WEWE BWANA NGUVU ZANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 156

  • @salomemahembega9420
    @salomemahembega9420 4 роки тому +2

    Dah, hongera kwa kazi nzuri wimbo huu wa wewe Bwana Nguvu zangu unanitoa machozi nikiuskiliza hasa nikiwa katika nyakati za huzuni pale ninaposongwa na mazito moyoni na ninapoyatafakari maneno hayo yanayosindikizwa na Melody tamu iliyo sanifiwa vema bas napata Nguvu mpya,. Hakika kuimba vizuri ni kusali mara mbilimbarikiwe Sana na Mungu awaongezee maarifa zaidi Kila iitwapo leo🙏🙏🙏

  • @uldawango4047
    @uldawango4047 4 роки тому +2

    Hongera sana Ray Ufunguo kwa nyimbo zako pamoja na huu pia. Huu wimbo nimeusilkiliza kama mara 50 hivi, naupenda

  • @josephjmapendo4488
    @josephjmapendo4488 4 роки тому +3

    A wonderful work. Mungu na apokee sifa na utukufu kutoka kwa walio wa sura na mfano wake. Am sooooo blessed when I listen the song. Kweli hivi ni vinanda vya mbinguni hapa duniani.

  • @KahabiZeChaka
    @KahabiZeChaka 3 роки тому

    Hongereni sana kwa kazi nzuri na iliyotumika. Mwenyezi MUNGU azidi kuwabariki zaidi na zaidi. Mko juu sana.

  • @johnmsuya6320
    @johnmsuya6320 5 років тому +1

    Hongereni Sana sana Masista wa Grail
    Nimekuwa nausikia Wimbo huu kupitia Radio Mwangaza - Dodoma na nilikuwa natafuta jinsi ya kupata wimbo wenyewe.
    Ni wimbo wa unyenyekevu na wenye kutafakarisha. Dah!!!!!! Wimbo huu unanitach mno.

  • @michaelmuimi9811
    @michaelmuimi9811 5 років тому +3

    Hongereni masista wa the GRAIL,wimbo ni mtamu tu sana,
    mashairi yameimbwa kwa ustadi mkubwa, nayanasikiza mara kwa mara yatuliza roho kweli kweli.
    i really love the album at large.
    Big ups Mwalimu Ray ufunguo kazi yako iko imara twakubali.

  • @samuelmule1886
    @samuelmule1886 3 роки тому +3

    ^^^^"NA MWOKOZI WANGU"-----"FURAHINI, NA KUSHANGILIA, TUMWIMBIE SIFA, KWA KUWA NI MWEMA,PIGENI KELELE ZA SHANGWE ENYI MCHAO, ***YANIGUSA SANA AMINA

  • @charlesswai66
    @charlesswai66 5 років тому +2

    Mwalimu wangu tumain swai hongera sana kwa kupiga kinanda kwa utulivu mkubwa unanikumbusha mbal sana mwalimu

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 4 роки тому +2

    Wewe Bwana nguvu zangu
    Asante yesu kwa pumzi kila iitwapo leo. Mbarikiwe sana masista kwa wimbo mzuri

  • @annambokaanatoli9700
    @annambokaanatoli9700 5 років тому +3

    Asanteni saana wapendwa huu ndio uimbaji tunaotamani kwa kwaya zetu nyimbo TAFAKARISHI NA UNYENYEKEVU.
    Asante sana mpiga kinanda Swai Mungu akubariki na kazi ya mikono yako. Mt. Secilia msimamizi wa waimbaji akufunike na hasa kipaji chako. AMINA

    • @inocentmkude8712
      @inocentmkude8712 3 роки тому

      MSHUKURUNI BWANA KWAKUA NI MWEMA MAANA FADHIRI ZAKE NI ZA MILELE.

  • @redemptanyaki6381
    @redemptanyaki6381 5 років тому +9

    Hongereni saaaana kwa utume,Mungu azidi wapa nguvu na uwezo mkubwa Wa kumuabudu na kuinjilisha.Hongera st Genofeva

    • @benprince1212
      @benprince1212 3 роки тому

      dunno if you guys cares but if you guys are stoned like me atm you can stream pretty much all the new movies and series on instaflixxer. Been streaming with my girlfriend for the last months xD

    • @byronaarav2169
      @byronaarav2169 3 роки тому

      @Ben Prince Yea, been using instaflixxer for years myself =)

    • @keatonjoey3543
      @keatonjoey3543 3 роки тому

      @Ben Prince definitely, have been watching on instaflixxer for months myself =)

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 5 років тому +3

    Hongera sana RAJO uinjilishaji wako unatuweka karibu Mwenyezi Mungu,ubarikiwe sana.

