Dunia ipo kwenye mpango mzito wa kuhakikisha kunakuwa na UISLAMU bila WAISLAMU - Prof.Njozi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 68

  • @user-gw2dc3ds7d
    @user-gw2dc3ds7d 8 місяців тому +3

    Hasbunalah waneemanwakil

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 8 місяців тому +3

    Mzee nashukuru kwa kutupa Elimu

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m 8 місяців тому +1

      Una akili kaka, tofauti na watu wengine anaamua kubisha kwa mtazamo wa dini bila kuangalia ukweli

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 9 місяців тому +3

    Hawataweza kwa jina la Yesu mungu ni mkuu sana

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 Місяць тому

    Marekani hawamini hii dunia imeumbwa na nani wao wanaamini wanaamini katika sayansi maumbile yote viumbe ni nature ni jamii ya mayahudi.Sasa basi mwenye akili anajua kwamba alichokiumba mwenyezi hata kidogo hakiwezi kumpangia mwenyezi mungu.hiyo mipango anayoipanga haitafanikiwa hata kidogo kwa nguvu za mungu.Historia zinaeleza kulikuwa na Tawala kubwa zilitawala dunia kwa malengo mabaya mungu aliziangusha.Tumuombe mwamba afanikiwe dunia iwe na heshima nafikiri mwamba anayesimamia nidhamu ya dunia ni Putin mungu ampe nguvu zaidi na ushindi.AMIN

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 9 місяців тому +1

    Mzee ana uchambuz mzuri sana hakika

  • @siasia5469
    @siasia5469 9 місяців тому +7

    Muwe mna mleta mara nyingi ana madini mengi Allah amuhifadhi

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 9 місяців тому +1

    Mwamba ana madini sana chuma kamili

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 9 місяців тому +3

    Na wmefanikiwa kutufanya tusiwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maauzi sahihi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 9 місяців тому

    Truly!!

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 9 місяців тому

    Shukran 🙏🇹🇿

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 місяців тому

    👍✌️👊.

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 9 місяців тому +2

    Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 9 місяців тому +3

    Swadakta sheikh umenena ukweli

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 9 місяців тому

    PROFESSOR NZOZI

  • @MohdHamad-zr8ll
    @MohdHamad-zr8ll 7 місяців тому

    Nikweli hata mambo ya uzazi wa mpango ni mbinu ya mayahudi.

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 8 місяців тому +1

    Waislamu acheni kujitia mnajua saaana wakati hamtaki elimu ya duniani!!!!!

    • @saidmsuya3165
      @saidmsuya3165 5 місяців тому +1

      😂😂😂😂tatizo we ni mbumbumbu

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 5 місяців тому

      @@saidmsuya3165 wewe ndo mbumbumbu, unang'ang'ania kuvaa nguo za kizamani wakati binadamu hajajua kujishonea nguo inayompendeza na uhuru wa mwili kufanya kazi yoyote

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 місяці тому

      Kwenda zako wewe. Nyinyi ndio mna Elimu ya dunia mngekua na Akili finyu namna hiyo Loooo! Fyuuuuuu!

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Місяць тому

    Nilikua nakuelewa

  • @Greatamir
    @Greatamir 8 місяців тому

    8:38 8:55 8:57 8:58

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 9 місяців тому +1

    Yaani hawezi kuzungumza Jambo bila kutaja uislam wenye dini yao waarabu wapo kimya nyinyi mijitu myeusi mnahangaikia uarabu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 9 місяців тому +1

      Unateseka ukiwa wapi?

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m 8 місяців тому

      Unaropoka hakuna unachoelewa. Halo kwambia uisilamu ni dini ya waarabu Nani?

  • @MadjidiHilali
    @MadjidiHilali 23 дні тому

    😅😅😅

  • @paschalcharles6097
    @paschalcharles6097 8 місяців тому

    Hivi hii mtu kutaka ni kitu gani????

  • @Greatamir
    @Greatamir 8 місяців тому

    😂😅😅😅😅

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 9 місяців тому

    Kitu Cha mwanzo ni haki maslahi ni jambo la pili ukisoma suratul al asr kwa hiyo marekani ni Wala dhalin

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 8 місяців тому

    Hao waislam tatizo ni ugaidi na ubaguzi

    • @Johnmalekela
      @Johnmalekela Місяць тому

      Sio kweli hawana ugaid wowote fatilia sana utaelewa ndugu

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 9 місяців тому +1

    Mahali popote penye waislam hapakosi chuki nenda somalia, alfaghanistan, Pakistan, Sudan, Mali, Chad, Yemen kote huko wanauwa hovyo sababu ya dini, waislam wengi wanakuwa na amani wakiwa USA, UK, Canada, Australia, France, Norway na hawataki kukimbilia Saud Arabia, Iran au Kuwait

    • @ibrahimabdillah5729
      @ibrahimabdillah5729 9 місяців тому +1

      Kwenu muwe na chuki...ila mkiwa Kwao mtaishi kwa amani?!
      Ndio unamaanisha ndg.....?!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 9 місяців тому

      Bahati mbaya sana kila kitu kiko wazi kuwa huko kote kwenye migogoro katika nchi za kiislam mastermind wa migogoro hiyo ni marekani,,,labda wewe uelewa wako Mdogo ndio maana pengine hujui kinachoendelea duniani

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 8 місяців тому

      ​@@jumakapilima7295Magaidi hayo acha kuweka maneno meeengi ,hio ni dini ya fujo na ya kigaidi 😅

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 8 місяців тому

      @@annasolomon9855 hahahaha,,,, kafiri wewe Una chuki binafsi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 8 місяців тому +1

      @@jumakapilima7295 Mimi kuitwa kafiri ndio furaha yangu 😂😂ilimradi najijua na ninawajua Magaidi Wala hawatusumbui☺️☺️

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 8 місяців тому

    Mbona Waislamu wengi Mashoga? Sasa wanapambanaje na USHOGA?

