Kilimo cha tikiti maji.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 чер 2020
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg
  • Навчання та стиль

КОМЕНТАРІ • 20

  • @castrofidele9591
    @castrofidele9591 11 місяців тому +1

    Asante shamba lulu ITV , nimenufaika dhaidi. Ongereni sana kwa waandalizi.

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    Great work. Keep it up!!!

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 10 місяців тому

    ni fursa nzuri sana

  • @francisshimijinyanda6733
    @francisshimijinyanda6733 2 роки тому +1

    Naomba kujua aina ya mbolea matumizi yake pamoja na madawa ya wadudu na magonjwa

  • @seifamir2588
    @seifamir2588 3 роки тому

    mimi niwapongeze waandishi wa habari kwa kufika kwenye mashamba ,mnapata kutuamsha na sisi tunaona kumbe maendeleo yanawezekana

  • @VenaEliki
    @VenaEliki 10 місяців тому

    Yaan maswali ya mtangazaji amejikita sana kwenye chatu uliza aina ya mbegu yanahitaji mbolea kiasi gani aina za mbolea unamwagilia mara ngap dawagan yanahitaji

  • @MigaboJohn
    @MigaboJohn Місяць тому

    Jamman npen no nijifunze zaid nataka nilime

  • @dorcusstephen-cu9wh
    @dorcusstephen-cu9wh 25 днів тому

    Sorry nna swali kwan uwez kupanda direct kwenye shamba ad uanze kweny kopo

  • @josephissara3599
    @josephissara3599 10 місяців тому

    Nahitaji ufafanuzi wa kwamba "tikiti maji haiwezi kulimwa kama zao endelevu katika eneo moja" (bila kubadilisha zao)

  • @kornelijoseph4748
    @kornelijoseph4748 3 роки тому

    tunaomba wekeni namba zenu tuwapate kwa msaada

  • @richardmpuya5379
    @richardmpuya5379 3 роки тому

    Na Mimi nalima bustani nahitaji huduma ya TAHA

  • @ufahamuhalisi7610
    @ufahamuhalisi7610 Рік тому

    Vipi tutawezaje kuwasiliana

  • @HermentMsofe-nm6vj
    @HermentMsofe-nm6vj Рік тому

    Nahitaji kujua utaalamu wa kilimo

  • @richardmpuya5379
    @richardmpuya5379 3 роки тому

    Habari za asubuhi taha nahitaji huduma yenu, niko shy vijijini

  • @francisshimijinyanda6733
    @francisshimijinyanda6733 2 роки тому

    Mche mmoja wa tikiti unaweza kuzaa matunda mangapi?

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 3 роки тому

    Kilimo ni hasara tu

    • @user-ob4ud6qh3j
      @user-ob4ud6qh3j 2 роки тому

      Watu wasingelima

    • @stevenmwasinini5107
      @stevenmwasinini5107 2 роки тому +1

      Hahahah,,,ww sema haukulima bana mana kuna tofauti kati ya kulima na kupanda wewe ulipanda...

    • @ufahamuhalisi7610
      @ufahamuhalisi7610 Рік тому +1

      Kilimo ni faida

    • @castrofidele9591
      @castrofidele9591 11 місяців тому +1

      Mwafrika mwenza angelijuwa kilimo ni maendeleo , nadhani angelirejea nyuma kidogo kwa kufikiri.