  • @ceciliamrita6220
    @ceciliamrita6220 6 місяців тому

    Soooo nice. Sichoki kuwasililiza wadogo zangu. Soo beautiful and amazing voice

  • @renaldapeter9466
    @renaldapeter9466 3 роки тому +1

    Big up wana Grail hakika huu wimbo unanitia nguvu hasa pale ninapokuwa nimekosa matumaini unanikumbusha kuwa Mungu ndie nguvu yangu na huwa naimarika tena!Mungu awabariki sana

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 3 роки тому +1

    Mshukuruni bwana kwakuwa nimwema kwamaana fadhili zake nizamilele huo ubeti umenikumbusha mbali

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 5 років тому +1

    HONGERENI SANA DADA ZETU. MUNGU AWAPE NGUVU YA KUSONGA MBELE, NA UTUMR WENU.

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 5 років тому +3

    Oooh!!!hongeren sana Dada zetu kwa saut nzur na wimbo wenye tafakar.nawatakia maandaliz mazur na shereh njema ya jubile yenu(Br.Jude Thaddeus)

  • @maryodjosephat1237
    @maryodjosephat1237 4 роки тому +1

    nawapenda mpaka naumwa!Mwenyezi Mungu adizi kuwaimarisha ktk utume wenu

  • @devothawanna4194
    @devothawanna4194 5 років тому +2

    Hongereni kwa wimbo mzuri, umenibariki sana, napenda kuusikiliza muda wote

  • @selemanmazigwa7673
    @selemanmazigwa7673 5 років тому +4

    Hongereni sana masista kwa nyimbo yenye tafakari nzuri pia Uimbaji wa unyenyekevu ...
    Mbarikiwe sana Amina

  • @lucytarimo8295
    @lucytarimo8295 3 роки тому +1

    Hongereni sana masista nabarikiwa pia kaka Ray hongera

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante sana Lucy

  • @gabrielmikindo4765
    @gabrielmikindo4765 3 роки тому

    Nilipoondokewa na mwana wangu nikadhihakiwa na kukejeliwa na watu wa karibu yangu, nafarijika sana kuongea na Mungu kupitia utume kwa njia ya wimbo huu, AWABARIKI BABA WA MBINGUNI. ASANTENI SANA

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Pole sana Gabriel.

  • @fulugutumadoja2360
    @fulugutumadoja2360 5 років тому +4

    Hongereni sanaa kwa utume mtukufu wenye kujawa na jumbe nzuri na tafakali nzuri, i have enjoyed for sure.

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 5 років тому +1

    Hongera kwa producer,masista hongereni kwa shangwela ya miaka 50 hongereni pia kwa uimbaji mzuri na asanteni kwa ujumbe murua.Mzidi kubarikiwa na kudumu katika kuhudumu shambani mwa bwana kupitia utume huo

  • @lucianohmsabila9636
    @lucianohmsabila9636 5 років тому +1

    Wewe Ray unachanganya watu,kumbe uko hivo,sarute to you my Brother as well as organist big up.

  • @emmanuelmarko8776
    @emmanuelmarko8776 5 років тому +2

    Congratulations kwa uinjilishaji mzuri mungu awabariki sana nawatakieni jubilei njema by marcos Emmanuel

  • @edithtemu9606
    @edithtemu9606 5 років тому +1

    Huu wimbo umenibariki Sana, hongereni nyote

  • @mariammkusa1839
    @mariammkusa1839 3 роки тому

    Mungu awabariki sana kwa wasikilizaji wote katika kipindi hiki kitakatifu cha mungu

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 5 років тому +3

    WanaGrail hongereni sana.
    Nyimbo nzuri mno.

  • @paschaldionisi1214
    @paschaldionisi1214 5 років тому +1

    Hongereni sana mama zangu kwa utume uliotukuka
    Mungu awazidishie kila neema na baraka mzidi kudumu katika utume wenu kwa Taifa la Mungu

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 2 роки тому

    Hongereni kwa wimbo mzuri, sitachoka kuusikiliza, hakika Bwana ni nguvu zangu, jabali langu na Mwokozi wangu. Be blessed all🙏

  • @carolykiplimo392
    @carolykiplimo392 5 років тому +4

    hongera sana rajo good song and very impressive and strengthening our faith amen

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 5 років тому +1

    NIMEMWONA DADA IMELDA , HONGERA SANA MAMA KWA KUJITOA KIMWILI NA KIROHO

  • @beatriceshirima6620
    @beatriceshirima6620 5 років тому +1

    Hongereni Sana Mungu awabariki kazi nzuri sana wimbo hauishi hamu kuusikiliza

  • @sesiliamanji3912
    @sesiliamanji3912 Рік тому

    Wimbo mzuri Sana umenibariki👏👏🙏

  • @graciousbaligumya2381
    @graciousbaligumya2381 5 років тому +2

    Hongera kaka Ray kwa tungo yenye fukuto rohoni napia hongera Rajo kwa production, go on brother

  • @constanciamagige454
    @constanciamagige454 2 роки тому

    Sofa Kwa Bwana peke akee..lakin tcha Ray Ufunguo ana nyimbo nzuri sanaa

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 5 років тому

    kilimanjaro Mwanga kisekibaha......bado nawapenda sana salam kwa st.Aquilline

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 4 роки тому +1

    Mungu awabariki Waimbaji wote kwa Wimbo huu mzuri wenye tafakari ya kina.

