Wakazi wa Mshomoroni wavamiwa na genge lenye silaha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 кві 2024
  • Watu watatu wakiwemo watoto wawili wanauguza majeraha katika eneo la mshomoroni eneo bunge la kisauni kaunti ya Mombasa baada ya kuvamiwa na genge la vijana waliojihami kwa mapanga na silaha butu. Genge hilo la vijana 30 linadaiwa kuteketeza nyumba mbili kabla ya kutoweka usiku wa kuamkia leo.

КОМЕНТАРІ • 43

  • @martinwambua8720
    @martinwambua8720 2 місяці тому +10

    Polisi wa mombasa na wajua vizuri sana, kazi ni kuchukua ongo magweni. Bangi yauzwa mtaa mmoja hapo kongowea adharani, mombasa wale wanauza bangi ata hawafichi kwa sababu wanakula na polisi, hao polisi hadi wanamiliki magwe za kuuzia pombe haramu, vijana wako idle sana mombasa, kuanzia asubui mpaka jioni utawapata mitaani nyuma ya mijengo wakivuta bangi, mombasa yote usalamu umekuwa ukitishiwa sana, kwanza Diani police station, mikindani police station, makupa police station, nyali police station ni ovyo kabisa😢😢😢Diani ata vijana wakishikwa wazazi wao mida ya saa kumi na mbili uwa wamefika na elfu mbili kuwatoa waendelee kuibia watu. Niliishi mombasa na najua haya ni ya kweli, government must do sth. Mombasa is becoming another dandora or kayole little by little.

    • @HusseinAli-fx1ld
      @HusseinAli-fx1ld 2 місяці тому +1

      Bangi sio chanso cha uhalifu. Jambazi anategemea bangi au silaha. Bunduki anatoa wap

  • @prenceamanya
    @prenceamanya 2 місяці тому +12

    Imagine your child being attacked by neighbor A and another neighbor's child is being attacked by neighbor F. Then you decide to go and help the child being attacked by neighbor F. ''They're really on top of things''

    • @Albert-un8eg
      @Albert-un8eg 2 місяці тому

      Why should innocent people killed

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 місяці тому +7

    " Hiyo si wizi/ Ukora tena ni chuki!! Naona siasa ndani! Nimesikia mara nyingi kwamba: Mishomoroni si yetu tena, mkalee anataka kuwa Mca kwetu, biashara nyingi niza watu wa bara!! A very dangerous language/ recipe for violence, na 2027 inangoja!!

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 місяці тому +3

    Poleni! Lakini kama ni vijana wa mtaani chukueni viboko muwatandike

  • @elizabethkaranja570
    @elizabethkaranja570 2 місяці тому +6

    😢😢these kisauni gangs are a menace

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 2 місяці тому +7

    hao magaidi dawa yao ni risasi

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ 2 місяці тому +3

    Kama wamefanya uyo mama ivo mbele ya watoto wadogo aki wauliwe hao vijana fck bana haya ni maonevu imagine hao watoto sai wanajiskiaje

  • @viktoromoding3399
    @viktoromoding3399 2 місяці тому +3

    Waachilie Ahmed Rashid apelekwe coast..afagie hawa watoto

  • @lilianatieno4898
    @lilianatieno4898 2 місяці тому +1

    😢😢 Hawa ni waekwe chini mojamoja,juu even innocent kids will suffer for their sake now 😢😢

  • @kelvinkarani3804
    @kelvinkarani3804 2 місяці тому +2

    Pole sana

  • @georgengugi5197
    @georgengugi5197 2 місяці тому +5

    Incompetent inspector general

    • @EmmanuelOlele
      @EmmanuelOlele 2 місяці тому

      Anajuwa tu kuuwa watu wa ODM wakiwa maandamano.

