MWL, CHRISTOPHER MWAKASEGE: MAOMBI YA KUONDOA VIKWAZO KWENYE MALANGO YALIYO BEBA FURSA ZAKO.
Вставка
- Опубліковано 5 сер 2024
- Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ MAFUNDISHO: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ UCHUMI: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: ua-cam.com/users/playlist?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
Ee mungu naomba utuonekanie kwnenye malango yako ya biashara familia ya neema mshani na ukatubariki na kutuongoza kukujua ww na ukatuepushe na hila zote za maadui na unibariki mm charles solo. Natokea chunya mjini na ukanifungulie malango yangu yote yalio fungwa na nguvu za giza amina
Eee bwana yesu najiunganisha na maombii haya malango yote yang yaliyofungwaa naifungua kwa damu ya yesu nijifungue salama kama wanawake wa kiebrania this week amen
Asante Mungu kwaajili ya maisha ya mtumishi wako, mwl. Christopher Mwakasege.
Sifa na utukufu ni vya kwako maana unastahili.
❤❤❤❤
Mungu akupe miaka mingi mwlm Christopher mwakasege uendelee kutulisha neno lako
AMEN
Amen nimebarikiwa sana na maubili yako Mchungaji Mungu wa mbinguni na akubariki sana . Nimefunguliwa kuanzia leo mambo yangu yote yamefunguka kwa Damu ya Yesu Amen
Ninafungua malango yangu ya fulsa kupitia neno hili la mwl MWAKASEGE!ubarikiwe sawa MTUMISHI WA MUNGU
Ubarikiwe sana nimepata kitu Cha tofauti MUNGU andelee kukupa nguvu ktk huduma hii
Najiunganisha na hii madhabau ya huyu mtume wako bwana kila madhabau nilizounganishwa nazo kwakujua au kwakutokujua ikavunjwe na hii madhabau ya mtumishi wako AMEN
Amen mungu atufungue vifungo vyote tulivyofungwa mimi nafamilia yangu kwa jina la yesu
Asante bwana yesu kwa iyi njili.
Imenifunguwa macho. Mungu apewe sifa kwa yale ametenda mahishani mwangu.
Niehangalia iyi video nikiwa amarika kwa cumba, nirikuwa nimefungwa kwa minyororo ya shetani, arakini saa hiyi nasikiya ushindi wa yesu ndani yangu. Balikiwa mutumishi wa Mingu.
Juu ya mwamba huu familia yangu ikakusifu Mungu sikuzote na kujengwe juu ya mwamba na kutuweke huru
Mungu akubariki Sana mtumishi, pia ninaomba mungu aniponyee mdogo wangu afunguliwe anaumwa tumbo kwa mda mrefu,ee mwenyezi mungu ninaomba unisikie.
Pole Mungu atamponya
BWANA YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake tazama tumepewa mamulaka yakukanyaga Inge na nyoka YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake
Neno la Mungu ni jipya kila siku asante sana Mtumishi
Unatumiwa na mungu kwa viwango vya juu sana mwakasege mungu akibariki mteule
Laban chivole from Kenya nimefatilia mafundisho yako toka 2002&has helped me a lot God bless you man of God 🙏
Daah Mungu akubariki somo linabariki sana nilichelewa wapi! Daaaah
Huyu mwalm toka nikiwa mdogo anafundisha redio free Afrika namsikiliza kwa kweli Mungu akutunze mwalimu nakupenda na nayapenda mafundisho yenye ufunuo
Asante kwa mahubiri yako mtumishi naomba uniombee nipate kazi na amani katika ndoa yangu pia mume wangu akombolewe kutoka kwa giza
😂asante kwa mahubiri yako mtumishi niombee nitoke gizani
Nimebarikiwa kwa kweli kuna cha kujifunza katika maandiko haya na maneno yatokayo kwako mwalimu
Nimebarikiwa sana na mafundisho haya 🙏🏽💯%
Mafunzo mazito sana haya. Utukufu kwa Mungu aliye hai. Ubarikiwe sana Mwl Mwakasege.
Mungu nakushukuru kunibadirisha kiimani naomba unisaidie nikushike mungu wangu nifungue mapito ninayo yapitia
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai
Grace,Mtumishi wa mungu naomba ombea Mama yangu ili mwenyenzi mungu anene uhai kwa maisha yake apate kutembea tena Katika jina la yesu kristo Amen
Haya ni maneno ya Roho wa Mungu aliye ndani yako Mwal Mwakasege, Barikiwa sana wewe na familia yako kwa ajili ya utukufu wa Mungu
Amen
Emungungoyeye
Mungu naomba uniondolee roho ya kiburi cha uzima. Nipe kuutafuta uso wako na mengine Nita ongezewa toka kwako
Mafunzo ya msingi sana haya ila bila ya masikio ya roho hutaelewa hata mstari mmoja. Asante mwl Christopher. Mwaka huu umekuwa na mafunzo ya msisitizo sana.
