kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji
Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!
Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!
Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee
that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.
Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.
Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.
alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane
kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.
Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona
kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!
Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine
Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo
Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.
+Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita
Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.
+Brian Swai Yes. He resides in the UK and US. He is a Coowner of Miami MLB Socca Franchise. Pia they have a home in Los Angeles. All his kids are USA Citizens.
dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...
Alikiba Ana mashabiki kidgo ila wanafaida kwake sio wote watapenda wachache wataelewa
small-minded people never stop reminding us of their achievements however small they are. ali kiba is one of those people.
Big up king kiba I like how u have your own principal make use of your talent well
Kweli ww king kiba uko really sana2020
STILL ALI KIBA NDIO BABA YAO
Sikweli bro jagu tena
Tanzania mzima akuna msanii wa kufananisha na kiba
Kivipi yaana kwa uzuri ama kwa kuimba
Unajua nyinyi ndomunachonganixhag unavyo xme hivo mintakata mpaka kexho kwa vigezo vp sasa
mm ndomana nakukubali sana
somo lime eleweka sana kaka.
kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji
ni kweli Ali kiba ako sawa kabisa
.uwezi force mtu afamye chenye roho itaki..tena kila mtu na zs kwaakee
umenene big up bro.nice points.
We love you King 👑
Hongera xna kiba 4 real
Kibaaa kaza butiii bbrooo
I like your speech King Kiba
Jamaa kaongea point ya maana sana,watanzania waache upuuzi wakukosoa ila wafkirie jinsi ya kujiendeleza
simple bro kiba for real
ninapo msikiliza kng kiba kuna vitu najifuza
Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!
Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!
Uko vzur kiba hongera cna bro
kiba it's your decision not a must
Mnao mchukia alikiba hamjui kuwa ndy anajua muziki anasauta yake sio yaku tengeneza daimondi mziki bado sana akasome tena
Saut nzur bila ubunif hawez kwa wcb internationally
Kbsa yani
Nimemsikiza Sana King of bongo music. I salute you
Naku baliiii brodh KING UK vzr
Vizuri sana kiba kwa kujibu vizuri kwan daimond nani
Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee
kwer kabisa
hacheni Aseme yakwake Kwanini matusi hivyo
Alikiba namkubali sana
oh good my brother❤❤🥰🥰🥰🥰🇨🇩💯🌹📞❤️❣️🏆
nachoweza kusema kukuhusu wewe kiba tu
ujisushu Mungu aakuinue angalia mondi sana utaona tofauti ya maongezi yako
beckham anawakilisha usa? hahaa
that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.
Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.
wewe huna hata akili
+Brian Swai ana akili babako
@@brianswai5004 kaongea point xhoboka uxhobokew!!!!
Nakubali mzee wangu
kaka wewe noma tu
Ali kiba napenda saana muziki zako sana! Na iko powa
Nice interview man
nakupenda sana
Kaka safi sana
kingkiba
Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.
Big up kiba
Big up bro
Noma sana
na ndomaana we ni king
David Beckham, United States?
Beckham katoka England anawakilisha England even though anaishi US
Waposti mabwana zako sony
asantasasa
alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane
Safi sana king kiba
congrats umetoka far encrgng!
Sault
Nice
Kweli kabisa
mbona
Ali kiba weee fata lako kwani sio watu wote watakupenda.
kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.
barida king Wang nakuamini
Alikiba unatisha
hahahaaaaaa, khah david beckam whatt???????
alikiba fanya kolabo na diamond itakuwa vzr sna
Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona
mnajifanya mnajua kila kitu sana mamae
Huyu mduanzi angalia haya maneno anavyo yachanganya yeye kamsapoti nani aliyetoka
umetisha bdozen
Mi nakpendagaaa tuuuu broo
hana akili huyu
Wewe unasema hana akili sasa wewe ndio huna akili
Yani unailazimisha yanga imposti simba! itaanzaje kwa mfano
mmmmh
nakupnda unapambana wala huna makuu bro
kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!
He david beckham anawakilisha united states jamaa kilaza
brains ngaugula
acha usenge kwaio we umeona ilo tuuuu
Hata ww kilaza jina la mtu halianzi kwa herufi ndogo
Hahah mna mambo nyie kwamba na yeye kilaza jina la mtu halianzii na herufi ndogo.
Suti bila kipimo yani hatari🤗🤗
ameiba jina la wa2 🤗 Ye baba co yakooooo
Daah ilo swali meshindwa kujibu " POLE"
Mmmmmm
Jamaaa kaongea vizuri sema tz bado ni taifa moja LA Ajabu
Kazi ipo
ALI kiba msanii bora Tz hakuna Zaidi yake
Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine
Mnatuzingua ninyi amna bifu lolote iyo michezo tu mnatuekitia
+mwanaidally we ndo msemaji wa kiba nn
unanikosha mie kichuya wangu king languvu haaaaaaaahh wanakutapikia hatareee naposti zao xaxa bado wataharishaaaaaaaaaaa,,
Hata uspomsuport ila humwez diamond kwanza ni internationally
Nyie wote watanzania wote wanamuziki acheni chuki,wivu,ubinafsi itapendeza sana.
Ali kiba fanya yako no one gives a crap about you...wewe fanya yako na diamond afanye yake..una majivuno mno..kula jeuri yako!!!
Ndo maana diamond kasema tumechoka na makelele yao, waambie waende walete tuzo kama za Mama....
Roho mbaya haijengi kiba badilika
Kuna ck ulishawah kuomba ugali akakunyima???
Umeishaaa umebaki wivu tuuuuu utakufa kisa wivuuuuu Diamond yule yuazidi kuendelea... Macmuga ulijiimbia mwenyewe yamekufika na hata south africa hukuenda halooooooo
Kila mmoja atakufa bibie,usijitoe ufahamu kwa public na usiseme kitu ambacho una uhakika,Kanye mbele usitujazie inzi sie.
Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo
Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.
+Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita
Sasa Kiba mi cjaelewa David Beckham anawakilishaje United States wakati ni muingereza! 😕😕😕
Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.
bekham ni USA
+Brian Swai Yes. He resides in the UK and US. He is a Coowner of Miami MLB Socca Franchise. Pia they have a home in Los Angeles. All his kids are USA Citizens.
Huyo ni fungu la kukosa aka timu majungu
WE MNAFIKI KWANZA HAUTAENDELEA SABABU UNACHUKI MUNGU HAKUPI NG'OOO
dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...
?
Duuuu
ajeeee ndewa
jibu swali brother ukizunguka mbuyu at the end utachora ZERO
As Tanzanians, we must support each other.
Vaa buti la jeje utoke kimziki kunguni ww
X
Shida yakiba anaigaaaaaa saaana
Ameiganini mbona wewe haujielewi
huyu jamaa bwn anabifu hrf cyo mzalendo kbx