MWL, CHRISTOPHER MWAKASEGE: MAOMBI YA KUONDOA VIKWAZO KWENYE MALANGO YALIYO BEBA FURSA ZAKO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 сер 2024
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ MAFUNDISHO: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ UCHUMI: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: ua-cam.com/users/playlist?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...

КОМЕНТАРІ • 600

  • @vanchrix7530
    @vanchrix7530 Місяць тому +4

    Ee mungu naomba utuonekanie kwnenye malango yako ya biashara familia ya neema mshani na ukatubariki na kutuongoza kukujua ww na ukatuepushe na hila zote za maadui na unibariki mm charles solo. Natokea chunya mjini na ukanifungulie malango yangu yote yalio fungwa na nguvu za giza amina

  • @namelockmlisa5629
    @namelockmlisa5629 13 днів тому +1

    Eee bwana yesu najiunganisha na maombii haya malango yote yang yaliyofungwaa naifungua kwa damu ya yesu nijifungue salama kama wanawake wa kiebrania this week amen

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj 11 місяців тому +21

    Asante Mungu kwaajili ya maisha ya mtumishi wako, mwl. Christopher Mwakasege.
    Sifa na utukufu ni vya kwako maana unastahili.

  • @christinalawrence7493
    @christinalawrence7493 Рік тому +27

    Mungu akupe miaka mingi mwlm Christopher mwakasege uendelee kutulisha neno lako

  • @esthershija5442
    @esthershija5442 8 місяців тому +13

    Amen nimebarikiwa sana na maubili yako Mchungaji Mungu wa mbinguni na akubariki sana . Nimefunguliwa kuanzia leo mambo yangu yote yamefunguka kwa Damu ya Yesu Amen

  • @janethoscar5954
    @janethoscar5954 Рік тому +7

    Ninafungua malango yangu ya fulsa kupitia neno hili la mwl MWAKASEGE!ubarikiwe sawa MTUMISHI WA MUNGU

  • @PendoMwangende
    @PendoMwangende Місяць тому +1

    Ubarikiwe sana nimepata kitu Cha tofauti MUNGU andelee kukupa nguvu ktk huduma hii

  • @sylviamassawe9905
    @sylviamassawe9905 Рік тому +14

    Najiunganisha na hii madhabau ya huyu mtume wako bwana kila madhabau nilizounganishwa nazo kwakujua au kwakutokujua ikavunjwe na hii madhabau ya mtumishi wako AMEN

    • @jomomwalubandu6468
      @jomomwalubandu6468 Рік тому +2

      Amen mungu atufungue vifungo vyote tulivyofungwa mimi nafamilia yangu kwa jina la yesu

  • @melanienicimpaye9743
    @melanienicimpaye9743 10 місяців тому +5

    Asante bwana yesu kwa iyi njili.
    Imenifunguwa macho. Mungu apewe sifa kwa yale ametenda mahishani mwangu.
    Niehangalia iyi video nikiwa amarika kwa cumba, nirikuwa nimefungwa kwa minyororo ya shetani, arakini saa hiyi nasikiya ushindi wa yesu ndani yangu. Balikiwa mutumishi wa Mingu.

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Рік тому +17

    Juu ya mwamba huu familia yangu ikakusifu Mungu sikuzote na kujengwe juu ya mwamba na kutuweke huru

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 Рік тому +21

    Mungu akubariki Sana mtumishi, pia ninaomba mungu aniponyee mdogo wangu afunguliwe anaumwa tumbo kwa mda mrefu,ee mwenyezi mungu ninaomba unisikie.

