Namshukuru Mungu nilienda nimlifungua malango na nimepata kaz 😥jmn Mungu yupo huyu Baba kama alitumwa kuja kusema na mm mwanzo mwisho nilitamani nimfuate nimwbie Asante baba
Najiunganisha na hii madhabau ya huyu mtume wako bwana kila madhabau nilizounganishwa nazo kwakujua au kwakutokujua ikavunjwe na hii madhabau ya mtumishi wako AMEN
Amen nimebarikiwa sana na maubili yako Mchungaji Mungu wa mbinguni na akubariki sana . Nimefunguliwa kuanzia leo mambo yangu yote yamefunguka kwa Damu ya Yesu Amen
Ee mungu nakuja mbele zako naomba toba na rehema napo enda kumaliza mwaka huu 2024 naomba kibali nikakutumikie vema na ukanifungulie malango ya baraka na amani amina
mtumishi jitahidi kufanya mazoezi ya kuandika jina takatifu ukianza na herufi kubwa au liandike kwa herufi kubwa tupu. Tofauti na hapo unakuwa una maana tofauti. Yesu akutunze.
BWANA YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake tazama tumepewa mamulaka yakukanyaga Inge na nyoka YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake
Asante mwalimu kwa mafundisho. Bwana anapendezewa na wewe. Maana tunazidi kumjua na kumwamini kupitia mafundisho hayo. Jina la Bwana liendelee kutukuzwa
Mafunzo ya msingi sana haya ila bila ya masikio ya roho hutaelewa hata mstari mmoja. Asante mwl Christopher. Mwaka huu umekuwa na mafunzo ya msisitizo sana.
Mungu akuongoze ktk njia zako mtumishi wa Mungu na akuongezee miaka ili uendelee kutuubiria injili barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel from Kenta.
Mungu awatunze Baba na Mama Mwakasege pamoja na watumishi wote. Amen
Ee Mungu najua napitia changamoto nying katika masomo yangu pia na kazi ila 2024 lazima malango yafunguke ..Naamin Mungu wangu utawashangaza wengi 🙏🙏
🎉😊
you yyy y6
Ameen 🙏🏿
Jesus Christ 🙌🏽 🙏🏿 nakuomba 😇🙏🏿
Mungu ni mwema
Mungu akupe miaka mingi mwlm Christopher mwakasege uendelee kutulisha neno lako
AMEN
A year later, nimesikiliza hii video and prayed na Mungu amafungua malango yangu. Mungu ni mwema sana🙏.
Namshukuru Mungu nilienda nimlifungua malango na nimepata kaz 😥jmn Mungu yupo huyu Baba kama alitumwa kuja kusema na mm mwanzo mwisho nilitamani nimfuate nimwbie Asante baba
Mwamini Mungu anaemwamini Mwl. Mwakasege
Hongera endelea kumuombea
Endelea kumwamini Kristo!!!!!
Honger
Naomb nichek
Mafunzo mazito sana haya. Utukufu kwa Mungu aliye hai. Ubarikiwe sana Mwl Mwakasege.
Mungu nakushukuru kunibadirisha kiimani naomba unisaidie nikushike mungu wangu nifungue mapito ninayo yapitia
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai
@@dullawax8799GG
Najiunganisha na hii madhabau ya huyu mtume wako bwana kila madhabau nilizounganishwa nazo kwakujua au kwakutokujua ikavunjwe na hii madhabau ya mtumishi wako AMEN
Amen mungu atufungue vifungo vyote tulivyofungwa mimi nafamilia yangu kwa jina la yesu
Ameen 🙏🏿
Amen
Amina mtumishi naomba kufungiluliwa
Amen
Asante Mungu kwaajili ya maisha ya mtumishi wako, mwl. Christopher Mwakasege.
Sifa na utukufu ni vya kwako maana unastahili.
