NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE
Вставка
- Опубліковано 25 лют 2024
- NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
As a man I can feel the pain and the heat inside his chest. Kwa kumwsikiliza tu nayasikia maumivu yake kupitia sauti yake, Mungu atamlipa alichokifanya bro. Wanaume hatuna haki duniani
Dah..😢 aisee aisee aisee...sikia kwa wengine na furahia kufanya lakini isikutokee.....brother pole sana, Mungu alikujua kabla hujazaliwa and he knows what path you should go through but all in all He IS WiTH You (God)..still trust him. Nimekuombea have faith.
Huyo baba ameingia sana achofanyiwa na mzazi mwenzie badae atakuja kujuta wanawake wanalia wanakosa msaada kwa wenziwao ww dada mungu wanakuona sana mlichomfanyia huyo baba kakupa elimu leo unamuona nakudai baa yngu pole kwa mitiani ww kuwa na imani na mungu kwa hayo unayopitia mungu yupo nawe ipo siku yatakwisha tu imani na subra kila kitu
Sisi wanawake ni mtiani sana mungu taupe imani atukumbuki ulikotoka wapi au mtu wamekutowa wapi kuamisha bali sisi tunaangalia tunakokwena mungu taupe mawazo na ufahamu wapi tuliokuwa waalha
Nimelia Kwa uchungu sana dah! Ifike mahala Ustawi wa Jamii waangalie haki za Wanaume pia
Zipo
@@margarethmwampondele7858 lakini hazifanyiwi haki kama za Wanaume
@@margarethmwampondele7858Sawa je zinafanyiwa kazi?haki zinatendeka?maana wameegemea kwa wanawake tu
Mi naloga wote wafe niki uwa kwa kujeluwi utashtakiwa nauwa kwa kuloga
Warah hii nimependa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😢😢😢Inshaalla alivyo kuzalilisha ipo siku atazalilika yeye
Huyo dada alipata mume sahihi , alichokifanya malipo duniani hapa hapa, na atakukumbuka sana, bahati hairudi ,mungu akusaidie unaupendo wa agape😢
Mungu/MUNGU sio mungu
DUNIA
NDIVYOO ILIVYOOO
huyu demu amempata mzungu online. demu kamcheat mlami. demu ataenda achika pia .
Wanawake tamaa zinawaponza, mitandao inawadanganya
Sanaa 😢
Anaitwa nan huyu jaman nimpate maana watu tuna mtoto na baba hatak hata kumuona huyu ni baba wa wap jaman mashaAllah❤
Jamani Duniani Malaika wapo sio kila mtu mkatili
Hii comment 😢 ..Mashallah ni wachach sana
😂😂😂😂😂😂
Yaaan sisi wanawake tunamoto wetu wa VIFUU WALLAH 😢😢😢 ee m/mungu naomba subra na huyu mume wangu
ALLAH AKURAHISISHIENI
Inshaallah ❤❤❤❤❤❤kerry ❤❤❤amin YARABBY
Daah! Hii imenikumbusha mnigeria mmoja aliekuwa anaishi uingereza, akarudi africa akamchukua mke na mtoto waliokuwa wamebaki africa akawapeleka London pia kuishi nao, ila kilichotokea mwanamke akaaanza kubadilika baada ya kupata mwanaume mwngine kule, na akamsingizia mumewe kesi ya kumteka mtoto wake, mumewe akafungwa miaka 3 jela na mwanamke akasafisha pesa zote za jamaa bank na baadae jamaaa akawa deported back to africa baada ya kutoka jela, Jamaa akiwa zake nigeria anaishi kwa rafki yake baada kusafishwa pesa, Mwnaamke nae akatapeliwa ela zote huko uingereza na mwanaume wake mpya na akamtoroka kukimbilia spain, mwanamke akaamua kurudi africa kumuomba mumewe msamaha, yan mumewe alikuwa na hasira nae mpaka huruma. Duuh wanawake hawa.
Alivuna alichopanda , Mungu alilipa mulemule
Ni mtihani kweli kweli!