    • @helenmghwira6621
      @helenmghwira6621 Рік тому

      Pole Mungu atamponya

    • @GeorgeSebatian
      @GeorgeSebatian Рік тому

      BWANA YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake tazama tumepewa mamulaka yakukanyaga Inge na nyoka YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake

  • @paulinemrosso2157
    @paulinemrosso2157 Рік тому +14

    Neno la Mungu ni jipya kila siku asante sana Mtumishi

  • @philipoelia3254
    @philipoelia3254 Рік тому +11

    Unatumiwa na mungu kwa viwango vya juu sana mwakasege mungu akibariki mteule

  • @labanmwenyewe6777
    @labanmwenyewe6777 Рік тому +10

    Laban chivole from Kenya nimefatilia mafundisho yako toka 2002&has helped me a lot God bless you man of God 🙏

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 Рік тому +3

    Daah Mungu akubariki somo linabariki sana nilichelewa wapi! Daaaah
    Huyu mwalm toka nikiwa mdogo anafundisha redio free Afrika namsikiliza kwa kweli Mungu akutunze mwalimu nakupenda na nayapenda mafundisho yenye ufunuo

  • @alexkatana5827
    @alexkatana5827 11 місяців тому +3

    Asante kwa mahubiri yako mtumishi naomba uniombee nipate kazi na amani katika ndoa yangu pia mume wangu akombolewe kutoka kwa giza

    • @Jobmwakasyele
      @Jobmwakasyele 6 місяців тому

      😂asante kwa mahubiri yako mtumishi niombee nitoke gizani

  • @lucylucy2327
    @lucylucy2327 Рік тому +11

    Nimebarikiwa kwa kweli kuna cha kujifunza katika maandiko haya na maneno yatokayo kwako mwalimu

  • @jacquelinembanda
    @jacquelinembanda Рік тому +19

    Nimebarikiwa sana na mafundisho haya 🙏🏽💯%

  • @danielmbisso4377
    @danielmbisso4377 Рік тому +19

    Mafunzo mazito sana haya. Utukufu kwa Mungu aliye hai. Ubarikiwe sana Mwl Mwakasege.

    • @dullawax8799
      @dullawax8799 Рік тому

      Mungu nakushukuru kunibadirisha kiimani naomba unisaidie nikushike mungu wangu nifungue mapito ninayo yapitia

    • @alantemu9556
      @alantemu9556 3 місяці тому

      Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @mkadinali6532
    @mkadinali6532 4 місяці тому +1

    Grace,Mtumishi wa mungu naomba ombea Mama yangu ili mwenyenzi mungu anene uhai kwa maisha yake apate kutembea tena Katika jina la yesu kristo Amen

  • @agnesmallya7781
    @agnesmallya7781 2 роки тому +12

    Haya ni maneno ya Roho wa Mungu aliye ndani yako Mwal Mwakasege, Barikiwa sana wewe na familia yako kwa ajili ya utukufu wa Mungu

  • @josselinijosiah8370
    @josselinijosiah8370 9 місяців тому +8

    Mungu naomba uniondolee roho ya kiburi cha uzima. Nipe kuutafuta uso wako na mengine Nita ongezewa toka kwako

  • @helenmghwira6621
    @helenmghwira6621 Рік тому +3

    Mafunzo ya msingi sana haya ila bila ya masikio ya roho hutaelewa hata mstari mmoja. Asante mwl Christopher. Mwaka huu umekuwa na mafunzo ya msisitizo sana.

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 2 роки тому +26

    Vitu vingumu sana hivi bila ufahamu wa Mungu hautaelewa,,,Baba Mungu azidi kukutunza

  • @isayamngongo3270
    @isayamngongo3270 2 місяці тому +2

    Najikabidhi Kwa Mungu wangu Mimi na familia yangu atuondolee roho zakuandamwa vifungu vya kukosa kazi

  • @DoriceKilawe
    @DoriceKilawe 3 місяці тому +1

    Eeeehh mwenyezi mungu najikabizisha mbele zako na hii ibada takatifu

  • @neemasawere6322
    @neemasawere6322 9 днів тому

    Ahsante MUNGU kwa Neno hili, maana umenitendea mambo makuu sana katika maisha yangu

  • @nicksonmuyemba3152
    @nicksonmuyemba3152 Рік тому +2

    Amen, ubarikiwe San mtumishi wa MUNGU, Nina Imani nimepata kaz Kwa maombi yako.

