Mt. Kizito Makuburi - Maajabu ya Mungu + Nimeonja Pendo (Rehearsals)
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- Maandalizi ya Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi kabla ya Tamasha la Yesu ni Mwema 2023 (TYM 11).
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome
Ningeomba mfanye wimbo moja na solo ya huyu mwanadada anayesolo hapa
The gal who introduced Ametamalaki very talented
dada @upendo edwiga embu fanya jambo na huyu mdada, itakuwa kali sana
Nakuunga mkono kikamilivu❤
I eeish she's amaizing❤
Walai mkuje Kenya sasa mnichukue nikae kwa choir yenyu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂naipenda jameni... All the way from Kenyatta university nawaskiza..... How I wish you come visit Kenya wakuu😢😂❤❤❤❤❤
Jameni! They really lift ones spirit and an instant blessing.Long live Mtakatifu Kizito 🙏❤️
Naomba mkitoa ngoma tafadhali weka huyu mwanadada afanye solo pekee TAFADHALI TAFADHALI NAWASIHI
A Kenyan enjoying the song from Holy land, Israel
Napenda sana vile Zechariah anavyompatia huyu mwanadada kuwa mkakamavu na kuwa mwimbaji mjasiri
In MEMORY OF FR ALOIS MSIGWA 😢 R.I.P baba MSIGWA uliujua mziki mtakatifu.
Aisee Beatrice Gwitara in KMK 🎉🎉🎉 bravoo mlitisha aisee
Shout out to mwalim kiongoz himself @Zach bila kumsahau hendry Kimario 🎉🎉
Congratulations St.Kizito choir
Thanks you all for good songs keep on my dear choir.Watching from Spain Sr.Eliza.Good job Mr.Zacharia
Tumezisahau hizi nyimbo sana watu tunaimba vinyimbo vya kileo leo tu.
Zaka Nakupa Maua yako Kutiribu uko njema.
It never comes easy, There is much sacrifice. Kudos waalimu na wanakwaya kwa ujumula
Wa kwanza hapa. Salamu toka Kenya 🇰🇪 😍. Kazi mzuri
Good job 👏 👍
wote niwa Mungu wooote❤❤❤❤
Enyewe kuna Baraka kwa hii choir
Hongereni sana kwa kazi nzur sanaaaa sanaaa
Good, from Malawi.
Wote ni Wa Mungu... Pendeza sana
Hongeleni Sana Mungu awabaliki
Atos kudos
Big up
Mungu anabariki penye Nia njema na bidii.Mungu aendelee kuwabariki daima
Nice tune
I just love the transition from maajabu Ya Mungu tu nimeonja Pendo lako,top notch transition
Blessings
KMK
Asante sana wana kmk nawapenda hadi sio poa
Dada yangu Aveline hongera sana Kwa utume wa uimbaji Mungu akubariki sana
That's perfect 🤍
Penda sana Mt Yosefu
I keep listening to this song on repeat ❤ Hongera KMK Makuburi. Baraka tele🙏
Kwaya hii ni gwiji sana hata kama umenuna utafurahi
Such a wonderful song. Congratulations.
I love your songs, mnapendeza sana🎉🎉 to try Zack, hongera kwa kazi nzuri unayoifanya. The song is lit.
Mbarikiwe sana wapendwa
Munaimba vizuri sana❤❤❤
the lord be upon you and the same spirit leads you to compose more songs as we welcome new year
concrats my brother Zachariah Gerald
Sauti jamani
Nice
Beatrice🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Maajabu ya Mungu❤❤
Wooow na enjoy mwenyewe tu hapa
Very sweet 🎉🎉🎉....ur a blessing
Wimbo bado upo ee😋😋
Very nice sweet voice
Congratulations my people. Big dreams and very good planning..
jamn bet anasaut snaa rafik angu.naomba asoloo kwen piaa
MUNGU NI MKUU🙏🙏
#👏👏👏
Very nice song
🎉🎉❤❤hatar san naupenda san huu wimb
Finally 😃 had missed this song ❤
Hongera sana solo uko vzr
Nawapenda sana nduguzangu❤❤❤❤
🎉nzuri saan
Congratulations kwa kutuburudisha
❤❤huu ni wimbo
Nice song❤... Congratulations Beatrice ❤
🔥🔥🔥🔥
Spectacular performance
Natamani angewaanzishia huyo binti jamani conductor kwa nini umemkatiza 😁 👏
Congratulations
Good Job , Thanks for Sharing 🌹🌹🌹
Dope 👌👌
Congs
vizuri sana jamani mwaimba vizuriiii, hingereni sana. jamani mmetusahau sisi ambao ni wapweke katika kitengo cha miito mbalimbali kwenye kanisa katoliki. kuna wandoa, makuhani, watawa na wapweke.(holy matrimony, priesthood, religious women /men and single life)
From Bujumbura❤
Huyo dada wa mbele jamani mbona kama naweza tangaza ndoa na macho yake hayo😊
Mie kwanza naomba sana vile nawezamfikia
Ikiwa nichaguo lako na uwe unaimba kwaya pia utatangaza nae
Bado mdogo bwan
Wesema alianza kuimba mdogo kbs kama sikosei alikuwana 5yrs au 6
solo
Pongezi
Kuna kitu kabofya apo Vinny sjui na nyie kama mmemsikia 😅 dah
Sasa mbona hii ni nzuri kuliko iliyo recodwa
Bet ni kiboko ya solo. Fanyeni nae solo