NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 189

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 роки тому +12

    Joel nanauka umenibadilisha mno ww ni mwalimu wng najifunza mengi sana nikiwa hapa Oman haipiti cku bila kusikiliza🙏🇹🇿🇴🇲

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 роки тому +1

      Ahsante sana Khadija, nashukuru kuendelea kunifuatilia.

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 3 роки тому +4

    hii nimeipenda kuliko "Bahati katika mafanikio ni pale ambapo maandalizi yanakutana na fursa" you are so smart Nanauka.

  • @nassibugodfrey1405
    @nassibugodfrey1405 3 роки тому +11

    Mwalimu Joel Nanauka Siwezi kukusahu kwenye maisha yangu

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 3 роки тому +4

    mwaka jana nilikua na mtaji mdogo sana kwenye biashara yangu kama lak5 ivi lakn nilipo anza tabia ya kuandika malenge yang na nikawa na yapitia kila week na kila mwezi nime jikuta nyumba yangu nimeongeza vyumba viwili na hivi sasa mtaji wangu si chini ya million4 nakushukuru sana mwalim umeni motivation sana mungu akubariki sana

  • @shawejimnipera2937
    @shawejimnipera2937 3 роки тому +5

    Umefanya ndoto yangu saizi kila mtu aione the big vision nilianza na kuku 10-50-100 up to 500/600 sasa. Asante sana never disappointed

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 роки тому

      Hongera sanaaa

    • @zamopazi-dr1tk
      @zamopazi-dr1tk Рік тому

      Kuku hao ni wa kienyeji au kizungu?tuelimishane ndugu. Mi mwenyewe nipo kwenye straggle ya ufugaji kuku.

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 3 роки тому +5

    Hivi watu Kama Joel nnauka dunia inawachukuliaje ....
    Kwanza niwapongeze radio mawingu kuandaa huki kipindi. Bravoo kwako Mwalimu wangu Na Mwalimu wa wawatanzania
    Nakuona unakwenda kuwa Raisi wa Nchi.

  • @lightnesskashi3226
    @lightnesskashi3226 3 роки тому +19

    Huwa naishi mafundisho yako na yamenibadilisha sana. Blessed Joel

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza1046 3 роки тому +3

    Ja usipokuwa na marafiki kabisa unaweza kuendelea

  • @charlesjustine5812
    @charlesjustine5812 3 роки тому +4

    Shukrani sana kaka, mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu sana, ili tupate hii neema ya kujijua zaidi, wengi tunachelewa kufanikiwa katika maisha yetu kwasababu tumechelewa kujua maarifa hayo

  • @a.p.monlinetv3561
    @a.p.monlinetv3561 3 роки тому +3

    Ahsante Sana Mwalim Joel Arthur Nanauka nayapenda Sana mafundisho yako maana yananisaidia Sana kwa kias kikubwa Mwenyez Mungu azid kukulinda

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 роки тому +1

      Nashukuru sana Alex, tuendelee kujifunza

  • @felistersylvester9770
    @felistersylvester9770 3 роки тому +9

    Mungu akuongeze zaidi na zaidi Pastor joel nanauka hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako tangu nimeanza kusoma vitabu vya maisha yangu yamebadilika 🙏

  • @kelvinsanga3614
    @kelvinsanga3614 3 роки тому +2

    Asanteh Sana kaka Joel sifa za malengo nimependa mno
    Sijuti kukufahamu kaka
    Daima nitaendelea kukufwatilia

  • @Peteridama-g6h
    @Peteridama-g6h 2 місяці тому

    yaani wewe umetoa kijijin hd mjini na nimefanikiwa kwa asilimia kubwa sana mungu akulide

  • @dennischelula9799
    @dennischelula9799 3 роки тому +4

    Asnte sana Joel kwa ushauli wako huu mungu akujalih afya njema uzidi tufundisha kila siku

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 3 роки тому +3

    sikufahamu kwa kila kitu kaka Nanauka! ila nakukubali sana...kama ingekuwa inawezekana kuku cut and paste basi mi ningekuwa wa kwanza...ila ndo hivo tena kila mmoja kaumbwa kivyake...but you are so blessing to us. nakupenda sana

  • @pascalkasandakasela4541
    @pascalkasandakasela4541 3 роки тому +5

    Leo Sam na James tupatupa wamekutendea haki ni mara chache sana vyombo vikubwa vya habari kukupa nafasi kubwa kiasi hicho hasaa kwenye mambo ya msingi kama hayo. Ni mahojiano bora sana kwangu. Yanayofatia dar24

