SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лип 2021

КОМЕНТАРІ • 466

  • @clarambasha938
    @clarambasha938 2 роки тому +88

    Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU

    • @goated3801
      @goated3801 Рік тому

      Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni

    • @pikipiki_market
      @pikipiki_market Рік тому +1

      AMEN

    • @salvatoryherman65
      @salvatoryherman65 Рік тому +1

      Ameniiii aleluya

    • @happyngonde2923
      @happyngonde2923 6 місяців тому +1

      Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏

    • @mukambambale-df8hw
      @mukambambale-df8hw 5 місяців тому +1

      Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu

  • @getrudemalisa4350
    @getrudemalisa4350 2 роки тому +5

    Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 2 роки тому +18

    Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏

  • @rugetakimath7428
    @rugetakimath7428 Рік тому +5

    Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele

  • @heriethmoses7082
    @heriethmoses7082 3 роки тому +27

    Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu

  • @mwanaidimwanga21
    @mwanaidimwanga21 3 роки тому +21

    Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.

    • @neemaenock6358
      @neemaenock6358 2 роки тому +2

      AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 3 роки тому +6

    Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 3 роки тому +2

    Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 2 роки тому +4

    Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @jacksonjohn8497
    @jacksonjohn8497 2 роки тому +1

    Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye

  • @marianajulius5926
    @marianajulius5926 2 роки тому +3

    Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️

  • @atbakpblessedfml2642
    @atbakpblessedfml2642 3 роки тому +4

    Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake

  • @thomaskibada7056
    @thomaskibada7056 3 роки тому +6

    Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania

  • @atuhaireakla3972
    @atuhaireakla3972 2 роки тому +1

    For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 11 місяців тому +1

    Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.

  • @joshuakapungu938
    @joshuakapungu938 2 роки тому +2

    Ee Mwenyezi Mungu hili somo nimelipata leo ila litanifungulia yote ninayoomba kila siku na Mungu atanyamaza tena sasa ni zamu yangu kujibiwa maombi yangu baba

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 Рік тому +4

    Hii ni kweli hata Mimi limenitokea kwenye maisha yangu, nina mdogo wangu anaumwa ninaomba mungu kupitia somo Hilo mungu amfungue apone ninaamini mungu anakwenda kunijibu Sasa.

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 Рік тому +1

    Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono

  • @ruthuthomas2357
    @ruthuthomas2357 2 роки тому +9

    Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 3 роки тому +8

    Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.

  • @mwldanielelibariki4524
    @mwldanielelibariki4524 2 роки тому +5

    Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase5514 2 роки тому +8

    God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda

  • @josephmbogo4439
    @josephmbogo4439 3 роки тому +6

    Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 2 роки тому +5

    Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika.
    Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 2 роки тому +1

    Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 3 роки тому +3

    Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba

  • @rebeccabraison8357
    @rebeccabraison8357 Рік тому +1

    Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana

  • @dalmasnyaribo7543
    @dalmasnyaribo7543 3 роки тому +1

    Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 2 роки тому +1

    Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏

  • @jackimulisamulisa6896
    @jackimulisamulisa6896 2 роки тому +1

    Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 3 роки тому +4

    Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 3 роки тому +2

    Kweli somo hili limenigusa sana,, ee MUNGU nihurumie na unisikie ombi langu,, mtumishi wa MUNGU asante kwa fundisho hili, nimelipokea kwa imani,,, BWANA YESU ASIFIWE

  • @user-ct3jq3qv7j
    @user-ct3jq3qv7j Місяць тому

    ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu

  • @mackrinapeter4417
    @mackrinapeter4417 3 роки тому +3

    Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 3 роки тому +2

    Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @lilianmyinga4578
    @lilianmyinga4578 3 роки тому +6

    Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako

  • @DsmAccounts1
    @DsmAccounts1 4 місяці тому

    Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 роки тому +2

    Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏

  • @doricekajuna6185
    @doricekajuna6185 2 роки тому +1

    Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 Місяць тому

    Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤

  • @enriqueganywamulume3681
    @enriqueganywamulume3681 3 роки тому +1

    Tuna shukuru Mungu kwa maano hii ya kurusha tena solo ili , tume barikiwa tena tume pata kitu tena , ilpendeze Mungu kumu discute tena na tena na ku mbariki mtumishi wake. Kama kuna kipindi cha kufata tafazali mwalimu ita tu saidiya

  • @tulalumbashaibu8970
    @tulalumbashaibu8970 3 роки тому +3

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena

  • @InesYohana
    @InesYohana 2 місяці тому

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏

  • @leamukamusoni6239
    @leamukamusoni6239 2 роки тому +1

    Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy

  • @siscahadassah4233
    @siscahadassah4233 3 роки тому +2

    Somo hili limenifungua sana macho,nimegundua nilikuwa siombi ila nalalamika..naomba msaada kama tutaweza kulipata hili somo lote

