KILIMO CHA MATIKITI-Part 3

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 тра 2018

КОМЕНТАРІ • 68

  • @Akidu-nb8hq
    @Akidu-nb8hq Місяць тому

    Habar naomb nmba yko ili nijifunze jinsi ya kulihudumia xhamba lngu

  • @christermbawa3060
    @christermbawa3060 6 років тому +1

    Kazi nzuri bro

  • @emmanuelmasabo8194
    @emmanuelmasabo8194 4 місяці тому

    Hakuna mbolea ya Yara na mbolea ya Nitrabo but all in all you're good

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому +2

    Great job. A learning experience for the water melon farming.

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 2 роки тому

    Kazi ngumu Sana ziro

  • @samwelimahesha180
    @samwelimahesha180 3 роки тому

    Dawa ya nyigu ni Pateje kaka

  • @samuelmwakasendile3584
    @samuelmwakasendile3584 3 роки тому

    asante kwa elimu nzuru umetupatia

  • @tinohramsey8676
    @tinohramsey8676 5 років тому +2

    kama kjn mwenye nia ya kufanikiwa kimaisha nmeipenda Kazi ako kk naomba namba yako ya simu kk unipe ushauri nami nilime matikiti kk

  • @glorymilinga4678
    @glorymilinga4678 3 роки тому

    Shalom! Nimefuatilia maelezo yako kwa umakini. Naomba unisaidie hapa, ni mara yangu ya kwanza kabisa kulima tikiti na sina elimu kabisa leo ni siku ya saba nimeshapika farmigadi sasa hapo kwenye kuweka mbolea na aina ya mbolea na mwendelezo wa kuweka dawa nahitaji ushauri zaidi

  • @samwelimahesha5518
    @samwelimahesha5518 3 роки тому

    Kaka naomba unielekeze jinsi ya kutengeneza mtego wa nyigu

  • @lugangizyaemmanuel4348
    @lugangizyaemmanuel4348 3 роки тому

    Namm ninampongo ila naomba kujua mbegu gani ambayo inafaa kwaajili yamatikiti

  • @edgarmikongoti708
    @edgarmikongoti708 Рік тому

    mimi nimeanza kulima mwaka huu 2023 ila nipo mbali na mto hivo nategemea mvua ila kunachangamoto ya ukame nimeambiwa na baadhi ya wakulima wenzangu nitumie super glo je ni sahii niitumie hii SUPER GLO ili nikabiliane na ukame

  • @emmanuelphilibert3395
    @emmanuelphilibert3395 5 років тому

    Nikuerewa kk

  • @paullorry4408
    @paullorry4408 3 роки тому

    samahani nauliza dawa ya wadudu weup wanaoishi kwenye udongo asilimia kubwa wanaoishi kwenye mbolea ya ng,mbe dawayake niipi

  • @lainathakalisa9153
    @lainathakalisa9153 5 років тому

    Naomba unisaidie matikiti yangu yanaoza yakiwa machanga

  • @robertsumuni156
    @robertsumuni156 5 років тому

    naomba nambayako

  • @shambadarasamkusi4449
    @shambadarasamkusi4449 5 років тому

    Safi sana ndugu.Tunatamani kufanya na nyie kazi

  • @ramadhanilihapa8295
    @ramadhanilihapa8295 Рік тому

    Mbolea gan ya kuzalishia?

  • @ericklema5017
    @ericklema5017 4 роки тому

    Baada ya kuwek mbolea ya kwanza iyo yara na urea siku ya 21 ulikuja kuwek mbolea gan nyingine.!? Siku ya ngapi.!?

  • @omaryally7315
    @omaryally7315 3 роки тому

    Kilimo kwanza

  • @isaiahtraveling
    @isaiahtraveling 6 років тому

    Mbolea ya yara Na nitrabo jamani unatuchanganya .
    Yara Ni kampuni yambolea. nitrabo ndo aina ya mbolea tutafafanulie jamani

    • @foodmark482
      @foodmark482  6 років тому

      Isaiah Matoke Yara ni kampuni bro

    • @elinamiayo6526
      @elinamiayo6526 5 років тому

      Natribor kunaweka stage ya mmea unakuza tunda au maua

  • @DIweni
    @DIweni 5 років тому

    Heka moja yaweza kugharimu sh ngap?

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 років тому

    Sawa mr food mark! swali lingine je tikiti moja utauza shiling ngap sokon? Nipo na heka 2 dar pale ruvu ila nimependa mihogo na mm nipo nje ya nchi.

