NIMEPENDA, TATIZO SIO KUFUGA KUFUGA NI RAISI,, ILA MTAJI WA MADHARI YA UFUGAJI KUANDAA MABANDA,, PESA YAKE NI TATIZO,, BENKI NYINGI HAWATUAMINI WAFUGAJI,, HATUPEWI MIKOPO YA WAFUGAJI:
Nakubaliana na wewe kabisa. Watu wengi tunaujua huu ufugaji. Niliuona kigogo kwa mchaga mmoja tena yeye katumia mbao na ameweka tetea watano na jogoo mmoja kila kizimba. Na alikuwa tayari kunijengea. Ni miaka mitano imepita lakini sijapata hiyo hela. Imebaki ndoto tu.
Naomba mawasiliano yahuyu mfugaji nimependa ubunifu wake.nahitaji kujifunza zaidi kutoka kwake.
AZAM KILA SIKU NAAWAMBIA HAYO MAMBO NI INVESTMENT YANAHITAJI CAPITAL,VIJANA TUNAMAMBO MENGI YA KUFANYA LAKINI Hatuna capital
Safi sana mama...Umenihamasisha sana
Problems is capital
Hizo cage ni bei sanaaaa so kwa mfugaji mchanga ni ndoto za abunuasi
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
Apo kwa mafisad sawa lakin si kwa mtu wa Ali yachin ni ndoto
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
Naomba mawasiliano , pleaasr
tunaomba namba yako mama.
0757038631
aya bhana Ila punguza pombe sasa
Matusi hayo, hizo pombe unamnunulia wewe? Badala ya kujifunza umekalia punguza pombe.!
NIMEPENDA, TATIZO SIO KUFUGA KUFUGA NI RAISI,, ILA MTAJI WA MADHARI YA UFUGAJI KUANDAA MABANDA,, PESA YAKE NI TATIZO,, BENKI NYINGI HAWATUAMINI WAFUGAJI,, HATUPEWI MIKOPO YA WAFUGAJI:
Dk Alhaji Jb Matatala kweli kabisa,,Mtaji ni tatizo
Nakubaliana na wewe kabisa. Watu wengi tunaujua huu ufugaji. Niliuona kigogo kwa mchaga mmoja tena yeye katumia mbao na ameweka tetea watano na jogoo mmoja kila kizimba. Na alikuwa tayari kunijengea. Ni miaka mitano imepita lakini sijapata hiyo hela. Imebaki ndoto tu.
Dk Alhaji Jb Matatala nakuunga mkono benk zetu hazituamini wafugaji wakat tukiwezeshwa tunaweza
Summa Nelson pole mwaya
Tatizo ni mwanzo kuwa mgumu ila watu tunapambana sana ktk ufugaji ,mtaji ndio changamoto na wadhamini hawapatikani
naomba ajira naitwa Afikiano said nipo mbeya je unaweza kuniajiri umri wangu miaka 22 kama itawezekana naomba wasiliana namimi kwa namba 0743948395