Makonda hafanyi maagizo Bali ,anafanya Kaz nzur kwasabab ndio nafsi yke ilivyo kutenda haki kwa watu, ingekua maagizo mbna wengne mikoa mingne wakuu wa mikoa wapo wapo tu hawayafanyi hayo kama ya makonda kama ingekua maagizo
Najiuliza sana sipati jibu,,,,hivi mtu anapewa nafasi na ndio anapata chakula kwa kulipwa mshahara,,,ila anashindwa kuielezea na ndio kazi yake kila siku,,,aisee watendaji hawapo siriuz
Unaheshimisha nchi mheshimiwa,wakuu wa mikoa baadhi yao hulea maovu wewe unakitendea vizuri cheo chako hongeraaa chapa kazi baba,kuna uozo mkubwa ktk halmashauri na watendaji au wataalamu wengi.
Hekima Bro,Maamuzi yafanyike Hila Utashi Wa KiMungu Pia Ukumbukwe.Toa Nafasi Ya Kusikiliza Jambo Kwa Kina,Shirikisha Washauri Wako Maana nao Wana lolote La Kukujuza(Naamini Wao Sio Empty Buckets).Vijana Wenzako Hao/Wazazi Na Walezi Kama Wewe🎩
Arusha oyeee. Yaani nawaonea wivu at the same time najisikia raha sana kila nikimuona kiongozi kijana wetu makonda. Wala rushwa, waongo, wavivu mshukuruni mungu. Huu ni wakati wa ukombozi kwenu. Muda wa kunyooshwa umewadia. Tena mumpe heshima yake mkuu wa mkoa
Ewe Mwenyezi Mungu Mpe Ulinzi Huyu Mtumishi MAKONDA Aishi Maisha Marefu Na Afya Njema ili Awe Imara Asaidie Wananchi Wengi Walioumizwa Na Viongozi Mashetani.
Yani haya mambo yangekuepo tokea zaman aise hata taa za barabarani zisingekua za Sola,lami ingekua standard,mashamba ya miti yangekatwa ovyo,umeme usingekua wa mgao. Hakuna kitu kinanuma kama pale Mtera umeme unatoka pale afu eti kuna baadhi ya wenyeji wa pale hawana umeme😭. Tunazidiwa na Rwanda walianzisha tokomeza nyumba za nyasi na ikawa yani Rwanda nzima haina nyumba za nyasi afu umeme wa kutosha🎉
Jamani jamani mhe RC Makonda hapo hakuna kipingamizi juu ya hao Wananchi kurudishiwa vibanda vyao. Na hilo ni jambo kubwa sana baya Nchi nzima kwenye utawala wa JPM ambapo watu wengi walinyan'ganywa kwa dhulma vibanda vyao Mhe RC Makonda jamani.
Anaesema makonda anafanya maigizo ni mwehu,,
Njoo tanga makonda tena uwanze na wilaya ya korogwe
Shida tunaweka viongozi wajinga ofisini ndio maana yanatokea haya makonda Fanya kazi yako ya kuwatumikia watu.
Ebo! hata kama ana kaimu you should know what the hell is going on around you
Makonda safisha wote hawana maana rushwa tu..Hongera Makonda
Hahahaha
Mungu akulinde Makonda,takuombea muno
Kwa kweli Arusha wamepona stress mbalimbali
Mheshimiwa tunakuomba Geita, huku kuna mambo mengi ya rushwa tupu
SAS wewe wa geita wakina msukuma anafanya nini uko hawapo
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
Watu wamejaa viburi mtu apokea mishahara alafu anajibu jeuri
Chuma kipo arusha Mtakunya moto
Rais Samia asipodhibiti watendaji naona dharau inakomaa
Hivi ndivyo inapaswa nchi iendeshwe, Makonda ni Mfano wa Kuigwa na watumishi wengine Serikalini.
Makonda hafanyi maagizo Bali ,anafanya Kaz nzur kwasabab ndio nafsi yke ilivyo kutenda haki kwa watu, ingekua maagizo mbna wengne mikoa mingne wakuu wa mikoa wapo wapo tu hawayafanyi hayo kama ya makonda kama ingekua maagizo
Anajibu kama katoka ku.......na mke wake eti hujui na mshahara unachukua weka ndani baba makonda piga kazi MUNGU akulinde
Kuwa na watu serious kama hwa ni muhimu sana
Nan sasa yuko sereous mwanasheria au mkuu wa mkoa
@@hurumajosephat6333 unayo akili ya kuelewa
mkuu wa mkoa.