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 2 місяці тому +2

    Kupunguza maafa ni sheria iwekwe ya kuua wakora wanaosumbua watu hivi

  • @mkaqyar8868
    @mkaqyar8868 2 місяці тому +2

    That is how Haiti choas started

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b 2 місяці тому

      Uuuuuuui I commented yesterday same comment bt different platforms

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij 2 місяці тому +7

    The way things are happening is like thugs have a field day. In Nairobi,if you have not lost your laptop,phone or bag you are very lucky.
    Westlands is worse with the boda boda thugs

  • @Ken_W254
    @Ken_W254 2 місяці тому +1

    Mmeskia alichokisema huyo mama. Wanawajua hao vijana ila wakiwaripoti kwa polisi watakujiwa na hao vijana. Kwa hivo inabidi kimya. Ina maana genge linashirikiana na polisi kufanya uhalifu. Iweje mtu aripoti kwa polisi kuhusu uhalifu mara akujiwe tena na wahalifu wenyewe? Ni Polisi ndo wanataarifu genge mtu aliyewaripoti.

  • @brayo001
    @brayo001 2 місяці тому +2

    Wakifunga shule tu hao watoto wanaanza

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 2 місяці тому +4

    Apa ni marwa ndio aliweza

    • @annewanjiru818
      @annewanjiru818 2 місяці тому +1

      Yaa, by the way Marwa alienda wapi? Mombasa was a great place with security

  • @trigachonse2755
    @trigachonse2755 2 місяці тому +1

    Apo kwa bangi umeharibu ,Wana mix na cozpam ndio wanavuta na vibugizi

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 місяці тому +3

    Kwani GSU wako wapi mbn era ya Uhuru ao vijana walikua wakiekwa Tu Chini one by one

    • @user-sc4fu7wd8i
      @user-sc4fu7wd8i Місяць тому

      sa kama ruto mwenyewe mkora kwanini serikali yake iwe na watu wa ngwana broo like father like son

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 2 місяці тому +1

    Poleni jaman

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 2 місяці тому

    Kenya umeharibiwa na Madawa ya kuleviya na Bangi na pombe halamu, Mihandarati. So Government should do something about this issue.

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 2 місяці тому +1

    Mishomoroni kunakuwaga na 40 brothers kila tribes frm before

  • @goldenbabluuz202
    @goldenbabluuz202 2 місяці тому

    Serikali kuondosha mugokaaa kuletwa mombasa ,we need job not zombies

  • @TomTom-pm8os
    @TomTom-pm8os 2 місяці тому

    Na junda police post iko hapo juu tu

  • @georgegg1079
    @georgegg1079 2 місяці тому +1

    Polisi wanalala

  • @silasobwa8839
    @silasobwa8839 2 місяці тому +2

    Hao ni watoto wenye wamefunga shule hakuna na wanajijuwa

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 2 місяці тому +3

      sio vijana ambao wamefunga shule awa watoto ni wale wako mitaani awa watoto ni hawa wenyeji waungane na sio polisi

    • @luckydubebello1131
      @luckydubebello1131 2 місяці тому

      Kaa hujui mambo na mshomoroni ni 40 brothers frm before ok sio mambo na shule

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 2 місяці тому

      @@luckydubebello1131 40 brother wa nini awana umoja watu wa visauni awa ambao mwawaita 40 brother walikuja maeneo ya kuvuka Feria miaka kumi ilio pita wakambiwa awawezekani mbona watu waliungana waliuliwa kwa dakika 30 wote walikua marehem nao awajakuja wengine mpaka kesho kutwa mbwa hao

  • @jackieshamim3162
    @jackieshamim3162 2 місяці тому

    Koome uko wapi.kwa nini msishike hao vijana na wanajulikana.poleni watu wa kisauni.wababa mshikane watu 20 na polisi tano kila mahali. Mhangamize hao majambazi.waliua shemeji.siku yao itawafikia

  • @benardoenga2876
    @benardoenga2876 2 місяці тому

    Risasi ndio dawa ya wezi

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t 2 місяці тому

    Waswe wakisema majina yao

  • @elphaskiplagat6461
    @elphaskiplagat6461 2 місяці тому

    The problem is a name