Ali Kiba atoa sababu za kutompost Diamond na kumsupport kwenye Tuzo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2015
  • XXL interview on Clouds FM with B Dozen

КОМЕНТАРІ • 182

  • @nelsonyaanmimipittanakukub4842
    @nelsonyaanmimipittanakukub4842 6 років тому +12

    Alikiba Ana mashabiki kidgo ila wanafaida kwake sio wote watapenda wachache wataelewa

  • @shomaryshomary4853
    @shomaryshomary4853 8 років тому +5

    small-minded people never stop reminding us of their achievements however small they are. ali kiba is one of those people.

  • @lizshirusupuu8206
    @lizshirusupuu8206 6 років тому +5

    Big up king kiba I like how u have your own principal make use of your talent well

  • @rashidsalum999
    @rashidsalum999 4 роки тому +3

    Kweli ww king kiba uko really sana2020

  • @davidsmoke2543
    @davidsmoke2543 8 років тому +20

    STILL ALI KIBA NDIO BABA YAO

  • @runnyofficial2808
    @runnyofficial2808 7 років тому +20

    Tanzania mzima akuna msanii wa kufananisha na kiba

    • @hamiskarimu8740
      @hamiskarimu8740 4 роки тому

      Kivipi yaana kwa uzuri ama kwa kuimba

    • @amanpetro6820
      @amanpetro6820 4 роки тому

      Unajua nyinyi ndomunachonganixhag unavyo xme hivo mintakata mpaka kexho kwa vigezo vp sasa

  • @saidissa5511
    @saidissa5511 6 років тому +7

    mm ndomana nakukubali sana

  • @kiambwethedon9537
    @kiambwethedon9537 9 років тому +12

    somo lime eleweka sana kaka.

  • @rosekimaro1930
    @rosekimaro1930 9 років тому +9

    kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji

  • @marrymary4564
    @marrymary4564 8 років тому +7

    ni kweli Ali kiba ako sawa kabisa
    .uwezi force mtu afamye chenye roho itaki..tena kila mtu na zs kwaakee

  • @saidachitechi6677
    @saidachitechi6677 8 років тому +7

    umenene big up bro.nice points.

  • @lennyomwamba01
    @lennyomwamba01 6 років тому +4

    We love you King 👑

  • @bonymsafi7255
    @bonymsafi7255 9 років тому +9

    Hongera xna kiba 4 real

  • @zainabbrouwnzaonab3537
    @zainabbrouwnzaonab3537 9 років тому +13

    Kibaaa kaza butiii bbrooo

  • @gmwachisnakeeyes5680
    @gmwachisnakeeyes5680 7 років тому +3

    I like your speech King Kiba

  • @mohammedkhamis3443
    @mohammedkhamis3443 9 років тому +3

    Jamaa kaongea point ya maana sana,watanzania waache upuuzi wakukosoa ila wafkirie jinsi ya kujiendeleza

  • @kenrayza
    @kenrayza 9 років тому +7

    simple bro kiba for real

  • @emmanuelmipata1013
    @emmanuelmipata1013 5 років тому +6

    ninapo msikiliza kng kiba kuna vitu najifuza

  • @modelegracia8208
    @modelegracia8208 9 років тому +9

    Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!

  • @manallove1
    @manallove1 8 років тому +4

    Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!

  • @giftymadaraka6676
    @giftymadaraka6676 3 роки тому +1

    Uko vzur kiba hongera cna bro

  • @elsielsee1529
    @elsielsee1529 8 років тому +4

    kiba it's your decision not a must

  • @mckidagaa966
    @mckidagaa966 9 років тому +8

    Mnao mchukia alikiba hamjui kuwa ndy anajua muziki anasauta yake sio yaku tengeneza daimondi mziki bado sana akasome tena

  • @teenboy8880
    @teenboy8880 4 роки тому

    Nimemsikiza Sana King of bongo music. I salute you

  • @inobahati2360
    @inobahati2360 5 років тому +2

    Naku baliiii brodh KING UK vzr

  • @martinsbernabentadolaberna3530

    Vizuri sana kiba kwa kujibu vizuri kwan daimond nani

  • @celinemak4486
    @celinemak4486 9 років тому +7

    Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee

  • @ungaemedi6240
    @ungaemedi6240 9 років тому +10

    hacheni Aseme yakwake Kwanini matusi hivyo

  • @saidsalumu8472
    @saidsalumu8472 9 років тому +2

    Alikiba namkubali sana

  • @user-gm8of3pp9b
    @user-gm8of3pp9b Рік тому

    oh good my brother❤❤🥰🥰🥰🥰🇨🇩💯🌹📞❤️❣️🏆

  • @ndigaian6090
    @ndigaian6090 8 років тому +1

    nachoweza kusema kukuhusu wewe kiba tu
    ujisushu Mungu aakuinue angalia mondi sana utaona tofauti ya maongezi yako

  • @davidjohn9538
    @davidjohn9538 9 років тому +8

    beckham anawakilisha usa? hahaa

  • @shomaryshomary4853
    @shomaryshomary4853 8 років тому +3

    that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.

