| MAKASISI WABAKAJI | Wasichana wakiri kubakwa na makasisi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 тра 2019
  • Maeneo ya kuabudu ni maeneo yanayofaa kuwa takatifu, maeneo ambayo bila wasiwasi wowote utamruhusu mtoto wako kutembelea wakati wowote. Lakini tafakari haya unapokea taarifa kuwa mtoto wako amenajisiwa na pale unapokimbilia maafisa wanaoshughulika na masuala ya watoto badala ya kukusaidia wanakuambia ushahidi haupo na itabidi umrudishe mtoto wako anajisiwe mara ya pili ili kupata ushahidi. Huyu hapa mwanahabari wetu Purity Mwambia na makala ya maalum ya upekuzi 'makasisi wabakaji' #MakasisiWabakaji
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.com/+CitizenTVKenya
    / citizentvkenya

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @juliuswanjohi2744
    @juliuswanjohi2744 5 років тому +54

    Good job Purity. Probably the only proffesional journalist i recognise in Kenya. Majority choosing to follow politicians around glorifying them.

  • @puritydaudi9752
    @puritydaudi9752 5 років тому +36

    People r hiding behind the name of God but whatever is done in darkness shall be brought in daylight.. You will all pay for this😢😢😢😢

    • @millicentwanini3903
      @millicentwanini3903 Місяць тому

      U4piiiiiiuiiuuiuiuiiiiuiiuiuiiiuiiiuipiuuuuuuuuuuuuiuuuuuputtt5ttu556piiuouuttt000000

  • @oppsinlyf
    @oppsinlyf 5 років тому +100

    Purity mwambia in reporting has really grown up. Kudos

  • @FITNESSJ738
    @FITNESSJ738 5 років тому +49

    purity mwambia the professional journalist we all yearn for

    • @kimberlytv7895
      @kimberlytv7895 5 років тому +2

      People should not take advantage kwa yatima, am very upset with this, coz they know no one to fight for there right

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 років тому +89

    Alhamdulilah, naomba Rais Uhuru Kenyatta awafunge maisha ndani jela, mungu awahifadhi watoto wote InshAllah heri roho yangu yaniuma Sana analia Sana machozi yanitoka😭😭😭

    • @jmeliasshanelle4303
      @jmeliasshanelle4303 5 років тому +3

      Kama kenya hakuna sheria hata Uhuru atafanya nini

    • @oloodavid1785
      @oloodavid1785 5 років тому

      Satan. Jolejo na joroho kumbaff Sana, mbona Uhuru anaacha this fools

    • @muelgit3569
      @muelgit3569 4 роки тому +1

      Uhuru at a hawezi shugulika

    • @oyay2821
      @oyay2821 4 роки тому

      Kwani Uhuru ni hakimu

    • @cytkl
      @cytkl 4 роки тому +1

      Mlevi huyo na bhangi

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 3 роки тому +4

    SubhanaAllah...Nahisi kama Huku Nuru ya Mtume Muhammad (S.A.W) haijafika....

    • @visible7576
      @visible7576 3 роки тому +1

      Huyo mtume Kwanzaa ndo alikua worse ,alioa mtoto wa miaka 6 akamwingilia akiwa miaka 9 ,come on ati nuru ya mtume ,soma vitabu vyenu .

    • @romantiquortiflah615
      @romantiquortiflah615 3 роки тому

      please mind your words Mr cz you don't really understand what you are talking about😐😐ubhanaAllah m

  • @monievincent520
    @monievincent520 5 років тому +42

    This is so painful and unfair!! Where are we heading now??

  • @morgan_biggy9614
    @morgan_biggy9614 5 років тому +73

    Painful and shameful... Nowadays never trust anyone.. Never 😭

  • @alice8005
    @alice8005 5 років тому +49

    That woman needs to be locked up forever.