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 3 роки тому +2

    ansante sana joeli hakika kwangu umekua baraka mnooo mungu namuona kupitia wewe nanajitaidi kuishi mafudisho yako vitabu yvako vyote ninavyo namshikuru mungu kunipa ufahamu wakukuerewa 🙏 joeli enderea kutafta maarifa mengi zaidi maan wengine tunakuangaria wew

  • @robertmafie7908
    @robertmafie7908 3 роки тому +1

    Najifunza vitu vingi xanaa kutoka kwako kaka Joel big up xanaa kwako

  • @kennethmahanyi1653
    @kennethmahanyi1653 3 роки тому +5

    Ahsante kaka kwa somo lako hakika nmekuelewa sana shukran sana MUNGU azid kukupa maarifa kwa ajil ya kutupa na uwe na afya njema

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 роки тому

      Ameen Keneth, nashukuru kusikia hivyo🙏🏼

  • @edithakalemwa6298
    @edithakalemwa6298 3 роки тому +2

    Namshukuru Mungu Kwa Makuu anayotutendea,binafsi nimesikiliza sana nyaraka mbalimbali kuhusu fedha lakini Nina changamoto kubwa sana ya kifedha naomba msaada wako nifanye nin?

  • @evastesheni8024
    @evastesheni8024 3 роки тому +2

    Hongera kwa mada nzuri, nami nakuja na wazo ambalo nimeliwaza kuhusu maendeleo, likae katika maandishi then nishare na watu. Nitakutafuta.

  • @rudovickmodest3253
    @rudovickmodest3253 3 роки тому +2

    sijawai kukupinga bro be blessed amina

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 3 роки тому +1

    Hivi ndio vipindi vya kusikiliza hingereni sanaaa

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 3 роки тому +2

    sam ww ni mtangazaji lakn hujui kuuliza maswali,lakn pia unapoteza muda mwingi kwenye kuuliza maswali...pia acha tabia ya kiswanglish na kingereza hujui....alienifurahisha kati yenu ni joel nanauka..brother joel barikiwa sana brother..

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 3 роки тому +1

    Elimu unayotupa ni zaidi ya Elimu bure 🙏🙏🇹🇿💪🔥

  • @worldofpeace3898
    @worldofpeace3898 3 роки тому +1

    Life coach.... umekuwa kiongozi wangu... nimekuwa na hekima mpk watu wananishangaa sababu ya mafundsho ako... Mungu akutunze

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Рік тому

    Nanauka ubarikiwe unaakili sana,licha ya kwamba Mungu anakutumia

  • @MRLIO-gy7zy
    @MRLIO-gy7zy 7 місяців тому +1

    bro ur so minded enoughly kuna vitu kwa akili ya kawaaida huwez elewa mpaka upate akili za ziada ndo utuboe kiukweli unatupa motivation za kutafuta life

  • @VeronicaYenga
    @VeronicaYenga Місяць тому

    Shukrani, nimejifunza kuweka malengo machache kulingana na nguvu yangu kifedha,

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 3 роки тому +3

    Ubongo umeumbwa kufanya kiholela

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 3 роки тому +3

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa elimu yako nzuri ushauri wa mwisho umenielimisha sana nitaifanyia kazi kama ulivyo nishauri mungu Akubariki

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 3 роки тому +3

    #JoelNanauka Wewe Ni Zaidi ya Zaidi,You mean so much in my life..Kuna kipindi nilisikiliza video zako mpaka ideas zako zikawa zinazunguka Kwenye Damu,Na kwa Mara ya Kwanza Nikaanza Kufanya Biashara...
    #Nguvu ya Malengo iko kwenye tabia.

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 3 роки тому +2

    Kaka Joel uko very smart. I like you, God bless you.

  • @FelixMyuki
    @FelixMyuki 10 місяців тому

    Nashkuru nanauka kwakunipeleka katika ulimwengu mpya

  • @JamalPaulo-jt1ju
    @JamalPaulo-jt1ju 10 місяців тому

    Joely NI WEWE LAFIKI PEKEE NILIKUA NIMESUBILIA KWENYE NDOTO ZANGU .p6&❤️

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 2 роки тому

    Allah AKUPE AFYA NJEMA Na umri mrefu wenye mafanikio katika uislaam

  • @gmaemba22
    @gmaemba22 3 роки тому +1

    Kaka wewe mkali sana.. Nakukubali kwa asilimia 102 naomba tuwasiliane nahitaji msaada wako

  • @African511
    @African511 3 роки тому +1

    Mungu asante kwa kumleta huyu Joel nanauka,kwa wakati.

