Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
VIDEO: RAIS SAMIA ASIMULIA TUSIYOYAJUA, 'SIKU YA KWANZA CHUONI NILILIA SANA, MWAKA 1988 NILIAJIRIWA'
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 7 бер 2024
КОМЕНТАРІ • 53
Наступне
Автоматичне відтворення
EXCLUSIVE: VITUKO VYA MCHEKESHAJI ELIUD SAMWEL, ASIMULIA MAISHA YAKE, ELIMU NA MAHUSIANOMillard Ayo
Переглядів 104 тис.
Why Starbucks Is StrugglingCNBC
Переглядів 485 тис.
How We Can Make the World a Better Place by 2030 | Michael Green | TED TalksTED
Переглядів 1,5 млн
🔥 Война пришла в РОССИЮ! Глубинный народ глотает ОТВЕТКУ за атаки по УкраинеFREEДOM. LIVE
Переглядів 223 тис.
Schoolboy - Часть 2⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 4,9 млн
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 4,8 млн
Опасность фирменной зарядки AppleSuperCrastan
Переглядів 12 млн
⚡ШАРП: ЗАРАЗ! Іран ЗІРВАВСЯ з ланцюга! Ізраїль готується до АРМАГЕДДОНУ. США втрутяться у конфлікт?24 Канал
Переглядів 273 тис.
MWANAFUNZI AKODISHA GHOROFA KARIAKOO, ANAINGIZA MILIONI 30 KWA MWEZI, "NILIANZA UDALALI CHUONI"Millard Ayo
Переглядів 219 тис.
"MAPYA" LEMA ALILIPUA SAKATA LA MAKONDA UKWELI WAFICHUKA SASA AMNA SIRIYuhai media
Переглядів 57 тис.
TRAFFIC ALIYEFUKUZWA KAZI AMLILIA RAIS NA IGP "NIPUNGUZIWE ADHABU, WEMA ULINIPONZA, MKE KANIKIMBIA"Millard Ayo
Переглядів 298 тис.
#PART 1: MCHUNGAJI HANANJA - ''KUZAA SIO KIGEZO CHA NDOA, NILIOA NIKIWA NA MIAKA 40'' | HARD TALKGlobal TV Online
Переглядів 109 тис.
🤯ЖЕСТЬ! У Ірані почалися АРЕШТИ. Спливли НОВІ деталі ліквідації ГАНІЇ. Ізраїль готується до війни24 Канал
Переглядів 79 тис.
BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3Millard Ayo
Переглядів 331 тис.
FULL HISTORIA YA MAISHA YA MAMA SAMIA MPAKA KUWA KIONGOZI "NILIKATAA KUWA MAKAMU WA RAIS"Millard Ayo
Переглядів 517 тис.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000MrBeast
Переглядів 104 млн
На Каху наехали #непосредственнокахаК-Media
Переглядів 14 млн
ПАРТИЗАН - ДИНАМО. Ліга чемпіонів. ПРЯМА ТРАНСЛЯЦІЯFootball Hub
Переглядів 538 тис.
Schoolboy - Часть 2⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 4,9 млн
Jerry Heil & Volodymyr Dantes - ГУБИ У ГУБАХ (ПРЕМʼЄРА 2024)Jerry Heil
Переглядів 564 тис.
«З шести поранених вижили тільки двоє» #війна #україна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 126 тис.
Советы на всё лето 4 @postworkllcИстория одного вокалиста
Переглядів 4,3 млн
ТРОЙНОЕ ПУТЕШЕСТВИЕ В КИТАЙ, ГОНКОНГ и КОРЕЮTheBrianMaps
Переглядів 5 млн
Dah! Aisee! Hawa viongozi hasa Wakina MAMA tusiwachukulie powa Yaani wanatoka Mbaliii na wanapitia mapito magumu🤔 Ongera Rais SAMIA SULUHU kwa mapito uliopitia hadi kufikia hapo MUNGU akusaidie ufike mbaaali zaidi 😍Pia malezi yalikua mazuri Nampa hongera Mzee SULUHU kwamalezi yake kwako 😊😍💯✅
Uchawa unawasumbua sana vijana wa kitanzania
Hongera Mama hakuna jambo rahisi ila umeweza wewe ni chachu ya wanawake kufika kwenye ndoto zetu❤
Kumbe kaka ana mchango mkubwa sana katika maisha ya mheshimiwa Rais👏👏👏 tumpe maua yake kwa kutuandalia rais wa kipekee...🎉🎉🎉🎉
Acha uchawa nchi ina nyumba kuwa na vijana wa dizaini yako
Hakika rais wenye Nia njema na wasio na chuki nae wanajifunza kitu
Mhhh, ndio maana mama anapenda sana kupanda ndege. Kumbe alipenda kuwa air hostess😂
Ukweli lazima usemwe tu mama samia ana moyo mzuri na huruma ya dhati kutoka moyoni!!❤
Kwa kweli inatubadilisha wengi na kujiuliza hivi kwa Nini huyu aweze Tena Bado awe na hekima
👏🏿👏🏿👏🏿Mama yuko vizuri sana ! Asante Rais wetu
Mwenyenz Mungu akulinde mama
hongera mhe Rais # historia kubwa sana ,Mdada wa kwanza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿, pana nchi kama Marekani wana Marais 40 na hawajawahi pata mdada kuwa Rais
Maisha marefu na afya njema Kwa mama❤
Mama umependeza Sana.