Dah
Hao wapo wengi africa nzima
Kwa jambo kama hili msaada pekee ni kutoka kwa Mungu ambaye hawezi kumwacha wala kumsahau mtu, akutetee na kukurejeshea amani na furaha.
Huyu baba endapo kama anachosema ni kweli aisee Huyu mwanamke amemfanyia jambo baya sana. Pole sana
Kuna aja ya kufungua foundation ya kuwawezesha wanaume kuwatetea nakuwapa elimu ya uwazi coz wanaume wengi wanapitia wakati mgumu na wanakosa msada..
Mambo ya Beijing hayo. Empower, empower mwisho wa siku pwaaa. Mungu atusaidie sana.. roho za jezzebel zimemwagwa kila kona.
😂😂😂😂,
Mwanamke mmoja anaweza akaharibu heshima za wanawake wote,huyu dd alimkubali.huyu kk kima silahi tu
Pole sana bushoke. Ulikua umepigwa dawa wewe na hayo mzungu na yeye kapigwa dawa. Wanawake wa kisukuma siyo kabisa.
Cousin yangu kapiqwa uku usa 🇺🇸 yeye ndio mama na mke ndie baba 😂😂😂 anaosha viombo pika chakula 😂😂😂😂 na ako na kansa
Wanawake wa kisukuma wanann Kwan mbona tamaa zinawapeleka pabaya siku hizi
Pole sana kaka lakini kuna wanawake wengi wamefanyiwa vitu vibaya saana na wanaume. Hawajatangaza wewe hapo shukuru Mungu hakukudhuru maana dunia hii umejaa ubaya Kama unamwamini Mungu omba atakupatia wa kufanana nae ❤
Hatak mwanamke anataka mtoto
Duh wanawake tuna moto wetu haki 😢😢😢 dada hii bahati uliyo ipoteza kwa tamaa zako Mungu yupo utakuja kujuta 😢 pole sana kaka Mungu atakupa aliye sahihi insha'Allah 🙏🏻
MKIAMUA
MNA MOTO
KWEL KWEL
KUMSHINDA IBILISI
hahahahahaha 🙌
@@allahisone6386😢
Wanaume tunapitia magumu, mengine hatuongea ili kulinda hadhi.. ila wanawake wakipata udhaifu wako watashikia bango.. sheria nyingi zinapendelea mwanamke..ujinga mtupu
Daah huyu jamaa mwanaume sana pole sana bro
Yaani ni wakiume kweli kweliii huyu kaka
I feel your pain brother. Mimi ni muhanga wa hiyo pia, mwanamke tulyekuwa na mipango ya kufunga ndoa tulshapelekana na kutambulishana pande zote familia zikatutambua I paid everything for his university studying but still baada ya yenye kumaliza tu masomo amenkimbia. Mimi namshtakia Mwenyezi Mungu 🧎😭
Pole 😢InshaAllah Mwenyez Mungu atakulipia pia likuepukalo linakheri naww
Wazr gwaijima Lako hilo kamata mzngu weka ndan..then mtume mama amfuate mtoto harak sana..akaishi na babak
kuoa mwanamke wa kibongo ni sawa na kujivika timed bomb! Ndoa nyingi za kibongo zipo hoi ni vile tu watu hawasemi, wamefanya siri na wameamua kufa kiume. Wanawake wanatamaa sana
Sio wote
90%
😂😂😂😂
Ni dunia.
Nilimsomesha mume wangu nikampa urizi wote nikamlipia kufika bulaya ila alinihalibu niko kilema na kunipiga kila mala na kuniacha bila hata chochote. Sacrifice unafanya ila juwa kwamba shatani inavuluga. Nilizania ni mime wa maisha sikumulomba chochote heshima tuu nikakosa. Basi amenitendea mabaya na kuniacha . Munapenda mitandandao ila historia ni nyingi sema sisi wa mama hatusemi .