  • @husseinally6056
    @husseinally6056 3 роки тому +1

    nakusoma sn kaka. #Mungu akuzidishie elim

  • @paulfrnck5083
    @paulfrnck5083 3 роки тому

    Joel ntashukulu sana nime ununuwe vitabu vyako vinanisaidia sana kwakutimiza Marengo yangu

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 3 місяці тому

    Asante sana.... mungu azidi kukulinda 🙏🙏...br... Joel.

  • @muswahilianouvaDingi
    @muswahilianouvaDingi 3 роки тому +3

    Najuwa utasoma. pls nipo south Africa nakufataka sana

  • @mathiasvicent9955
    @mathiasvicent9955 3 роки тому +1

    Kaka yangu mimi hongera sana

  • @G-JMK69
    @G-JMK69 3 роки тому +2

    Thank you so much mr.
    Miaka miwili na nusu ijayo nitakua star mkubwa sana known as "mangi more" and i will thank you again
    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @chriss_Cm
    @chriss_Cm 3 роки тому +2

    Sawa brother

  • @ramabizo4tizo416
    @ramabizo4tizo416 3 роки тому +1

    Joel nataman kila kauli yako niiweke status, kila neno ni fundisho aisee

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 3 роки тому +1

    Asant san kak umenibadilisha mno kwenye maisha yangu🙏🙏🙏🙏🇸🇦

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 3 роки тому +1

    Ndugu yangu nimejikuta ni kama vile sina marafiki
    Isipokua nakua kalibu na wafanya kazi wangu ndo wanaonizunguka

  • @VeronicaYenga
    @VeronicaYenga Місяць тому

    Nimelews vizuri,,ups de wa marafiki, shukrani

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 3 роки тому +1

    God bless you bro

  • @azmamasala6276
    @azmamasala6276 3 роки тому

    Nakufuatia sana nashukuru Mungu unisaidia Mwenye ezi Mungu akulipe mazuri .

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 3 роки тому +1

    Asnte kaka joel kwa kuzidi kutufungua akili Mungu azidi kukutunza kwa ajili yetu

  • @kijamalimi7507
    @kijamalimi7507 3 роки тому +2

    My role model

  • @violethmapunda3500
    @violethmapunda3500 2 роки тому

    Umenijenga sana bro Joel mungu azidi kukutunza na sisi tuzidi kufaidi mafundisho yako.

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert2968 Рік тому

    Mungu akuinue kama Yusuph

  • @nestorykeja3997
    @nestorykeja3997 3 роки тому +2

    Ahsante sana kiongozi nimejifunza nawezaje kupata vitabu mkuu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 роки тому

      Vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 2 роки тому +1

    huyu jamaa yko vzr sana

  • @dannymoshi4144
    @dannymoshi4144 3 роки тому +1

    God bless you more Bro

  • @mikikimikikitv6376
    @mikikimikikitv6376 3 роки тому +1

    Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Umenijenga sana

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 роки тому +1

    Kaka Joel shida yangu kusoma vitabu nimenunua vitabu vyako navipenda sana nimeisha vinunua tatizo kuvisoma.Hii mada imenigusa

  • @martinmollel1423
    @martinmollel1423 2 роки тому

    Nahisi nimechewa kukufuatilia! Najua tatizo lilikoanzia!

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla6316 3 роки тому +2

    Mungu akubarki kwenye kazi zako Joel nanauka🙏

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 3 роки тому

    Nafanikiwa kwa mawazo yako joer mungu akuweke

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 3 роки тому +1

    Aisee!! Huyu mwalimu hatari...

  • @selemanramadhan3279
    @selemanramadhan3279 Рік тому

    Ni kweli bro Kama ulivyosema penye changamoto ndipo penye fedha!!

  • @sudaisathman3831
    @sudaisathman3831 2 роки тому

    Upo sahihi dadangu khadija mm nisipomsikiliza Kwa siku nahisi kama nimepoteza siku yangu

  • @maryamgalu5523
    @maryamgalu5523 3 роки тому

    Brother Joel is very smart good bless you

  • @neemankya5551
    @neemankya5551 3 роки тому +7

    Always i appreciate your work you're more than a teacher to me..... I've done a lot of things because of what I've been learning from you

  • @christopherlivamba9111
    @christopherlivamba9111 3 роки тому +3

    You're very influential People on the world,, Jah bless you!