    • @sumeiya64ali34
      @sumeiya64ali34 3 роки тому

      Yes

    • @bettyabilla4922
      @bettyabilla4922 Рік тому

      She makes me feel ashamed for being a woman, I hope she doesn’t have a daughter, sister,mother ,niece , aunt or any female relativ. Haki she is a devil very heartless may karma catch up with her someday

  • @Sharlen_
    @Sharlen_ 2 роки тому +31

    I truly hope justice was served. An evil society we live in!

  • @sylviajeffa5534
    @sylviajeffa5534 29 днів тому

    How does one get the audacity to touch such innocent kids while Kuna watu hata wako biashara kujiuza...tena wanaapa in Jesus name really.Good job Purity

  • @sweetmama6885
    @sweetmama6885 5 років тому +2

    Washenzi wakubwa hao wanaume. Alafu wanajifanya Mungu, Mungu. Kamata wote funga maisha. Mashetani wa kubwa.

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 років тому +13

    GOOD JOB MTANGAZAJI NA CITTIZEN KWA UJUAMLA

  • @faithmurunga6899
    @faithmurunga6899 4 роки тому +21

    Just knowing of this today. Citizen you can do an update. Justice only happens when such people are followed up. Thank You for sharing this.

  • @Ladypeace12312
    @Ladypeace12312 5 років тому +42

    Two places to avoid in a 2019 and beyond. Church and prison

  • @fraciahnjeri8650
    @fraciahnjeri8650 5 років тому +39

    Ati mtoto abakwe tena😭😭😭who gives such an advice

  • @victa17
    @victa17 4 роки тому +15

    there have always been suspicion on the activities that these kids do in this church during the night in the absence of their parents ..this is just one of the few cases that came out.

  • @ruthbrianna7779
    @ruthbrianna7779 Рік тому +10

    Why does justice take too long to be done to such cases 😪 😫 😒, it's really hurting

  • @paulkaula6695
    @paulkaula6695 Місяць тому +1

    May God rescue this generation 😢

  • @paulkaula6695
    @paulkaula6695 Місяць тому +1

    That senior officer just disappointed the government 😢

  • @willywilson3442
    @willywilson3442 5 років тому +22

    You can cheat human beings but you cant cheat tha ALMIGHTY....
    Ata ukiapa mungu anajua chenye ulitenda

    • @ruthnatasha797
      @ruthnatasha797 3 роки тому

      Mungu mwambie asisimame mbele ya madhabau yako

  • @kelvinonyango1897
    @kelvinonyango1897 5 років тому +29

    Purity you are doing a good job God bless you

  • @kennedymorientes8414
    @kennedymorientes8414 5 років тому +10

    where are we heading as a people. a place of comfort ,refuge and prayer turns out to be a den of evil men preying on young kids. its utterly shameful.

  • @nahime9907
    @nahime9907 5 років тому +8

    Wat goes around comes around...kila mtenda wamwenziwe nawake atatendewa..mungu halali.

  • @shiroannembiru5769
    @shiroannembiru5769 5 років тому +37

    God protect our kids out there #966. May just prevail for this innocent souls.

    • @mateliud26
      @mateliud26 3 роки тому

      You either serve a good who sends child rapists to rape children or you have a god who simply watches and says. ‘’When you are done I’m going to punish you...
      If i could stop a person from raping a child ,i would .That’s the difference btwn me and your god
      :tracie Harris.

    • @denniskasirimo6531
      @denniskasirimo6531 3 роки тому +1

      @@mateliud26 God gave human beings free will. And evil to God includes fornication, adultery, using his name in vain, lying, basically the ten commandments and more. So if he was to stop evil, we would all be dead. Nobody is good only God. How many times have you lied, used his name in vain or done any other sinful act. Next time you wake up in the morning know that despite your evil deeds, remember God still loves you enough to let you, everybody in the world and I live.