Pole sana dada pande zote Kuna makosa ukikuta mwanaume ni mtulivu ujue mwanamke atakuwa mtu hivyo....na ukikuta mwanamke ni mpole mwanaume anakuwa mtu wa kumuumiza ...ko maisha bwana ni vita ndani ya dunia
POLE SANA BROTHER ,KEEP ON TALKING TO GOD ATAKUPA MWANAMKE SAHIHI hawa kima Yezebel na Delila sio kabisa
Dah,mungu atakujaa mwengine mwenye mapenzi ya kweli.sisi hatujawapata wanaume wenye mapenzi ya dhati.duh mtihani
Tunapitia mazito sana wanaume nivile tu tumeumbwa na mwiyoo miguu tu Mungu atamfanyia wepesi 👏🏿👏🏿
Ujuwe ni nin broo hata wanawake pia tuliyapitia ila sai tupo uarabun tunatafuta pesa ili yasije yakatukuta yalio pita
😂😂😂😂😂nyie mnapitia matatizo 😅😅😅😅labda sio wanaume hawa ninaowafahamu mimi
Utafutaji wa mwanaume na mwanamke haufanani hata kidogo @@omanoman2044
Mimi mke wangu nilimtimua baada ya kuanza kunionyesha ujeuri,bahati nzuri ilikua hatuna mtoto,alibeba vitu vyangu vya nyumba zote,hawa viumbe bana
Subhanallah wanawake walionekana wengi motoni ni wazito me ni mwanamke lakini nawaogopa sana me uka peke yangu kama jini 😂😂😂
😂😂😂😂
@@reynaaalrawahi4137 sio mchezo,hawa viumbe hapana
dah!😪 kiukweli umenitoa machozi nimekumbuka mapito niliyopita kiukweli inaumiza lakini inamwisho😭
Eee Mungu ungenipa mume mstarabu km huyu ningekushukuru mno.Hilo dada halina bahati.Ningemtiii sana huyu mume.
mbona kaka mwenyew mzur tuu jmn wala hana tofaut na na wazungu alaf anao upendo wakweli,,uyo dada atamkumbuka sana uyu baba siku moja yaja
Mungu atamlipa kwa fadhila zake zote alizomfanyia huyo mwanamke ,,nae ata grow zaid na zaid!
Huyo dada ajue karma never miss address
Asubiri mzungu mwanaume na mweusi na kama rangi yako ndivyo wote walivyo asubiri matokeo yake tu
Am here again crying with a stranger 😢😢😢😢
Wee mpare dont cry things gonna be alright
Yooooo 😂😂😂😂
Pole Sana Kaka mungu atakulipa mwenye upendo wa kweli , huyo ungeweza kufanikiwa akakuwekea sumu , shukuru mungu ameondoka maishan mwako , alikuja kukupa somo
It is understandable also taking into account your own age, and the time it may take to heal your hear and love again and make another child, but here is experience; concentrate on healing your heart, count it a loss and move on, you entered a wrong family, you are lucky to be alive, be grateful for that.
Pole sana njoo uniowe mm nitakuendo maana sote wahanga pole sana
labda urudi shule...kuendo ndo nini😂
Njoo huku mie nashida na ww mama
Wanawake tumieni akili ili kuepusha majanga KWENU na kwawaume zenu pia Kwa sababu huyu mwamba kama angekuwa na jaziba angechukuwa maamuzi magumu na mabaya sana ,na chanzo ni MWANAMKE ,big up bro Kwa subra na uvumilivu wako Kwa ujumla
Kaka Pole sana , kuwa na subira na hujamtenda mkeo ubaya, lakini Mungu atakulipia Hayo mkeo amefanya atajutaa
Subhanallah pole sana ALLAH atamlipa
Wanawake kama hawa dawa yao ni ndogo sana, Unampata shemeji mnyenyekevu kama huyu, unatuletea ushenzi, Pole sana kaka! Japo mie nimechagua kukuita shemeji yangu!
Hivi hauna namba za ndugu zake? Au mtu yeyote anaye husiana na huyu mwanamke mshenzi, Ustawi wa jamii kesi hii hawawezi kuitatua, inatatuliwa ukweni kwako,
Sahihi ukweni wanatatua wanampa mtoto vizuri tuuu aiseee
Da kwenye miti hakuna wajenzi mimi sasa nina 45yrs nakata tamaa cna Mume da!! Pole kaka ila sio wanawake wote
Mimi naomba huyu bwana aseme ni kijiji gani cha Bariadi kamtoa huyo mwanamke?
