kitabu cha Yeremia 1:5 "Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nalikujua; kabla hujazaliwa, nalikutakasa, nalikutenga uwe nabii kwa mataifa." Kwa kiingereza inasema "Before I formed you in the womb I knew you, before you were born, I set you apart; I appointed you as a prophet to the nations." Barikiwa brother
Hili somo ni la kurudia kulisikiliza mpaka liflow kwenye damu. Madini yanatolewa in a very calm voice and organised manner sio kufokewa😂 Thanks my Mentor@Joel Nanauka
Mungu akubariki sana Kaka joel nanauka Nimekuwa mwanafunzi wako muda wa miaka sita sasa hakika matunda ya elimu yako nimeyaona na sitoacha kujifunza kila siku
Asantesana kwa mafundisho mazuri hakikaungu hakukosea kukuleta dunia nawe ukajua nini cha kufanya ubarikiwe . Ninajifunza mengi san kila iitwapo leo kupitia youtube Sijabahatika kuhudhuria mikutano yako ya mafunzo live ila naamini wakati sahihi waungu ukifika nitashiriki.
Mungu akubariki sana Kaka joel nanauka Nimekuwa mwanafunzi wako muda wa miaka sita sasa hakika matunda ya elimu yako nimeyaona na sitoacha kujifunza kila siku
kitabu cha Yeremia 1:5 "Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nalikujua; kabla hujazaliwa, nalikutakasa, nalikutenga uwe nabii kwa mataifa." Kwa kiingereza inasema "Before I formed you in the womb I knew you, before you were born, I set you apart; I appointed you as a prophet to the nations."
Barikiwa brother
Hongera kaka Joel Kwa kufanya ulichoumbiwa na Mwenyezi Mungu.Keep going...
Hili somo ni la kurudia kulisikiliza mpaka liflow kwenye damu. Madini yanatolewa in a very calm voice and organised manner sio kufokewa😂 Thanks my Mentor@Joel Nanauka
Mr Joel Ukiwa raisi wa nchi, nchi yako itakuwa ya kupigiwa mfano sana.
Hongera sana kaka Joel uko Sahihi barikiwa 🙏🙏
Mungu akubariki sana
Kaka joel nanauka Nimekuwa mwanafunzi wako muda wa miaka sita sasa hakika matunda ya elimu yako nimeyaona na sitoacha kujifunza kila siku
"Set your self apart" Ni zaidi ya shule, asante kaka, Bwana Yesu akulinde sana, ww ni tunu kwa vijana wa Taifa hili.Asante sana.
Ahsante sana.Mungu azidi kukutunza kaka kwa elimu unayotupatia
This is more than powerful 🔥
Thank you @Joel Nanauka
kk mungu aendelee kkbak uendelee kutusaidia kwel umekuwa msaada sana kwang
Namba Moja hapa 💪
🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Asante sana umenifundisha nisioyajua madin mazuri
Kuna wa2 Mungu amewaumba wawe daraja kuwavusha wengne🤔,,God bless ue Bro
This is Powerful.
Getting it all the way from Nairobi Kenya
Pamoja sana
Someone somewhere atakuja kuangalia hii 2050 akiwa analia machozi ya damu.
asanteni sana ....joel ..
Nimebarikiwa...
Kaka nakufatilia sanaa jmn pia nbarikiwa sanaa na masomo yako unayotoa ubarikiwe sanaa
Mwenyezi Mungu azidi kukuongezea maharifa na elimu kubwa Bro 👌🙏
Ubarikiwe Sana,aidha nakufuatilia Sana,siyo hivo tu elimu yako imenibadilisha Sana.
Yaani ubarikiwe sana tuu, Mtumishi wa Mungu
kazi safi sana apa.....God bless you sir
thnks bro u r so perfct
ongera kwa ujumbe mzuri
Nilimis sana motivation zako nimeludi Tena nafurah kukusikilizaa barikiwaa,🙏
Ahsante sana kaka Joel nmejifunza Sana mengi ubarikiwe Sana 🙌🙌🙌🙌
Shukrana sana Mentor... Mungu akutangulie
Ahsante kwa darasa zuri kaka
barikiwa sana
Thnx mr joel
Asantesana kwa mafundisho mazuri hakikaungu hakukosea kukuleta dunia nawe ukajua nini cha kufanya ubarikiwe . Ninajifunza mengi san kila iitwapo leo kupitia youtube
Sijabahatika kuhudhuria mikutano yako ya mafunzo live ila naamini wakati sahihi waungu ukifika nitashiriki.
Pamoja kaka joel
Tuko pamoja
Kiukweli nakosa chakusema ila barikiwa zaidi kaka umenisaidia sana
Hallow my friend vary nice ideas
Kaka Joel ubarikiwe mnoo.
Mmmh!umeongea kaka ❤
Nakupata vizuri kaka Nanauka
See you At The Top 🎉
Machozi ananitoka kabisa😢 ningesikia haya mafundisho mapema,nisingezeheka kwa umasikini 😢
Hujachelewa mpendwa nyanyuka jifute chukua hatua
Majira na muda ulikuwa haujatimia ni wakati wako sasa
Namskia joshua selman kwako
Barikiwa mtumishi
Powerful
Jamani napataje kitabu
It's true
Ahsante sana
Ubarikiwe Sana
Haha kaka Joel MUNGU akubariki unakipawa kikubwa san
Aseeee🙏
Asante
50:08 to 50:36
.mmekosea kwenye cover, badara ya kuandika JITOFAUTISHE MMEANDIKA JITOSHAUTISHE
Ukosahihi bro,
Madini matupu mungu azidi kukuimarisha kwa ajili yetu unatutia moyo sana❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hoja kuntu za mafanikio
🙏
Ukishakuwa na watu nirshc sana kupata taarifa zinazo connect mfumomza wa maishayko
Who im i
Hii imenigusa sana
Je nifanyenn dunia inijue?
Samahani naomba bei ya hiyo vitabu tafadhal
😅😅😅kujiamini umasiki ukuogope
SAUTI ILIYOKO NYUMA INAKELA MASIKIO
Samahani kaka nina shid na hicho kitabu cha nidhamu ya fedha kwa uku manyara inapatikana wapi?
Nini maama ya bypass????
Sf
Mungu akubariki sana
Kaka joel nanauka Nimekuwa mwanafunzi wako muda wa miaka sita sasa hakika matunda ya elimu yako nimeyaona na sitoacha kujifunza kila siku
🙏
Tunapataje vita
Namskia joshua selman kwako