  • @kingsam4851
    @kingsam4851 3 роки тому +6

    Purity mwambia congratulation on what you are doing ur the best en keep it up I truly love your job en don't stop

  • @groupmachachari2034
    @groupmachachari2034 5 років тому +5

    Salalahhhh. Masaibu ya wakiristo

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 років тому +8

    God bless you purity yuo are doing a good job

  • @annwambua1882
    @annwambua1882 5 років тому +12

    Trust no one with your child.

  • @gekaraeric9209
    @gekaraeric9209 5 років тому +7

    Nanyonga pastor wallahi....kesi baadae. Nimekasirika sana.

    • @labumua8656
      @labumua8656 3 роки тому

      Wallai hata mm siwesi spear

  • @RitzeeTheExplorer
    @RitzeeTheExplorer 5 років тому +38

    Mungu shuka wewe mwenyewe, usitumane

    • @elizabethsamwel9903
      @elizabethsamwel9903 5 років тому

      😂😂😂 Martin mola ayabwna

    • @omarionshev798
      @omarionshev798 4 роки тому

      You must be so foolish my friend shme on you! 🙊

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 4 роки тому

      Ni jambo la kuhuzunisha. Lakini umenichekesha. Mungu haleti mtume (aliyetumwa) mbaya. Suali la kujiuliza ni - je hawa watume wengine ni wa kweli?!

    • @omarionshev798
      @omarionshev798 4 роки тому

      @@Ali-nl2du kama nani

    • @amirmohamedali7922
      @amirmohamedali7922 4 роки тому

      AstaqfiruAllah

  • @noblechild5652
    @noblechild5652 3 роки тому +2

    SubhanAllah 😭 Kenya yetu yaelekea wapiiii 😭😭

  • @johnwachi1605
    @johnwachi1605 3 роки тому +9

    My God I can't hold my tears 😭😭

  • @janetlupamo8354
    @janetlupamo8354 5 років тому +39

    We pray justice to prevail, Christine is very rude achukuliwe atua pia.

    • @faithligaka7619
      @faithligaka7619 5 років тому +1

      Janet lupamo watoto wa siku hizi ni digital sio kama kitambo, Fanya umalize shughuli yako kwake bora usimmalize, Latter utatambulika atakusema

    • @max_mwangi
      @max_mwangi 5 років тому

      @@faithligaka7619 , Christine ni huyo Children Officer huyo ameambia mtoto arudi abakwe tena ndio apate evidence

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 5 років тому

      Maybe I'm understanding Christine from a different side of the coin... You'll end up taking this Kasisi to court of law with no evidence...

    • @maxmumcyber9308
      @maxmumcyber9308 4 роки тому

      janet

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Рік тому

    Subhanaallah ewemwezi mungu tusitili ana haya yanatokea duniani jamani 💔💔 Makanisa yamekuwa ndio haya aminiki kabisa tena naukimuona mtu anaapa kwa jina la mwenyezi mungu kila MARA ni mtu mbaya sana kumshirikisha mwenyezi mungu kwenye upumbavu wanaofanya

  • @likunda1967
    @likunda1967 5 років тому +3

    God bless you purity and citizen TV

  • @jamoh9
    @jamoh9 2 роки тому +6

    God Show us The right ways🙏

  • @josienagel1693
    @josienagel1693 3 роки тому +5

    Good job purity you're blessed

  • @nashessy9649
    @nashessy9649 Рік тому +2

    God bless you for helping those girls. GOD please have mercy

  • @maggiewambui1112
    @maggiewambui1112 5 років тому +5

    May God bless you purity.