  • @jonathanrwezaula6676
    @jonathanrwezaula6676 Рік тому +10

    Ahsante Sana Mungu wetu uliye mwema. Ahsante kwa jinsi unavyomtumia Mtumishi wako kwa ajili yetu. Nunakuomba uzidi kumpa neema na kibali

  • @user-md4pv1nb6d
    @user-md4pv1nb6d 5 місяців тому +1

    Mwalimu unafundisha Mungu azidi kutufungua masikio ya kiroho tupate kumjua zaidi na zaidi Ubarikiwe sahna🙏

  • @marrypaulo7814
    @marrypaulo7814 5 місяців тому +2

    We mungu niondolee roho ya hasira na maamuzi ya haraka nipe kufikiria kwanza

  • @christinamwandri955
    @christinamwandri955 Рік тому +9

    Ameni mtumishi wa mungu naomba mungu akamponye mtoto wangu tumbo linamsumbua
    Sana naamini atafunguliwa kwa jina la Yesu

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Рік тому +2

    Asante sana Mwalimu Christopher Mwakasege.., kunakitu nimepata leo.
    Mwenyenzi Mungu Azidi Kuibariki Huduma yako ya Mana!!!!!!!

  • @SimoniMbela
    @SimoniMbela 2 місяці тому +1

    Asante yesu Kwan kumuanda mtoto wako kwaajili yawatanzania na inchi nyingine,

  • @helenmghwira6621
    @helenmghwira6621 Рік тому +4

    Ninamkomboa mwanangu Elibariki ktk kila sehemu aliyofungwa na adui. Amen

  • @fridamassawe9692
    @fridamassawe9692 Місяць тому +1

    Mungu naomba mimi na familia yangu uweze kutufungua katika lango hili🙏

  • @ailenibinyama1735
    @ailenibinyama1735 Рік тому +1

    Mungu anipe Hekima kwenye kila kitu ninachokifanya na anitimizie makusudi yake Amina.

  • @user-kd7cg1tn1m
    @user-kd7cg1tn1m 5 місяців тому

    Mungu akubariki mtumishi.
    Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu.Amen.

  • @abby-qd3qx
    @abby-qd3qx Рік тому +9

    Ameeen napokea roho ya maombi kwa Jina la YESU🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @kuphakumbo7578
      @kuphakumbo7578 Рік тому +1

      Ameen na pokea kufunguliwa kwa malango kwa jina la yesu Ameen

    • @wanjikumumbua
      @wanjikumumbua Рік тому

      Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.

    • @wanjikumumbua
      @wanjikumumbua Рік тому

      Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.

  • @naomifungo4840
    @naomifungo4840 Рік тому +2

    NIMEBARIKIWA SANA NA SOMO HILI,,,,,BWANA YESU ASANTE KWA UTETEZI WAKO JUU YANGU NA UZAO WANGU.... AMEEEEN TENA AMEEEEN

  • @SusaneChilewa
    @SusaneChilewa 8 місяців тому

    Ubarikiwe na. Mwenyezi Mingu,kwa mafundisho haya.Sema tupone!!!!

  • @pendoseburuka8457
    @pendoseburuka8457 Рік тому +3

    Mungu akutenzecMwalim na mama mlitumikie shauri la Bwana

  • @upendo9326
    @upendo9326 Рік тому +2

    MUNGU wangu naomba utuponye mimi na familia yangu watoto wangu wakawe kichwa Amina

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 Рік тому +16

    Mungu akutunze mwalimu mwakasege, kweli wewe ni baraka katikati yetu.

