Kilimo cha tikiti-kwanini tunapata hasara?sehemu 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2018

КОМЕНТАРІ • 19

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    Great job. A learning experience for the water melon farming.

  • @samwelimahesha5518
    @samwelimahesha5518 3 роки тому

    Kaka naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza mtego wa nyigu naomba msaada sana

  • @ibrkisale1612
    @ibrkisale1612 4 роки тому

    endelea mtaalam nakupata vzur

  • @VailethMmari-yo8el
    @VailethMmari-yo8el Рік тому

    Kaka nisaidie mawasiliano

  • @robertbabilas5623
    @robertbabilas5623 Рік тому

    Shukulani

  • @francismagembe9400
    @francismagembe9400 5 років тому +1

    Sasa dawa ya simu..buster na ukungu unachanganya zote kwa pamoja ndo unapiga?

    • @francismagembe9400
      @francismagembe9400 5 років тому

      Dawa ya sumu ,buster na ukungu unachanganya zote kwa pamoja na unapiga shambani?

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 5 років тому +1

    mfano sijatumia dap kupandia nkatumia urea baada ya kuota mimea itapata ifect au ni kitu gani ntakuwa nimekikosa Kwa kufanya hivyo

    • @foodmark482
      @foodmark482  5 років тому +2

      Kama unataka niwe role model au mentor wako kwenye kilimo cha matikiti ,Basi Fanya tu nachosema na utafanikiwa kwa sasa.Urea haipendekezwi kama mbolea ya matikiti...nikipata muda nitaweka video ya kwanini mbolea fulanifulani hazifai kwa tikiti.

  • @wabyonadsvid9735
    @wabyonadsvid9735 Рік тому

    What is the spacing

  • @alphoncemichael5798
    @alphoncemichael5798 3 роки тому

    Nashukuru sana kwa elimu hii, imenihamasisha kujikita rasmi katika kilimo cha tikiti kibiashara, nahitaji msaada wenu zaidi, nipo Tabora Urambo. Hamna grouo la Wasapu?
    Mbolea ya dapu ni ya aina gani mbona sijawahi kuisikia?

  • @josephpesa5192
    @josephpesa5192 5 років тому

    Kaka nisaidie namba yako pls

  • @amonmwemez1200
    @amonmwemez1200 5 років тому

    mnalima wap mashamba hayo