  • @sumeiya64ali34
    @sumeiya64ali34 3 роки тому +7

    It's sad & shameful 🙆 they need to be locked up forever

  • @hellennjoki84
    @hellennjoki84 5 років тому +40

    that why I say no pastor shall lay hands on my children ati ni kubariki ata sambaza this evil powers to them

    • @joycempaze9245
      @joycempaze9245 4 роки тому

      Mbonaa yule Mama hajashikwa?aliyesema mtoto akabbakwe Tena ili ushahid upatikane hao ndio wanaofuga unyama huu kama Tz hata huyo Mama ana kesi yakujibu

  • @user-vp7ud9hv1l
    @user-vp7ud9hv1l 3 місяці тому +1

    I hope that Evil Christine isnt working at the institution, good job purity

  • @OmarAbdulAzeez4714
    @OmarAbdulAzeez4714 4 роки тому

    Officer Ruto..ur good man representing the law before workin in dandora..keep up the good work

  • @elizabethmukaria2509
    @elizabethmukaria2509 5 років тому +6

    Hii dunia inaelekea wapi jameni. 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Irandabale
    @Irandabale 5 років тому +15

    Binadamu tumekuwa wabaya kuliko wanyama wa mwitu! Wazazi, tuwache kuamini Hawa makasisi. Watoto walio dhulumiwa, poleni Sana.,ni sisi Wazazi tuliofeli kabisa

    • @joashkeya4812
      @joashkeya4812 5 років тому

      wee ile siku utakutana na crocodile ukiwa kwa boat ndo utaproof kenye unasema....anyway, binadamu wanaendelea kuharibika zaidi....so sad

  • @agnesmutai8410
    @agnesmutai8410 Рік тому

    Thank you our media houses for bringing this to live God bless you.

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul9409 4 роки тому

    Sifa za kanisa LA uongo ni uzinzi na uuaji.Ukiona kanisa lenye kashifa ya uzinzi kimbia ufe maana Mungu hakai na watu hao.Alivyo baba ndivyo alivyo na mwanae.Utasikia MTU anasema dini ya wazazi wake.Sanamu kibao kanisani na nyumbani,mtaachwa kubakwa.Njooni kwa Yesu acheni ushamba.

  • @abdulwadud9778
    @abdulwadud9778 5 років тому +3

    Linus kaikai comes into this ....when he raised the question on vetting for pastors ...some of them came out threateaning him that he should concentrate on his work and leave things that dont concern him...its high time we start vetting them and get educated people

  • @maggiealf4474
    @maggiealf4474 5 років тому +16

    God have mercy on our children

  • @jaymoo29
    @jaymoo29 2 роки тому +1

    Purity Big up Dadangu Mungu akulinde akupe maisha marefu

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 2 роки тому +1

    Purity mwambia nakupenda dadaangu

  • @carolinanjerimaina3227
    @carolinanjerimaina3227 5 років тому +13

    Trust no-one but love everyone

  • @ramenyaramenya6223
    @ramenyaramenya6223 5 років тому +9

    Christine inafaa ashtakiwe mara moja .

  • @paulinasemindu1292
    @paulinasemindu1292 4 роки тому +2

    dah ww mtqngazaj hua nakukubali sana tena sana good job my😘

  • @ontwekastanley7066
    @ontwekastanley7066 2 роки тому

    Wonderful story to listen and watch

  • @extrovertbernice6425
    @extrovertbernice6425 5 років тому +17

    My goodness this are things that makes my blood boil.

  • @shiphrahblessing284
    @shiphrahblessing284 5 років тому +13

    Lord God protect our kids

  • @alexsavatia5584
    @alexsavatia5584 Рік тому +1

    God have mercy too painful

  • @EsbonNyaome
    @EsbonNyaome 2 місяці тому

    Pole sana

  • @ericmugambi29
    @ericmugambi29 5 років тому +5

    Purity mwambia i lyk the u do your coverage

  • @mercysambi1317
    @mercysambi1317 5 років тому +5

    Well don mwambia nikiwa hapa kwenu laare

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 3 роки тому +1

    See Mungu tusamehe! Wajalie watumishi wako wakujue kweli kweli na waache tabia mbaya ya kishetani ya kunajisi watoto! Wape uwezo na maarifa viongozi na mamlaka za kisheria kutenda haki Bila kupindisha.

