VIDEO: TAMKO la ALIKIBA 'Sina UGOMVI na DIAMOND/ Ampa SIFA hizi
Вставка
- Опубліковано 7 лис 2019
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- - Розваги
Dahhh Mie sina Team ila Ali kiba Genious kwa jibu ilo la Pensel Yani duuhh nouma
Kiba wetu anajitambua
kiba love u
Safiiiii sanaaaa kiba
Daah we kaka unahekima sana mungu akuongoze ktk muziki wako
Kamaunamkubali mfalme gonga like
*_king kiba 4really tuna jibu kifalme yaani_*
Team kiba kama tuko pamoja comment yeee babaaa
Yeee babaaaaaaa😊😊😊
Yeee babaaa
Yeeeee babaaaaa
Mature response from Alikiba. I believe the guy was sent to interfere with the press conference. Kiba Ana akili iliyokomaa
Kweli kabisa.
Nooo....it was planned by Alikiba so that he can explain it very well.
Sio kweli kwamba katumwa., ts very trivial., very weak trick., yawezekana ni shabiki tu kaamua., bt amejibiwa kiustaarabu sana., at last Kiba ameongea fact, ameongea ukweli., hawana bifu., ila wana malengo tofauti., na yy anataka asimame afikie lengo lake, sio kupitia mgongo wa mafanikio ya mwenzie., thats normal., its wat he believes and thus he will achieve
Yer am so proud of him he is problem solver
Heshima zako king 👑
mozambique tunakujuwa vile vile king kiba asante sana muito obrigado star usiovuka mipaka una tatu wala kipuli na unajuwa allah yupo mbeleyako na kuna maisha ya badae dunia ni njia tu. 👑 kiba 👑 music
goooooooooood bro umenena aseee big up ulipo
Kiba handsome men brother 💯 iko very good and thx kwanyimbo yako cuz umetutowa hayaa wewe mndo baba lao akuna hinzi atakufikiya kimziki know the my brother support tunakupa my braza keep up now
Watu wengne bana kaaaah kamenikeraaa😏😏Najivunia Kukupenda MykingYeebabaaaaa Lets Say It TeamKibaa YEEEBABAAAAAAA✌👌👏👏👏
Yooh njoo yusikiliza wimbo wake mshumaa
ubalikiwe sana king kwakz yako nzr mungu akupe wepes unaweza sana
Inshallah MW/ mungu akuzidishie baraka tele na pia akuzidishie kila hatua unayopitia ishallah king kiba🙏🏻🙏🏻
Huna heleni wala kipuli wala tatoo lkn ni star
Kweli kabisa Mimi si shabiki Wa bongo fleva ila namkubali sana Alikiba kwani anaangalia maadili sana
Wala hasuki nywele
Huyu ndo kioo cha jamiii
Ila tabia zake Chafu
King kiba 4realy love u big up inshallah 💕💞💓💖😍😍😍
Well done my king that's why am team kiba forever no matter what.
Me too
Tumewakwepa 😂😂😂👋🏃♂️🏃♂️
Safi Sana King.
nakupenda kiba unabusara sana
Yeeeeeebaba,👏👏 MORE FIREEEEEEE 💥💥💥💥💥
🤣🤣😂😂 jembe nime kuku bali sana Tem mondi. Tujuane woyoooooo simbaaaaaa tuna kupendaaaaa tuonyeshee maajabuuuuuuuuuuu
Wewe nikijana uliyelerewa ktk familia iliyojaamaadili🙏🙏🙏
KigangaMdohi Mjukuu
Kwl maadili mazuri ni kunyoa kiduku
u
nakukubali sana bro
😂😂😂😂😂😂 daaaah!!! Ati nmeleta penseli wapi +254 likes hii imeweza 🙌🙌🙌🙌🙌
Get stronger broo and keep it up life still goes on,, unajua xanaaaaa
I support from DR Congo. You're king bro
😃😃😃😃😃😃 Bongo nyoso jamaa kamletea penseli 😄😄😄
Dogo kama katumwa aiseeee, vilasta kma utambi wa chemrii,
Kiba 4 life
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Nyoko wew acha kuumiz Mbav za watu😂😂😂