Vitu vingumu sana hivi bila ufahamu wa Mungu hautaelewa,,,Baba Mungu azidi kukutunza
😮
Najikabidhi Kwa Mungu wangu Mimi na familia yangu atuondolee roho zakuandamwa vifungu vya kukosa kazi
Eeeehh mwenyezi mungu najikabizisha mbele zako na hii ibada takatifu
Ahsante MUNGU kwa Neno hili, maana umenitendea mambo makuu sana katika maisha yangu
Amen, ubarikiwe San mtumishi wa MUNGU, Nina Imani nimepata kaz Kwa maombi yako.
Ameen nibarikiwa
Ahsante Sana Mungu wetu uliye mwema. Ahsante kwa jinsi unavyomtumia Mtumishi wako kwa ajili yetu. Nunakuomba uzidi kumpa neema na kibali
Mwalimu unafundisha Mungu azidi kutufungua masikio ya kiroho tupate kumjua zaidi na zaidi Ubarikiwe sahna🙏
We mungu niondolee roho ya hasira na maamuzi ya haraka nipe kufikiria kwanza
Ameni mtumishi wa mungu naomba mungu akamponye mtoto wangu tumbo linamsumbua
Sana naamini atafunguliwa kwa jina la Yesu
Asante sana Mwalimu Christopher Mwakasege.., kunakitu nimepata leo.
Mwenyenzi Mungu Azidi Kuibariki Huduma yako ya Mana!!!!!!!
Asante yesu Kwan kumuanda mtoto wako kwaajili yawatanzania na inchi nyingine,
Ninamkomboa mwanangu Elibariki ktk kila sehemu aliyofungwa na adui. Amen
Mungu naomba mimi na familia yangu uweze kutufungua katika lango hili🙏
Mungu anipe Hekima kwenye kila kitu ninachokifanya na anitimizie makusudi yake Amina.
Mungu akubariki mtumishi.
Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu.Amen.
Ameeen napokea roho ya maombi kwa Jina la YESU🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ameen na pokea kufunguliwa kwa malango kwa jina la yesu Ameen
Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.
Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.
NIMEBARIKIWA SANA NA SOMO HILI,,,,,BWANA YESU ASANTE KWA UTETEZI WAKO JUU YANGU NA UZAO WANGU.... AMEEEEN TENA AMEEEEN
Ubarikiwe na. Mwenyezi Mingu,kwa mafundisho haya.Sema tupone!!!!
Mungu akutenzecMwalim na mama mlitumikie shauri la Bwana
MUNGU wangu naomba utuponye mimi na familia yangu watoto wangu wakawe kichwa Amina
Mungu akutunze mwalimu mwakasege, kweli wewe ni baraka katikati yetu.
Huyu ndugu ni BARAKA KWA TAIFA
Mungu azidi kukulinda babayetu wakiroho
Mungu naomba UNIPE funguo. zote katika maisha yangu ili niweze kuyatimiza mapenzi yako🩸🩸
Hakika nimemuona Mungu akinipatia majibu,kaniletea mafundisho haya majira ya saa tisa usiku,Mungu akututunze Mwl Mwakasege wewe ni tunu,unstuonesha njia ya mbinguni lkn pia njia za kushinda na kupata amani ktk maisha haya ya utumishi.
Mungu akubariki sana mtumishi Mwakasege🇹🇿
Mungu azid kukutumia kwa viwango vikubwa baba
Mungu akupe maisha marefu na nguvu ya roho mtakatifu ikufunike ziku zoteeeeeeeee mwl.
Baba naomba unifungulie mlango wa kazi na ubariki familia yangu🙏🙏🙏
A year later, nimesikiliza hii video and prayed na Mungu amafungua malango yangu. Mungu ni mwema sana🙏.
Amen uwe na uhakika hata kama Goliathi amelitukana Jina la majeshi ipo chapio ya Daudi oooh Haleluya...
Amina Hakika nimebarikiwa na Naamini nimefunguliwa kila kifungo kilichokuwa kimenifunga katika Jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏🙏
HALEYUYA
Stell we need your presence dad
Najiunganisha na Madhabahu hii mimi na familia tufunguliwe kila vifungo viliyowekwa maishani mwetu vifunguke kwa Jina la Yesu. AMEEEN
Nimebarikiwa kwa Neno Mtumishi
Asante mwalimu kwa mafundisho. Bwana anapendezewa na wewe. Maana tunazidi kumjua na kumwamini kupitia mafundisho hayo. Jina la Bwana liendelee kutukuzwa
Mungu akulinde,na akupe maisha marefu yenye afya njema,uendelee kumtangazaMUNGU
Naomba uwasaidie watoto wetu kutengeneza mahusiano MAZURI na Mungu.
Amina🙏
Malango ya familia yangu yafunguliwe Leo katika jina la YESU 🙏
Naomba mungu mm na familia yangu.ayafungue Maisha yetu ameen
Nakupenda sana baba unaongozwa na roho wa Mungu mwenyewe
Amen 🙏 🙏 🙏 mtumishi wa mungu aki wanielimisha sana kiroho mungu akuzidishie kwa neno zuri
Miamba ya Yesu Kristo mmbarikiwe sana napenda sana mahubiri yako na mpakwa mafuta Katunzi .
