Salama Jabir afunguka alichokipost kuhusu Ugomvi wa Diamond na Ali Kiba

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 чер 2015
  • Kwenye XXL ya Clouds FM

КОМЕНТАРІ • 58

  • @aurapanorama1634
    @aurapanorama1634 4 роки тому +1

    Last year pia nilimwambia naseeb kwa page yake ya insta bro chunga na hizi team zisije zikakushusha kimziki those days naseeb ilikua akitajwa ana kuja kujibu concetrate wit ur career bro. Nowadays naona amebadilika naseeb. Big up

  • @joanolisa1
    @joanolisa1 9 років тому +8

    This chic is very intelligent!! Big up!!

  • @jumaamaitha2277
    @jumaamaitha2277 9 років тому +10

    Salam uko juuu! Vyenye umewajibu hlo swali MBNA interview dakika kidogo

    • @octagraphy
      @octagraphy  9 років тому

      Jumaa Maitha Nilifanikisha kupata kipande hicho tu!

  • @famenaluck567
    @famenaluck567 7 років тому +7

    Salama Jabir, you are damn perfect! I like you

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 6 років тому +1

    Masha Allah, mm nakupenda sana daa salama kwa busara yako

  • @nadyakisho811
    @nadyakisho811 4 роки тому +3

    ni kweli salam wal so uongo mambo ya timu ndo yanayo fanya wasan wetu kuzid kuwa madui man ukiangalia wote ni wasani wetu ikitokea moja kashuk aibu ni kwetu sisi watanzani mondy kiba wana wakilisha tz mm nawaombea2 amani

  • @cheupegmailcomHhcheupe
    @cheupegmailcomHhcheupe 9 років тому +2

    Hizo team zaaminisha nini? Kiukweli tanzania mnaweza mziki mko sawa, uigizaji mko sawa, lakini acheni mambo ya team peaneni support na inshallah kazi zeni zitakuwa nzuri zaidi.

  • @adijaniyonkuru1968
    @adijaniyonkuru1968 9 років тому +11

    wape ukweli my sister Salama

    • @kwangumakwaia3823
      @kwangumakwaia3823 6 років тому +1

      Kweli salama sisi mashabiki ndio tuna mattz ya kudisi watu, mtu unafikia mpaka unatukana duuuuh kisa Ali kiba na Daimond wakati wenzetu wanapambana na hari zao na sisi tupambane na hari zetu!

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 9 років тому +3

    ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia habari hizi za kuchosha kati ya wasanii hawa ambao wote ni wapenzi kwetu. sasa ni wakati wa kuwakutanisha kwa pamoja kupitia Mkasi au chombo chochote cha habari ili waweze kuzungumza kwa pamoja na kuvunja hili zogo lisilokuwa na mpango. Salama Jaber waalike wote katika Mkasi please. Maana it is too much!!!

  • @rahmasalum6420
    @rahmasalum6420 9 років тому +3

    I just loved everything about you wallah and you are absolutely right

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 4 роки тому

    Uzeee bhana haubishi odi unakuja penda husipende, ila cha msingi nikuacha Good history like salama

  • @bone102
    @bone102 9 років тому +5

    Nakukubali kisenge Salama upo juu

    • @aishambise6529
      @aishambise6529 4 роки тому

      Nilisha.muona.huyu.Dada.Nairobi..jamaninapenda.vayake.sn

  • @shariffamasoud3424
    @shariffamasoud3424 5 років тому +1

    Hii interview imekaa poa sana jabir nakukubal mama

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 6 років тому

    xana 2 jabir nilkuelewaga xana hii interview unawaza kile nachokiwaza cna team mond na kiba wote wanajua nafurahia kazi zao

  • @sumashare
    @sumashare 9 років тому +1

    Umeongea poa sana, hongera sana

  • @maryamelyas9382
    @maryamelyas9382 6 років тому

    love you miss jabir

  • @ananiasangwa7761
    @ananiasangwa7761 9 років тому +2

    Wasanii wa Kibongo acheni vibifu Vya kitoto. Pigeni kazi! Alikiba na Diamond kila siku bifu bifu. Tatizo ni uchanga wa fikra. Ninachoamini kila msanii ana upekee wake wa kipaji. Diamond hawezi akawa Alikiba halikadhalika kwa Alikiba. Mkigombana sana wadogo zenu watachukua fursa zenu. Music is a game you can make at least one attempt to be a superstar but you can't always maintain the consistency of being a superstar of all Decades till termination of your existence from the earth planet.

