MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
    Mbungu wa chama cha mapinduzi Joseph Musukuma amezungumza na wananchi wa iringa katika ziara ya katibu mkuu wa chama hicho...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Рік тому +3

    Msukuma Hana elimu ya kuelewa mambo. Anajipa udaktari bila elimu. Ni mbwembwe tupu. Hawa ndio wanaoliangusha Taifa. Elimu, elimu, elimu

  • @jumamsechu
    @jumamsechu 3 місяці тому +1

    Wezi kazini

  • @RobyJoachim-y2k
    @RobyJoachim-y2k 2 місяці тому

    Elimu ni nzuri sana huyu mbumbumbu ata kupabgilia maneno hawez

  • @OmaryKikambaa
    @OmaryKikambaa 2 місяці тому +1

    Mara pa msigwa yupo chichiem,,,, kumbe msukuma alikuwa anamaanisha

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 місяці тому +1

    Kumbe Mchungaji Pita Msigwa alikuwa anapewa pesa na ccm .

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Рік тому +1

    Nchi iko kwenye pandemic mbaya sana, kichaa, viongozi wote vichaa, mbwa koko wewe Musukuma. Hela hizo ni za watanzania siyo za mpemba Samia!

  • @shetanoathumani2904
    @shetanoathumani2904 Рік тому +1

    Mkulima Nani wa nyanya amepelekewa mamilioni ya hela?

  • @kizitoleons6291
    @kizitoleons6291 Рік тому +1

    Huyu ufahamu wake mdogo sana badala anadi sera za chama chake anamuongelea mpinzani

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 2 місяці тому +1

    Siasa za CCM hazina lengo la kumkomboa mnyonge

  • @ObadiaChengula
    @ObadiaChengula Місяць тому

    Jamaa aliongea ukweli sana huyu

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 2 місяці тому

    Heti humewapa uhuru sawa mkoroni sijui mwarabu au mzugu

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Рік тому +2

    Wewe mbunge msukuma una ongea nini ...? Ety pesa inatoka kwenu una pesa gani ya kutoa kwa CHADEMA wewe , Pesa n za walipa Kodi wa kitanzania na Maliasiri za Tanzania 🇹🇿 , ko usijifanye wewe ndio unajua Sana wadanganye hao hao ..... ! Ambao hata darasa la 7 hawajafika

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 місяці тому

    Huyu anayejiita msukuma kwa nini asiende shule kwanza ili awe anaongea facts bungeni maana michango yake yote huwa madudu tupu yaani uchafu na kuchafua watu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 місяці тому +1

    Mpumbavu ndiye aliwae. Hana lo lote anafanya siasa za kipimbavu tu

  • @edisonmjema2620
    @edisonmjema2620 2 місяці тому

    Akili mbovu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 місяці тому

    Mhuza nyanya kaperekewa pesa na kachukuwa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 11 місяців тому +1

    Watu wajinga wapo kwenye mfumo, wenye akili wanaogopa kuingia fursa za uongozi

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 місяці тому

    Mjinga mkubwawewe elimu huna ndoo mchawi shetani mama anatoapesa ni zake?siyo za watanzania?

  • @innocentkamuntu8041
    @innocentkamuntu8041 2 місяці тому

    nikweli nyie ni wa makofi una jipya ww ovyo

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 місяці тому

    Eti wangekupa urais nani akupe wewe mbumbu mzungu wa reli nchi inauzwa bandari misitu mbuga za wanyama nyie mnashangilia yaani wewe msukuma umemgeuka JPM na Nyerere kuhusu Raslimali za nchi hakika mtakufa mkawakute na watawauliza maswali ambayo hamtayajibu kamwe

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 2 місяці тому

    Wajinga nyie kila kitu kafanya, na nyie mnafanya nini.