MAKONDA AAMBIWA HANA AKILI, "NANI MJINGA?" ONA KILICHOMPATA HUYO JAMAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 1,7 тис.

  • @godbariki3666
    @godbariki3666 16 днів тому +3

    Makonda wewe ni mtu wakupenda haki daima Mungu akuinue ktk ngazi ya juu zaidi

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 16 днів тому +4

    Makonda, hebu wakupe ubunge, uwe waziri unyooshe mambo. Big up kijana wetu!!

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 2 місяці тому +11

    Makonda katika Jicho la 3 nakuona ni Raisi wa Tanzania mwaka 2055...
    KUWA NA SUBIRA VITA YAKO NI KUBWA SANA KUFIKIA KIWANGO CHA UONGOZI HUO MKUBWA NCHINI, MPENDE SANA MUNGU NA KUWA KARIBU NAYE YEYE NI MWAMINIFU ATAKUWEZESHA KATIKA VITA KUBWA ILIYO MBELE YAKO HAKIKA UTASHINDA......
    I like your consistency, smartness and capability in leadership.... In short the real meaning of leadership described by Dc Paul makonda.🎉🎉🎉🎉

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 7 місяців тому +18

    Laana ya dhuluma, unyang'anyi, rushwa, ndiyo inayoididimiza nchi na kitu ambacho ulimwengu haujui ni kwamba pesa ya dhuluma hata ungefanyaje kamwe huwezi kufanikiwa.
    Asante mtumishi wa BWANA katika kazi yote ya kutetea haki ya wanyonge. hakika inasikitisha sana na inahudhunisha sana! Ashukuliwe MUNGU wa mbinguni kwa kuweka kaburi ambalo ni mwisho wa kila mwanadamu mwenye jeuri

  • @SevenValentain
    @SevenValentain 5 місяців тому +22

    Mkuu makonda utendaji wako unanikumbusha uncle magu hongera baba Mungu akulinde kwa huu utendaji wako

  • @AitaelMunis
    @AitaelMunis 3 місяці тому +7

    Hongera makonda Kwa kazi nzur

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 8 місяців тому +147

    Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Mwenyezi mungu akulinde 🤲

  • @AllySalehe-mv7um
    @AllySalehe-mv7um 7 місяців тому +37

    Mtoto unae tembea kwenye kivuli cha mh.magufuli..hongera mheshmiwa

  • @jumarata6459
    @jumarata6459 8 місяців тому +64

    Mheshimiwa Mkuu wa mkoa Paul Makonda, unafanya kazi nzuri sana.Endelea kutenda haki kwa wananchi na Mungu atakubariki!

    • @RoseMollel-wo3ls
      @RoseMollel-wo3ls 8 місяців тому +5

      Kweli😭😭 kajifunz vitu Ving lakn kwa maguful

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 16 днів тому +1

    Makonda we ni kamanda wa uongozi! Mungu akulinde ututumikie watanzania. We love you! Big up kijana wetu

  • @MokeAmos-bq6to
    @MokeAmos-bq6to 8 місяців тому +107

    Best kind of leadershirp i prefer, bravo Regional commisinor Makonda🙌🙌💥

  • @FaridaShangala
    @FaridaShangala 3 місяці тому +3

    Ubarikiwe makonda nakuombea uje kua rahis wa tanzania kama magufuri mambo yako, mtetezi wawanyonge makonda uwe na afya njema nakufatiliaga sana ukiwa haupo sawa naumia sana

  • @johnmtumishi373
    @johnmtumishi373 8 місяців тому +78

    Mh Makonda unaakili sana Mungu akulinde.Mungu ibariki Tanzania Linda viongozi wetu wenye moyo wa kusaidia wananchi

  • @agathaleonard5974
    @agathaleonard5974 7 місяців тому +10

    Big up makonda Arusha Kun shida mungu akusimakie na kukusaidia kutafuta kero z awananchi Kuna dhuluna n ubabaishaji

  • @AlbertGondwe-w7y
    @AlbertGondwe-w7y 8 місяців тому +89

    Ibada hii ni nzuri sana ,hongera sana mtumishi wa MUNGU BABA Makonda ,ubarikiwe kwa kazi nzuri

    • @SophiaKawishe
      @SophiaKawishe 8 місяців тому +5

      Mungu ni mwema Safi sana

    • @jumasalum991
      @jumasalum991 8 місяців тому +1

      😊q

    • @cantonaiddy6042
      @cantonaiddy6042 8 місяців тому +2

      Unazingua

    • @FeddyAsajile
      @FeddyAsajile 4 місяці тому

      Muheshimiwa uko vizuri kuongea na wananchi kusikiliza shida zao kongole,,, jamani wengine muige huu mfano kusikiliza kero za wananchi inafaa watu kero nyingi unafaaa kuwa rais