Mtangazaji Makini saana intaview nzuri saana na mama anaweza kujielezea mashaa allah ❤❤❤🎉
Big up Mom. Kweli hapa ni Pwani, Baharini ndiko umetoka. Chapa kazi mama, historia tu nimeielewa sana unastahili kuwapo hapo. #respect
Nice Interview. Big up Rais wetu.
Very smart but humble president. Mungu aendelee kukutunza
Mheshimiwa rais Asante sana tunakuombea sana
Mama ni msimulizi mzuri sana... na historia yake ina inspire kwa kweli
Hakuna asali Bila nyuki jamani maendereo hataki Kwa maneno tu jamani mama umetoka mbali
nakupenda sana rais wangu❤
Samia Umependez sana
Mwanamke jasiri 🎉🎉🎉
Kila mtu historia anayo kusema ukweli au tumuite tundu lisu asimulie mpaka leo alinusulika kufa kwasabab y siasa yaan maccm bana😂😂😂😮😮😮
Hata mtoto wng wa kike amenambia akimaliza masomo anataka kua air hostess namuomba mungu amcmamie ndoto yke itimie hongera mama samia umenitia nguvu nizidi kumkumbusha acmamie kikamlifu ndoto yke
No comment
Kaka yake na mama anaakili sana,je kaka ake atakuwa wapi Kwa Sasa?
Mama tunakupenda tunaomba tuu vyakula vishuke bei sisi watu wa hali ya chin tunashindwa kula milo mitatu unakula mlo mmoja tuu utufikirie mama
Kalime Kwa ajili ya biashara na chakula , hutoona njaa tena
Mmekosa kweli habari ,hii nchi ni ngumu sana hivyo chochote ukiona kitakuingizia hela unafanya na inaenda.
Mama yetu nimekuelewa sana unaongea vinzuri kwa utulivu kweli kabisa uko vinzuri
Mama ameupiga mwingi....
Safari ndefu lakini uhakika
Maisha magumu mitaani vitu vina panda bei dada zetuu kazii kuvuta bangeetuu daladala wanajipangia nauli wana mchii wana kufa njaaaa
Ongeza bidii ya kufanya kazi punguza na starehe
😂
@@MohamedAhmada-ie7ke njie sindio mlie pewa KAZI yakuchukua Kodi lazima usheleekee 2 ila sisi wauza nyanya lazima tulie
@@RomanMwinyi katika maisha yangu sijawaza kuajiriwa na serekali tuna pambana tu kama unavo pambana wewe ila tu watoto wa kiume tuna kaza sio kulia lia kilasiku na maisha
Ongeza BIDII ktk kazi, Lima,weka AKIBA,ipende familia , fanya kazi sana sana
Simulizi za kijinga hizo udumia wananchi wako walio gizani wasiojua Cha kufanya😂😂😂
mbona Samia hueleweki ulishasema kuwa ulikataa kuwa makamu wa Rais ikabidi ulazimishwe leo unasema ulipoteuliwa hukuwa na wasiwasi wowote ?? which is which?
Wewe inakuhusu nn hiyo
Huogopi
Mama anazungumza vizuri anachoulizwa unatakiwa usikilize kwa umakini na kumuelewa!! Isitoshe ni Rais lakini anaongea kwa nidhamu sana !! Mimi binafsi nimempenda sana jamani.🎉
Hiyo ndio inaitwa safari ya mwanasiasa.
Hongera sana mama samia
Mafuta yanapaaa tuu mama angefanya yakapanda mpaka elfu kumi tu tujue moja
😂😂😂😂😂😂😂
Intaview ya kibabe
Uchawa uo
Mi sikoment chochote isije ikaja defender bure
😂😂😂😂😂