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 5 місяців тому

    Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mm pia ninashida na ndoa yangu mara ninaomba mara naacha lkn ubarikiwe hivi nitaomba c tokata tamaa

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga 5 місяців тому

    Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿

  • @helenakulliani1670
    @helenakulliani1670 3 роки тому +1

    Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially913 2 роки тому +1

    Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏

  • @alainmizo4694
    @alainmizo4694 Рік тому

    Jambo hili limekuwa moja kati ya ombi langu la evey day kana kwamba Mungu anipe kipawa chako mzazi wangu wa kiroho.nakufua toka D.R.Congo tume barikiwa saaaaaaaaaaaana kupitiya mafundisho yako babangu.naami kupitiya haya ninayo yapokea kutoka kwako...Mungu atanipa majibu kwa swali yangu.Mungu akubariki sana baba na piya abariki watakatifu wote kwa jumla

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 3 місяці тому

    Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.

  • @lameckdaudi1925
    @lameckdaudi1925 Рік тому

    Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen

  • @atuganilemwakyusa1701
    @atuganilemwakyusa1701 3 роки тому +1

    Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.

  • @paskazimakigo-bc7ju
    @paskazimakigo-bc7ju 4 місяці тому

    Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa

  • @jessy2404
    @jessy2404 Рік тому +2

    Mungu nikumbuke mali niko maisha sirahisi emungu pigana na madui zangu na wale wanao nipiga vita🙏

  • @bundallachaba3120
    @bundallachaba3120 3 роки тому +4

    Hili somo ni zuri sana nimelitafuta mno sijalipata liwekeni lote watu wajifunze

  • @lazaroulomi1854
    @lazaroulomi1854 2 роки тому +1

    Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.

  • @monicapaul7863
    @monicapaul7863 3 роки тому +17

    Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani

  • @user-ky5vh7uu8i
    @user-ky5vh7uu8i 10 місяців тому

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina

  • @LSA-23
    @LSA-23 3 роки тому +4

    Mtumishi kuna mahubiri fulani niliwahi kiwa nayo nikayapoteza..yanahusu maombi ya kuzunguka kama babeli na kumwaga damu ya Yesu iliyotoka sehemu zote za mwili wake.
    Nayahitaji sana mtumishi.naomba nielekezwe mahali hata kama ni CD ninunue

  • @upendotemba4061
    @upendotemba4061 3 роки тому +1

    Haleluya mtumishi
    Mungu akutunze
    Tunapata ufahamu

  • @AmaniDavid-ju7mb
    @AmaniDavid-ju7mb Рік тому

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante

  • @victoriamahenge9001
    @victoriamahenge9001 3 роки тому +1

    Asnte kwa somo zuri baba yangu nimeelewa nakupata nikiwa mby ubarikiwe

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 2 роки тому +1

    Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 3 роки тому +1

    Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 2 місяці тому

    Mungu aendelee kumtumza uyu baba amlinde miaka yake yote atakayoish duniani

  • @rovicsimon1981
    @rovicsimon1981 2 роки тому +1

    Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili

  • @mercygodia4084
    @mercygodia4084 3 роки тому +15

    God please hear my cry. I trust in you.

  • @rachelmshana6555
    @rachelmshana6555 Рік тому

    Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.

  • @naomyndaya7800
    @naomyndaya7800 2 роки тому +3

    Barikiwa mutu wa mungu, na kufata sana nikiwa RDC, mara kwa mara ninapo kufata nibarikiwa saaana, na kwa hilo naomba Mungu afunguwe njozi zangu. Ili ni shuudiye ukubwa wa mokozi. Barikiwa baba

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 роки тому +1

    Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lucymkisi18
    @lucymkisi18 Рік тому

    Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza

  • @diwenagoodiani8087
    @diwenagoodiani8087 Рік тому

    Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako

  • @FulliJohnPaul
    @FulliJohnPaul Місяць тому

    Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu

  • @rahelsamson7692
    @rahelsamson7692 2 роки тому +1

    Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali

  • @chipetapeter6804
    @chipetapeter6804 2 місяці тому

    Amina baba naomba maombi yako ziniachie roho ya madeni

  • @egnardamaicy3456
    @egnardamaicy3456 3 роки тому +120

    Kwa mara ya kwanza roho mtakatifu amenisemesha nimeamka nikiwa nimevunjika moyo sana sioni nuru nikawa naskia tu fungua UA-cam nafungua nakutana na neno hili tena nikiwa mtu wa kwanza kabisa😭

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 2 роки тому

    Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina

  • @rodawlson8040
    @rodawlson8040 3 роки тому +1

    Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia

  • @julietkimigho8500
    @julietkimigho8500 Рік тому +2

    Amen poster be blessed in the name of Jesus christ

  • @rahmabisi5558
    @rahmabisi5558 2 роки тому

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.