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 Місяць тому

      ​@@cantonaiddy6042😂😂😂😂😂😂😂

  • @NathanaelSanga-h9s
    @NathanaelSanga-h9s 5 місяців тому +6

    Upo sahihi mkuu,kaziyako ipo vizuri

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 8 місяців тому +53

    Mh Raisi Daktari Samia nakusifusana kwamaono mazurisana kumteua Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paulo Makonda Tangu aanzekufanyakazi yupo vema Tanzania safiii kazi iendelee

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe 8 місяців тому +18

    Natamani ungekuja kuwa Raisi baada ya Mama Samia uwe mfano was marehemu Magufuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PaschalinaJohn
    @PaschalinaJohn 7 місяців тому +7

    Mungu akulinde na akuhifadhi siku zote umtetezi wa wanyonge

  • @danielmollel1107
    @danielmollel1107 6 місяців тому +5

    Hongera sanaa mkuu wa mkoa Arusha Kwa kazi nzuri 😢

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 8 місяців тому +26

    rait hii nchi ingekuwa na system kama hii,hata ambao wanawania nafasi za ngazi za kijiji na kata wasingewania(gombea) nafasi hizi,
    Asante Mh. Makonda kwa kutuamsha

  • @FreddyNdayikunda
    @FreddyNdayikunda 29 днів тому +1

    Haki Mungu akubaliki kaka Makonda Proud of you Africa need leader like you

  • @kalegapeter2715
    @kalegapeter2715 7 місяців тому +8

    Live from Uganda Paul makonda pole kazi nzuri

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 7 місяців тому +6

    Asante Makonda kwa Kazi nzuri Mungu akubariki. Yani nikikuona Makonda namuona Magufuli hakuna Tofauti kabisaa ❤❤❤

  • @peterlazaro2853
    @peterlazaro2853 8 місяців тому +80

    Daah kazi mzuri mweshimiwa mkuu wa mkoa makonda Mungu akubariki sana sana sana

  • @fadhilijohn4811
    @fadhilijohn4811 8 місяців тому +3

    Leadership ni utatuzi wa matatizo ya unaowaongoza na kuweka mazingira sawa kwaajili ya shunguli zingine! Hongera sana Makonda👏👏👏

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 8 місяців тому +25

    Rais mama Samia kusema kweli kkayangu makonda afanya kazi Mzuri Sana Allah ambariki na akubariki wewe inshaallah.

  • @LILIANDOUGLAS-w5t
    @LILIANDOUGLAS-w5t 7 місяців тому +6

    MUNGU akutunze daima Kwa kazi nzuri unayoifanya mheshimia makonda

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 8 місяців тому +6

    Kazi nzuri japo kuwa nchi nzima migogoro ni mingi mmno haina mtatuzi, big up.

  • @PaulinaBhaisule
    @PaulinaBhaisule 6 місяців тому +4

    From Zambia makonda keep it up

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 8 місяців тому +18

    Hongera mkuu wa mkoa. Ila Acha niseme kitu,wewe unaependa kunyanyasa watu,kujiinua kwa kuwa una mabawa,hakika yupo Mungu anayerudisha vyote vilivyoibiwa. Kama ulimnynyasa mtu au kumdhulumu mtu kwa njia yeyote,lazima utalipa tu.Asante Mungu usiyelala. Mungu ibariki nchi yetu Tanzania Mungu ibariki Africa yetu

  • @vicentmugisha6972
    @vicentmugisha6972 7 місяців тому +6

    Makonda unafanya kazi nzuri, tuna viongozi walio jisahau kuwajibika kwa wananchi

  • @FrancisJosephathi
    @FrancisJosephathi 8 місяців тому +14

    Jasho la mnyonge linalipwaa na Mungu baba hakika kazi yako ni nzuri sana God bless 🙌

  • @Babajames1234
    @Babajames1234 8 місяців тому +29

    Ipo siku utakuwa kiongoz katika nchi hii bro makonda .....uko vizuri

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 8 місяців тому +97

    Duh! Jamani Mimi siwezi kusema ila huyu makonda jeshi la malaika wamzunguke pande zote ulinzi kamili

  • @AzoryMuhangazo
    @AzoryMuhangazo 6 місяців тому +5

    Makonda udumu zaidi mungu akulinde siku zote za maisha Yako na ukuzidishie hekima zaid ya hapo tuna kutegemea zaid👏👏👏👏👏

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 8 місяців тому +18

    BEST ADVICE from Paul MAKONDA. I have never seen

  • @Kiyonga2014
    @Kiyonga2014 8 місяців тому +7

    Mr. Makonda is a best leader in the world! I love Makonda.

