Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

VIDEO: RAIS SAMIA ASIMULIA TUSIYOYAJUA, 'SIKU YA KWANZA CHUONI NILILIA SANA, MWAKA 1988 NILIAJIRIWA'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 бер 2024

КОМЕНТАРІ • 53

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 5 місяців тому +6

    Dah! Aisee! Hawa viongozi hasa Wakina MAMA tusiwachukulie powa Yaani wanatoka Mbaliii na wanapitia mapito magumu🤔 Ongera Rais SAMIA SULUHU kwa mapito uliopitia hadi kufikia hapo MUNGU akusaidie ufike mbaaali zaidi 😍Pia malezi yalikua mazuri Nampa hongera Mzee SULUHU kwamalezi yake kwako 😊😍💯✅

    • @user-sk1yd4pw1v
      @user-sk1yd4pw1v 5 місяців тому

      Uchawa unawasumbua sana vijana wa kitanzania

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 5 місяців тому +6

    Hongera Mama hakuna jambo rahisi ila umeweza wewe ni chachu ya wanawake kufika kwenye ndoto zetu❤

  • @user-hg7oz8ze4d
    @user-hg7oz8ze4d 5 місяців тому +6

    Kumbe kaka ana mchango mkubwa sana katika maisha ya mheshimiwa Rais👏👏👏 tumpe maua yake kwa kutuandalia rais wa kipekee...🎉🎉🎉🎉

    • @user-sk1yd4pw1v
      @user-sk1yd4pw1v 5 місяців тому

      Acha uchawa nchi ina nyumba kuwa na vijana wa dizaini yako

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 місяців тому

      Hakika rais wenye Nia njema na wasio na chuki nae wanajifunza kitu

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 5 місяців тому +7

    Mhhh, ndio maana mama anapenda sana kupanda ndege. Kumbe alipenda kuwa air hostess😂

  • @silvanusngelageza7240
    @silvanusngelageza7240 5 місяців тому +8

    Ukweli lazima usemwe tu mama samia ana moyo mzuri na huruma ya dhati kutoka moyoni!!❤

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 місяців тому

      Kwa kweli inatubadilisha wengi na kujiuliza hivi kwa Nini huyu aweze Tena Bado awe na hekima

  • @annabubelwa4543
    @annabubelwa4543 5 місяців тому +2

    👏🏿👏🏿👏🏿Mama yuko vizuri sana ! Asante Rais wetu

  • @JoshuaDavid-et7em
    @JoshuaDavid-et7em 5 місяців тому +9

    Mwenyenz Mungu akulinde mama

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 4 місяці тому +1

    hongera mhe Rais # historia kubwa sana ,Mdada wa kwanza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿, pana nchi kama Marekani wana Marais 40 na hawajawahi pata mdada kuwa Rais

  • @Mr_omary
    @Mr_omary 5 місяців тому +5

    Maisha marefu na afya njema Kwa mama❤

  • @jeremiahmwanyika869
    @jeremiahmwanyika869 5 місяців тому +8

    Mama umependeza Sana.

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 5 місяців тому +4

    Mtangazaji Makini saana intaview nzuri saana na mama anaweza kujielezea mashaa allah ❤❤❤🎉

  • @bagenihuduma1569
    @bagenihuduma1569 5 місяців тому

    Big up Mom. Kweli hapa ni Pwani, Baharini ndiko umetoka. Chapa kazi mama, historia tu nimeielewa sana unastahili kuwapo hapo. #respect

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 5 місяців тому

    Nice Interview. Big up Rais wetu.

  • @doramalisa2061
    @doramalisa2061 4 місяці тому +1

    Very smart but humble president. Mungu aendelee kukutunza

  • @user-gh1wi7dc9g
    @user-gh1wi7dc9g 2 місяці тому

    Mheshimiwa rais Asante sana tunakuombea sana

  • @albertmaneno
    @albertmaneno 4 місяці тому

    Mama ni msimulizi mzuri sana... na historia yake ina inspire kwa kweli

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 місяців тому +3

    Hakuna asali Bila nyuki jamani maendereo hataki Kwa maneno tu jamani mama umetoka mbali

  • @BAHATIALI-ek6do
    @BAHATIALI-ek6do 4 місяці тому

    nakupenda sana rais wangu❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 4 місяці тому +1