  • @paolinandai6768
    @paolinandai6768 3 роки тому +1

    Am out of words, people swear in God's Name .They don't even fear God, His Name and the power in God's Name

  • @euphemiaoyori606
    @euphemiaoyori606 5 років тому +4

    Hello God u still there the same place do something to our kids fight for them let justice prevail please Lord why

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 4 роки тому +5

    Faithless clergy , Lord have mercy on us

  • @azizamaki7860
    @azizamaki7860 3 роки тому +2

    Daaah imenium sanaaa

  • @petromlowe9079
    @petromlowe9079 4 роки тому

    pole sana mama pamoja na binti yako.matendo haya yamekidhili sana katika kanisa hilo.Mungu atusaidie sana.hawa wanauo fanya hayo selikali ishike mkondo wako

  • @niasworld27
    @niasworld27 5 років тому +6

    This is utterly in despecable

  • @cindymbuthia6073
    @cindymbuthia6073 5 років тому +10

    So painful running away to a hyena in the name of kasisi.....😪😪

  • @jmeliasshanelle4303
    @jmeliasshanelle4303 5 років тому

    Mwenyezi Mungu anatwambia tokeni huko kwao maana thambi zao zimekuwa nyingi mpaka zimefika mbinguni. Tokeni msije mkapunishiwa na wao. Mnaenda kufanya nini huko wanafanya upuzi na zile pesa mnazo wapatia za sadaka mkijiacha bila kitu. Ombeeni manyumbani kwenu. Watu wametoka ka hilo kanisa lakini nyinyi Afrika hamtaki kuamka.

  • @Kagwamas
    @Kagwamas 5 років тому

    Surely madam officer!!! Surely!! I hope unalea watoto wako kwa planet haina wanaume..remember no one desires to be an orphan na hii tittle ya orphans kesho kesho watoto wako pia watatusaidia kuibeba....for the this men...i HV no words to describe my disgust "men of God" indeed....!!!! Mscheewwwww!!!

  • @sharleenkate3044
    @sharleenkate3044 5 років тому +7

    Nice work purity kudos 👏.....this are the people who need to be senteced death or life prison

  • @daimavlog
    @daimavlog 5 років тому +3

    😭😭 mtoto arudishwe kufanyiwa unyama dah! Kuwa mtoto yatima ni shida jamani. Hawa wanaume wananini jamani. Wazazi tuongeeni na wanetu maana wanawatisha watoto wasiseme ukweli.

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 5 років тому +1

    Keep it up...purity mwambia

  • @kuyaraagain7036
    @kuyaraagain7036 3 роки тому

    Keep doing good job

  • @OmarAbdulAzeez4714
    @OmarAbdulAzeez4714 4 роки тому +4

    Our court system is very poor needs alot of effectiveness and independence

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 років тому +5

    No words 😭😭😭😭😭😭

  • @daprince7545
    @daprince7545 5 років тому

    Inauma sana mwanaume na nguvu zako waenda lazimisha mtoto mdogo kufanya kitendo Cha mapenzi . Halafu nyinyi wazazi kwanini hamchunguzi Hawa wanaojiita watumishi wa mungu. Mahali alitoka na familia yake iko wapi. Image yeye nimtumishi na hajulikani hata familia yake ndugu ama dadake. Halafu anakua kiongozi wa kanisa . Unakuta wamama wanamuamini mtumishi huyo mpaka wanampea watoto wao ili wafundishwe dini .

  • @kevohwapipelinetransami4351
    @kevohwapipelinetransami4351 5 років тому +1

    Wah mbaya sana

  • @liennakull6202
    @liennakull6202 5 років тому +5

    Kudos purity ...great work

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 3 роки тому

      Inauma Ila nimecheka et nimempeleka kwachui akuliwe huko haha

  • @terryvlog9695
    @terryvlog9695 5 років тому +7

    Hii ni painful Sana 😭😭😭

  • @charitywambo4156
    @charitywambo4156 Рік тому +2

    These are the days which Jesus said "That the days will come when people will stop going to Jerusalem to seek God but they will worship in the spirit and Truth , People of God be wise.

