Waume Bwege? Wanawake Voi Walalama Hawatimizi Majukumu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 тра 2014
  • Wanawake wasiopungua watano hufika katika afisi za utawala eneo la Voi kila siku kuwaripoti waume zao kwa kushindwa na majukumu ya kinyumbani. Mkuu wa wilaya ya Voi hamasi shivogho amefichua kuwa idadi kubwa ya wanawake hawa ni wale wanaowaripoti waume kwao kwa kosa la kuwa walevi chakari na hata kushindwa kuwatimizia tendo la ndoa.

КОМЕНТАРІ • 58

  • @lovvy854
    @lovvy854 4 роки тому +1

    Mie alhamdulilah namshukuru mola manani pombe niliacha miaka 5 yaliopita na ata nilipokuwa nakunywa nilikua namsugua mamamtoto kilasiku sikua nakosa ata siku moja kwaio tafuteni sababu yengine sio pombee

  • @hilarykwambai5224
    @hilarykwambai5224 5 років тому +3

    I have 2yrs tangu ni wache pombe now days Niko perfect hata nasaidia majirani because I am strong

  • @mlami1101
    @mlami1101 4 роки тому +1

    Njoo western kwa waluyia waape squad no complains at all

  • @grantler1726
    @grantler1726 4 роки тому +1

    I was 15 years old when i first heard such complains from this community! Sad to hear the same 45 years after!

  • @kiruinelson5126
    @kiruinelson5126 5 років тому +5

    wanawake wa voi waitishe backup huku kwetu

  • @janetmwanza4212
    @janetmwanza4212 4 роки тому

    A very serious matter n something must b done to da safe da community

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 2 роки тому +1

    Marriage is by choice period by Steve Irungu Jermaine

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 2 роки тому

    i would ratherlive alone period by steve irungu jermaine

  • @adanletoo2530
    @adanletoo2530 5 років тому +14

    nani alicheka pamoja na mkuu wa wilaya?

  • @dunna1663
    @dunna1663 6 років тому +2

    Wake akikisha mume anakula vizuri ata pombe haitasababisha hiyo shida.

  • @sarahmugoh833
    @sarahmugoh833 7 років тому +1

    mtapatia DC kibarua ngumu haki.

  • @paulkimani8594
    @paulkimani8594 4 роки тому +1

    Nipate mmoja

  • @mmwaapamghambonyi7836
    @mmwaapamghambonyi7836 2 роки тому

    Ukweli ni kwamba uchumi wa voi na taita -taveta kwa jumla uko chini sana ,very difficult to raise a family, apart from government where else is employment ?? ,the main market for farm produce is in mombasa ,all elected leaders need to think outside the box and come up with policies that can change the economy of Taita -County ( Samboja has failed , let us try mwakesi )

  • @flnc801
    @flnc801 4 роки тому +1

    I am looking for work. I am moving to Voi right now.

  • @elijaonyango8620
    @elijaonyango8620 Рік тому

    Wakuje kakamega na kisumu

  • @kennyboy2757
    @kennyboy2757 5 років тому +4

    Waleteni huku Tanzania hao wanawake kama hamuwawezi

  • @salehothman449
    @salehothman449 4 роки тому

    Lawama si pombe pekee! Lakini wengi wao ni wazembe hawataki kujishughulisha, hali wana midomo mikubwa kuwapuuza wenye kujaribu, wapo ambao ni walevi lakini wanatimiza wajibu wao, kwa familia yake.

  • @ommydat4776
    @ommydat4776 7 років тому

    daah mbna mm nna mseto snaa

  • @erickwainaina5708
    @erickwainaina5708 6 років тому +2

    dc awacheka

  •  4 роки тому

    Wakuje Migori
    Ama contacts zitaweza

  • @hilarykwambai5224
    @hilarykwambai5224 5 років тому +1

    Hata Mimi nilisaidia watu was maweni Niko na mtoto pale

  • @muneramuhammad1134
    @muneramuhammad1134 5 років тому

    Huyo DC achekaa chekaa ovyoo tu upuzi

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 2 роки тому

    Its 50/50 kwa majukumu,

  • @gogetter1508
    @gogetter1508 6 років тому +2

    Hahaha. Aiiii aibu kemkem

  • @anthonywanyonyi3451
    @anthonywanyonyi3451 5 років тому +1

    Mbona miraa haijatajwa na ndio calprit mkubwa

  • @ireneassey3685
    @ireneassey3685 4 роки тому

    Akuna lishe bana achana nakusem pombe hawali chakula boro

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 5 років тому

    Nikuje na DJ Afro

  • @florencemzungu2343
    @florencemzungu2343 7 років тому

    oohh my god

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 6 років тому

      mje mnikodi mm huku tz niwashughulikie . wengine tunatafuta wanawake wakufanya nao huko mnawachezea. Nikita huko naweza nikawa nap hata Nia na nikawashughulikia kweli kweli

  • @mmwaapamghambonyi7836
    @mmwaapamghambonyi7836 2 роки тому

    The problem here is not alcohol ,it is poverty

  • @kettymkare6869
    @kettymkare6869 4 роки тому

    Hhhha waume wakitaita mwamalizwa nambangara

  • @amosoluoch9770
    @amosoluoch9770 4 роки тому

    Kwani DC atageuka mabwana zenu?

  • @adidambwana4679
    @adidambwana4679 4 роки тому

    Mutembelee mombasa kiasi mupate dawa na mrudi home

  • @tonnyshillings4433
    @tonnyshillings4433 5 років тому +1

    Hehee... That County Commissioner

  • @hilarykwambai5224
    @hilarykwambai5224 5 років тому

    Pombe voi Kwanza maweni na tanzania

  • @aboodal7127
    @aboodal7127 4 роки тому

    Wanaume Wnataka usaidizi voi.niko tayari

  • @ayubumjaila700
    @ayubumjaila700 4 роки тому

    TBC

  • @justustheboy1940
    @justustheboy1940 4 роки тому

    Niko apa kum kama mpango wa kando

  • @abdubboru860
    @abdubboru860 4 роки тому

    Aibu ya pombe

  • @courtnetwelch7294
    @courtnetwelch7294 7 років тому +2

    you cannot force the animal 2 drink H2o

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 4 роки тому

    Waache wakunuwe naja mimi

  • @beckybeto4328
    @beckybeto4328 7 років тому +8

    Hahahaha

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 5 років тому +3

    wapeleken home pemba mtarudi mmezikamata mikononi mwenu izo

  • @abdubboru860
    @abdubboru860 4 роки тому

    Aibu ya pombe