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂Unaharish ukiwa wap

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 4 місяці тому

      Lkn kwenu ushoga uko kanisani

    • @saiddgsmg
      @saiddgsmg 2 місяці тому

      Ushoga umeletwa na waikristo

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 9 місяців тому

    #fikra gani hizi? Kwamba uislamu bila waislamu?
    Ni sawa na kusema kivuli bila mwenye nacho ni dhana ambayo sio sahihi
    Pia si kweli Amerka ana angalia tu maslahi na hauchukii uislamu bali ni vyote viwili
    Nchi ya kiislamu ni inayo tawala kwa khilafah na hilo halikubali
    #Siri_ni_hii
    Uislamu ni mfumo wa kiutawala na sio dini ya kiroho pekee kama baadhi ya masheikh wanavyo somesha na kuhubiri

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m 8 місяців тому

      Wewe ndo walewale wenye fikra za kimagharibi, mnataka kuishi mnavyotaka, na mnakubaliana na mifumo ya maisha ya hao wamagharibi

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 9 місяців тому +1

    WIslam ndio wanaongoza kukimbilia nchi za Wakristo,hawaendi Saud au Yémen. Pia Uislamu umebakiza miaka 62 tu kutoweka duniani.soma hadithi za mtume,alisema Uislam ataishi miaka 1500 tu.Huu ni mwaka wa Kiislamu 1438.

    • @mbarakbinzoo
      @mbarakbinzoo 9 місяців тому +2

      Ww n maiti inayotembea

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 9 місяців тому

      Alafu inakuaje

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 9 місяців тому

      Shoga kama wewe huwezi penda waisilamu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 9 місяців тому

      Shukran mzee Allah akutunze

    • @lookmanlookman6297
      @lookmanlookman6297 9 місяців тому

      ukiona ivo ujue kiama kipo karibu maana mtu wakuongopea maswahabe wake n hadith zake ni sahihi ukiona nchi zimejiandaa kupigana vita ndo utajua hii dini haina shaka na muhamad ni mkweli

  • @sharomdguda
    @sharomdguda 8 місяців тому

    Kila kitu uislam Islam too much waislamu wenyewe ni hawa hawa tunaoishi nao. Tatizo nini waislamu?

  • @alikamberis
    @alikamberis 8 місяців тому

    Una uongo tu

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 7 місяців тому

    Hovyo kabisa.. pointless

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 9 місяців тому

    #Njozi hakika jambo msingi na kiini cha tatizo hujakipata
    Na haijalishi wewe ni prof au laa
    Kiini ni uislamu Una mfumo wa utawala na wao wanazuia uislamu usiwe na utawala
    Don't hit around the bush
    Mazungumzo kama yako ambayo una fanya general sio tishio kwao kwani wazunguka huku na kule
    Bado prof jipinde
    Lakini على كل حال
    Allah akulipe kila la kheri

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  9 місяців тому +1

      Assalam alaikum Aisha,kama hutojali tunaomba kuja tukurekodi ili watu wapate faida

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 9 місяців тому +1

    Usiwasifu wachina.Wachina ndio hawataki kabisa uislamu kwenye ardhi Yao na wanawawekea vitu maalumu vya kuwaangalia waislam chochote wanachofanya kuogopa ugaidi.
    Uislamu umejengwa kwenye chuki na siasa Kali kwa wote wasio waislamu ndio maana nchi zingine kama Poland hawataki kabisa waislamu kwenye nchi zao kuogopa ugaidi na siasa kali

    • @lookmanlookman6297
      @lookmanlookman6297 9 місяців тому

      tumekubali uislam hawautaki je kilichowafanya hao makafiri kuandika quran ya kwao walikua na maana gani dunia inapoelekea huwezi kujua kama wewe sio muislam chuki mmezitengeneza wenyewe ukiniuliza mimi nakupa mfano apa mwanza mwenyekiti wa mtaani alikua mchangaji mtanii makanisa yapo kama matatu ivi waislam walijengeza msikiti mchungaj akazuia msikiti usijengwe msikiti ulipojengwa walikua wanaubomoa unadhani waislam watafanyaje wachungaji na maasikofu wanaongea lolote hawachukulia hatua upande wapili masheikh wangap wangwa kwa kuongea tu nikuambie kitu haha unayoaona ya taendelea mpaka kiama

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 8 місяців тому

      😅😅😅

    • @user-nv7jg6xc8l
      @user-nv7jg6xc8l 8 місяців тому +1

      Kasome uislam ndo uongee

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m 8 місяців тому

      Hakuna unachoelewa kuhusu uisilamu. Waswaili wanasema ikitaka kuua mbwa muite jina baya. Ndicho wanachofanya maadui wa uisilamu, kuwachafua waisilamu na uisilamu juu ya ugaidi. Mbona hao wanaoua waisilamu hawaitwi magaidi. .? Waisilamu tu ndo magaidi