❤❤❤❤
Hapana sifa na utukufu ni kwa Mungu aliyempa hekima na huduma ya ualimu
Amen nimebarikiwa sana na maubili yako Mchungaji Mungu wa mbinguni na akubariki sana . Nimefunguliwa kuanzia leo mambo yangu yote yamefunguka kwa Damu ya Yesu Amen
Asante sana Mwalimu Christopher Mwakasege.., kunakitu nimepata leo.
Mwenyenzi Mungu Azidi Kuibariki Huduma yako ya Mana!!!!!!!
Asante yesu kwa neema na ukuu wako🙏
Ee mungu nakuja mbele zako naomba toba na rehema napo enda kumaliza mwaka huu 2024 naomba kibali nikakutumikie vema na ukanifungulie malango ya baraka na amani amina
Malango yangu yamefunguka nimepata kaziii Hallelujah YESU ASANTE, BIASHARA YANGU IMEKUWA MALANGO YA FURSA YAMEFUNGUKA YESU ASANTE,BARIKIWA SANA BABA
Haya ni maneno ya Roho wa Mungu aliye ndani yako Mwal Mwakasege, Barikiwa sana wewe na familia yako kwa ajili ya utukufu wa Mungu
Amen
Emungungoyeye
Amen, ubarikiwe San mtumishi wa MUNGU, Nina Imani nimepata kaz Kwa maombi yako.
Ameen nibarikiwa
Unatumiwa na mungu kwa viwango vya juu sana mwakasege mungu akibariki mteule
mtumishi jitahidi kufanya mazoezi ya kuandika jina takatifu ukianza na herufi kubwa au liandike kwa herufi kubwa tupu. Tofauti na hapo unakuwa una maana tofauti. Yesu akutunze.
Asante mungu kwa neno lako hakika malango yamefunguka kwa jina la yesu🙏
Ubarikiwe na. Mwenyezi Mingu,kwa mafundisho haya.Sema tupone!!!!
Ubarikiwe mtumishi.....Mungu wa mbinguni azidi kufanya kitu ndani yako......
Asante Mtumishi wa Mungu
Baba naomba mungu akubariki sana naomba uniombee kwa sababu ya ndoa yangu shetani anaiaji kuivuluga sina tumaini isipokua ni yeye yesu , amina
Laban chivole from Kenya nimefatilia mafundisho yako toka 2002&has helped me a lot God bless you man of God 🙏
Ahsante Sana Mungu wetu uliye mwema. Ahsante kwa jinsi unavyomtumia Mtumishi wako kwa ajili yetu. Nunakuomba uzidi kumpa neema na kibali
Neno la Mungu ni jipya kila siku asante sana Mtumishi
Mungu akubariki Sana mtumishi, pia ninaomba mungu aniponyee mdogo wangu afunguliwe anaumwa tumbo kwa mda mrefu,ee mwenyezi mungu ninaomba unisikie.
Pole Mungu atamponya
BWANA YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake tazama tumepewa mamulaka yakukanyaga Inge na nyoka YESU amuponye maana hakuna Jambo linalo shindika mbele zake
Ubarikiwe sana nimepata kitu Cha tofauti MUNGU andelee kukupa nguvu ktk huduma hii
Ameni mtumishi wa mungu naomba mungu akamponye mtoto wangu tumbo linamsumbua
Sana naamini atafunguliwa kwa jina la Yesu
Mungu akubariki mtumishi.
Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu.Amen.
MUNGU wangu naomba utuponye mimi na familia yangu watoto wangu wakawe kichwa Amina
Nimebarikiwa sana na mafundisho haya 🙏🏽💯%
Mungu naomba uniondolee roho ya kiburi cha uzima. Nipe kuutafuta uso wako na mengine Nita ongezewa toka kwako
Ameeen napokea roho ya maombi kwa Jina la YESU🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ameen na pokea kufunguliwa kwa malango kwa jina la yesu Ameen
Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.
Nguvu za Giza zimesabaratishwa na,neno lolote linaloinuka kinyume na maisha yetu kuteketea.
