidi kubariki kazi za makonda uweze kumponya na wabaya ili aendelee kutetea wanyinge asante Mungu kwa mtumishi wako Makonda zidi kumpandisha cheo atetee wanyonge. Makonda Mungu akubariki hata kwa kumpandisha mtendaji nawe utapandishwa na MUNGU.

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 29 днів тому +5

    Jembe lime ondoka mpini ume Baki🙌waya lazima zigusane ⚡salute makonda mungu akutunze Amin

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 29 днів тому +2

    Safi sana makonda Kwa kumpandisha kijana mwenzako juu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 29 днів тому +5

    Safi sana kijana ww nimtendaji bora

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 28 днів тому +1

    Kwelii jamaa ni haki yake apandoshwe cheo. Yuko vizuri kwenye kujieleza. Safi sana Mkuu wa Mkoa Paul Makonda

  • @ushindikapunga2705
    @ushindikapunga2705 29 днів тому +2

    Huyu mtendaji Mungu ambariki

  • @PaschalModaha
    @PaschalModaha 28 днів тому +1

    Hongora Sana makonda mungu akupe nguvu kuwatetea mwanyonge

  • @dorisselembo1225
    @dorisselembo1225 29 днів тому +3

    Makonda Mungu azidi kukulinda kaka yangu karibu Arusha mkuu kweli tunahitaji watu kama wewe Tz🔥🔥🔥🙏 endeleza Mtetezi wa wanyonge ubarikiwe wewe na family yako❤

  • @user-yx8uf8sz5l
    @user-yx8uf8sz5l 29 днів тому +2

    Hongera sana mh makonda kwa kazi njema

  • @EzekielMisungwi-zn6qh
    @EzekielMisungwi-zn6qh 29 днів тому +3

    Mtendaji amevuna alichopanda ❤❤🎉

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si 28 днів тому +1

    Big up makonda. Mungu azidi kukutunza na kukulinda🙏🙏🙏🙏