Mfungwa aachiliwa huru baada ya kukamilisha kifungo cha miaka 24
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2022
- Sababu kuu ya kuwepo kwa magereza humu nchini ni kuhakikisha kuwa yamerekebisha kwa njia ya haki wale wote ambao wametenda uhalifu. Decidelio Murioki hatimaye amekamilisha kifungo chake cha miaka 24 katika jela ya Voi kaunti ya Taita Taveta. Familia yake imempokea vyema tayari kwa maisha mapya.
Waaaah
24 years
Salute to him
Congrats to the wife for waiting all that long for him
We can tell she had loved the guy wengine wetu hata mwaka mmoja n ngumu congrats to the lady
Kuni lazma alipigwa lakini. Hakuna mtu anaweza kaa 24yrs
😁😁😁
@@karizmacharia ukweli Kuni alilamba 😂
@@karizmacharia haina noma
Congratulation brother and yu are strong
Mwenyezi Mungu akuongoze..
Mungu akubariki
Congratulations 👏👏👏👏 bro mungu akupinganie usiku na mchana 24 years jela ni mungu to
Karibu bro ulituwacha na mzee kibaki sasa tuko na mtu wa kushukisha bei ya mfuko wa unga lakini sio unga
God ur God Asante sana
Na ukipata mkeo ameolewa umsamehe tafadhali
Congrats
Wow Congratulations
Thank to God
CONGRATULATIONS LAKINI KUPEMA MUHIMU
Is that so...
Murioki mungu azidi kukuongoza kua mtu mwema.Pongezi Kwa BB ya Murioki ww ni mfano mzuri Kwa wanawake Bora.
Amenona sana
Damn 20+yrs wueeeeeh 💯💯 ALLAH AKBAR
👏👏👏
Wah,nilikuwa na 7yrs class 1 na sai nilimaliza chuo,nina watoto 2.🤔
Am sure mama aliwekwa kuni akingojea mzee but anyway congrat
😂😂😂😂
Bro kwani ilikua mp huku huko strong bana
Karibu kwa selikali ya simba wa kuogelea kwa ziwa na riger. Wengi kenya😂😂
Leo atapewa kama yote na mkewe
🤣😂🤣🤣
Nonesense
😂😂😂hadi iwake moto
@@sylviawambui748 kabisaa
🤓🤓
Aki si huyo mama atatombwa
I like your thinking
😂😂😂
Kama ni ww ukitombwa kilomètre ngpi??😂😂
Njera ya voi 🤣🤣🤣🤣
Nko na flaha mingi😂
Alifugwa nikiwa na miaka mbili
Ziku hizi njera ni mzuri angaria huyu jamaa wahaa
Jela not njeria... Angalia not angralia
@@eunicesang1704 acha kiherehere
@@giggyjackson333😂😂😂😂😂😂
MBONA HAMUTUAMBII MTOTO HATOKI KWA MAKOJOO
.
..DUNIA NI SEMI CIRCLE
.
..UNITED UNITED UNITED
24yrs ??? Uwee crime doesn't pay it's either you lose your life or waste your time in prison
@Raila. Don't be a fool like so called Baba sanitizer
Sasa huyo mama atakipata,kuni itatembea huko,neiba atatushow
Sasa hii ni news 😂😂😂😂
Congrats teach others 24 yrs Ziii joke.
Ametombana matako
MBONA HAMUTUAMBII MTOTO HATOKI KWA MAKOJOO
.
..DUNIA NI SEMI CIRCLE
.
....UNITED UNITED UNITED
Kubaff
MBONA HAMUTUAMBII MTOTO HATOKI KWA MAKOJOO
.
..DUNIA NI SEMI CIRCLE
.
..UNITED UNITED UNITED
Sasa hizi ndio ???