  • @FILIPOMLAWA
    @FILIPOMLAWA 8 місяців тому +17

    Makonda ¡!!kazi iendelee mzee maguu anakuona na kukufurahiaaa

  • @MulshiduYusuph-yw2os
    @MulshiduYusuph-yw2os 7 місяців тому +6

    Makonda mkuu wa mkoa yuko vizuri sana sana tunampenda

  • @MalandoJames
    @MalandoJames 8 місяців тому +24

    Makonda, makonda, makonda, endelea kuwasaidia wananchi. Mungu atakulipa aise. Kwenye nchi hii madudu ni mengi sana.

  • @SaimonGerez
    @SaimonGerez 5 місяців тому +4

    Ongera sana makonda kwa kazi nzuli bila wew Mzee dio Alisha zurumiwa mungu akubalik makonda

    • @KalenjeMasoud-vg3om
      @KalenjeMasoud-vg3om 2 місяці тому

      Kuna sehemu makonda anakosea, mtu hawezi kuhifadhi kichwan taarifa zote zinazoendelea katika kijiji, ndo mana zinahifadhiwa so anavosema baadhi ya taarifa zpo ofisini anatakiwa amuelewe.

  • @SuleimaniIkomaba
    @SuleimaniIkomaba 8 місяців тому +23

    Unajuwa kazi anayo ifanya huyu bwana kazi njema sana na inatufanya sisi kuwa jasiri katika kutambua haki zetu na Mungu akutunze sana pia tunakuitaji kigoma

  • @reubenhebron2506
    @reubenhebron2506 6 місяців тому +2

    Viongozi mnapaswa kufanya kazi mlizo aminiwa, Mungu akulinde mh. Makonda

  • @EsterMwendawila-wj2ks
    @EsterMwendawila-wj2ks 8 місяців тому +6

    Ubarikiwe sana baba mungu akulinde makonda juu

  • @fortunatanyumayo
    @fortunatanyumayo 7 місяців тому +11

    Hongera sana makonda kwa kutetea haki za wanyonge Mungu akulinde daima.

  • @NuluLupepo
    @NuluLupepo 8 місяців тому +12

    Iyo supana ninoma mkuu watasema tu kaz nzuri mungu akusimamie

  • @CongeraLeilla
    @CongeraLeilla 6 місяців тому +19

    From Burundi Makonda you ar like the last president john pombe magufuri😊😊😢

  • @JoyceManyuka-ot7sg
    @JoyceManyuka-ot7sg 8 місяців тому +27

    Makonda natamani ungekuwa mkuu wa mkoo wa morogoro ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @TostaoKasiani
      @TostaoKasiani Місяць тому

      Dah! Yaani kwenye ukuu Kuna mipaka ya mikoa. Angebaki kule kule kwenye uenezi. Kule alikuwa anatumbua Kila mtu kasolo wazili mkuu tuu na raisi. Sijui kwanini katolewa kule

  • @sarahbwile1159
    @sarahbwile1159 7 місяців тому +4

    Mungu akulinde Mh Makonda

  • @jacksonshosi5246
    @jacksonshosi5246 8 місяців тому +103

    Watu wa Arusha mnapo muomba MUNGU kwa ajiri ya Afya zenu msimsahau na makonda ni wazo tu

  • @VenjiStone-fc1sx
    @VenjiStone-fc1sx 7 місяців тому +4

    Upo vzr mungu akubariki sana kwa kaz nzur unayoifanya......

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 8 місяців тому +14

    Makonda na Magufuli tofauti ni sura tu... lakini Akili wanafanana, Hekooooo Kaka Makonda

    • @zakayokahuna9294
      @zakayokahuna9294 8 місяців тому

      🤣🤣👍👍👍👍👍👍👍👍👍🏃

    • @Athumanmreta
      @Athumanmreta 6 місяців тому

      Hpn magu kiakili alikua juu ila makonda anajitahidi kufata nyayo zake

  • @Mohammedmajoji-b6x
    @Mohammedmajoji-b6x 7 днів тому

    Hongera mkonda chapa kazi ccm iheshimike mungu akubar kwa wamuzi mzuri huo

  • @CAROLINEEDWARDMERSHAY
    @CAROLINEEDWARDMERSHAY 8 місяців тому +17

    Mwenyezi mungu akulinde makonda

  • @StephenMichael-g3w
    @StephenMichael-g3w 4 місяці тому +1

    Seriously no 1 like our makonda in tanzania , God bless you Samia suruhu Hassan for voting makond

