TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
Вставка
- Опубліковано 9 лип 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
UA-cam : Pastor Daniel Mgogo ua-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Sometimes unaongea tunawaza unaishi nasisi nyumbani kwetu. God continue to bless you and protect you pastor
Mimi dereva kisomo Niko najo mbaka degree lakini kipato ja kwangu udereva , kwa kweli barabara watu husumbua kama wanyama .
Balikiwa mtishi
Mimi ni mwislam ila pastor napenda sana mafundisho yako ❤❤❤
Naomba namba,Nataka kutoa sadaka, maana ni itikio la Imani, nisikiapo Neno la Mungu naimarika sana
yaan unajua kunifrahisha ww nisipokusikia naumwa nakupenda bureee ,mafundisho yako ni hatar wengi tumepona aminaaaaa❤❤❤❤❤❤
Amen kweli,Mungu aliye kuita amekupea na message Pastor wataifa.
Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏🙏🙏
Thank you dad in the Christ it’s true 🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️😇
Tunashkuru sana mungu, kwasababu tunawewe mtandaoni
Asante pastor mimi mwenyewe nafurahia hii mafundisho sana maana mimi huwa najeka mbaka mpavu sikafunjika asantw pastor habari tunaipata mungu akupe ujasiri zaidi
I appreciate to your service in just Amen
Outstanding teaching man of God
Kweli tuko wengi pastor asante Kwa mahu iri mazuri nakupenda Sana umenisaidia na kuniondoa Kwa hatari ya stress.mungu akubariki
MWANADAMU kweli, TAABU kuishi na kiumbe hiki.
Mwenyezi Mungu aondowe stress kwa WOTE wanaolemewa.
Amina
You are the prophet of God
Kwa kweli ubarikiwe Muchungaji na Mungu aku zidishie Mengi . Tuna ku Fuatilia direct in Canada.
Wewe ni mwalimu pia love u
Thanks Prophet🙏
Mtumishi mungu azidi kukupa mahalifa hili tuzidi kujifuza
Ubarikiwe Sana pastor ❤❤❤naipenda mahubiri Yako Leo nimejigunza ukiongea na wabovu utaku nawe ....🙏
Nina barikiwa sana kwa somo Hizo, from Congo DRC 🇨🇩
Ameen hakika kazi yako n njema kwa wengi
Paster wewe uko na mwito wa kufundisha ata kama unaubiri pia uko nakipawa cha mafunzo mzuri sana ubarikiwe sana umenifunza mambo mengi🤝
njoo arusha uda river watu waache dhambi jaman ni wagumu ,tunaomba ututembelee arusha usa river siku moja ni ombi tuuu❤❤❤❤❤
Kweli kabisa mutumishi barikiwa sana keep going ❤❤❤❤❤❤
Ongela sana mtumishi
Man of God you are speaking all the truth may God bless you so much.
ubalikiwe na mungu kwaktufungua vichwa❤❤❤
Asante saana baba mgogo uweunasema yote
Asante baba kwa mafundisho venue busara ukweli mtupu...mungu akupanue zaidi
Asante saana baba yangu Mungu awabariki kweli uwe unasema wakome kwanza
Mchungaji mgogo nakukubali sana unanifundisha sana
Amina kubwa sana pasta,yaani wewe ni mtu wa ajabu sana.Mungu akupe maisha marefu
Nakupenda pastr
Ubarikwe Pastor, safi sana
Mwalimu wa kweli mungu akuzidishie
Asante baba mimi nikokongo
Baba wangu wa kiroho, mungu azidi kukulinda sana. Niko msumbiji❤
Ubarikiwe sana mchungaji
Thanks am touched
Asante sana tena sana.muchungaji kwa mafundisho. tuna kufuta tokeya bunia injini congo
Thanks dady for message
Thank u profet
Amina mtmish wa mungu kuhusu sadaka mungu atajitwalia utkufu wake
Pastor hata kama nimekasirika najikuta nacheka😂tu juu ya mafundisho yako. Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amen nabarikiwa sana na mafundisho yako ya neno la mungu❤
Kwakweli mchungaji upo juu kwa kutuelimisha. Ubarikiwe sana.
Mtumishi ubarikiwe sana kwa utume mahubiri yako yanabariki sana
Mungu akubariki nabarikiwa sana na ujumbe zako.
Ubarikiwe mchungaji Amen .....kenyan
Be blessed pastor👏👏your words helps me alot
Umenena paster
Ujumbe halali kabisa
Nimerizika mchungaji🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇫
Pasta Sisi wenye tuko mbali tunatowa Sana,jiga 2 Ni 4000fc, Congo
Amen
God bless you pastor
Amen ubarikiwe mtumishi ❤❤❤
God bless you
Amen be blessed
God bless 🙏 past
Tunashukuru kweli nakpenda sanaaaaa !!!!
Mtu ambaye Ako Kenya anaeza kutuma sadaka aje?
Napenda sana kukuskiza ila sijawai toa sadaka Kwa kweli🥲
AMEN Ubarikiwe
Mungu akubariki sana
Ameeeen 🙏💯
God b😢 you pasta
Ata mimi nimesaidika Haki ila sijatoa sadaka 😂😂 Amen
Amen balikiwa sana
Barikiwa sana
Barikiwa pasta
Mch.umesema kweli kabisa!
Nakukubali baba wanaokuchukia niwa chawi wandoa hawataki zipone
Nimetasama Hadi mwisho,am from kenya
Aimen
Myaka ishilini uzoefu safi😢
Hakika pastor
Ndio kbs
Ameen postor
Amen amen
Amen Amen
iyo kweli wanao barikiwa ni wengi kuliko hao waliyo katika séminaire
Ndio mgogo
❤
Piya mimi nashukuru
Tuna penda tutowe Sadaka Ila Ila ha tujuwe Tuta tuma namna gani, compte hatujuwe
Pastor sadaka tunaweza kutoa ila tunawasiwasi wa kukufikia kwasababu ya matapeli mitandaoni
Kabisaa
Tunashukuru san pasta
Mchungaji unaongea maisha tunayo yapitia kwenye ndoa zetu mungu akuinue zaidi
Mungo ngo😂😂😂kweli
mtumishi ubarikiwe tu japo sms hizi hazina pa kwenda
Towa number tutowe sadaka 😂😂😂😂😂😂
Ni kweli mwanaume hapendi kelele 😅😅😅
Eti unageuziwa kesi 😂😂😂
Paster mugogo na wewe nikali u nafugua kabisa
Ww n mchungaj wakwel
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hatawengine hawakufate. Sisi tutakufatilia mpaka
Pst uweke MEPS yako
Ubwa mwizi 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