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunahitaji mtu kama huyu Mr Makonda. Hata akae mwaka moja pekee atoe corruption na ujeuri ulio kwemye viongozi wetu🇰🇪🇰🇪
Kenya pazito watamtegea na lolote limpate ili apotee kwenye uso wa dunia😢
Pigweni kwanza mabom
Mweshimiwa makonda mungu akurinde sana iribadaye uwe mkuu wanchi yetu
Hii sio quality nzuri ya video kwa ukubwa wa media yenu
Mtu anajibu kibosi bosi
Dharau na jeuri,
Inasikitisha sana.
Watumishi mnajiaibisha,si Arusha tuu bali popote mlipo yanapofanyika haya.
Rakini Makonda Mungu akupe maisha marefu unaleta amani kwa wananchi nami nakupenda sana nikama umetumwa na Mungu saidia wa nyonge ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uje ata tukuyu mweshimiwa kuna wala rushwa weng sana
Tky tena
Wanyooshe tu makonda
Yaani mafisadi wangekuwa china ni kupigwa risasi tu, katiba ni muhimu sana kwa sasa
Yaani nakuelewa sana makonda RC, wezi hawawezi kukuelewa ila utawashinda tu jipe moyo.
Kuna dalili ya ujeuri wa huyu kaimu Mkuu Idara.
Ndio ashaliwa kichwa
Ni kweli kabisa, majibu yake tu ni ya dharau, ila kavuna alichopanda.
Big up Sanaa makonda✅✅
UA-cam yangu nikiingia tu ni MAKONDA tuuu
Turudishie Makonda wetu Dar
😂😂 acha ujinga wewe zamu Kwa zamu
😂😂😂😂😂
Pambaneni na Mkuu wenu huko Arusha zamu yetu sasa😅😅😅😅
Viongozi Hawa mbona wanajibu kwadharau sana, futa kazi hao
Najiuliza sana sipati jibu,,,,hivi mtu anapewa nafasi na ndio anapata chakula kwa kulipwa mshahara,,,ila anashindwa kuielezea na ndio kazi yake kila siku,,,aisee watendaji hawapo siriuz
Sasa, wewe geita wakina msukuma anafanya nini huko hawapo
Jamanii makonda
Piga kazi baba MUNGU yupo anaona
makonda you are the best piga kazi
Yaani nikose bando la kufuatilia makonda,nitaumia Sana
Mh. Mkuu wa mkoa Makonda endelea na mapambano watu wajitambue.
Kwani ameshakuwa na mamlaka ya kupandisha vyeo na kushusha
Nilishasema hamna mikoa korofi kama Arusha Kilimanjaro
Kunawahuni walio shindikana
Uko sahihi huko Jamaa mjinga alitaka kujifanya mjeuli
Inawezekana jamaa anapiga kazi ila akiondoka anayaacha officin
Unaheshimisha nchi mheshimiwa,wakuu wa mikoa baadhi yao hulea maovu wewe unakitendea vizuri cheo chako hongeraaa chapa kazi baba,kuna uozo mkubwa ktk halmashauri na watendaji au wataalamu wengi.
Mungu yuko upande wako makonda mungu atapigana na wanaopigana na wewe usiogope chapa kazi
Hongereni sana wana Arusha kwa kupata kiongozi shujaa anayetetea haki za wanyonge.Mungu amewaletea mtu sahihi.
ndo raha ya cha arusha ukitumia unakuw umenyooka saana
Mimi namwombea mungu aka tu miaka miwili juu monduli juuu
Kuna kitu hakipo sawa hapa muda utaongea
halmashauri tariban yote nchini shida kubwa
Maigizo yamahamia Arusha na waarusha wanajaaa. Hamna kitu
Utakuwa fisadi wewe au mtoto
Lipa madeni ya watu utakuwa na amani sir
Hakunaga maigizo ya ivyo wewe una afya ya akili
We chizi nini maigizo yap
Tahira wewe, eti maigizo
😂😂😂😂😂....tanzania bhana..vituko kwel
mungu baba mbariki makonda anachapa
Huyu ndo anafaa kuwa rais wa tanzania
Hekima Bro,Maamuzi yafanyike Hila Utashi Wa KiMungu Pia Ukumbukwe.Toa Nafasi Ya Kusikiliza Jambo Kwa Kina,Shirikisha Washauri Wako Maana nao Wana lolote La Kukujuza(Naamini Wao Sio Empty Buckets).Vijana Wenzako Hao/Wazazi Na Walezi Kama Wewe🎩
Hiyo ngomaa ni yaa Kenya , 😂
Matako wewe makonda
😂😂😂makonda anawapeleka mchakamchaka
Arusha oyeee. Yaani nawaonea wivu at the same time najisikia raha sana kila nikimuona kiongozi kijana wetu makonda. Wala rushwa, waongo, wavivu mshukuruni mungu. Huu ni wakati wa ukombozi kwenu. Muda wa kunyooshwa umewadia. Tena mumpe heshima yake mkuu wa mkoa
Huyo naye kaingia 18 za Makonda
Ujeuri umemponza
Mazingaumbwe
Kuna mtu simuoni kufika mbali 😮😂😂
Ewe Mwenyezi Mungu Mpe Ulinzi Huyu Mtumishi MAKONDA Aishi Maisha Marefu Na Afya Njema ili Awe Imara Asaidie Wananchi Wengi Walioumizwa Na Viongozi Mashetani.