  • @adampowell3560
    @adampowell3560 9 років тому +16

    Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.

  • @kitaleparick8698
    @kitaleparick8698 8 років тому +5

    kaka wewe noma tu

  • @pascalkabange4479
    @pascalkabange4479 8 років тому +6

    Ali kiba napenda saana muziki zako sana! Na iko powa

  • @tenplusmediatz9828
    @tenplusmediatz9828 9 років тому +5

    Nice interview man

  • @sabinaomary3480
    @sabinaomary3480 6 років тому +1

    nakupenda sana

  • @isihakamtaalam2099
    @isihakamtaalam2099 5 років тому +1

    Kaka safi sana

  • @justinkibonge8426
    @justinkibonge8426 5 років тому +1

    kingkiba

  • @officialnatsam
    @officialnatsam 9 років тому +1

    Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.

  • @mahmoudalmeida804
    @mahmoudalmeida804 9 років тому +6

    Big up kiba

  • @rahmayusuf6482
    @rahmayusuf6482 3 роки тому

    Big up bro

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 Рік тому

    Noma sana

  • @youngpozze3431
    @youngpozze3431 5 років тому +1

    na ndomaana we ni king

  • @sophieaden5367
    @sophieaden5367 5 років тому +3

    David Beckham, United States?

  • @marlyncamden
    @marlyncamden 9 років тому +2

    Beckham katoka England anawakilisha England even though anaishi US

  • @husseinc
    @husseinc 8 років тому +2

    Waposti mabwana zako sony

  • @jfourchapembe4347
    @jfourchapembe4347 8 років тому +7

    alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane

  • @lydianyanjera3263
    @lydianyanjera3263 4 роки тому

    Safi sana king kiba

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 8 років тому +2

    congrats umetoka far encrgng!

  • @johngavile5106
    @johngavile5106 5 років тому

    Nice

  • @andreamadeha145
    @andreamadeha145 3 роки тому

    Kweli kabisa

  • @husnaibrahim8127
    @husnaibrahim8127 7 років тому

    mbona

  • @fadhilaramadhan3211
    @fadhilaramadhan3211 8 років тому +1

    Ali kiba weee fata lako kwani sio watu wote watakupenda.

  • @sheluizonola7782
    @sheluizonola7782 6 років тому

    kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.

  • @ramadhansaid6016
    @ramadhansaid6016 4 роки тому +1

    barida king Wang nakuamini

  • @maisarahabibu9221
    @maisarahabibu9221 5 років тому +1

    Alikiba unatisha

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 7 років тому +1

    hahahaaaaaa, khah david beckam whatt???????

  • @nakshmsonya4660
    @nakshmsonya4660 6 років тому

    alikiba fanya kolabo na diamond itakuwa vzr sna

    • @princessplatnum4416
      @princessplatnum4416 4 роки тому

      Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona

  • @aziztz6161
    @aziztz6161 6 років тому

    mnajifanya mnajua kila kitu sana mamae

  • @pizzoforel2451
    @pizzoforel2451 5 років тому +1

    Huyu mduanzi angalia haya maneno anavyo yachanganya yeye kamsapoti nani aliyetoka

  • @charlesmakunga7946
    @charlesmakunga7946 9 років тому

    umetisha bdozen

  • @leilamoses172
    @leilamoses172 4 роки тому

    Mi nakpendagaaa tuuuu broo

  • @brianswai5004
    @brianswai5004 8 років тому +1

    hana akili huyu

    • @michaelpaulo9298
      @michaelpaulo9298 5 років тому

      Wewe unasema hana akili sasa wewe ndio huna akili

  • @judymakundi8910
    @judymakundi8910 7 років тому +6

    Yani unailazimisha yanga imposti simba! itaanzaje kwa mfano

  • @witnessmushi9797
    @witnessmushi9797 8 років тому

    mmmmh

  • @veronicakamnde1170
    @veronicakamnde1170 6 років тому +1

    nakupnda unapambana wala huna makuu bro

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 8 років тому

    kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!

  • @brainsngaugula6075
    @brainsngaugula6075 7 років тому +3

    He david beckham anawakilisha united states jamaa kilaza

    • @ailethalexisonlinetz9587
      @ailethalexisonlinetz9587 6 років тому

      brains ngaugula
      acha usenge kwaio we umeona ilo tuuuu

    • @mwanamwinyimohamed505
      @mwanamwinyimohamed505 5 років тому +1

      Hata ww kilaza jina la mtu halianzi kwa herufi ndogo

    • @leilayzer11
      @leilayzer11 5 років тому +1

      Hahah mna mambo nyie kwamba na yeye kilaza jina la mtu halianzii na herufi ndogo.