Ili ampeke kwao kwa mwanamke hii kesi ni ndogo sana, akawaeleze wazazi wa mwanamke, wala asihangaike, na inawezekana nami nihusishwe wakt amemfikisha kwao!
Aisee! Pole sana bwana shemeji
Kaa na Mungu atakusaidia . Mbona tunanatajilisha kisha munaduharibiya maisha hatuwatiye mtandaoni
Pole kaka, ila hapo polisi ndio tatizo waliona tabia za mwanamke na mzungu dhidi yako walipaswa kuandika ripoti maalum kwenda ustawi wa jamii kuomba upatiwe HAKI za kuishi na mtoto then ustawi wangekupa mtoto maana Sheria ya mtoto Ina mpa mamlaka afisa ustawi kuamua nani akae na mtoto kw akuzingatia maslai Bora ya mtoto.
POLISI walifanya vizuri kunyamazia kwasababu hiyo KESI IMEENDA KWENYE MAHAKAMA YA MUNGU NDIYEATAKAYEMHUKUMU MKOSAJI
Dah pole sana ndugu yangu mungu hamtupi mjawake
Nimeria kwa uchungu mkubwa sana😢😢😢 ila malipo niduniani
Usilie 😢😢 kaka angu mungu atakupa mke mwema uyo atakukumbuka muda sio mlefu , charmusingi muombe mungu mtoto atarudi kwako uyo achananae kabisa
Wanawake pia wanapitia maisha magumu kwa wanaume both side are the same because we are all humans we have the same habits to the both sides.
Kweli kabisaaa
Today its not about u, today its about the guy...and from what i see he is a man. Acha kujivictimise hao ndo wale wale!!!?
@@dayana5513story Sio kweli kwa sababu wanaume 98% wameowa wanawake wanaowapenda LAKINI 70% ya wanawake hawakuolewa na wanaume wanaowapenda (chaguo lao).
Wanawake wengi sana, mume akitetereka kifedha au hata akishuka cheo kazini, mwanamke anakimbia na anatafuta mwanaume mwingine... Hii ni dhulma Kubwa sana... HAKIKA Kuna Mahakama ya Allah SW inakuja
@@hajihassan5433 Kiufupi sema tunafuga malaya tu, hata mke wangu akiona hii comment basi, atajijua mwenyewe.
Pole sana, napitia hayo hayo ni magumu. Kiukweli sijawahi kuchukia kusikia mwanamme kamfanyia ukatili mwanamke.
Pole sana ndugu yangu Mungu atakula mke mwema atakayekupenda kwa dhati
Huyo alikuwa cyo mke sahihi Mungu alikuonyesha mapema,wako yupo Mungu anakuandalia🎉🎉
Aje kwangu sijasoma ila nitaish nae vzr mno hatoajutiaaa
Hapa mmi nipendelee wapi kwamuhindi or kwa mdogo wangu because Tz we are ndugu or nibaki upande wamuhindi uthikute huyu ndio mkosa just angalia tu anaongea kuhusu mtoto ila mmi nabaki kwa mtz mwenzangu i don't care about religion or traibo😅😂❤
Dah wanawake makatiri sana....inauma sana
Pole sana
Daaaa m/mungu azid kunipa subra na Mume wangu tuvumiliane hapa na pale Pindi akikosa
Hakika ila nikukosa ufaham tuy wakujuw anae toa ridhiki ni mungu
@@omanoman2044 wallah nimechukua viatu vyake huyu baba avinitoshi hata kidogo yaaaan wanawake Siku izi tumekuwa mabiris kupita maelezo
@@ukhutfatumah1154 siyo kidog japo siyo wote %90ndo wamegeuka kuw wakatili hata kwa watt wao inshaallah mungu atampa wakufanana nae hata sis tulipitia haya sai tupo uarabun tunakusanya maokoto
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
Poleee mnoo, tunashukuru kwa story upande wa kwanza tunasubir upande wa pili
Sijui huwani kwa nini ukiwa na mwanaume anakupendaaaa jua mwanamke kimeo lakini mwanamke akimpendaaaa mwanaume unakuta nacho kimeo cijui kwa nini mara nyingi inakuwa vise versa
Huenda hatukuomba MUNGU atupe wakufanana tukakurupuka 😂😂😂nimaumivu makali
Pole Sana Kaka, wanawake siowote wasaliti ,ningekupata Kaka kama ww ningefurahi Sana amekosa bahati
Sad story mwezimungu atakulipia brother 😢😢
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
Kosa kubwa alikutana Kimburu....!!KIMBURU always will be Kimburu.....
