MTENDAJI ARUSHA AINGIA KWENYE 18 ZA MAKONDA/MAKONDA AMFUKUZA KAZI/NAOMBA ULINZI WASIJE WAKANIPA SUMU
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.
*wanaNchi
Inchi ndio kitu gani fala wewe
Hekima hi
yo muheshimiwa sio wewe ime
toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
Amina
Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.
Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲
Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God
MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
Makonda kiongoz mzur sana 🥰
Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa
Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤
Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️
Makonda safisana
pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya
Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge
Viva Makonda vivaaaa
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍
Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge
Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".
Makonda chumaaaa
Mkuu was mkow mungu akulindeeeeeee
Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli
Mungu akulinde sana kaka yangu makonda
Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw
Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.
Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...
Zaidi sana tuombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika
Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako
Makonda Mungu akulinde uendelee kusaidia wanao onewa.
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA
Makonda oyeeeee❤❤
Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda
Makonda pigakazi mungu atakulida
Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi
Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu
Makonda, si uje na morogoro jamani . Maana kuanzia huku chini kwenye vijiji , kata na vitongoji kumeharibika. Mpaka tunaichukia serikali maana sisi tunaamini wanawekwa na mamasasa wanapotukandamiza tunamchukia sana mama, tunaona kafika na hatujali tena, tunateseka kweli
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..
Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.
Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.
Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.
Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge
Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋
Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde.
Arusha mmelamba dume!
Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera
Safii mwamba
Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni
Makonda mwenyewe huyu chaguo la mungu hata wasemeje hata nchi atashika
Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.
mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka
Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma
Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro
Nyota kali sana
Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
Jamn Mungu Amlinde Viongozi Kama Hawa Wakiongozwa Na Mama Yetu Dr. Samia Suluhu Hasa Tais Wetu Jamhuri ya Tanzania Mungu Awalinde Maana Wafisad Na Wala Rusha Hawataki Maendelea Ya Taifa Mungu Awalinde Hasa Pol Makonda Kwa Kutetea Wanyonge
Asiwe Mungu tu Bali na Serikali ihuske kumlinda.
Makonda piga kazi mkuu uko vizuri muno.
Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu
MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu
Duu spana ya hatari asee
Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali
Wahuni Sio Watu🤣🤣🤣🤣
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
Jamani wamemlia fidia Yake
Mh Raisi mlete huyu jamaa mkoa wa lindi.
Kweli yu janja janja
Hekima sanaaa
Majizi matupu
Safi kiongozi makonda
Wew nijembe baba mungu akulinde
RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania
Vivaaaaaaaaaaa, makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo
Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari
Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu
hapa ni spana tu hamna ujacha😂
Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du
❤❤❤❤❤
Viaaa makonda viaaa
Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu
Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi
Hahahahaha meliwaaaa
Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni
Huyu mtendaji ni baadhi ya wale wanaoharibia Chama Cha CCM na wananchi kukichukia na makosa niya watu kama hawa wenye mamlaka ya kutumikia wananchi na wanafanya vyao
No sana
Mungia akupe maisha marefu haina baya
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.
Albino kagera
Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.
Kiongozi mahiri makonda.ubarikiwe
Mheshimiwa.makonda.wewe umeitwa namungu katika mkoa wa arusha.nambingu utaiona.umekua mtetezi wa wanyonge.hasa kwa maskini.namungu akakupe miaka mingi.wewe na familya Yako.
Pga supana wanyooke mkuu
njoo na iringa kamanda
Nyoosha wahuni hao.
MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro
Makonda baba lao
KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤
Hongera kaka
Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria
Sio SHELIA ni SHERIA
Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE
@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara
Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo
Makonda kwa utendaji kazi wako huu naomba nikupongeze
Magufuli alisema hata kama umefika darasa la unahaki yakuongoza haya ndio matokeo yake
Raisi mpya huyu 🎉 Au apewe simba kama mwenyekiti😅
Ume sema 🤣🤣🤣🤣