  • @inosentantoni2638
    @inosentantoni2638 Рік тому +8

    Mungu azidi kukulinda babayetu wakiroho

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Рік тому +3

    Mungu naomba UNIPE funguo. zote katika maisha yangu ili niweze kuyatimiza mapenzi yako🩸🩸

    • @simonkabeta363
      @simonkabeta363 Рік тому +1

      Hakika nimemuona Mungu akinipatia majibu,kaniletea mafundisho haya majira ya saa tisa usiku,Mungu akututunze Mwl Mwakasege wewe ni tunu,unstuonesha njia ya mbinguni lkn pia njia za kushinda na kupata amani ktk maisha haya ya utumishi.

  • @elizabethmichael8774
    @elizabethmichael8774 Рік тому +3

    Mungu akubariki sana mtumishi Mwakasege🇹🇿

  • @gloryfaustine9252
    @gloryfaustine9252 Рік тому +5

    Mungu azid kukutumia kwa viwango vikubwa baba

  • @IsayaPius
    @IsayaPius 3 місяці тому +3

    Mungu akupe maisha marefu na nguvu ya roho mtakatifu ikufunike ziku zoteeeeeeeee mwl.

  • @nyasugutaveronican7037
    @nyasugutaveronican7037 Рік тому +4

    Baba naomba unifungulie mlango wa kazi na ubariki familia yangu🙏🙏🙏

  • @AnethMassawe-cr1oe
    @AnethMassawe-cr1oe 2 місяці тому +1

    A year later, nimesikiliza hii video and prayed na Mungu amafungua malango yangu. Mungu ni mwema sana🙏.

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 11 місяців тому +2

    Amen uwe na uhakika hata kama Goliathi amelitukana Jina la majeshi ipo chapio ya Daudi oooh Haleluya...

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Рік тому +15

    Amina Hakika nimebarikiwa na Naamini nimefunguliwa kila kifungo kilichokuwa kimenifunga katika Jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏🙏

  • @augustahamdani6699
    @augustahamdani6699 Рік тому +2

    Najiunganisha na Madhabahu hii mimi na familia tufunguliwe kila vifungo viliyowekwa maishani mwetu vifunguke kwa Jina la Yesu. AMEEEN

  • @henrytarimo9802
    @henrytarimo9802 2 роки тому +4

    Asante mwalimu kwa mafundisho. Bwana anapendezewa na wewe. Maana tunazidi kumjua na kumwamini kupitia mafundisho hayo. Jina la Bwana liendelee kutukuzwa

  • @user-on1lq1ib8z
    @user-on1lq1ib8z 5 місяців тому

    Mungu akulinde,na akupe maisha marefu yenye afya njema,uendelee kumtangazaMUNGU

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Рік тому +1

    Naomba uwasaidie watoto wetu kutengeneza mahusiano MAZURI na Mungu.
    Amina🙏

  • @fridamassawe9692
    @fridamassawe9692 Місяць тому +1

    Malango ya familia yangu yafunguliwe Leo katika jina la YESU 🙏

  • @nitweleenock2287
    @nitweleenock2287 Рік тому +3

    Naomba mungu mm na familia yangu.ayafungue Maisha yetu ameen

  • @bablajemsi7076
    @bablajemsi7076 Рік тому +6

    Nakupenda sana baba unaongozwa na roho wa Mungu mwenyewe

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 Рік тому +3

    Amen 🙏 🙏 🙏 mtumishi wa mungu aki wanielimisha sana kiroho mungu akuzidishie kwa neno zuri

  • @aloycesiaitys607
    @aloycesiaitys607 Рік тому +12

    Miamba ya Yesu Kristo mmbarikiwe sana napenda sana mahubiri yako na mpakwa mafuta Katunzi .