Asante baba kwa mafundisho matamu kweli kweli mbarikiwe sana. Ammmmeeeen
Ameen
Mungu aendelee kukutumia Mr mishi wa Mungu jimejifunza kitukipya
Eemwenyez mungu naomb huu mwak usiishe unipe mume sahihi wamaisha yangu
Amen
YESU aendelee kukutunza baba watt wangu na kazi yangu MUNGU akaonekane🙏🙏
Mungu akuongoze ktk njia zako mtumishi wa Mungu na akuongezee miaka ili uendelee kutuubiria injili barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel from Kenta.
Amen Mungu akulinde akupe maisha marefu na wajukuu zetu wapate mafundisho ya Kristo kupitia wewe
Asante MUNGU ulietupatia huyu Baba mwenye utayari mkubwa wa kuokoa roho zetu, tupate wapi tena mtu kama huyu
Mafundisho yako yamenibariki sana Mtumishi na kunifanya nijifunze jambo jipya kwenye maisha yangu .
Mungu uliyeniumba naomba utaangulie mbele yangu leo nipate baraka za isaka petro na yakobo ziwe juu yangu kwa sifa na utukufu wa Mungu aliyetuumba siku ya leo
Baba Ubarikiwe Sana
Asante Yesu Kwa urejesho wako barikiwa sana watumishi wa Mungu
Nime barikiwa katika jina la Yesu na kumfunga Mumewangu Asitamani Mwanamke mwengine katika jina La Yesu
Hahaahaha
Unamfunga asitamani mwanamke unajuwa unamfunga na ufahamu wake kazi Mipango kila kiti😅
Nataka nikuone Mungu kwa AJILI ya Liberatore akawe kichwa na sio mkia, siku ya usaili wakem na akakutuze Mungu siku zote🙏🙏
Mungu vikwazo vinainuka juu ya eneo la ndoa na uchumi lakini Mungu kwa maombi haya lazima vifunguke mwaka huu 2023
Mungu amkumbuke raymond lukete mwinuka anazalisha sana watoto wa watu nakuterekeza sana na matus makubwa bila sababu makubwa na hao watoto nimelea mwenyewe lakini ni matus makubwa mno mungu amuone
Mungu akubariki mtumishi nina imani kwa mafundisho yako na maombi yako leo nina imani naenda kufuliwa malango niliyofungwa ya kukosa kaz
Nmepona sana jamn
Powerful message., BARIKIWA SANA
Mungu AKUPE AFYA njema Mwl. Mwakasege🙏🙏
usinipite mwokozi wa maisha yangu unajua mahitaji yangu Jehova naomba unijibu sawasawa na mapenzi yako
Amen 🙏 Mimi Niko Kenya ninabarikiwa naneno marango naitwa Rose Jefwa
Eee mungu naomba utuonekanie katika maisha yetu Amani juu ya family yangu naomba mungu ukazirejeshe vile vyoteeee vilivyopotea
Ubarikiwe sana mwalimu kwa neno zurii sana
MUNGU akutunze nabarikiwa Sana
Namwomba Mungu anisaidie nimalize vizuri katika masomo yangu
Ameeeen barikiwa Mtumishi wa Mungu
Asante mungu kwa neno lako hakika malango yamefunguka kwa jina la yesu🙏
Mungu neema hii isinipete ikatende kaz kwangu. Na kwa familia yangu malango yafunguke kwa Jina la Yesu.
Mungu aendelee kukutunza na kukulinda mtumishi aendelee kuwapa maisha yenye baraka tele pamoja na mtumishi Diana mama yangu nawapenda.
Utukufu na heshima vimrudi bwana wa majeshi AMEN AMEN 🙏
Ninaikabizi familia yangu mikononi mwa Mungu ikajengwe juu ya mwamba, nikapate kufunguliwa maisha yangu yoteee.
Amina mtumishi wa mungu nafunguliwa Kwa jina la YESU
Mungu nisaidie milango yaliyoshikilia frusa zangu za familia yngu yafunguke kwa jina la yesu
Haleluya yesu ni bwana hakika hashindwi jambo lolote
Mwakasege kwa sasa sijapata mwalimu kama wewe unafundisha unafundisha tunafundishika halelujah
mungu naomba niondole moyo wamajivuno pamoja na familia yangu linda watoto wangu
Ameni barikiwa mtumishi wa Mungu Kwa Ujumbe wa kutuvusha kwenda hatua nyingine
Mungu mwema naomba nisaidie juu ya mapito yangu na nifanikiwe kutekelèza yote nilio kuomba ndani ya huu mwaka
Mngu aseme na maisha yangu kuptia maombi haya
Mungu akubariki sana mwakasege. upo vizur sana
Najiunganisha Na hii madhabahu yako Kwa kujua Na pasipo kujua
Asante Mungu Kwa Neno hili,Hakika kupitia Neno hili Mungu amenitendea mambo makuu. Amen.
Thankyou dear Lord 🙏🙏ntazidi nyenyekea kwako