Tuliza tako ulimtuma ww
Rama Haji , njooooni huku mwenye tambi zake kajitokeza
Pamoja brooooo salute 👨🎓
that was very wise Ali❤️
Vp mofaya
Every person has his way of trending ..sasa huyo team diamond alienda kwa alikiba kufanya nn,
Ndo hapo sasa, kwa nn kaenda
Maswali meng halafu hatupat majibu kwa nn kapeleka pensel? Km hajatumwa huyu
Namkubali sanaaa kibaaaa jomon
Clouds wako bize na Konde boy, Eatv iko na Alikiba, Wcb iko na Diamond. Wacha tuone nani baba yao
You are the best bro proud to have you
Mungu akutunze my king ,daah naajivunia kuwa team kuba
Real talk KING KIBA we nimuelewa saana
Handsome LA Tz hili jamaaaa
sio tz tu hata out sema huyu sio muwekaj mambo yake hadharan kwan ni mtu ambaye ametokea ktk familia yenye maadili na dini pia
M nilicho gundua n kwamba clouds hawana shukran , , nakumbuka fiesta ya mwaka juz wakat mond anawapiga chini KIBA aliibeba fiester mwanzo mwisho lkn leo hii hawajotokea hata mmoja , kuja kumsikiliza , , NASEMA IVI KIBA WW NIWETU TUKO PAMOJA NAWE NA TUMESHAGUNDUWA KILICHOFANYIKA , ,, , ALLAH BLESSING U BROH
kabisaaaa clouds vipolo tu
Waaooooo! Unajielewa sana kiba Mungu akubarki na kazi yako
001.... you're a matured Mashallah
Hongera kiba ww n mtu.mzima na wajiheshimu..big up.mungu ukuongezee umri wako
😂😂 karudish pensel 😅😅😅😂
Kwa mtu mzima anaeelewa hii penseli yenyewe imetengenezwa alitaka kuliweka sawa
Shack Sam umeona eh.. anajitekenya
watu wanajitoa mabetry 😂😂😂😂😂
Hata kama ww uko na ujinga ya ukoo umeina king will always be a king
All way from UAE alikiba for good
Kiba❤️👏👏🔥🔥
Hapo sawa broooooo
Ali amepewa zawadi ya penseli😂😂🤣🤣😂😂 nimecheka Sana Hadi guanguka😂😂😂😂😂
Team kiba😇😇
Love you kiba😘😘😘😘😘
ᵞᴱᴱᴱᴬᴬᴴ ᴮᴬᴮᴬ....💥💥
Kwnn dimond anaangaika na kiba au baba ake nn ?
Hapo ndo ujue kwamb d anatumia kiki kupitia Aliy na mashabiki kumchukia Aliy bila sababu lakin Aliy ana akili nahis katumwa huyu kumpim imani ya Aliy kuon km atafukuzwa huy kijan lkn Aliy ana akili zake
Fronce Mwinuka hapo umemckia diamond kmamako ww?
Khadija khadija we pimbi hjaona hapo mabodgard walitaka kmaind ila kajikaza t kpokea penseli
Kwili kila mtu Ana njia yake
Safi Sana Kiba Najuwa Hakuna Vita Zaidi Ya Kibiashara Hapo
Daaaah watuu wamepingaaa kweliii et anampaa penselii kibaa hahahahahah......ukimuangalia Sana huyo dogo alikumbatiwaa na mondiii nakupewaaa lakii 5
Bado saaaana mond baba lao
Akiyamungu uyushabiki ananivunja mbavu😄😄😄😄😄😄😄
unajitambua sana brook kaka angu
We noma
kiba🙌🙌🙌🙌🙌
Hhhh watu washavurugwa wanajiuliza watatokaje nd ivo???
mwanaume wa kweli😚😚😚😚😚team kiba damun
Wa kwnz
Kama umecheka dogo alivyovutwa kibeg like
🔥🔥🔥🔥
Kiba💖💖💖💖
Jaman hadi na we,
Ali unajua ila upole wako na ukimya mingi ndo unakufanya upowe sana ndomana unashindwa ata kujieleza unang'ata sana ulimi jitaidi maisha yako ba kazi yako ni ya ustaa Kwaiyo usiogope kuishi kistaa utaumbuka sisemi utaumbuka kwa nia mbaya ila namaanisha kuwa pengine itakukosti utashindwa kuwa comfortable na kazi yako ya ustar
sure?