pole sana kaka mungu atakulipa inshaallh malipo ni duniani kaka 😢 naona huruma duu wana wake jamani
Mambo yako tofauti sana duh,, umenikumbusha yalinikuta haya unakuwa sacrifice kwa mtu ambae ana malengo mengine ni huzuni sanaaa ,,,, hakika mungu akuteteeee nakuombea najua maumivu yako nilipitia haya mungu akuvushe wacha dhambi zake zitaongea nae badaeee
Behind almost every betrayal lies a women.
Hongera Delilah kwa kumshughulikia Samson!
Binadamu hawana wema Salum Abdallah aliimba.
Siku nyingine tupate upande wa pili lkn hapana shaka Delila ni Delila tu
Pole sana kaka
Full story iko wapi😢
Njoo unioe mie kaka nitakuzalia kama kuku😂😊
Hataki kuku anataka Bloila
Watu muna mambo humu
Jamani acheni jtano ni maumivu sana haya
😂😂😂@@annamussa185
😂😂😂@@annamussa185
Jamaa nimemuona kwenye singo mama ya jb ni boss wa shabani😊
Lakini ukweli wanaujuwa waooh!to be honest hawa wanaume jamii ya Waarabu na wahindi wanyanyasaji vibaya mno mkimsikiliza mwenzake ndo mtapata ukweli
Wanawake ni wavumilivu sana ila usiombe akasema mim bas hawez geuka nyuma tena😮😮
Wewe umeongea
Kwan maelezo ya jamaaa kwa maono yakoo unaonaa ameongopaa nini kwa maelezo aliyo yatoaaa
@@gamaybady919 sasa na wewe utajuaje km kasema ukweli? Mwisho wa siku na mwanamke akija akasema yake ukweli tutaujua sisi au wanaujua wao?
Kwanza ungejua huyo mzungu ni wa Nchi gani peleka Taarifa Ubalozini kwao na taarifa nchini kwao
Yan mungu akubaliki sana awa mambwa wote tnanoa lala nao wangukua na moyo km wako akuna mwanamke angetoa mimba au kutupa wtt 😂😂wanaume wote mbwaaaa
Kabisa my dear
Shida ya wanawake ukiwa naye anafilia siku moja atakuwa single sisi hata kama tuna cheat hatupotezagi kumbukumbu ya nyumbani tuwasamahe bule ndoo mama zetu 😢😢
Co wanawake tu wanateseka na mapenzi,na wanaume wanateseka haswa nivile hawasemi
Pole xana boss
Kabisaaaa
Jamani wanawake tujitambue,mungu atatulaani
Wanawake wengine kazi hawana lakini wako na mdomo wa kutaka vitu uwezo hawana , na kutengemea mwanaume amupe, kwani huyo mwanaume amekua baba yako mzazi ???? WANAWAKE JITUMENI KIPINDI HICHO KIMEPITWA NA WAKATI CHA KULELEWA!!!!
Usiseme hivo mimi nimesomesha mume wangu,lakini alivyotoka huko aliniacha nipo nahangaika nalala chini
Na unaweza ukamvumilia mwanaume akiwa masomon akarud akakuacha na asiwe na mpango na wewe mambo magum kote tu
@@petermanala6138 ni kweli kwa hiyo ni kumwomba Mungu tu
Du pole sana dada yangu ,jamani ila pambana tu na wewe utafute elimu yako ,Mungu atakuinua na wewe utakua wakutamaniwa sana na watu mpka huyo aliye kuacha atakutamai ila wakati utakua umeisha, weee baki kusema kua nilitenda wema malipo yamekua haya ,tena kwa mtu niliyempenda ,Mungu chukua maumivu yangu unikomaze moyo wangu niweze kusimama tena, @@christinakomba689
Pole.hao wangekutana nawatu kutoka mara au Arusha wange chinjwa
Daah jamani wengine wamepata ila hawajui nini wafanye daah Mungu msaidie huyu baba
Wengine kilio mume wangu ananisumbua, wengine wanacheza na nafasi walizopata loooh !!