Yani haya mambo yangekuepo tokea zaman aise hata taa za barabarani zisingekua za Sola,lami ingekua standard,mashamba ya miti yangekatwa ovyo,umeme usingekua wa mgao. Hakuna kitu kinanuma kama pale Mtera umeme unatoka pale afu eti kuna baadhi ya wenyeji wa pale hawana umeme😭. Tunazidiwa na Rwanda walianzisha tokomeza nyumba za nyasi na ikawa yani Rwanda nzima haina nyumba za nyasi afu umeme wa kutosha🎉
MAGUFULI Part 2
Kwa hiyo yeye anaweza ajili, anatoa promotion na demotion, utumishi wako wapi wakati watumishi wananyanyaswa?! Sheria na taratibu zikoje
Cku rc akidhurika tu tunaomba serikali ianze na viongozi au watumishi wote wa Arusha waliotumbuliwa na paul makonda
Jamani jamani mhe RC Makonda hapo hakuna kipingamizi juu ya hao Wananchi kurudishiwa vibanda vyao.
Na hilo ni jambo kubwa sana baya Nchi nzima kwenye utawala wa JPM ambapo watu wengi walinyan'ganywa kwa dhulma vibanda vyao Mhe RC Makonda jamani.
Kaimu mwanasheria anakibur saanaa huyo mula rushwa
Yeah,
Inaonekana ameripoti mkutano anajuwa litakapomfikia.
Hapo alijuwa mapema lama kazi kwisha. Ndio maana anajibu kwa dharau na jeuri nyingi.
Makonda fukuza wote wasikuchezee
Ukimaliza hapo njoo Manyara pia
Yani makonda uko vizuri ,nchi hii inahitaji watu kama mkuu wa mkoa wewe. Maana uzembe mwingi sana wa hawa wajinga
Kwa maoni yangu Dada atupishe 2025 ili tumheshimu daima Makonda anafaa
HERI JAMES umemsikia lakini??? mkuu wwa wilaya anakupiga majungu
Hongereni Arusha mungu amewaletea neema
chuga hyo chuga hyooo
Mungu akulinde Mh makonda
Makonda hoyeeeeeeerr
Arusha kuna madudu sana...
Hile kauli ya Samia kipindi anamuapisha...
Naona ni haya yanayofanyika...
Tungekuwa na wakuu wa mikoa 10 kama huyu mwamba, sema mwenyewe Tanzania ingekuwa katika hali gani?.
Mh.Makonda piga kazi. Mungu anatosha kukulinda kwa uadui wa hayo majizi yaliyotopea
😂🙏🙏🙏🙏
Makonda the leader 🎉
Mungu naomba akulinde kila hatua Mh.Makonda safi sana
Eeeeeeeeee Arusha mtanizeeeesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Makonda mm nakupenda bana
mmh samahani naomba kuuliza hivi kwani huyu makonda ni nani serikalini ndio magu au
We need serious leaders like this man in this country. Ana uthubutu unao takiwa.
Halafu anatokea mtu anasema Wananyanswa Ukifanya Utumbo unatarajia upewwe nin
Hiv kigezo gan ambacho kinamzuia makonda kugombea uraisi
Makonda kazi ya kufukuza mtu kazi si yako
Ukifuata maneno utagundua vingi Ila kubwa ni kwamba viongozi na wapenzi walipoteleza
Kweli wafisadi tanzania wapo hoi 😂😂😂
Bagorolange gete ngalu
Ila Arusha inaitaji maombezi
Mwenyezi Mungu azidi kukulinda, kukupigania na akupe afya njema, Makonda wetu.
Mungu akupe Maisha marefu Muheshima Makonda
Tukitoka kufanya kazi na makonda ni faraja kubwa sana
Twakupenda san mungu akupe maisha marefu
Huyu mwanasheria jibu hawa ndio wala rushwa wakuu
Mh.makonda fukuza wote haoo