Azam TV - MAKALA YA SHAMBANI: Teknolojia ya 'matone' inavyoweza kukutajirisha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 гру 2017
  • Makala hii inahusu kilimo cha umwagiliaji wa matone na imeruka katika habari ya Desemba 27, 2017
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 20

  • @mrishomzelela4627
    @mrishomzelela4627 5 років тому +2

    hapo ndo utakumbuka kauli ya ukikosea kuoa umekosea maisha bro umepatia kuoa,mke wa kuishi nae utamjua ktk focus yake ktk maisha sio entertainment tu muda wote,lazima awe anakupa mawazo namna ya kuongeza kipato na sio kutumia tu.big up

  • @stevenalex-kv2kq
    @stevenalex-kv2kq Рік тому

    Kazi nzur sana kareen

  • @abdimunamuna4579
    @abdimunamuna4579 6 років тому +1

    safi sana, na hongereni kwa kutupatia bidhaa hizi muhimu kwa jamii

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    Great job. A learning experience for the water melon farming.

  • @salimhusseni4784
    @salimhusseni4784 4 роки тому

    Safi sana nimeipenda

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 6 років тому +1

    Safi sana

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 6 років тому +3

    Watanzania wenzangu mna nipa moyo sana na mimi nitajiunga nanyi .. hivi karibuni katika kuendeleza kilimo..

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 років тому

      Joseph Gomalo kaka acha tu.,mimi najichanga hapa na hakika tuungane na kushirikiana mafanikio yapo tu ni kujuhudik na kazi tu hakuna namna

  • @moshikitambo840
    @moshikitambo840 2 роки тому

    Homgera

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому

    Hongereni sana

  • @adammassawe9639
    @adammassawe9639 6 років тому

    Asante Dada

  • @georgendunguru6207
    @georgendunguru6207 5 років тому

    Nimependa

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому

    Safii

  • @shambadarasamkusi4449
    @shambadarasamkusi4449 5 років тому

    safi

  • @jacobeksor6088
    @jacobeksor6088 5 років тому +1

    What the name of that banana very short easy to cut ? I am Montagnard indigenous we planted many banana varieties but we didn’t have this kinh of banana.

    • @TheCvm229
      @TheCvm229 5 років тому

      Only found in Tanzania lol

  • @TheCvm229
    @TheCvm229 5 років тому +1

    Sasa mtu ukidislike hii video wee ni nini unataka? Una pepo tu...
    Nimewapenda bure

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 роки тому

    Machine hiyo ni bei gani??

  • @sylivesterm.mazigo2440
    @sylivesterm.mazigo2440 6 років тому +1

    Naomben contact zenu plz

  • @shambadarasamkusi4449
    @shambadarasamkusi4449 5 років тому

    Safi sana