KILIMO CHA TIKITI MAJI TABORA (SIKU YA 30 BAADA YA KUPANDA)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2016
  • Mazao haya yana siku 30 toka nimepanda. Pata updates chache!
    mali ipo shambani.

КОМЕНТАРІ • 69

  • @johnmakune7426
    @johnmakune7426 7 років тому +3

    It is hearts such as this that are willing to share knowledge for development that are truly remarkable and deserving of the highest applause and reward. God bless you guys for sharing all the information you have shared

    • @suleimanh.halletu7552
      @suleimanh.halletu7552  7 років тому +1

      Thank you brother for the Compliments!

    • @mosesnartey4316
      @mosesnartey4316 5 років тому

      I really love your commitment to share with other, just unfortunate I can't understand the narrative

  • @mohdhassan9943
    @mohdhassan9943 7 років тому +1

    asante sana baba hata mm nataka niingiye kwenye kilimo cha tikiti nitskutafuta ili nipate ushauri wakoo inshallah

  • @emmanuelgabriel848
    @emmanuelgabriel848 7 років тому +1

    hongera sana bro kwa udhubutu lakini vipi mafanikio yakuwekeza kweny kilimo

  • @nafsajuma5919
    @nafsajuma5919 7 років тому

    hongera sana kaka selemani pia samahan umetumia kiasi gani kuandaa n.a. kupanda hadi ziote

  • @happygodfrey3325
    @happygodfrey3325 7 років тому

    asante kaka Suleiman...,.....Mungu akubariki

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому

    I really like watermelon farming and I'd like to start the process.

  • @joshngojetv7364
    @joshngojetv7364 4 роки тому +1

    Habari..
    Bwana Sulemani naomba namba yako kunavitu nataka tuonge utusaidie kwenye project yangu.

  • @rufanomushi1106
    @rufanomushi1106 7 років тому +1

    safi sana kaka tuendeleee kuelimishana wandugu uwo ndio uzalendo na hongera sana bro sule hongera sana kaka tuzidi kukaza

  • @magaitumbo7111
    @magaitumbo7111 4 роки тому

    Safi nimeipenda hii. Ni mbegu gani unayolima ndugu.

  • @ghanacabletv5316
    @ghanacabletv5316 7 років тому

    assalaam 'alaykum ndg Suleiman...
    umenisaidia sana ktk majaribio yangu ya kilimo cha tikiti. Mungu akulipe kila la kheri.

  • @dyankson
    @dyankson 5 років тому

    HONGERA! Safi sana kiongozi. Vijana tuzidi kuhamasishana kuwekeza kwenye kilimo. Kiongozi nimeanza na mladi wa shamba kilimo cha tikiti ili mwakani niwekeze 2 hekta. Tafadhali naomba namba yako ya simu tu-exchange uzoefu na ushauri. Asante

  • @MaishaBaluhya-nf5ok
    @MaishaBaluhya-nf5ok 8 місяців тому

    Tafadhari naomba namba ya simu kwa msaada zaidi

  • @pamelaowiyo9867
    @pamelaowiyo9867 4 роки тому

    Good job

  • @pulcheriamayombo5222
    @pulcheriamayombo5222 3 роки тому

    Asante nimepanda matikiti ila nimekosea kipimo cha mche na mche.

  • @funlityoung
    @funlityoung 8 років тому

    Nice farm 🍉👸🏾💚!

  • @joazmgute8746
    @joazmgute8746 7 років тому

    Safi bwana sureman me nmeshalipia shamba nasubir tuu maji yapungue ili nianze maandaliz swali hilo shamba ulilo kadiria milion 30 lina ukubwa gan lakin unaweza kunipa makadilio ya ghalama had kuvuna

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 7 місяців тому

    Ni mwez gani nzr wa kuandaa shamba la matikit? Yaan msimu mzr ambao unaweza kuuza Bei nzr ukapata faida

  • @amonzachary2718
    @amonzachary2718 2 роки тому

    Boss vp msimu mzuri wenye soko zuri kwa zao la tikiti ni upi yani nilime mwezi gan ilinivune msimu gan wenye bei nzuri sokoni wa zao la tikit

  • @silaspaulmakula4396
    @silaspaulmakula4396 7 років тому

    hongera kwa kazi nzuri, ila naitaji pia ushauri wako kwani na mimi najishughurisha na kilimo hicho cha matikiti

  • @bestonmwasalemba6915
    @bestonmwasalemba6915 8 років тому +2

    safi sana mkuu, napenda sana, tuko pamoja

  • @hassanyusuph3204
    @hassanyusuph3204 2 роки тому

    Kwa makadilio ni baaada ya mda gan unaweza kujua mda huu mmea unajitengenezea sukari yake ,ili kupunguza kiasi cha maji

  • @masalimsuhitv6439
    @masalimsuhitv6439 7 років тому

    sana

  • @deusdeditngholombi6124
    @deusdeditngholombi6124 26 днів тому

    Nieipenda hii

  • @jameska1243
    @jameska1243 7 років тому

    Ndg Suleiman lam sorry bila kujali ningeomb namb yako by James,

  • @ayubumunapindamunapinda8016
    @ayubumunapindamunapinda8016 2 роки тому

    gram 1 nyany imara f1 ya mbegu be I gan

  • @emmanueleddiemwamakula3398
    @emmanueleddiemwamakula3398 4 роки тому

    Hivi hii programu iliishia wapi? Nimejaribu kufuatilia ila sijapata mrejesho

  • @joazmgute8746
    @joazmgute8746 7 років тому

    Nipo mbeya

  • @JaphetMwaisaka-kc3ri
    @JaphetMwaisaka-kc3ri Рік тому

    Ko kwenye matuta unaweza kupanda

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    bwana sulemani kwa hiyo ndiyo tumekoea hapa tu

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 7 років тому

    Matikiti tunayoyaona au majani tunayoyaona?

