Mtu mmoja amefariki kwenye ajali eneo la Kisauni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 тра 2024
  • Mtu mmoja amefariki baada ya gari la kubeba maji kugongana na bodaboda katika eneo la VOK, Kisauni, kaunti ya Mombasa. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, hii sio ajali ya kwanza kutokea eneo hilo. Wakazi sasa wanaitaka serikali kuu kuharakisha ujenzi na upanuzi wa barabara hiyo kando na kuwekwa matuta.

КОМЕНТАРІ • 18

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 20 днів тому +4

    Woooy poleni sana vok ni mtaa wangu

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 20 днів тому +3

    So sad,. Rip... Barabara ipanuliwe hiyo...

  • @hidayaalisaid1083
    @hidayaalisaid1083 20 днів тому +2

    Inna lillah wa inna illahi rajiun Allah amrehemu

  • @user-wn5rm3lp9h
    @user-wn5rm3lp9h 20 днів тому +3

    Sad Rip

  • @faitheshiwani5651
    @faitheshiwani5651 20 днів тому +3

    Mbisy caught me off 😅😅😅

    • @bollotoqwine6921
      @bollotoqwine6921 19 днів тому

      🤣🤣I rushed to the comments to see who is reading from the same page as I.

  • @worrylesstv
    @worrylesstv 20 днів тому +1

    Alafu wale mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂

  • @paulgitau6055
    @paulgitau6055 20 днів тому +4

    Why are boda boda ride so reckless.

    • @daprince7545
      @daprince7545 20 днів тому +2

      Can u watch it again and hear what causes the accident. Because the report is aloud and clear

    • @nassernasser1457
      @nassernasser1457 20 днів тому

      Wako njaa na pengine Wana rush for 50bob

  • @worrylesstv
    @worrylesstv 20 днів тому +1

    Alafu please Wala mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂

  • @jacklinezombo5806
    @jacklinezombo5806 20 днів тому +1

    Mungu wangu

  • @Ratemofam
    @Ratemofam 20 днів тому +2

    Mbusy kweli😂

  • @eriksenmwenda2262
    @eriksenmwenda2262 20 днів тому +2

    Utaskia wakisema ni muguka🫤🫤

  • @msuzann6005
    @msuzann6005 20 днів тому

    Bodaboda are extremely reckless

  • @majidabdul-wg8ww
    @majidabdul-wg8ww 20 днів тому

    Abobo nakuona mtetezi😅😊

  • @musaomar4184
    @musaomar4184 20 днів тому

    Vok ni nyali sio kisauni toeni habari za uhakika