MTENDAJI ARUSHA AINGIA KWENYE 18 ZA MAKONDA/MAKONDA AMFUKUZA KAZI/NAOMBA ULINZI WASIJE WAKANIPA SUMU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 чер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 180

  • @NSCCLORUVANI-TAG
    @NSCCLORUVANI-TAG Місяць тому +13

    Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.

  • @user-ku1wf2pw2w
    @user-ku1wf2pw2w Місяць тому +12

    Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 Місяць тому +10

    Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Місяць тому +23

    Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Місяць тому

      MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏

    • @RoseMollel-wo3ls
      @RoseMollel-wo3ls Місяць тому

      Makonda kiongoz mzur sana 🥰

    • @Idd-i6l
      @Idd-i6l 8 днів тому

      Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 Місяць тому +17

    Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤

  • @user-bx1fp9tk2p
    @user-bx1fp9tk2p Місяць тому +9

    Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt Місяць тому +5

    Makonda safisana

  • @CleopaMwakapiso
    @CleopaMwakapiso Місяць тому +7

    pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya

  • @magrethelipokea7694
    @magrethelipokea7694 Місяць тому +5

    Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji

  • @AlphonsinaMkongoma
    @AlphonsinaMkongoma Місяць тому +4

    Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike

  • @revocatusphilmon1780
    @revocatusphilmon1780 14 днів тому +1

    Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana

  • @user-ug5cm7uq4m
    @user-ug5cm7uq4m 25 днів тому +1

    Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji

  • @suzycollins2331
    @suzycollins2331 11 днів тому +1

    Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 Місяць тому +6

    Viva Makonda vivaaaa

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 10 днів тому

    Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤

  • @chujimustafa7209
    @chujimustafa7209 18 днів тому +1

    Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍

  • @SelemaniBiafra
    @SelemaniBiafra 17 днів тому +1

    Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Місяць тому +12

    Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Місяць тому +7

    Makonda chumaaaa

  • @naseebkassian9240
    @naseebkassian9240 17 днів тому +1

    Mkuu was mkow mungu akulindeeeeeee

  • @DorikasiMwakabela
    @DorikasiMwakabela Місяць тому +5

    Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli

  • @Debora-zp4wx
    @Debora-zp4wx 24 дні тому +1

    Mungu akulinde sana kaka yangu makonda

  • @IssaMbaru-qw6ug
    @IssaMbaru-qw6ug 20 днів тому +1

    Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 Місяць тому +5

    Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Місяць тому +4

    Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...

  • @user-ug5cm7uq4m
    @user-ug5cm7uq4m 25 днів тому +1

    Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako

  • @janethmmari3514
    @janethmmari3514 Місяць тому +2

    Makonda Mungu akulinde uendelee kusaidia wanao onewa.

  • @Fredykapande-vh6cv
    @Fredykapande-vh6cv Місяць тому +1

    Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏

  • @JerryMosi
    @JerryMosi Місяць тому +2

    Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA

  • @DionizLubango-of2wk
    @DionizLubango-of2wk 29 днів тому +1

    Makonda oyeeeee❤❤

  • @AronJoseph-h8b
    @AronJoseph-h8b 20 днів тому +1

    Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-wq2xy5mw1z
    @user-wq2xy5mw1z Місяць тому +5

    Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 12 днів тому +1

    Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda

  • @KitindiMatawa-uk4qk
    @KitindiMatawa-uk4qk 17 днів тому +1

    Makonda pigakazi mungu atakulida

  • @SebaLucas-j4l
    @SebaLucas-j4l 23 години тому

    Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi

  • @user-ug5cm7uq4m
    @user-ug5cm7uq4m 25 днів тому +1

    Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Місяць тому +1

    Makonda, si uje na morogoro jamani . Maana kuanzia huku chini kwenye vijiji , kata na vitongoji kumeharibika. Mpaka tunaichukia serikali maana sisi tunaamini wanawekwa na mamasasa wanapotukandamiza tunamchukia sana mama, tunaona kafika na hatujali tena, tunateseka kweli

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому +1

    Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Місяць тому +2

    Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Місяць тому +1

    Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.

  • @sugashTv
    @sugashTv Місяць тому +1

    Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.

  • @alexletayolaizer8515
    @alexletayolaizer8515 Місяць тому +1

    Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.

  • @user-ri1qn3xs4q
    @user-ri1qn3xs4q Місяць тому +1

    Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge

    • @israelmwakatika8342
      @israelmwakatika8342 10 днів тому

      Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Місяць тому +1

    Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde.
    Arusha mmelamba dume!

  • @NeemaMrengera
    @NeemaMrengera 10 днів тому

    Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera

  • @MirajiIssa-sl2li
    @MirajiIssa-sl2li Місяць тому +1

    Safii mwamba

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Місяць тому +4

    Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni

  • @AbrahamMikael-wk4ch
    @AbrahamMikael-wk4ch Місяць тому +1

    Makonda mwenyewe huyu chaguo la mungu hata wasemeje hata nchi atashika

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому +2

    Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga8889 Місяць тому +1

    mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka

  • @raphaelkiungulia4366
    @raphaelkiungulia4366 Місяць тому +1

    Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Місяць тому

      Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Місяць тому +3

    Nyota kali sana

  • @songeza
    @songeza Місяць тому +1

    Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde

  • @NabwikeKanyamale
    @NabwikeKanyamale Місяць тому +1

    Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine Місяць тому +1

    Jamn Mungu Amlinde Viongozi Kama Hawa Wakiongozwa Na Mama Yetu Dr. Samia Suluhu Hasa Tais Wetu Jamhuri ya Tanzania Mungu Awalinde Maana Wafisad Na Wala Rusha Hawataki Maendelea Ya Taifa Mungu Awalinde Hasa Pol Makonda Kwa Kutetea Wanyonge

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph7588 Місяць тому +1

    Makonda piga kazi mkuu uko vizuri muno.