  • @DIweni
    @DIweni 5 років тому

    Kwa mashina ambayo hayakuota yanaachwa au unarudia kupanda?

  • @verohmchihiyo5029
    @verohmchihiyo5029 7 років тому

    Hi suleiman...hongera kaka, naomba contact zako kama hautojal...n kuhus kilimo cha matikiti

  • @telesphorymwashem948
    @telesphorymwashem948 4 роки тому

    Kaka sulemani naomba namba yko tuwasiliane

  • @stevenmsuya9583
    @stevenmsuya9583 6 років тому

    sumugani unatumia?

  • @manasesimon7651
    @manasesimon7651 Рік тому

    Mkuu unatumia dawa gani kuthibiti dondoo

  • @rebecakwaleka8029
    @rebecakwaleka8029 5 років тому +1

    Wa tabora tunakuonaje?
    Na unalima tikiti pekee au unaweza shauri hata mazao mengine mfano nyanya,tango na mengine

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    vip bwana mkubwa toleo lingine tutalajie lini?

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi1215 7 років тому

    hi sullemani,kwa shimo unaweka Mbegu ngapi Na matikitiki yakianza kuzaa unabakisha mangapi kwa mche mmoja

    • @suleimanh.halletu7552
      @suleimanh.halletu7552  7 років тому +5

      Inategemeana na umbali wa mashimo yalivyo, kama umefanya mashimo kwa umbali 2m squares weka mbegu mbili kila shimo, lakini kama umeweka kutoka shimo hadi shimo cm 50 na mstari hadi mstari 2metres weka mbegu moja moja kila shimo. Na matunda yanapoanza kutoka ni vizuri ukayabakisha matatu japo ni vizuri kipindi cha kupunguza matunda kwenye mche ukapata mtaalamu akakushauri vizuri namna ya kupunguza matunda kwenye mche wako.
      Ahsante Bwana Juma Nzumbi

  • @elizabethturuya5958
    @elizabethturuya5958 5 років тому +1

    Msaada wako tafadhari.umesema kunakipindi ambacho unatakiwa kupunguza maji I'll tunda lijitengenezee sukari yake yenyewe... Je katika kipindi hicho hauweki maji kabisa na je kipindi hicho matikikiti yanakuwa na muda gani.... Pia umeongelea swala la kupiga dawa..je Ni dawa zipi ulixokuwa unatumia..

    • @hamisilipaye9241
      @hamisilipaye9241 4 роки тому

      Ninaomba namba yko ya simu kwa maelekezo zaidi maana umenivutia sna kwa uthubutu wko

  • @jacobshirima4860
    @jacobshirima4860 4 роки тому

    bwana sulemani je naweza kupanda tikiti kwa mbolea ya kuku?

  • @ibrkisale1612
    @ibrkisale1612 4 роки тому

    nakuxoma xana endelea kuelimixha

  • @audaxmuganda
    @audaxmuganda 8 років тому

    asanteni sana lakini pia ningependa kujua anamwagilia kila baada ya muda gani na vipi siwez kupata namba yke anisaidie baadh ya mambo maana na mimi ndo naelekea huko kwenye hcho kilimo.

    • @suleimanh.halletu7552
      @suleimanh.halletu7552  8 років тому

      Maji ni vizuri ukawa unamwagilia kila siku japo inategemeana na mahali ulipo maana sahz kama huku kwetu Tabora jua ni kali sana, hivyo namwagilia kila siku. Namba zangu ni 0763806485

    • @fatmanasser6829
      @fatmanasser6829 7 років тому

      Suleiman H. Halletu shukran sana mimi sipo tanzania ila nikija tanzania nitakutafuta ili unipatie shamba huko nilime hayo matikit

  • @danfordjosephjosephdanford7115
    @danfordjosephjosephdanford7115 6 років тому

    apu date nyingine

  • @emmanueleddiemwamakula3398
    @emmanueleddiemwamakula3398 7 років тому

    Umekuwa kimya sana Mtaalamu wetu, tunasubiri feedback ya kilimo cha matikikiti.

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 6 років тому

    naomba ujibu meseji nakutumia kwny namba yko hiyo ya voda

  • @ellyms5581
    @ellyms5581 6 років тому

    wakati wa vua nilimeje

  • @cyprianpeter
    @cyprianpeter 7 років тому +1

    naweza pata contacts zako?

  • @allysalim1997
    @allysalim1997 5 років тому

    Kaka naomba unitafute. Mimi ndio nataka nianze hicho kilimo. Sijui chochote
    allyshkapoor91@gmail.com

  • @joazmgute8746
    @joazmgute8746 7 років тому

    0762781194 Kama hutajali unaweza ukanitafuta nipate namba yako

  • @silaspaulmakula4396
    @silaspaulmakula4396 7 років тому +2

    NITAKUTAFUTA TUZUNGUMZE VIZURI, SILAS TEKU HAPA

    • @khalfankassu5784
      @khalfankassu5784 7 років тому

      Silas Paul Makula vp ulimtafuta suleiman kwa ajili ya matikiti

    • @khalfankassu5784
      @khalfankassu5784 7 років тому

      habari yako niliona comment yako kwa bwana suleiman vp ulilima tena