Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 1
Вставка
- Опубліковано 16 тра 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - Розваги
Nani Kaelewa Hii Point....Siwezi Kujifunza Hesabu Kwenye Biashara Ni Bora Nifunge Nikajifunze Kisha Nafungua Nawaambia Njooni Niwauzie 🔥🔥🔥🔥🔥What The Amazing Quote 👍👍🙏👊👊
nmeeleewa sana aseeee
Duh Nimerudia kama Mara tatu hii interview sikuridhika nikaona bora no download hii kitu ili mwanangu asome kiatu cha mama yako kinanitosha Darasa Asante kwa Darasa naomba Allah akupe kila la kheri class
Wimbo wa darasa sikati tamaa ulinifariji sana katika safari ya maisha yangu,
Nimekuja kusoma degree ya pili, na ninamwaka mmoja tu nimeoa na nina mtoto wa miezi mitano, mshahara ukasimamishwa kwamba ruhusa ya Mimi kwenda masomoni ilitolewa kimakosa. Ikanibidi nitoke nyumba niliyopanga kijitonyama na kupanga chumba mburahati, jirani na madoto bar, siku moja hali mbaya sana kifedha, wakati nashuka daradara tiptop ili nitembee mpaka mburahati, suruali ikachinika kwenye maungio, nikachomolea shati. Sasa nafika home, mtoto anaumwa sana, pesa sina alafu kwenye TV ndio sikati tamaa ya darasa inachezwa EATV,
Aiseeeeee Ngoma Kali sana ileeee
@@leonardcharles3169 Keep Going!
♥️
@@leonardcharles3169 big up sana
Usikate tamaa bro
hyu jamaa anaishi kweny Sanaa na mziki wake Hana skendo respect Sana huyu
"I Know What I Want And I Know How To Get It.." - Darassa
This Is Powerful, May God Bless You Bro...Am Your Number One Fan...
Yeah 🔥🔥
so deep
Huyu jamaa ako na akili sana,, karne hii ya ishirini na moja
Jichukue!! Ndugu!🧠🔬
"No complaints, Mungu ananpenda sana"
Hodari sana nimempenda sana Huyu kaka Ana akili kupita kiasi wow tunahitaji watu kama hawa kumbe Alisoma madrasa God bless you bro Darasa
Ukisikiliza jingle ya Salama kabla kipindi utaelewa nn maana ya kipindi . Hizi ni interview tunataka kusikiliza na kuona kwa ajili ga kujifunza #Darasa👊
Watu wa Hip Hop wengi wanajielewa
he is my exceptional rapa in this country-----he is the best since day one--kila nikisikilizaga nyimbo zake sijawahi kutana na mstari mbovu----keep it up darassa
The best interview ever tokea kwenye hii show! Jamaa anajua sana kuongea
Cheki ya Fid
Napata darasa kutoka kwa darassa ...Thanks Salama ...!!
Dotto Kuhanga nice
Pamoja jamaa anajielewa sana
Mafunzo,ujasili,kujitambua na kupambana usikatetamaa ndani ya hii interview CMG ✊✊✊ PAMOJAA nakubali
+254 tunaipenda darassa yuko real sana ...epic
Darasa taught me something as a young artist!
Nakubali sana
The guy has brain #respect
Darasa anakuaga mgumu sana kufunguka nashangaa leo anafunguka kiasi hiki
Big up salama
What i live about him is that he doesn’t talk ill about his father ✊🏾
salama leo umenifuhisa san kumleta darasaa bado king 👑
He is so talented, he doesn't know. I hope he gets better publicist especially for Kenyan market, his music is easily accepted
Alafu mzee baba darasa umeiva kishenz naona jicho damu . Alafu salama Hana time ya maswali magumu kwako 😄😄😄. I can see salama the way she is rolling her eyes, mouth , white teeths , and beautiful face. Salama your so good fantastic interview more love Allah bless you 🙏🙏🙏
Hii interview bado sijafika mwisho kiangalia lkn imebidi niweke comment kwanza sijawah kufikilia darasa yupo hivi kumbe ni mtu ambae anaweza kufikilia khs kubadilisha mtoto permpers duh big up kwake
darasa natamani ma superstar wetu wawe hivi hata kama umeongea uongoo ila man uko calm saaana aiseee, salama hikik ipindi ningekua na pesa ningedhamini kwa chochote ila one of the best shows........big up
Tunaomba umlete soudy brown nae tumsikilize
Ndo huna pesa sasa
Salama miehuku Oman sijajitunika Bana joto lililoko zaid ya hiyo kitu ya kujifunika, ila ni hivi Asante sana Salama nafurahia mno vipindi vyako hukuwai kuniangushia tokea mkasi mpaka saiz sijui nisemeje sijui hili ni panga ama jembe kama Jina la mkuu wa nchi neno moja likutoshe nakupenda sana mdogo wangu nakukaribisha Oman sikumoja njoo ututembelee jaman😭😭😭
I always appreciate all Darassa's interviews u guy is very tallented...u never let me down...
Nimeipenda sana hii iterview Darasa anaonekeana ni mtu honest sana...
Salama mie nakukubali swaga zako mama na tabasam lako...pia unavohoji ni kiprofesional🤗
MLETE 20% KWENYE SALAMA NA.......