  • @jacintherbekker332
    @jacintherbekker332 4 роки тому +1

    Hongereni Sana Masister kwa kuimba vizuri Mungu Awabariki sana.

  • @benedictalucian7026
    @benedictalucian7026 4 роки тому +2

    Congratulations saan, Mwenyez Mungu aendelee kuwatunza daima..See u my headgirl from Ifunda girls( Sr Sarah)

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 5 років тому +2

    Kweli haiishi hamu kusikiliza Mungu awabariki sana kwa uinjilishaji huo

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 5 років тому +2

    Hongereni Masista kwa uimbaji mzuri endeleeni na utume wa bwana kwa uaminifu mkubwa.

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 5 років тому +3

    Ray uko juu tu sana nipo hapa Nairobi Kenya

  • @josephkobelo5579
    @josephkobelo5579 4 роки тому +2

    Mungu wabariki hawa watawa na mtunzi

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 років тому +3

    Nice nice. Hongereni sana marafiki zangu katika Bwana. Hapo msalimieni rafiki yangu mpenzi na Wifi yangu the late Sr Regina Simon.

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe 2 роки тому

    Huu wimbo 🔥🔥🔥🔥🔥👏🏽.Bwana ni mwokozi wangu.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 5 років тому +2

    Sauti inasikika vizuri ( sio hewa tupu) maneno yanasikika, vyombo vipo poa sana kazi safi sana

  • @stevederich
    @stevederich 5 років тому +3

    Ray ufunguo Ahsante, Barikiwa sana

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 4 роки тому +1

    Na mwokozi waaaangu
    Ee Mungu nakushukuru kwa ajili ya hawa wana kwaya.
    Wananibariki sana.

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому

      Thank you Jennifer. Barikiwa sana.

    • @jennifermlingi4632
      @jennifermlingi4632 4 роки тому

      @@rajopro Amina Amina
      Tubarikiwe sote

  • @rebinatharunyoro9588
    @rebinatharunyoro9588 5 років тому +1

    Asanteni sana hadi natamani nami niimbe nanyi

  • @livinusjacob4729
    @livinusjacob4729 5 років тому

    hakika mnanifanya nijisikie Niko pepon wakati mwingine nikikaa kuusikiliza wimbo huu mpaka najisahau kua bad nipo duniani nawaombea uimbaji wenu uendane na matendo yenu ili muone utukufu wa mungu ulivo na tumaini La mwito wake jinsi lilivo Be blessed

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 5 років тому +1

    Hakika umefanya kazi tamu Rajo. Kipaji chako cha pekee sana bro

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 5 років тому +4

    Inanikumbusha uimbaji wa zamani, natamani kuimba tena

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 4 роки тому +2

    Sauti za malaika, God bless you

  • @StMonicaChoirJuja
    @StMonicaChoirJuja Рік тому

    Bwana ni jabali langu...
    We feel nourished by your beautiful singing 🙏

  • @stellamateru2434
    @stellamateru2434 Рік тому

    Naupenda sana unaleta tafakar ya utulivu

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 5 років тому

    Hongereni Dada zetu na Mama zetu wa kiroho , Mungu awabariki Mmeacha yote Mazuri na Kuamua kufuatana na Mama Bikra Maria.

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 років тому +4

    Love you all. Nimefurahi hadi machozi

  • @emanuelmark7419
    @emanuelmark7419 4 роки тому +1

    Mungu uhimidiwe milele

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 3 роки тому +1

    Nimependa meimba boksi nzuri maneno yote mnayatamuka

  • @revocatusbenezeth2282
    @revocatusbenezeth2282 5 років тому +1

    Mungu awabariki sana ujumbe mzuri ,unyenyekevu uimbaji mzuri

  • @bonaventurasheshe961
    @bonaventurasheshe961 5 років тому +2

    Congratulations dear brothers and sisters in Christ through this strong song with strong message in it. May the Almighty God shower You with blessings and strengthen You on your missions. 아멘. 축합니다.

