KUMBE MWANAUME ANAFANYWA HIVI?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 20

  • @maryammohamed5312
    @maryammohamed5312 11 місяців тому +2

    Mashallah, kipindi kizuri watoto wetu wa kiume wakishaanza kubaleghe mara nyingi hatushuliki tena nao, tofauti na watoto wa kike, ni vizuri kukaa nao na kuzidi kuwaelekeza Kuhusu usafi wao wa mwili , Uislam ni usafi tujisafisheni. Inapendeza sana wanandoa kuwa nadhifu. Allah barik Kwa kipindi hiki kizuri

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg Місяць тому

    Somo uko vizuri tupe nasi mikoba Kenya...wafunde kutuvumbika na kutufukiza .....hehehehhee

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b 11 місяців тому +1

    Mashallah shukuran najifunza mengi kazi nzur😊 patam

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749 11 місяців тому +4

    Mume unataka kum surprise kwa singo anarudi saa 6 usiku natamani wakisikie baadhi yao wanaume

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid 10 днів тому

      Naombeni hiz video zenu kuhusu ndoa muzirushe yutub tuangalie na ss

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid 10 днів тому

      Tunajifunza vitu vingi sana na tunavifanyia kazi na vinatufaaa sana tunaon mafanikio badhi yao

  • @MwanahijaKassm-oz4bn
    @MwanahijaKassm-oz4bn 10 місяців тому

    Bi Atia hio jins ya kuvumbika mume tufahamishe in shaallah

  • @user-jp4yw4gr9e
    @user-jp4yw4gr9e 11 місяців тому

    Masha Allah, barakallah fik

  • @user-fx3jo4tw6b
    @user-fx3jo4tw6b 11 місяців тому

    Mashallah , kipindi kizuri🎉

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 11 місяців тому +2

    Kipindi kinaendelea kupendeza lakini bado nawaomba mupige vita suala la kungwi.. Bxz kungwi hatakiwi kuwa na maharusi.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 місяців тому

      Sasa sindo tamaduni

    • @alisaid5745
      @alisaid5745 11 місяців тому

      Kipind kizur ila sheik ww usikae nakae mtangaz wakike mnao musitulee maajab ww ikiwa mwanaume endesha ww

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 10 місяців тому +1

    Wanaume wengi wananuka mashololo Yao akirudi tu kazi I ataka sex bila kwenda chooni kujishughulikia basi na akina mama WENGINE wanaogopa kumuambia nenda ukaoge ongeeni hayo pia tafadhali

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 10 місяців тому

    Kweli w’me inabidi wafahishwe usafi na kujishughulikia. Maisha ya ssa si ya zamani, ssa m’ke na m’me wote wanachoka kwa kutafuta. Na pengine hawana wafanyakazi. Ssa ushughulikiwe ww, wtto, nyumba na yy mwenyewe m’ke. Mnadhani m’ke hachoki????

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 10 місяців тому

    Mm hata avumbikwe vp lkn masuala ya mdomo wangu kueka huko sitaki km masuala ya mdomo wake kueka huko/mate yake. Nahc ndio mana siku hzi watu wengi wanasikitika na miwasho na maradhi mengine ya sehemu za siri.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 10 місяців тому

      Na mambo hayo pia yanasabbisha mwisho hamu zinapotea.

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂

  • @user-ls1iz9mq6c
    @user-ls1iz9mq6c 11 місяців тому

    Hivi dada tunataka kujua mume anavumbikwaje? Na dada unapatikana wapi?

  • @user-vj6fy1cp6k
    @user-vj6fy1cp6k 10 місяців тому

    unapatikana wapi somo mtoto ?naomba contact yako please