  • @haroldmartin4612
    @haroldmartin4612 2 роки тому +1

    Amen, nimebarikiwa sana.
    Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.

  • @hellendeus7809
    @hellendeus7809 3 роки тому +3

    Ameen mwalimu..... Nakuombea saana roho mtakatifu awe na wewe Kila dakika na Kila hatua

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Рік тому +1

    Kunajambo lilikuwa likinitesa niliomba niliomba sana Lkn ckujibiwa nilipata wazo kumuuliza mungu nashukur alinijibu na kitabu Cha wathesolanike 5-10-17 nikapata nguvu yakusonga mbele japo nilikuwa nimechoka sana

  • @bakunduwukizebenithe7888
    @bakunduwukizebenithe7888 Рік тому

    Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 3 роки тому +2

    Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu

  • @dionestermwinuka7520
    @dionestermwinuka7520 2 роки тому

    Wakati ninaopitia ni mgumu sana mungu nijibu na mim kama ulimjibu habakuki najua sistahili nisamehe bwana ninahaja nawe tena asante mtumishi na mim

  • @wemarobert7140
    @wemarobert7140 2 роки тому

    Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 роки тому

    Asante Mungu nimeimarika ,nimejifunza, zaidi nimepata amani, utulivu. Mungu endelea kunifundisha kujua sababu na kusudi la maisha yangu, na mtoto wangu lakini zidi kuniunganisha na ndugu zangu , jamaa, na wanaonizunguka popote nilipo niweze kuishi sawa na mapenzi yako. 🙏

  • @benjaminjonathanbuchafwe9040
    @benjaminjonathanbuchafwe9040 3 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
    Nimeguswa sana na hili somo naomba muendelezo wake ili niweze kumaliza na kujifunza zaidi
    Ahsante 🙏🏾🙏🏾

    • @ezraisrael6984
      @ezraisrael6984 3 роки тому

      Mungu akupe maisha malefu huku ukituombea injili msingi wake usiharibike leo walakesho mpaka Yesu mnazareti anarudi. Amen

  • @oliverabrahamoliverabraham3011
    @oliverabrahamoliverabraham3011 2 роки тому +2

    Asante kwa mafundisho mazuri baba

  • @sarahfaida5648
    @sarahfaida5648 Рік тому

    Natamani kusudi la Mungu ndani yangu pia litimie, mimi ni je ni nani wa leo? Viwango vingine vya Mungu viingie ndani yangu nijitambue zaidi maana nilivyo leo naona bado kuna kitu sijafikia kusudi lake .. Amina

  • @emmanuelmollel7027
    @emmanuelmollel7027 Рік тому

    Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim

  • @neemamunisi2053
    @neemamunisi2053 2 роки тому +1

    Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu

  • @alleoo273
    @alleoo273 2 роки тому +2

    Barikiwa baba leo nimesukumwa kukusikiliza nanimejifunza kumkumbusha Mungu maana hua nalalamika sn badala ya kuomba

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 3 роки тому

    Ubarikiwe sana baba,maana umetulisha chakula charohoni nimebarikiwa sana nanimepata ujasiri mkubwa nanimejifunza kusema namungu,AMEN....

  • @michaelkakuja893
    @michaelkakuja893 3 роки тому +3

    Amen. Nimekuota umeniombea kisha ukanikumbatia madhabahuni ukanitenga mahali pa peke angu katika hiyo hiyo madhabahu ukanishika kichwani ukasema nitulie mahali hapo ukawageukia waumini wako ukawaambia hilo ni jambo la kawaida. Sielewi njozi hii ina maana gani Mtumishi wa Mungu. Any way Mungu awabariki na kuwalindeni watumishi wote wa Mungu in Jesus Christ's name. Amen. Asante.

    • @ruthkilasi3735
      @ruthkilasi3735 3 роки тому

      Neno hili si bure! Bwana jidhihirishe kwangu Sasa.Haijarishi shetani anajiinua kiasi gani kupitia maajenti wake lkn bado ninalotumainiaana wewe waishi na neno lako laishi.Amen

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому

      Mimi nimemuota pia natamani kumtumia meseji yy binafsi

  • @mariagorethvicentnyerere1183
    @mariagorethvicentnyerere1183 2 роки тому

    Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.

  • @sarahlyimotv1380
    @sarahlyimotv1380 3 роки тому +17

    It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏

  • @mussaelisha3184
    @mussaelisha3184 Рік тому

    God bless you BABA,Kupitia mafundisho yako MUNGU Atainua wengi kwa faida ya ufalme wake*