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 8 місяців тому +30

    Yaani huyu Mzee alitoa milioni 30 halafu mnamnyima hekari moja na nusu Wanaomponda makonda wote ni wale waliofanya madudu kwenye maofisi yao

  • @WitnessNnko-e9j
    @WitnessNnko-e9j 6 місяців тому +2

    Am very proud to having leader like makonda

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 8 місяців тому +32

    Watanzania sio wajinga, muda wa kuwadharau na kuwaona ati ni mbumbumbu umeshapita! Makonda kudos! I see maturity in leadership here. congrats Makonda.

  • @SadaKigwangala
    @SadaKigwangala 7 місяців тому +4

    Nampenda r c makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JotoKali
    @JotoKali 8 місяців тому +8

    Mungu akutunze mheshimiwa Makonda

  • @asharamadhan7392
    @asharamadhan7392 7 місяців тому +3

    mzee makonda hongera sana baba unatenda kazi nzuri Allah akufanyie wepesi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @petermoshy7650
    @petermoshy7650 8 місяців тому +37

    😢Makonda unafanya kazi nzuri Mungu akubariki sana

  • @ludovicakimaro6464
    @ludovicakimaro6464 6 місяців тому +1

    Hongera sana Makonda! Mungu akutunze.

  • @eliasmwankenja4223
    @eliasmwankenja4223 8 місяців тому +18

    makonda mimi ni mkaazi wa mbeya tutamuomba mama akulete mbeya kazi yako nzuri

    • @felistermkongwa4379
      @felistermkongwa4379 8 місяців тому

      Yaaani aje aje aje kuna Mwenyekiti nimsemeleeeee🤣🤣🤣🤣🤣

    • @uyetomato9514
      @uyetomato9514 8 місяців тому

      kweli kaka mkuu wetu kapoaa

    • @josephhaule9123
      @josephhaule9123 8 місяців тому

      Ila kweli mbeya kumeozaaa

  • @MzunguPeter
    @MzunguPeter 2 місяці тому

    Big up sana Mheshimiwa kwa kazi nzuri kwa kutenda haki.

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 8 місяців тому +23

    Makonda unafanya mpaka watumishi wa sehemu nyingine wafanye kazi kwa kukuangaria ww

  • @rwelamira
    @rwelamira 8 місяців тому +13

    Huu ndiyo uhalisia wa mambo vijijini, Hongera Makondo kwa kazi hii nzuri

  • @livingstonechurchtz8400
    @livingstonechurchtz8400 7 місяців тому +3

    Safi sana Mkuu wa mkoa Makonda.Nipo nakuomba kwa vita ulivyo navyo kwa haki uliyo nayo kwa wengine.Mungu zaidi kukupa hekima na busara katika kuamua yaliyoshindikana kwa usahihi.Wewe ni sawa Mfalme Sulemani kwa hekima

  • @ayubustefano
    @ayubustefano 8 місяців тому +35

    Baba amerudi nyumbani lazima ujue asiye mtaka mkuu wa mkoa Makonda Mungu kamrudisha duuu Mungu afananishwi

  • @FilbertRobert
    @FilbertRobert 7 місяців тому +1

    Daaah! Mungu akulinde na akusimamie Mh Po Makonda,,,mi mweyewe nilinyangh'anywa eneo ambao ni shamba la wazazi wangu

  • @WinnieAlphonce-j7n
    @WinnieAlphonce-j7n 8 місяців тому +15

    tunakupa uliz wa mungu makonda wetu

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 7 місяців тому +3

    P. Makonda Allah Akutangulie

  • @oliviamasao8394
    @oliviamasao8394 8 місяців тому +9

    Makonda Mungu akusimamie

  • @DamasjoachimPetro
    @DamasjoachimPetro 7 місяців тому +1

    Makonda you are too much, safi sana Mkuu wa Mkoa Mungu atakulipa

  • @EmmanuelJankey
    @EmmanuelJankey 8 місяців тому +29

    Kazi nzuriii makonda. Wanaonea sana wananchi

  • @AbdullahYassin-ys2he
    @AbdullahYassin-ys2he 7 місяців тому +1

    I appreciate you rc makonda ur the best

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 8 місяців тому +27

    Shule inadarasa moja na chumba kimoja cha walimu ,Raisi anabeba wasanii kwenda Korea nchi hii Mungu atunusuru tu 🙌

    • @StellaMwasha
      @StellaMwasha 8 місяців тому

      Hahahaha

    • @juliusstanley905
      @juliusstanley905 8 місяців тому

      Huo sasa wivu bhn

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 місяців тому +1

      Jiulize Wasanii wanatoa bilioni ngapi kodi za mauzo

    • @ArnoldMbulawa
      @ArnoldMbulawa 8 місяців тому

      Ako ka mama kameanza kuruka ngoma uzeeni, anafikilia kuwa msanii wa taalabu ndio maana yupo kaliibu sana na wasanii.