    Samia Umependez sana

  • @user-xw9kh3vm8i
    @user-xw9kh3vm8i 4 місяці тому

    Mwanamke jasiri 🎉🎉🎉

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 місяців тому +2

    Kila mtu historia anayo kusema ukweli au tumuite tundu lisu asimulie mpaka leo alinusulika kufa kwasabab y siasa yaan maccm bana😂😂😂😮😮😮

  • @ammarabdulrazaq200
    @ammarabdulrazaq200 4 місяці тому

    Hata mtoto wng wa kike amenambia akimaliza masomo anataka kua air hostess namuomba mungu amcmamie ndoto yke itimie hongera mama samia umenitia nguvu nizidi kumkumbusha acmamie kikamlifu ndoto yke

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 4 місяці тому

    No comment

  • @magangadashina2176
    @magangadashina2176 5 місяців тому +1

    Kaka yake na mama anaakili sana,je kaka ake atakuwa wapi Kwa Sasa?

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 5 місяців тому +2

    Mama tunakupenda tunaomba tuu vyakula vishuke bei sisi watu wa hali ya chin tunashindwa kula milo mitatu unakula mlo mmoja tuu utufikirie mama

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 4 місяці тому +1

      Kalime Kwa ajili ya biashara na chakula , hutoona njaa tena

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 4 місяці тому

    Mmekosa kweli habari ,hii nchi ni ngumu sana hivyo chochote ukiona kitakuingizia hela unafanya na inaenda.

  • @janemyinga2575
    @janemyinga2575 4 місяці тому

    Mama yetu nimekuelewa sana unaongea vinzuri kwa utulivu kweli kabisa uko vinzuri

  • @jimmyally5974
    @jimmyally5974 4 місяці тому

    Mama ameupiga mwingi....

  • @Adevitutv
    @Adevitutv 5 місяців тому

    Safari ndefu lakini uhakika

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 5 місяців тому +1

    Maisha magumu mitaani vitu vina panda bei dada zetuu kazii kuvuta bangeetuu daladala wanajipangia nauli wana mchii wana kufa njaaaa

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 5 місяців тому +2

      Ongeza bidii ya kufanya kazi punguza na starehe

    • @maxsenciusalexander2213
      @maxsenciusalexander2213 5 місяців тому

      ⁠😂

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 5 місяців тому

      @@MohamedAhmada-ie7ke njie sindio mlie pewa KAZI yakuchukua Kodi lazima usheleekee 2 ila sisi wauza nyanya lazima tulie

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 4 місяці тому

      @@RomanMwinyi katika maisha yangu sijawaza kuajiriwa na serekali tuna pambana tu kama unavo pambana wewe ila tu watoto wa kiume tuna kaza sio kulia lia kilasiku na maisha

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 4 місяці тому

      Ongeza BIDII ktk kazi, Lima,weka AKIBA,ipende familia , fanya kazi sana sana

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 місяців тому

    Simulizi za kijinga hizo udumia wananchi wako walio gizani wasiojua Cha kufanya😂😂😂

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 5 місяців тому

    mbona Samia hueleweki ulishasema kuwa ulikataa kuwa makamu wa Rais ikabidi ulazimishwe leo unasema ulipoteuliwa hukuwa na wasiwasi wowote ?? which is which?

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d 5 місяців тому

      Wewe inakuhusu nn hiyo

    • @NusraHozza-qp8yy
      @NusraHozza-qp8yy 5 місяців тому +1

      Huogopi

    • @silvanusngelageza7240
      @silvanusngelageza7240 5 місяців тому +3

      Mama anazungumza vizuri anachoulizwa unatakiwa usikilize kwa umakini na kumuelewa!! Isitoshe ni Rais lakini anaongea kwa nidhamu sana !! Mimi binafsi nimempenda sana jamani.🎉

    • @abelimwakijungu1226
      @abelimwakijungu1226 5 місяців тому

      Hiyo ndio inaitwa safari ya mwanasiasa.

    • @mzalendowaasili1727
      @mzalendowaasili1727 4 місяці тому

      Hongera sana mama samia

  • @AdamFundikira-jb9vq
    @AdamFundikira-jb9vq 4 місяці тому

    Mafuta yanapaaa tuu mama angefanya yakapanda mpaka elfu kumi tu tujue moja

    • @Hasnspop
      @Hasnspop 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @ommyj9653
    @ommyj9653 5 місяців тому +1

    Intaview ya kibabe

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 4 місяці тому

    Mi sikoment chochote isije ikaja defender bure