    • @hukusweden08
      @hukusweden08 4 роки тому

      Anania Sangwa bila Beef mziki huunogi

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 5 років тому

    Safi dada ila mwenye akili anajua ila mshamba lazima alazimeshe kuwa wana ugomvi mm naamini kabsa hawana bifu na Mungu awapiganie kwenye kazi zao na kama kuna hata mmoja wao mwenye kitu moyoni akiachilie ili apate afya ya moyo

  • @danielmnzava6907
    @danielmnzava6907 9 років тому +1

    Ombi langu siku Waite wrote kwenye kipindi chako cha mikasi ili waonye kykomaa kwa kimziki ili na wasanii wengine waige sema salam upo juu

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 7 років тому

    Ila dada unajieleza vizuri....good....

  • @mangenjile6384
    @mangenjile6384 9 років тому +8

    kusema kweli salama ukopoa sana ila nataka kuuliza wewe. na dj ffetr bona mwa fanana

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 5 років тому

      Hujui kufananisha Dogo, na kama wamefanana unadhani ukijibu VP?

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 роки тому +4

    Huyu m.mke nataka nimuoe nimuhifdhishe qur ani arudi kwrnye line

  • @ommyclassictz3098
    @ommyclassictz3098 7 років тому +2

    safi sana ukweli ndo huo

  • @kulwaabdulrahman6196
    @kulwaabdulrahman6196 6 років тому

    pole sana

  • @daeaglechams9182
    @daeaglechams9182 7 років тому

    salma😍😍😍😍😍

  • @pammmoja2429
    @pammmoja2429 6 років тому

    Pole dada

  • @saumus5771
    @saumus5771 8 років тому

    Nicy alivyoongea salama good

  • @fredyfilberty6647
    @fredyfilberty6647 8 років тому

    safi sana salama hawana bifu lolote wanatuzingua tyu

  • @nellyesendi9160
    @nellyesendi9160 6 років тому

    Damn she's hooooooooot

  • @sande6410
    @sande6410 4 роки тому

    Umbea reloaded

  • @rahimstamil7369
    @rahimstamil7369 8 років тому +1

    Yah am imu mondy
    Nimechagua mondy because ndio msanii anaenitia moyo plz lets see him for suvces@diamondplatnumz

  • @elenkilistian4005
    @elenkilistian4005 5 років тому

    Wape ukweli kaka salama

  • @mzeemtopa9131
    @mzeemtopa9131 4 роки тому

    Duh, salama unazeeka mama weee

  • @christde1
    @christde1 6 років тому +1

    girl can i marry u.

  • @abdinassir154
    @abdinassir154 9 років тому

    Lakini mbona diamond akihojiwa anakana kua hawana ugonvi kwa hio anamuogopa ally kiba

  • @leviticuslevis3867
    @leviticuslevis3867 5 років тому

    Yo it boy’s close

  • @freemasonkingdom2847
    @freemasonkingdom2847 6 років тому

    Salama nataka nikuoe

  • @sadypapa530
    @sadypapa530 9 років тому

    Tuache majungu izo kazu tu

  • @bianaramadhani5406
    @bianaramadhani5406 7 років тому

    saf

  • @omsnomsjd4899
    @omsnomsjd4899 6 років тому

    VP.salama.kushapata.bwana.au

  • @augustinowilliam6530
    @augustinowilliam6530 5 років тому

    Sss

  • @josephpilla382
    @josephpilla382 7 років тому

    L.

  • @dingotv382
    @dingotv382 4 роки тому

    d

  • @missesdaniel6686
    @missesdaniel6686 9 років тому +1

    alikiba ana dharau xana xana nilisililiza interview yake ya e fm alichoongea kinaniumiza xana .yaani ukweli haupingiki bwana diamond yuko juu .kazi aliyofanya ni kubwa .alikiba kinachomfanya amchukie diamond ni mafanikio tu aliyoyapata diamond basi

  • @isacanania2543
    @isacanania2543 7 років тому

    h