  • @iqramiqram5406
    @iqramiqram5406 4 роки тому

    Suti bila kipimo yani hatari🤗🤗

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 років тому +1

    ameiba jina la wa2 🤗 Ye baba co yakooooo

  • @saidrashid1230
    @saidrashid1230 9 років тому +2

    Daah ilo swali meshindwa kujibu " POLE"

  • @jimmydizle2924
    @jimmydizle2924 9 років тому

    Mmmmmm

  • @mwaafricahalisi6446
    @mwaafricahalisi6446 4 роки тому

    Jamaaa kaongea vizuri sema tz bado ni taifa moja LA Ajabu

  • @mohamedabdallah3719
    @mohamedabdallah3719 4 роки тому

    ALI kiba msanii bora Tz hakuna Zaidi yake

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda624 9 років тому

    Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine

  • @abdallahmomba1899
    @abdallahmomba1899 7 років тому +1

    Mnatuzingua ninyi amna bifu lolote iyo michezo tu mnatuekitia

  • @glowrymassawe0713
    @glowrymassawe0713 9 років тому +3

    +mwanaidally we ndo msemaji wa kiba nn

  • @farajakisinda976
    @farajakisinda976 7 років тому

    unanikosha mie kichuya wangu king languvu haaaaaaaahh wanakutapikia hatareee naposti zao xaxa bado wataharishaaaaaaaaaaa,,

  • @mussamalogo5640
    @mussamalogo5640 6 років тому

    Hata uspomsuport ila humwez diamond kwanza ni internationally

  • @zuhurambonde7599
    @zuhurambonde7599 4 роки тому

    Nyie wote watanzania wote wanamuziki acheni chuki,wivu,ubinafsi itapendeza sana.

  • @ndeshijoseph3199
    @ndeshijoseph3199 9 років тому +6

    Ali kiba fanya yako no one gives a crap about you...wewe fanya yako na diamond afanye yake..una majivuno mno..kula jeuri yako!!!

  • @MungaiEveMediaOfficial
    @MungaiEveMediaOfficial 9 років тому

    Ndo maana diamond kasema tumechoka na makelele yao, waambie waende walete tuzo kama za Mama....

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 9 років тому +1

    Roho mbaya haijengi kiba badilika

  • @carolynekhabamba1460
    @carolynekhabamba1460 9 років тому

    Umeishaaa umebaki wivu tuuuuu utakufa kisa wivuuuuu Diamond yule yuazidi kuendelea... Macmuga ulijiimbia mwenyewe yamekufika na hata south africa hukuenda halooooooo

    • @mwanaidialimwayoyo1423
      @mwanaidialimwayoyo1423 9 років тому

      Kila mmoja atakufa bibie,usijitoe ufahamu kwa public na usiseme kitu ambacho una uhakika,Kanye mbele usitujazie inzi sie.

  • @benbrown7360
    @benbrown7360 6 років тому

    Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo

  • @chillahprince3127
    @chillahprince3127 9 років тому

    Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.

    • @saintbuzwagi3759
      @saintbuzwagi3759 8 років тому

      +Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita

  • @aziadarajab4446
    @aziadarajab4446 9 років тому

    Sasa Kiba mi cjaelewa David Beckham anawakilishaje United States wakati ni muingereza! 😕😕😕

    • @mwanaidialimwayoyo1423
      @mwanaidialimwayoyo1423 9 років тому +1

      Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.

  • @brianswai5004
    @brianswai5004 8 років тому

    bekham ni USA

    • @007scoop
      @007scoop 8 років тому +1

      +Brian Swai Yes. He resides in the UK and US. He is a Coowner of Miami MLB Socca Franchise. Pia they have a home in Los Angeles. All his kids are USA Citizens.

  • @wilsonuhenge894
    @wilsonuhenge894 4 роки тому

    Huyo ni fungu la kukosa aka timu majungu

  • @internushkaal-adawy1465
    @internushkaal-adawy1465 9 років тому

    WE MNAFIKI KWANZA HAUTAENDELEA SABABU UNACHUKI MUNGU HAKUPI NG'OOO

  • @conlardmbatina9588
    @conlardmbatina9588 8 років тому

    dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...

  • @vedastosimon2440
    @vedastosimon2440 4 роки тому

    ?

  • @ndewakisaka9388
    @ndewakisaka9388 8 років тому

    Duuuu

  • @emmanuelshemweta3012
    @emmanuelshemweta3012 8 років тому

    jibu swali brother ukizunguka mbuyu at the end utachora ZERO
    As Tanzanians, we must support each other.

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 4 роки тому

    Vaa buti la jeje utoke kimziki kunguni ww

  • @jackiemelabu8037
    @jackiemelabu8037 2 роки тому

    X

  • @arnoldyanthony1733
    @arnoldyanthony1733 8 років тому

    Shida yakiba anaigaaaaaa saaana

  • @josephmwangomo9404
    @josephmwangomo9404 6 років тому

    huyu jamaa bwn anabifu hrf cyo mzalendo kbx