  • @mariameena5248
    @mariameena5248 5 років тому

    wimbo mzuri na unainjilisha sna pongez kwao mabint masista wa mwanga

  • @elizabethkatikiro5148
    @elizabethkatikiro5148 5 років тому +2

    Ujumbe mzuri Sana hongereni sana

  • @happinesschilongani1635
    @happinesschilongani1635 5 років тому +1

    This is song is so emotional good...congrat rajo production

  • @dessystanley5586
    @dessystanley5586 4 роки тому +1

    amina mungu azid kuwatunza

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 5 років тому

    Mungu awe pamoja nanyi masista na watawa wote kwa ujumla

  • @martinmatias6090
    @martinmatias6090 5 років тому

    mko vizur aise mungu aendelee kuwa bariki katika utume wenu

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 5 років тому +1

    penda sana mabinti wa Mungu mzidi kubalikiwa daima amen.

  • @janem3806
    @janem3806 4 роки тому +1

    Kweli kuimba ni kusali mara mbili

  • @oswaldgerelo477
    @oswaldgerelo477 5 років тому +3

    hongereni saaana Masister

  • @asumpterkirahuka2821
    @asumpterkirahuka2821 4 роки тому

    Mungu awabariki kwa utume

  • @happymgasa3876
    @happymgasa3876 2 роки тому

    Wewe bwana nguvu zangu, niokoe na mtu asie haki

  • @francisgeorge5520
    @francisgeorge5520 5 років тому

    Rajo has never ever led me down. A good one again. I love you people of God.

  • @rosenyabokee2209
    @rosenyabokee2209 3 роки тому +1

    Nice song. May God bless 🙏 you all.

  • @mcdoubleatv306
    @mcdoubleatv306 5 років тому +3

    Naisikiliza na Kuitazama Mara Mbili Mbili

  • @wanjalaopwora4040
    @wanjalaopwora4040 5 років тому +4

    A great song I must say...pongezi

  • @angelangel672
    @angelangel672 5 років тому

    Asante sana mbarikiwe kwa wimbi wenye ujumbe mzuri

  • @josephmagnus6865
    @josephmagnus6865 5 років тому

    Daaah Ray ubarikiwe kwautunzi ulio tukuka

  • @wamuriithi2122
    @wamuriithi2122 5 років тому +2

    That's a nice song. Be blessed

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 3 роки тому

    Najikuta machozi yanatoka tu..😭

  • @nuruluvingo7356
    @nuruluvingo7356 5 років тому +1

    Good work..! Am blessed with it

  • @whitneykimeu9089
    @whitneykimeu9089 5 років тому

    This is a very good song. However it should be sung with radiance of hope because it is a worship song. we should be happy when we sing for our Lord God

  • @getrudamnzele3710
    @getrudamnzele3710 5 років тому

    Hongera kaka kazi nzuri nakuelewasana kwenye nyimbo zako huwa ni nzuri sanaa Mungu akuhifadhi rajo. Pigeni kelele za shangwe enyi mumchao hahahahaaaa

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 роки тому +1

    Wonderfully done.

  • @adelaidashayo372
    @adelaidashayo372 5 років тому

    Hongereni sana kwa ujumbe mzuri

  • @johnjm3858
    @johnjm3858 5 років тому

    Hongereni sana Mmeimba vizuri

  • @adampeterchilumo3934
    @adampeterchilumo3934 4 роки тому +1

    Very good and solemn

  • @kelvingeorge9049
    @kelvingeorge9049 3 роки тому +1

    Naipataje hii dvd niko Moshi mjini

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Nenda pale Moshi book shop Kristo Mfalme utaipata

  • @willey_brandtrue9966
    @willey_brandtrue9966 5 років тому

    Wewe bwana nguvu zangu! Nakupenda sana!

  • @robert.maganya1051
    @robert.maganya1051 5 років тому

    bwana atubariki sote na tudumu ktka upendo wakristu

  • @alphoncebucheye6424
    @alphoncebucheye6424 5 років тому +2

    Hongereni sana

  • @kurwasteven4333
    @kurwasteven4333 5 років тому +3

    safi sana,namuona pacha wangu nimefurahi sana

  • @petervntntan1434
    @petervntntan1434 2 роки тому

    Bwana wewe mungu wangu

  • @melaniachambala675
    @melaniachambala675 Рік тому

    Sauti tamu mpaka unahisi uko mbinguni

  • @alphonsinashiyo9572
    @alphonsinashiyo9572 5 років тому +1

    sauti zimetulia sana jamani daaah

  • @michaelngigi6070
    @michaelngigi6070 5 років тому

    hongera wana grail

  • @makalasaigoni2275
    @makalasaigoni2275 5 років тому

    mbarikiwe xana wapendwa

  • @simonkalinga3187
    @simonkalinga3187 5 років тому

    Kaka Magilu Hongera sana