    • @foodmark482
      @foodmark482  6 років тому +1

      Chakulamba Mboga Ubora wa tikiti utalovuna,wakati utaovuna na soko utalouzia ndo vitu vitavoamua bei.Kwa majibu zaidi what's app my number +255764432888

  • @neysanga
    @neysanga 5 років тому

    Pamoja sana

  • @KhalifaIssa-jg5nj
    @KhalifaIssa-jg5nj Рік тому

    naomba namba yako il unpe ushaur

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh573 5 років тому

    Asante kwa namba ya simu. Ila nimeikosa video ya utayarishaji shamba hadi upandaji. Asante Fute,

  • @zhnnnsafisanamweshimiawata1312
    @zhnnnsafisanamweshimiawata1312 5 років тому

    naomba namba zako kaka nikutafute nahitajikulima tikiti

  • @samwelmahesha4986
    @samwelmahesha4986 2 роки тому

    Nahitaji dawa ya manyigu

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 5 років тому

    Naomba nisaidie namba yako ya cm kaka

  • @nasrasewando37
    @nasrasewando37 5 років тому

    kwahiyo mbolea unaweka Mara 2 tu ukiwa unapanda na sku 21 tu au utawekea tena

  • @evagasper4772
    @evagasper4772 5 років тому

    Mnapatkana wapi

  • @neemagoodluck4401
    @neemagoodluck4401 6 років тому

    Eka na namba au anymeans of communication

    • @foodmark482
      @foodmark482  6 років тому

      Neema Goodluck Nitafanya ivo dada Ney

  • @marcomathayo2733
    @marcomathayo2733 6 років тому

    Hbr kiongozib, nami nimepanda tikitib, lkn majani yanatobolewa na kujikunja ..... Inaweza ikawa ni ugonjwa gani?

  • @abrahammangendimcharo3027
    @abrahammangendimcharo3027 5 років тому

    Matikiti yako uliotesha Mwezi wa ngapi?

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 років тому

    Heka 2 za matikiti zikikubar vizur, je ni shilling ngapi waweza earn? kupata?

    • @foodmark482
      @foodmark482  6 років тому +2

      Chakulamba Mboga heka moja inaingia mashimo 3000-4000......wewe unapanda mbegu ngapi kwa shimo??kila shina lililo tunzwa vizuri linaweza kubebe tikiti 2!hesabu nyingine malizia mwenyewe sasa. Sawa Chakula mboga??

    • @barakaluvanda7941
      @barakaluvanda7941 5 років тому +1

      😍😍 mbon pesa nyingii

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 років тому

    wapi hiyo kilimo cha matikiti?

  • @yasnmbuwa9662
    @yasnmbuwa9662 2 роки тому

    vp kak

  • @elinamiayo6526
    @elinamiayo6526 5 років тому

    Asnte kwa maelezo mazuri ndugu... naomba kuuliza swali juu ya huo mtego wa nyigu... je unautengeneza na nani zaidi ya hilo kopo.. hicho kitu cheupe kwenye kopo ni nn..je kinauzwa madukan pamoja na dawa ya kuweka hapo?.. naomba msaada kwa hili mkuu

    • @foodmark482
      @foodmark482  5 років тому

      Elinami Ayo Hiyo mitego ipo madukani inauzwa na utapewa maelekezo ya jinsi ya kuitumia maana ipo ya aina nyingi

    • @elinamiayo6526
      @elinamiayo6526 5 років тому

      Soo nikienda duka la pembejeo nitauliza mitego ya nn kaka...ili nieleweke haraka

    • @foodmark482
      @foodmark482  5 років тому

      Elinami Ayo mitego ya nyigu

    • @elinamiayo6526
      @elinamiayo6526 5 років тому

      Samahan mr unaweza kupata mawasiliano ... natarajia kulima mwezi ujao ndugu angalau niwe napata ushauri kwako.... sikuwahi lima bfre hvyo nahitaji msaada wako..

    • @foodmark482
      @foodmark482  5 років тому +1

      +255764432888

  • @nasrasewando37
    @nasrasewando37 5 років тому

    dapu ni nini hiyo

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh573 5 років тому +1

    Naomba simu yako

  • @josephmeratah2509
    @josephmeratah2509 6 років тому

    Hiyo dawa ya kuzuia wadudu wanaokata mimea michanga inaandikwaje.. nasikia atkan c, naomba uniambikie please