hapo ndo utakumbuka kauli ya ukikosea kuoa umekosea maisha bro umepatia kuoa,mke wa kuishi nae utamjua ktk focus yake ktk maisha sio entertainment tu muda wote,lazima awe anakupa mawazo namna ya kuongeza kipato na sio kutumia tu.big up
What the name of that banana very short easy to cut ? I am Montagnard indigenous we planted many banana varieties but we didn’t have this kinh of banana.
hapo ndo utakumbuka kauli ya ukikosea kuoa umekosea maisha bro umepatia kuoa,mke wa kuishi nae utamjua ktk focus yake ktk maisha sio entertainment tu muda wote,lazima awe anakupa mawazo namna ya kuongeza kipato na sio kutumia tu.big up
Kazi nzur sana kareen
safi sana, na hongereni kwa kutupatia bidhaa hizi muhimu kwa jamii
Great job. A learning experience for the water melon farming.
Safi sana nimeipenda
Safi sana
Watanzania wenzangu mna nipa moyo sana na mimi nitajiunga nanyi .. hivi karibuni katika kuendeleza kilimo..
Joseph Gomalo kaka acha tu.,mimi najichanga hapa na hakika tuungane na kushirikiana mafanikio yapo tu ni kujuhudik na kazi tu hakuna namna
Homgera
Hongereni sana
Asante Dada
Nimependa
Safii
safi
What the name of that banana very short easy to cut ? I am Montagnard indigenous we planted many banana varieties but we didn’t have this kinh of banana.
Only found in Tanzania lol
Sasa mtu ukidislike hii video wee ni nini unataka? Una pepo tu...
Nimewapenda bure
Machine hiyo ni bei gani??
Naomben contact zenu plz
Safi sana