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 Рік тому

    Nimebarikiwa sana na mada hii

  • @nehemiahmissanga
    @nehemiahmissanga 2 роки тому

    You are my good role model

  • @markkenneth3937
    @markkenneth3937 3 роки тому +1

    Asante sana ndugu Joel najifunza Mambo mengi kwako nikiwa US

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 роки тому

      Ahsante kwa mrejesho, tuendelee kujifunza.

  • @SALOMENkya-p4y
    @SALOMENkya-p4y 9 місяців тому

    Barikiwa sana kwa mafundisho ya msingi

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 3 роки тому +1

    Amina barikiwa zaidi kaka

  • @hassanihassani7154
    @hassanihassani7154 2 роки тому

    Asante kaka joerl tuko tabora tunakufatiria

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 роки тому +1

    Asante sana kaka kupanga malengo

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 3 роки тому +1

    Ujumbe mzuri sana

  • @kensamwelperopuk
    @kensamwelperopuk 3 роки тому +1

    very good educative and mind opening discussion, pongezi kwenu wote

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 3 роки тому

    Uyo nanauka mama ake alifanya wanafuzi 13 kuacha shule,kwaiyo mama ake alaniwe sanaa apa apa duniani

  • @pilichuli4449
    @pilichuli4449 2 роки тому

    Barikiwa sana sana

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 роки тому +2

    My brother from another mother video zako huwa zinanisaidia sana yahni nime download video zako zaidi ya mia tatu na sijawahi kukinai kuziangalia kwasababu mawazo ya tofauti tofauti ni sauti ya mungu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 роки тому

      Aisee hongera sana, nafurahia kusikia hivyo

  • @clarafanuel7062
    @clarafanuel7062 3 роки тому

    God bless you my brother

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 2 роки тому

    Naendelea kupata madini tena na tena.

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 3 роки тому

    Kaka mungu akujalie nakuelewa sana

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 3 роки тому +1

    Thanks Joel , tunajifunza vizur sana.

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 роки тому +1

    Thanksfull brother 🥰

  • @carolynesimiyu3460
    @carolynesimiyu3460 Рік тому

    😮😮❤❤ nice teaching

  • @gracesimon9801
    @gracesimon9801 3 роки тому +2

    My Mentor! What i love the most about u is learning & laughing at the same time! I enjoy the teachings!Stay Blessed

  • @abdulazizzali6218
    @abdulazizzali6218 3 роки тому +1

    joe kwa sisi ambao tupo zanzibar tutapataje vitabu vyako natumai utanijibu nataka sana vtbu vyako nisome ila nipo visiwani

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 2 роки тому

    Ahsate sana kaka najifunz vingi kupitia video zako na zinafanya natimiz malengo yangu 💪🙏

  • @anithamichael4694
    @anithamichael4694 3 роки тому +1

    Thanks, bro Joel

  • @kennytwinzi9032
    @kennytwinzi9032 3 роки тому +1

    Kaka Joel...Mwambie anaekushonea hizo suti anatafutwa/anahitajika sana.!

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 2 роки тому

    Points mumgunakuweke sana nataman siku mona nije nishuhudie mafanikio yangu kiukwel najifunza

  • @papyprosper8922
    @papyprosper8922 3 роки тому +1

    Asante Brother Naomba Ile Video ulikuwa unaongerea Refreshing Power na Kadharika nimekosa Title Please nilisikiliza u was Busy But for almost 6months sijayiona tena Asante

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 3 роки тому

    Naipataje hicho kitabu nakihitaji

  • @halimaramadhani979
    @halimaramadhani979 3 роки тому +2

    It's stupendous motivation stayed blessed and Allah grant your journey of inspired us

  • @essaukinunda3198
    @essaukinunda3198 3 роки тому +1

    Kaka fanyia kazi na reference za kiafrika kama zipo...

  • @teacherbosco5706
    @teacherbosco5706 3 роки тому +1

    God bless you

  • @gideonkipruto3987
    @gideonkipruto3987 3 роки тому

    Asante sana kwa mafunzo

  • @andreasamos5903
    @andreasamos5903 3 роки тому

    God bless you!