Mwanangu darassa since day one kwenye sikati tamaaa nakuelewaaa mpka wa leooo
Watoto wakalale kuna lugha za kikubwa humu,,, Hio title ni noma,, ,,Dopest introduction lines I have ever seen!!
hahahahahaa
This guy is genius.....ahsante kwa darasa shareef🙏🙌😘😘😘
Big up Salama! huwa najifunza mengi kupitia hiki kipindi chako na maisha ya hawa celebrities Wetu. Umetusaidia kuwajua hawa celebrities wetu ni watu wa aina gani kwa jinsi wanavyojibu maswali. Ila huyu darasa nimempenda zaidi na kujifunza vitu vingi Sana. It's the best interview so far!
Jamaaa anaakili sanaa!afu Hizi interview zinanipa pcha wasani wengi wamelelewa namama zao
Maisha yako Ni sawa na yangu tofauti Ni umaarufu tu
huyu kijana ana akili nyingi sana bless up Salama, bless up Darassa
the best interview huchoki kumsikiliza 😍😍
Ila hiyo beats kwenye background ni nyoso🙏🏽♥️
Sikuwahi kuwaza this guy is this much brave. Am inspired. Nimekuwa fan wako mpya...
Akili kubwa sana aisee, yani hujamlaumu mshuwa kwakusepa and everything,,big up bro 👊👊
Darasa kando na mziki umejaaliwa na akili nyingi sana ,,
Nice Salama Mlete Juma Nature Wanamambo Sana..Aunty Umefanya poa Kumatukia Mr Burudan🎶❤️👐🏻💖🇰🇪
What a humble en smart man! GOD bless u Darasa!🙏
Darasa thank you for sharing your life with us. You are such a humble man and thank you Salama J for sharing his story with us. 🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Amen yaan mim penda sana darasa Nakupenda sana yaan I believe Na wewe akili sana Hata mim sipendi kumlaumu mtu
Bonge ya intervw big up darasa...umeongea point kinomaa
Thank you Ant , Darassa is very smart One.... Other Rappers /Artists, Need to watch and learn from him... from this interview.
Yes the best interview love you salama
Smart business man,Mungu akujalie ufike mbali zaidi na zaidi,to me ya always the Best in East Africa
Baba bora mungu akubariki na uendelee kutupa burudani
Daaah one of the best interview
This interview 🙌 💯🔥
Ongeza bando inaendeleaa😂😂😂
Juzi nimewai nyumbani kuangalia kipindi si adampta ya kingamuzi imeungua aise roho iliniuma sanaa
Darassa you are so smart, nahisi mziki wako haukutesi wala kukupa stress ktk akili. Congrats
Salama uko vizur mnooo interview zangu bora moja ni ya lil ommy ya pili ni hiii wote mko na smile la elfu kmi
uyu jmaa anajilew respect
DARASSA YOU ARE UNDERRATED
can't wait
Cjawahi kuwa Na shaka Na darassa
Wanahiphop wako na IQ kubwaaa sanaaa..Fatilia utakubali.
Nasubiri kukuona goodluck gozbert Sasa
Mkali waoo jibaba LA maneno ya vina
Wow! Wonderful daddy, Rare kind of father:-)
Realest words from the realest KING 🤴
My best artist ever.
what a man big up daaa unamuongelea with a big smile whats love gonna do
Great interview
Nampenda sana kaka darasa yupo vizur
My favourite
I real love this interview....
Kind of emotional speech from de best rapper
CMG noma sana
Akili kubwa Darasa 🙌🏻
Salamaa tunamtaka chid benzi kwenye hcho kiti
Uwakka mzee
My role model CMG broo class💣
The big rap tz nzima sijaona mkali kwako maana unajua sana kucheza na maneno bila hata kupepesa kitu darasa wewe ni noma sana waga nakupenda bule my brother big up
Salama alikua anatabasamu sana wakti darassa anaongea yaani tabasamu balaaa it is like this nigga is killing it
Darassa cmg is something else bro
I see
Huyo ndiyo baba bora hongela darasa
Big love from kenya....ur the bongo hip hop kaka sungura.
I like this guy... Viewing from Kenya..
Dalassa we n noumaaaa kinoma Nouma hongera kwa kunifundisha
So genius
Moja safi
Nzuri sana
Salama is The best entertainment Interviewer in East Africa 🙌🏾🥳
This man is wise ...salute bro
Darasa handsame and very humble i like him
Respect bro napenda interview zako unajua kujieleza na kujibu maswali
Love u guys #salama #darassa
Nmeipenda hiyoo
Very smart man 📍
Sana mzee darassa ujawai kufel
Darasa wewe unajua sana very brilliant
Real talk he's smart #mr burudani #
DARASA NI MFANO WA KUIGWA NA NI MUELEWA. MUNGU AMUONGOZE.
wacha niongeze comment ingine , Darassa ni three people in one person
Darassa's parental situation is the same a mine.
Salama inawezekana 80% ya unaowahoji wanafanya BABA aonekane wakawaida sana au hawajali au wahovyo.
Salama Na...ni show ya kipekee sana..
Darassa ametishaa..
I love you salama
Mbona wanaune wengi hawako na walozaa nao tatizo nn wanaume au wanawake