    • @hildamzee6719
      @hildamzee6719 Рік тому

      Asante baba kwa mafundisho matamu kweli kweli mbarikiwe sana. Ammmmeeeen

    • @sabrinagabriel9208
      @sabrinagabriel9208 Рік тому

      Ameen

    • @aliethmgode389
      @aliethmgode389 Рік тому

      Mungu aendelee kukutumia Mr mishi wa Mungu jimejifunza kitukipya

  • @neemapaul6527
    @neemapaul6527 4 місяці тому +1

    Eemwenyez mungu naomb huu mwak usiishe unipe mume sahihi wamaisha yangu

  • @sacg9783
    @sacg9783 Рік тому +4

    YESU aendelee kukutunza baba watt wangu na kazi yangu MUNGU akaonekane🙏🙏

  • @user-nw4wt2sb4q
    @user-nw4wt2sb4q 7 місяців тому

    Mungu akuongoze ktk njia zako mtumishi wa Mungu na akuongezee miaka ili uendelee kutuubiria injili barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel from Kenta.

  • @user-ks2kd1bl1j
    @user-ks2kd1bl1j 7 місяців тому

    Amen Mungu akulinde akupe maisha marefu na wajukuu zetu wapate mafundisho ya Kristo kupitia wewe

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 5 місяців тому

    Asante MUNGU ulietupatia huyu Baba mwenye utayari mkubwa wa kuokoa roho zetu, tupate wapi tena mtu kama huyu

  • @SovietMwamlima
    @SovietMwamlima 3 місяці тому +2

    Mafundisho yako yamenibariki sana Mtumishi na kunifanya nijifunze jambo jipya kwenye maisha yangu .

  • @condradanyoni6556
    @condradanyoni6556 7 місяців тому +2

    Mungu uliyeniumba naomba utaangulie mbele yangu leo nipate baraka za isaka petro na yakobo ziwe juu yangu kwa sifa na utukufu wa Mungu aliyetuumba siku ya leo

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 10 місяців тому +1

    Baba Ubarikiwe Sana

  • @kelvinpatrick331
    @kelvinpatrick331 Рік тому +5

    Asante Yesu Kwa urejesho wako barikiwa sana watumishi wa Mungu

  • @stephaniepayet9161
    @stephaniepayet9161 Рік тому +7

    Nime barikiwa katika jina la Yesu na kumfunga Mumewangu Asitamani Mwanamke mwengine katika jina La Yesu

    • @thabedamian3813
      @thabedamian3813 Рік тому

      Hahaahaha

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 Рік тому

      Unamfunga asitamani mwanamke unajuwa unamfunga na ufahamu wake kazi Mipango kila kiti😅

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Рік тому +4

    Nataka nikuone Mungu kwa AJILI ya Liberatore akawe kichwa na sio mkia, siku ya usaili wakem na akakutuze Mungu siku zote🙏🙏

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Рік тому +1

    Mungu vikwazo vinainuka juu ya eneo la ndoa na uchumi lakini Mungu kwa maombi haya lazima vifunguke mwaka huu 2023

  • @user-zz1vv2qw2t
    @user-zz1vv2qw2t 9 місяців тому +1

    Mungu amkumbuke raymond lukete mwinuka anazalisha sana watoto wa watu nakuterekeza sana na matus makubwa bila sababu makubwa na hao watoto nimelea mwenyewe lakini ni matus makubwa mno mungu amuone

  • @lulumayemba1233
    @lulumayemba1233 26 днів тому

    Mungu akubariki mtumishi nina imani kwa mafundisho yako na maombi yako leo nina imani naenda kufuliwa malango niliyofungwa ya kukosa kaz

  • @israelgershom4198
    @israelgershom4198 Рік тому +5

    Nmepona sana jamn

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Рік тому +3

    Mungu AKUPE AFYA njema Mwl. Mwakasege🙏🙏

  • @rechosteven9244
    @rechosteven9244 2 роки тому +5

    usinipite mwokozi wa maisha yangu unajua mahitaji yangu Jehova naomba unijibu sawasawa na mapenzi yako