@@JudithAdonis yaani umeona EE MUNGU atusaidiee kwakwelii
Jamani wanaopendwa hawapendeki, wasiopendwa na wanataka kupendwa, jamani haa Kaka pole Sanaa
Ni hatari sana,mwanamke akishaanza kutaka mahitaji makubwa zaidi ya uwezo wako hyo n hatari sanaa kwahyo kimbia
Pole sana wanawake wa sasa wamejawa na tamaa na mali
Kuna Wanaume wengi hawawezi kushtuka Mwanamke anayemfaa na asiyemfaa, Wanawake wa aina hizi wanajua sana kuigiza kwamba anakupenda sana, sometimes muwe hata mnaigiza kuwa mmepata matatizo uone reaction ya Mkeo/Mpenzi wako
😂😂😂kumbe Huyo Mwanamke Ni Msukuma wa Bariadi kumbe😂😂
Pole sana😮
Pole sana brother
Pole sana bro
Duhh polee!! Sana
Pole sana
Naomba kuuliza wadau huyu si ndio yule anayeigiza kwenye tamthiliya ya lawama ya sinema zetu?
ndio ni yeye
Pole sana kaka yangu
Duuh! Kuna wanawake wana roho mbaya sana.. Mungu yupo
Mke hasomeshwi labda cherehani tu
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ausio
True
Sio watu wote sawa
Inategemea ni mke wa namna Gani na misingi ya ndoa yenu ipoje! Kama ana hofu ya Mungu kweli kweli na anashiriki ibada kwa kumaanisha unasomesha kwani mnaishi wawili ila kuna leo na kesho .
It's so sad story I feel his pain .
Happened to me like this😢😢😢
Jamani pole mchumba niko hapa nakusubiria njoo unioe mimi achana na huyo muhuni
😂😂😂
@@SefrozaMafuru au wasemaje ndugu yangu .niko huku Senegal nakukaribisha nletee huyo mchumba sitaki apate shida na umuambie asilie anyamaze niko hapa kwa ajili yake .
Mama Gwajima wewe ni msikivu kiongozi hodari chonde chonde tunakuomba mama yetu tunakuamini sana watanzania msaidie huyu baba apate mtoto wake Dada anataka kula raha kapeleka mtoto kijijini Mama tunaomba umsaidie
Mungu atakupigania hawa wanawake wa siku hizi ni nusu mashetani
Nikweli lakin siyo wote mie binafsi sin tabia hizo
Naam ni nusu ongeza na robo mashetani 😈
...... Ni mwanamke tu kwenye historia ambaye waliongea na shetani, baada ya tunda lazima kuna na jengine la siri waliongea, yaani ukiwa masikini ni shida, na ukiwa tajiri ni shida, uwe handsome atasema huwa hudisi vizuri, kibamia, atahitaji mwenyewe sura ya kawaida, na ukiwa mwanaume una sura ya kawaida, atasema una dudu kubwa, linaumiza, atamhitaji huyo handsome mwenye dudu dogo.
##Shida sana la muhimu kuwahi ufalme wa mbinguni.
Kuwa mpole mungu si dhwalim malipo yako njiyani yana kuja subiri kakangu 😢
Ooh pole sana kumbe ni wanyantuzu ndo tabia zao hizo ndugu yangu ila pole sana kaka
Pole Sanaa
Jamani viongozi msaidieni huyo Baba WA kihindi anaonelewa
Duuu inauma hii story mbona sana,kaah maskini pole sana
Pole sana! Tuombeane!
Aisee, pole sana ila mungu yu mwema atakutendea tuu na utapata mtu atakayeridhika na kipato chako, ila wanawake kuna muda anatuona kwa kweli
Mungu/MUNGU sio mungu