  • @StanleyMolla
    @StanleyMolla Місяць тому +1

    Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu

  • @user-zd5hk4ms5o
    @user-zd5hk4ms5o Місяць тому +2

    MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu

  • @user-jj1sx1ow4h
    @user-jj1sx1ow4h Місяць тому +4

    Duu spana ya hatari asee

  • @DM_15
    @DM_15 Місяць тому +2

    Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali

  • @user-tm3ui6iv7h
    @user-tm3ui6iv7h Місяць тому +2

    Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha

  • @evajosephmtandika5015
    @evajosephmtandika5015 Місяць тому +1

    Jamani wamemlia fidia Yake

  • @hassankilengah4786
    @hassankilengah4786 20 днів тому +1

    Mh Raisi mlete huyu jamaa mkoa wa lindi.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Місяць тому +3

    Kweli yu janja janja

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 Місяць тому +3

    Hekima sanaaa

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Місяць тому +4

    Majizi matupu

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Місяць тому +2

    Safi kiongozi makonda

  • @NaumMwamengo
    @NaumMwamengo 4 дні тому

    Wew nijembe baba mungu akulinde

  • @songeza
    @songeza Місяць тому +1

    RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania

  • @neemaelia3436
    @neemaelia3436 Місяць тому +1

    Vivaaaaaaaaaaa, makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @songeza
    @songeza Місяць тому +2

    Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo

  • @JohnMungwana-te4rm
    @JohnMungwana-te4rm 22 дні тому +1

    Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari

  • @DorisMroso-tx9mb
    @DorisMroso-tx9mb Місяць тому +1

    Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu

  • @moseslaizar843
    @moseslaizar843 Місяць тому +2

    hapa ni spana tu hamna ujacha😂

  • @AlanusGerodi-mo3dm
    @AlanusGerodi-mo3dm Місяць тому +3

    Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du

  • @neemaelia3436
    @neemaelia3436 Місяць тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @khadija5761
    @khadija5761 Місяць тому +1

    Viaaa makonda viaaa

  • @OdongoOwino-hm3op
    @OdongoOwino-hm3op Місяць тому +1

    Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu

  • @user-ku1wf2pw2w
    @user-ku1wf2pw2w Місяць тому +4

    Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi

  • @IgnacioAndrew-rj8pd
    @IgnacioAndrew-rj8pd 12 днів тому +1

    Hahahahaha meliwaaaa

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Місяць тому +1

    Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara

  • @hajrasaid1924
    @hajrasaid1924 3 дні тому

    Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Місяць тому +1

    Huyu mtendaji ni baadhi ya wale wanaoharibia Chama Cha CCM na wananchi kukichukia na makosa niya watu kama hawa wenye mamlaka ya kutumikia wananchi na wanafanya vyao

  • @user-iv5fk8uc5n
    @user-iv5fk8uc5n Місяць тому +3

    No sana

  • @user-mm1ml1tu5b
    @user-mm1ml1tu5b 8 днів тому

    Mungia akupe maisha marefu haina baya

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 Місяць тому +1

    Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Місяць тому +1

    Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.

  • @KalutasMtayoba
    @KalutasMtayoba 22 дні тому +1

    Albino kagera

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856 Місяць тому +1

    Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.

  • @martintemu9123
    @martintemu9123 Місяць тому +1

    Kiongozi mahiri makonda.ubarikiwe

  • @Fredykapande-vh6cv
    @Fredykapande-vh6cv Місяць тому +1

    Mheshimiwa.makonda.wewe umeitwa namungu katika mkoa wa arusha.nambingu utaiona.umekua mtetezi wa wanyonge.hasa kwa maskini.namungu akakupe miaka mingi.wewe na familya Yako.

  • @nathanaeledward5613
    @nathanaeledward5613 Місяць тому +2

    Pga supana wanyooke mkuu

  • @Lutenganomwenzegule
    @Lutenganomwenzegule 2 дні тому

    njoo na iringa kamanda

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 20 днів тому +1

    Nyoosha wahuni hao.

  • @CleopaMwakapiso
    @CleopaMwakapiso Місяць тому +1

    MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro

  • @user-rs6uf9oo5s
    @user-rs6uf9oo5s Місяць тому +1

    Makonda baba lao

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Місяць тому +34

    KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤

    • @eleonorashirima1604
      @eleonorashirima1604 Місяць тому +2

      Hongera kaka

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je Місяць тому

      Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria

    • @Abdallah_mussa
      @Abdallah_mussa Місяць тому +6

      Sio SHELIA ni SHERIA
      Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE

    • @JuliusHatari
      @JuliusHatari Місяць тому +2

      ​@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara

    • @section8ight174
      @section8ight174 Місяць тому +2

      Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo

  • @israelmwakatika8342
    @israelmwakatika8342 10 днів тому

    Makonda kwa utendaji kazi wako huu naomba nikupongeze

  • @user-cn2fd7wp1n
    @user-cn2fd7wp1n Місяць тому

    Magufuli alisema hata kama umefika darasa la unahaki yakuongoza haya ndio matokeo yake

  • @essamartico3331
    @essamartico3331 Місяць тому +1

    Raisi mpya huyu 🎉 Au apewe simba kama mwenyekiti😅