  • @PapichuloGenius
    @PapichuloGenius Рік тому +2

    Amen 🙏 Mimi Niko Kenya ninabarikiwa naneno marango naitwa Rose Jefwa

  • @HellenMollel-r4p
    @HellenMollel-r4p 5 днів тому

    Eee mungu naomba utuonekanie katika maisha yetu Amani juu ya family yangu naomba mungu ukazirejeshe vile vyoteeee vilivyopotea

  • @annethmagulu8803
    @annethmagulu8803 2 роки тому +5

    Ubarikiwe sana mwalimu kwa neno zurii sana

  • @julianakaskana4433
    @julianakaskana4433 Рік тому +2

    Namwomba Mungu anisaidie nimalize vizuri katika masomo yangu

  • @allenibilaro363
    @allenibilaro363 Рік тому +7

    Ameeeen barikiwa Mtumishi wa Mungu

  • @GradyDanny
    @GradyDanny 2 місяці тому

    Asante mungu kwa neno lako hakika malango yamefunguka kwa jina la yesu🙏

  • @ercamakupa5033
    @ercamakupa5033 Рік тому +2

    Mungu neema hii isinipete ikatende kaz kwangu. Na kwa familia yangu malango yafunguke kwa Jina la Yesu.

  • @user-us5ot5ot3r
    @user-us5ot5ot3r 9 місяців тому

    Mungu aendelee kukutunza na kukulinda mtumishi aendelee kuwapa maisha yenye baraka tele pamoja na mtumishi Diana mama yangu nawapenda.

  • @rizikinibale6748
    @rizikinibale6748 Рік тому +17

    Utukufu na heshima vimrudi bwana wa majeshi AMEN AMEN 🙏

  • @lizbethmagohe9476
    @lizbethmagohe9476 Рік тому +13

    Ninaikabizi familia yangu mikononi mwa Mungu ikajengwe juu ya mwamba, nikapate kufunguliwa maisha yangu yoteee.

    • @esterjacob7336
      @esterjacob7336 Рік тому +1

      Amina mtumishi wa mungu nafunguliwa Kwa jina la YESU

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema278 29 днів тому

    Mungu nisaidie milango yaliyoshikilia frusa zangu za familia yngu yafunguke kwa jina la yesu

  • @Angels_2024
    @Angels_2024 Рік тому +4

    Haleluya yesu ni bwana hakika hashindwi jambo lolote

  • @user-hu6jp7pq1v
    @user-hu6jp7pq1v 7 місяців тому +2

    Mwakasege kwa sasa sijapata mwalimu kama wewe unafundisha unafundisha tunafundishika halelujah

  • @VictoriaAssey
    @VictoriaAssey Місяць тому

    mungu naomba niondole moyo wamajivuno pamoja na familia yangu linda watoto wangu

  • @mariachengula5166
    @mariachengula5166 10 місяців тому

    Ameni barikiwa mtumishi wa Mungu Kwa Ujumbe wa kutuvusha kwenda hatua nyingine

  • @EllybizzoEndrias
    @EllybizzoEndrias 5 місяців тому

    Mungu mwema naomba nisaidie juu ya mapito yangu na nifanikiwe kutekelèza yote nilio kuomba ndani ya huu mwaka

  • @user-hq4ug2hi2f
    @user-hq4ug2hi2f 10 місяців тому +1

    Mngu aseme na maisha yangu kuptia maombi haya

  • @novathmsuha4606
    @novathmsuha4606 Рік тому +1

    Mungu akubariki sana mwakasege. upo vizur sana

  • @Bahati-ho3zv
    @Bahati-ho3zv Місяць тому +1

    Najiunganisha Na hii madhabahu yako Kwa kujua Na pasipo kujua

  • @tumwagilembughi
    @tumwagilembughi Рік тому +2

    Asante Mungu Kwa Neno hili,Hakika kupitia Neno hili Mungu amenitendea mambo makuu. Amen.

  • @AricaFungo-gq9fz
    @AricaFungo-gq9fz 5 місяців тому

    Thankyou dear Lord 🙏🙏ntazidi nyenyekea kwako