    • @ArnoldMbulawa
      @ArnoldMbulawa 8 місяців тому

      Acha ujinga wewe, kwani wewe hauoni?? Nchi ina migogoro bado yeye anaruka nyoka.

  • @RobertAndrea-wl4pk
    @RobertAndrea-wl4pk 6 місяців тому +2

    Uko vizuri mweshimiwa

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 8 місяців тому +15

    Raisi wa mkoa hoyeeeeeeeeee😅😅😅😅❤❤❤

  • @ChiefNgosyemo
    @ChiefNgosyemo 7 місяців тому +4

    P makonda Mungu akutangulie Baba

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 8 місяців тому +19

    Kazini kwa makonda kuna kazi

    • @lovenessbupamba
      @lovenessbupamba 8 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KivumaJones
    @KivumaJones 26 днів тому

    Hawa ndio viongozi tunawakosa Kenya 🇰🇪,Makonda mtetezi wa wanyonge 💪

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 8 місяців тому +16

    Watendaji wa serikali hutumia kigezo hicho kuchukua maeneo ya watu.Ukifuatilia utagundua wamejimilikisha njoo Kilombero Morogoro .

  • @FadhiliMwaliko
    @FadhiliMwaliko 5 місяців тому +1

    Makonda anafanya kazi mzuri sana

  • @SamGeorge-qy2zf
    @SamGeorge-qy2zf 8 місяців тому +5

    Mh makonda mungu akulinde san na akupe maalifa zaid

  • @GERADIMwingwa
    @GERADIMwingwa 2 місяці тому

    Mungu tu akubariki kaka makonda kwa unayo yafanya mungu akuongezee siku za kuishi kwakweli

  • @godfreyelibarikilaizer6178
    @godfreyelibarikilaizer6178 8 місяців тому +14

    Chapa kazi jembe makonda una jambo jema kwa mkoa wetu wa Arusha siku zote wasiojali watasema wewe ni mwonevu lakini wewe ni mtetezi 💪💪💪🇹🇿💪🇹🇿🇹🇿🎉

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 3 місяці тому

    HONGERA MWEHESHIWA MAKONDA MUNGU AKUBARIKI AMEEN ❤

  • @LilianMoshi-wu1lq
    @LilianMoshi-wu1lq 8 місяців тому +19

    Uwiiii Makonda asitolewe Arusha Tunakupenda😊

  • @reginamghanga95
    @reginamghanga95 8 місяців тому +2

    Hapo wa Tanzania mlipata Magufuli wa pili Mungu amlinde makonda,mimi hutoka kenya

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf 8 місяців тому +5

    Pole na hongera sana mzee Makonda,unakutana/pambana na mambo mazito.Mungu akutilie wepesi!.Aamin.

  • @FadhiliSimba-u4l
    @FadhiliSimba-u4l 5 днів тому

    Kiongozi bora wa kwanza leo naombeni like zangu

  • @AbdulAlly-o1z
    @AbdulAlly-o1z 8 місяців тому +8

    Kazi nzuri sana

  • @kiboshotours
    @kiboshotours 5 місяців тому +1

    Makonda kiboko, ana maswali mazuri hatari 🙌🏾

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 8 місяців тому +10

    Daaahh!!!!! Kama ni hivi ? Iko kazi.

  • @NeemaFabiola
    @NeemaFabiola 7 місяців тому +1

    Nakubali kaziyako🎉🎉🎉🎉

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 8 місяців тому +9

    Naombeni mnilinde maana haya mambo ya siku hizi hayaeleweki wasije nilisha sumu 😅😅😅

  • @MichaelMwangaya-k4w
    @MichaelMwangaya-k4w 7 місяців тому

    Thanks 4 yo patriotism bro

  • @LeonardMollel-dl8du
    @LeonardMollel-dl8du 8 місяців тому +4

    Kazi nzuri,na tunasubiria kata yetu ya Musa