  • @Larisa_mariana
    @Larisa_mariana 2 місяці тому

    gud job mtangasaji

  • @carolinekimani5039
    @carolinekimani5039 5 років тому +5

    May God intervene and protect our children

  • @idimbarak9455
    @idimbarak9455 5 років тому +4

    Hii tabia hadi lini itakuwa kenya Mara kuku Mara wakasisi hii ni mapepo

  • @jahmalnjambe2205
    @jahmalnjambe2205 Рік тому +1

    watu wa yesu hao..mashetani watu

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 роки тому +1

    Mahali popote mungu yupo ukimuomba anakusikia heri niombe kwanyumba yangu nafamilia yangu

  • @sylviaecke1772
    @sylviaecke1772 5 років тому +14

    Yani mtoto aendlee kunajisiwa,unakula na huyo pastor nini,unataji fimbo haki

  • @collodejesus9901
    @collodejesus9901 5 років тому +81

    Legion maria is not a church but a cult, calling those guys kasisi is wrong!

    • @sharonmwende7956
      @sharonmwende7956 5 років тому +1

      I second You collo

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 5 років тому

      But Collins what's the difference between kasisi and ocults

    • @rowaka9188
      @rowaka9188 5 років тому

      I second you

    • @faizhussein6635
      @faizhussein6635 5 років тому +2

      Not only Legio Maria but all churches.Look at what is going on in Catholic Church

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 5 років тому +2

      @FaizHussein I think it's not only the church as PA say but all these immoral values cuts across all religious groupings... Remember we're putting our trust in men too much.

  • @antonykawawah5951
    @antonykawawah5951 2 місяці тому

    So sad that Purity Mwambia was hunted like a criminal by the criminals she exposed until she had to flee the country to the USA where life is so hard!
    May God Almighty protect and provide for her

  • @stephenmugorucha8291
    @stephenmugorucha8291 3 роки тому +10

    These things are happening in many churches and unfortunately the parents who are worshipping in the same churches are encouraging it because of money the children are given. If the act becomes public and police are informed, they are given money so protects the Church readers and so the the problem continues.

  • @kellykord1070
    @kellykord1070 5 років тому +4

    Mighty God please Lord protect our children always so sad

  • @WinapeZakaria
    @WinapeZakaria Місяць тому

    Life is a melody,

  • @victorkimani3735
    @victorkimani3735 5 років тому +1

    Mtoto amezaliwa,ako na five yrs,DNA (mara mbili)ni wazi kuwa mtoto ni wa 'kasisi' na bado hajafungwa.Yesu kumbuka hawa watoto uwatete kwa haki na ukweli.

  • @tafutatufanane9202
    @tafutatufanane9202 5 років тому +6

    God have mercy 😥😥😥Ooh God My heart is bleeding

  • @florencewilson4821
    @florencewilson4821 5 років тому +19

    This center should be closed with immediate effect. The operators are not professional at all.

    • @johnnyagandwiga2779
      @johnnyagandwiga2779 4 роки тому +1

      If DNA was done and proved the baby is for the pastor what's the judge waiting for to rule out the case. Qatar

  • @immaculatekutto2121
    @immaculatekutto2121 Рік тому

    Ghai mungu tuhurumie ss na dunia nzima.Tafadhali hii kanisa ifungwe katika jina la yesu kristu.hyo mtu Afungwe gerezani.🤔

  • @bancypius6919
    @bancypius6919 2 роки тому +1

    Uyu mbaba mzeeee ivi jinga type 🏹🏹🏹

  • @washingtonlondon9634
    @washingtonlondon9634 5 років тому +8

    Am sorry Kenyans 😢😢😢.