Ameen 🙏🏿
Asante kwa mahubiri yako mtumishi naomba uniombee nipate kazi na amani katika ndoa yangu pia mume wangu akombolewe kutoka kwa giza
😂asante kwa mahubiri yako mtumishi niombee nitoke gizani
Najiungamanisha na baraka hii naomba damu ya Yesu inisaidie katika pito langu Mungu nisaidie
Asante mwalimu kwa mafundisho. Bwana anapendezewa na wewe. Maana tunazidi kumjua na kumwamini kupitia mafundisho hayo. Jina la Bwana liendelee kutukuzwa
Mungu akutunze mwalimu mwakasege, kweli wewe ni baraka katikati yetu.
Huyu ndugu ni BARAKA KWA TAIFA
Amina naomba mungu akafungue milango yang ya baraka na kwenye mitihani yang ya necta nifaulu kwa damu ya yesu 🔥
Nifungua malango yote yaliyofungwa na shetani kwa kutumia madhabahu hii kwa jina la YESU 🙏🙏🙏
Mungu fungua maisha yangu popote nilipo fungwa pafunguke nimetesek sana sasa inatosha naitaji kibali chok ili nisitawi kila hatua ninayo piga
Amen. Mwalimu mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu na mtulivu. Ninamshukuru Mungu nafaidika sana kwa mafundisho yake.
Eeeehh mwenyezi mungu najikabizisha mbele zako na hii ibada takatifu
Ameen Mtumishi wa Mungu naomba uniombee Mungu anipe Mume ninaamin Kwa Mungu anapatikana 🤲🤲🙏
Miamba ya Yesu Kristo mmbarikiwe sana napenda sana mahubiri yako na mpakwa mafuta Katunzi .
Asante baba kwa mafundisho matamu kweli kweli mbarikiwe sana. Ammmmeeeen
Ameen
Mungu aendelee kukutumia Mr mishi wa Mungu jimejifunza kitukipya
Ninamkomboa mwanangu Elibariki ktk kila sehemu aliyofungwa na adui. Amen
Mafunzo ya msingi sana haya ila bila ya masikio ya roho hutaelewa hata mstari mmoja. Asante mwl Christopher. Mwaka huu umekuwa na mafunzo ya msisitizo sana.
Thanks lord.
Navuka baba barikiwa sana
Amen Asante yesu
Naomba uwasaidie watoto wetu kutengeneza mahusiano MAZURI na Mungu.
Amina🙏
amina mwalimu Mungu akupe maisha marefu
Amen na kwamini Mungu utafanya zaidi ya mawazo yangu maan wewe Mungu ulinijua toka sija zaliwa ivyo hatima yangu iko kwako Mungu.
Ameni barikiwa mtumishi wa Mungu Kwa Ujumbe wa kutuvusha kwenda hatua nyingine
Barikiwa sana Mwalimu nakuelewa sana🎉🎉🎉🎉🎉
Amen mungu ukabariki malango ya familia yang,watoto wangu na kila nigusalo likabarikiwe
Vitu vingumu sana hivi bila ufahamu wa Mungu hautaelewa,,,Baba Mungu azidi kukutunza
😮
Mungu akuongoze ktk njia zako mtumishi wa Mungu na akuongezee miaka ili uendelee kutuubiria injili barikiwa sana mtumishi wa Mungu Emmanuel from Kenta.