That why I love you king kiba miye na kuunga mkono mwanzo adi mwsisho huyo dogo naye kama ka tumwa vile like wtf ame kosa kazi yaku fanya adi amfate king 👑 kiba eti chukuwa penseli yako like wtf he’s crazy men damn mimi ninge mpa kofi yakila rangi 👊🏾
💪💯👌
Yooooo ✌🏻
King
real life# love
Yeee babaa
Huyu jamaa kaleleka ana maadili alopewa na wazazi wake
Fatma Mhamed
Hiv unajua mzik n haramu familia ya maadili haiwez kukuruhus kuimba
Bangi za uchochoroni sio nzuri dogo katoka kupuliza
Wazamini wakutoshaa mzee babaaa
Uyu dogo katumwa ukiwa na akili timamu ndo unajua alikiba ni mtu gani na daimond ni mtu wa aina gani. Uyu dogo katumwa na alikiba kamnyooshea maelezo kuhusu alikiba na daimond wameshindwa watu wa maana hataeza uyo mtoto mvuta bangi? Kwaiyo daimond mtu wa kiki alafu imefeli maana alikiba kajibu vizuri na pia akumfukuza kama walivyo plani afukuzwe walete maneno kwamba umedai pensel umeletewa umepanic sasa alikiba akuingia mtego wao watafute kiki kwa harmonize
Daah Umeonae walitak kuona imani yake wamebug kwakweli
Namkubali sana kiba
hahahahaaaaaa, kiba ungekuwa na maadili ungemtimua mkeo?
ulikuwepo wakati anamtimua watu wengine kama wanawake vile,habar za mitandaoni ndo wajua kwel huyy jamaa sio boya kama alivyohuyo domo wenu na kaa ujue ally kiba hajamfukuza mkewe na usiamini kila habar ww habari nyingine zinawwkwa ili watu watengeneze mtonyo ww kichwa maji kwel yan
Nikweliii jamani Mimi ni TM kibaaaa
Kiba anajitekenya kisha anacheka mwenyewe....
Unataka akutenye ww huyo siyo basha k ww
Acha ungese mjomba...nilikuita ucomment mxiuuu....jike dume uso na mbele wala nyuma
Ww ndiyo mgese maana unashobo sana k ww
Niondolee nyege zako za kishenzi hapa...wee mwari rudi tena darasani uwe Kama Bob risky tukuelewe kiwazi si kwa ugumegume huu...mxiiuuuu
Huyu jamaa atawapasua vichwa maboya yaani wanahenya kutoa minyimbo jamaaa linaharibu kwa kuongea tuu
King Kiba we ndo msanii pekee huna kipuli,huna tattoo huna dreads na bado we ni star.... Mimi binafsi nakukubali sana sana @officialalikiba.
Ali Kiba umenyoosha maneno na umemjibu vizuri huyo.kibaraka aloleta peseli😃😃😃
Kings forever
Tim kiba wapiiiiiiiiii uyoooooooo
Kumbe kiba unaekti hapo sychological huyo jamaa umumuanda
Huyu ndio mfalme Hakika
Weee sema tu hata icho cha kuimba kinaharibu maadili
Jamaa ata kuongea na press hajui anaongea pumba tu
Shkamoo bangi 😂😂😂😂😂
Juma Mkongowe hahahahaha
Matumizi ya mihadarati kwa vijana ni hatari, kiba ndo unikome jamani wanaume hatuzungmzii hvyo
King kiba forever
KING KING KING
Wtf he just ambushed him Salala !!!
Dogo kaagizwa afanye hivyo
kaazigizwa kweli huyo
No cikubali hiyo hata mimi mpiya nipo USA nakubali diamond platnumz kwasababu anatupa mziki mzuri sana all the world
@@Platnumz11 Hakuna Alokataa Sasa Kuvamia conference ya watu Inahusuuu😎😎
@@Platnumz11 hat km una amin huyo dog ametumwa kumpim imani ya Aliy na hapo angekataa kujibu watu wengesem wanaugomvi lkn amin hawa watu hawana ugomv wal nn
Amina Subira jamani tusemeni ukweli uwongo Zambia diamond fundi wamziki
🤣🤣dogo kanivunja mbavu, kuna watu wamepinda jmn
Mm nimecheka hatar
Mimi si mtu wa bongo fleva ila huyu ndugu nampenda sana
Safi kiba
Bangi mbaya aisee duuh 🤣🤣 Lkn hongera zake kiba
Huyu mtoto hanisi kweli huyu karudisha penseli
Weweeeeeee! Sasa kiba umeshapewa penseli yako. ugonvi uisheeee!😅😅😅😅
Hajui kuongea uyu jamaaa na waandishi wa habari
Ulitaka aongeeje?