Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
Uyo mkuu wa shule amepiga hela ya kodi yetu,nashauri afukuzwe kazi sio kuhamishwa,zingatia ilo mh makonda,atumbuliwe. Uyo mwl ni mwizi wa pesa ya uma ivo inabidi alipe iyo pesa alafu afukuzwe
Makonda mwenyewe ni mhalifu anafanya hayo kwa kuficha matukio yake,makonda na sabaya mungu awape azabu kali sana muu gue moto mpaka na mjivu yao yaungue
Mutoto wakwetu mwanza kanda yaziwa wakwanza kupiganiya uhuru na tukaupata natuiongoza tanganyika tukaongoza tanzania mpaka sasa hatujawah kukwama tofauti nakufa viongoz tunao na tunaeza wewe ni nyerere watatu maguri wapiri twendekazi baba
Huyo dada anapenda kutumia neno almost...lakin almost ina mana kua unakisia...haupo sure na taarifa hio.....so lazma ataingia kwa shida...juu anajikaanga mwenyewe 🤣
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
Mh wakupe karata ya manunuzi na jisi walivyotumiwa 24:44
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
Haaaa
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
mama anatoa pesa kwaajili ya maendeleo Lakin wanaokula ni watumishi wapuuzi, 😢
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
Kwakweli stairy hii ni nzuri kukomesha wanaotumia mamlaka vibaya ni unavyofanya mhe.makonda wajifunze kupitia mikutano yako
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
Udhalilishaji kwa wafanyakazi wa umma, hii ingefanyika kwenye mkutano wa ndani, hizi nikujitafutia sifa.
Uyo mkuu wa shule amepiga hela ya kodi yetu,nashauri afukuzwe kazi sio kuhamishwa,zingatia ilo mh makonda,atumbuliwe.
Uyo mwl ni mwizi wa pesa ya uma ivo inabidi alipe iyo pesa alafu afukuzwe
Makonda ni bosi anayefuatilia kwa weledi kazi za serikali.Watu wezi ndiyo hawataki viongozi wa namna hiyo
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
Sisi hatuna kazi wakati wangetupa kazi hizo tungefanya kazi vizuri tu jamani
Mh.Rais tunaomba uwabane viongozi wa mikoa wote wafanye kama makonda.kwa sababu wengine hawafanyi hivyo ndiyo maana Makonda anaonekana mbaya
Alikufa magufuri ila wakina magufuri wapo fanyakaz isiogope mtu ogopa mungu
Makonda mwenyewe ni mhalifu anafanya hayo kwa kuficha matukio yake,makonda na sabaya mungu awape azabu kali sana muu gue moto mpaka na mjivu yao yaungue
Makonda anafanya vizuli sana. Tunakupenda 5/5 uku🇧🇮🇧🇮
Mutoto wakwetu mwanza kanda yaziwa wakwanza kupiganiya uhuru na tukaupata natuiongoza tanganyika tukaongoza tanzania mpaka sasa hatujawah kukwama tofauti nakufa viongoz tunao na tunaeza wewe ni nyerere watatu maguri wapiri twendekazi baba
Uyo mdada anatumia neno almost ili iweje mbona esabu haikuenda yake na ya mkuu wa shule,ivi unasubili nini rc makonda,kukaa na waujumu?
Arusha wamepata jembe wakuu wore wajifunze kwa mwamba makonda
kumbe REA sio TANESCO
Wew na magufuli mpo sambamba hongera sana makonda🎉
Huwezi kusaini hela ya kufanya kitu halafu usahau hiyo ni ishara ya kuwepo kwa upigaji
Safi sana makonda mungu akurinde na kila baya hakika atakurinda kwa kazi nzuri unayoifanya
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
Huna hoja
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
😂😂😂😂.. Hii nchi upigaji ni mwingi
Sisi wenyewe atuelewi anayeulizwa ni nani, du mh
Wewe mwizi kama hao anazalilisha nani sasa kama na wewe sio mwizi
Tunataka watu kama hawa
hakuna kamaww kwenye hiinchi
Kamata wezi
Namuona magufuli hakika tunakuhitaji mnooo
Mwizi huyo
🇺🇸🙋🇹🇿
Hello
Watu wengine hata hawana alama za kusoma ni haibu
Aibu sio haibu
Huyo dada anapenda kutumia neno almost...lakin almost ina mana kua unakisia...haupo sure na taarifa hio.....so lazma ataingia kwa shida...juu anajikaanga mwenyewe 🤣
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makonda njoo nahuku wizi upo mwingi sana Aisee
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
Piga sparn hao
Wana inchi wooote wa incchi nzima wangekuwa na wakuu wa mikowa kama
Makonda inchi inakuwa paladiso.
Abalikiwe mukuuwa mukowa Makonda laaah !!!
Mweshimiwa mkuu wa mkoa kweli unafanya kazi ubarikiwe,tunaomba uingie pia kwenye ishu ya mikopo ya alimashauri hatuelewi kabisa.
Njoo mara hasa serengeti mamà turetee makonda tunababaishwa na wenyeviti wa vitongoji
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
Hongera makonda kwazi nzuri usimamizi muzuri ufuatiriaji wakaz zaserekari mukowa wa arusha duwa kwako mungu akupe umr murefu
🤝🤝🤝makonda mungu hakulinde kwa kazi mzuri ya kuwatetea tz💪
Good lender
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
Pumbavuuuu nakuzalilisha kama anamwanamke mzuri wakwako mjinga kabsa mvuta bagi wewe kafie mbali uko huna Cha kusema msenge wew
😂😂😂😂😂
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
Hawa wana wake wanini kwenye uongozi
Jmn makonda awe rais was Tanzania
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
Mbn kama anatafta sifa kwa nguvu
Mungu akubariki sana kaka.
,
, nawapenda wote,
😅😅😅😅😅
yani tanesco ana bei kuliko rea
Makonda nakuelewa sana
Makonda sijui nisemeje tu
Upo vizuri baba
Acha upuuzi militia kwanza
Kaka gombania na uraisi
rajabu
BwanaYesu akufunike Makonda
2000
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
Spana sio supana
Makonda alikuwa sahihi
Mungu akulinde
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wizi mtupu😢
😂aaa
Ongera bb
🙆🙆🙆🙆 21:23
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
Mazuri yapi anayoyafanya huyu taperi?
SOIL TEST 10M😂🙌
Mondamano