Amina kwa neno lako na amini nitafu nguliwa mungu mbariki mtumishi wako
Amen Mungu akulinde akupe maisha marefu na wajukuu zetu wapate mafundisho ya Kristo kupitia wewe
Eeeeh mwenyezi mungu ninalika damu ya yesu ifunguwe itaji zangu amen
NIMEBARIKIWA SANA NA SOMO HILI,,,,,BWANA YESU ASANTE KWA UTETEZI WAKO JUU YANGU NA UZAO WANGU.... AMEEEEN TENA AMEEEEN
Mungu akutenzecMwalim na mama mlitumikie shauri la Bwana
Amina Hakika nimebarikiwa na Naamini nimefunguliwa kila kifungo kilichokuwa kimenifunga katika Jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏🙏
HALEYUYA
Stell we need your presence dad
Ahsante MUNGU kwa Neno hili, maana umenitendea mambo makuu sana katika maisha yangu
Asante yesu Kwan kumuanda mtoto wako kwaajili yawatanzania na inchi nyingine,
Uyu baba jamn Mungu uendelee. Kumpa miaka mingi
Mungu asante kwa silaha hii umefanya mikononi mwako kuondoa giza nene machini pangu barikiwa sana mtumishi
Nashukuru God Kwa umbali huu amenitoa na ni mbali amenifikisha
Amina mtumishi ubarikiwe sana
najiungamanisha na naombi haya malango yangu yakapate kufunguka niponywe mimi na familia yangu amen
Ubarikiwe mtumishi wa mungu asante kwa ujumbe huu
Najiungamanisha na maombi haya naomba mungu atuondolee vikwazo mimi na familia yangu
Nimebarikiwa Sana na mafundisho.Asante yesu Kwa ajili ya mwalimu wa kiroho uliyetupatia.
Baba Ubarikiwe Sana
Mungu akubariki Mtumishi kwa mafundisho yako mimi Nabarikiwa
Barikiwa mtumishi Kwa kutulisha neno la uzima
Amen 🙏 🙏 🙏 mtumishi wa mungu aki wanielimisha sana kiroho mungu akuzidishie kwa neno zuri
Mungu akubariki mtumishi nina imani kwa mafundisho yako na maombi yako leo nina imani naenda kufuliwa malango niliyofungwa ya kukosa kaz
Mungu ni mwaminifu siku zote
Nashukuru sana Mungu kwa hili somo nimejifunza sana na nimepokea
Mungu akubariki sana mtumishi Mwakasege🇹🇿
Eee Baba mwenyezi muumba wa mbingu na aridhi naleta kwako ombi langu pepo wa chafu hawana mamlaka mbele Yako nisaidie bwana 🙏🙏
Ahsante Mwalm kwa hili somo🙏
Thankyou dear Lord 🙏🙏ntazidi nyenyekea kwako
Najiunganisha na Madhabahu hii mimi na familia tufunguliwe kila vifungo viliyowekwa maishani mwetu vifunguke kwa Jina la Yesu. AMEEEN
Nimebarikiwa kwa Neno Mtumishi
Mungu azidi kuachi roho wa hekima na maarifa kwako amina
Mungu naomba ufungue milango yangu ya fursa au ya Kazi 🤲🙏
Asante MUNGU ulietupatia huyu Baba mwenye utayari mkubwa wa kuokoa roho zetu, tupate wapi tena mtu kama huyu
Nguvu za rohoo mtakatifu zikajae ndani yako mwalimu
Nakupenda sana baba unaongozwa na roho wa Mungu mwenyewe
Nime barikiwa katika jina la Yesu na kumfunga Mumewangu Asitamani Mwanamke mwengine katika jina La Yesu
Hahaahaha
Unamfunga asitamani mwanamke unajuwa unamfunga na ufahamu wake kazi Mipango kila kiti😅
Mwalimu unafundisha Mungu azidi kutufungua masikio ya kiroho tupate kumjua zaidi na zaidi Ubarikiwe sahna🙏
Pastor ubalikiwe sana
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu wajina wangu
Mwali aise hakika nimemuelewa mno hakika afya njema maombi yangu
Naomba mungu mm na familia yangu.ayafungue Maisha yetu ameen
Dah bro thanks so much Asante bhan😊
mungu naomba niondole moyo wamajivuno pamoja na familia yangu linda watoto wangu
Mungu azid kukutumia kwa viwango vikubwa baba
Asante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako
Amen